Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 24
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Yeremia

      • Tini za muzuri na tini za mubaya (1-10)

Yeremia 24:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nebukadreza,” njia ingine ya kuandika jina hili.

  • *

    Anaitwa pia Yehoyakini na Konia.

  • *

    Ao pengine, “wajenzi wa maboma.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 22:24
  • +2 Fal. 24:6; 1Nya 3:16
  • +2 Fal. 24:15, 16; Yer 29:1, 2

Yeremia 24:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 24:8

Yeremia 24:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 127

Yeremia 24:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 1:3; Yer 12:15; 25:11; 29:10; Eze 36:24
  • +Yer 1:10; 30:18; 32:41

Yeremia 24:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 30:6; Yer 31:33; Eze 11:19
  • +Yer 30:22; 32:38; Zek 8:8
  • +Yer 29:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2013, uku. 8-9

Yeremia 24:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 29:17
  • +2 Fal. 25:6, 7; Eze 12:12, 13
  • +Yer 44:1; 46:13

Yeremia 24:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 15:4; 34:17
  • +Yer 26:4, 6; 29:22
  • +Kum 28:64; Yer 29:18

Yeremia 24:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:33; Yer 9:16
  • +Kum 28:59; Yer 15:2; Eze 7:15

Maandiko ingine

Yer. 24:1Yer 22:24
Yer. 24:12 Fal. 24:6; 1Nya 3:16
Yer. 24:12 Fal. 24:15, 16; Yer 29:1, 2
Yer. 24:3Yer 24:8
Yer. 24:6Ezr 1:3; Yer 12:15; 25:11; 29:10; Eze 36:24
Yer. 24:6Yer 1:10; 30:18; 32:41
Yer. 24:7Kum 30:6; Yer 31:33; Eze 11:19
Yer. 24:7Yer 30:22; 32:38; Zek 8:8
Yer. 24:7Yer 29:13
Yer. 24:8Yer 29:17
Yer. 24:82 Fal. 25:6, 7; Eze 12:12, 13
Yer. 24:8Yer 44:1; 46:13
Yer. 24:9Yer 15:4; 34:17
Yer. 24:9Yer 26:4, 6; 29:22
Yer. 24:9Kum 28:64; Yer 29:18
Yer. 24:10Law. 26:33; Yer 9:16
Yer. 24:10Kum 28:59; Yer 15:2; Eze 7:15
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Yeremia 24:1-10

Yeremia

24 Kisha Yehova akanionyesha vitunga mbili vya tini vyenye viliwekwa mbele ya hekalu la Yehova, kisha Mufalme Nebukadneza* wa Babiloni kupeleka katika uhamisho Yekonia*+ mwana wa Yehoyakimu,+ mufalme wa Yuda, pamoja na wakubwa wa Yuda, mafundi, na mafundi wa vyuma;* aliwachukua kutoka Yerusalemu na kuwapeleka Babiloni.+ 2 Kitunga kimoja kilikuwa na tini za muzuri sana, kama tini za kwanza-kwanza, lakini kile kitunga kingine kilikuwa na tini za mubaya sana, na hivyo hazingeweza kukuliwa.

3 Kisha Yehova akaniuliza: “Unaona nini, Yeremia?” Basi nikasema: “Tini; tini za muzuri ni za muzuri sana, lakini tini za mubaya ni za mubaya sana, mubaya sana na hivyo haziwezi kukuliwa.”+

4 Kisha neno la Yehova likakuja kwangu, na kusema: 5 “Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Kama hizi tini za muzuri, ni vile nitaona kwa njia ya muzuri wale wahamishwa wa Yuda, wenye nimetosha hapa na kupeleka katika inchi ya Wakaldayo. 6 Nitaweka jicho langu juu yao kwa faida yao, na nitawarudisha katika inchi hii.+ Nitawajenga, na sitabomoa; nitawapanda, na sitangoa.+ 7 Na nitawapatia moyo wa kunijua, kwamba mimi ni Yehova.+ Watakuwa watu wangu, na mimi nitakuwa Mungu wao,+ kwa maana watarudia kwangu kwa moyo wao wote.+

8 “‘Lakini kuhusu zile tini za mubaya zenye ni za mubaya sana na hivyo haziwezi kukuliwa,+ Yehova anasema hivi: “Ni vile nitamuona Mufalme Sedekia+ wa Yuda, wakubwa wake, mabaki ya Yerusalemu wenye waliachwa katika inchi hii, na wale wenye kukaa katika inchi ya Misri.+ 9 Nitawafanya kuwa kitu cha kuogopesha na musiba kwa falme zote za dunia,+ haya, neno la kimezali, kitu cha kuchekelewa, na laana+ kila mahali kwenye ninawatawanya.+ 10 Na nitatuma juu yao upanga,+ njaa, na ugonjwa wa kuambukiza,+ mupaka waangamie kutoka katika inchi yenye niliwapatia wao na mababu zao.”’”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine