Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorinto 2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Wakorinto

      • Paulo anakusudia kuleta furaha (1-4)

      • Mutenda-zambi anasamehewa na kurudishwa (5-11)

      • Paulo katika Troa na Makedonia (12, 13)

      • Utumishi, maandamano ya ushindi (14-17)

        • Hatuko wachuruzi wa neno la Mungu (17)

2 Wakorinto 2:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 7:8, 9

2 Wakorinto 2:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 5:1

2 Wakorinto 2:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “asimezwe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 15:23, 24
  • +Ebr 12:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2010, uku. 13

2 Wakorinto 2:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 12:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2013, uku. 20

2 Wakorinto 2:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2006, uku. 29

2 Wakorinto 2:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nia zake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 22:31; 2 Tim. 2:26
  • +Efe 6:11, 12; 1 Pe. 5:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2006, uku. 27

    15/1/2006, uku. 29

    15/8/2002, uku. 26-28

2 Wakorinto 2:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 16:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 166

2 Wakorinto 2:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 2:3; Tit 1:4
  • +2 Kor. 7:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 166

2 Wakorinto 2:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “anafanya harufu ya ujuzi juu yake ionekane.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2010, uku. 23

    1/9/2005, uku. 31

2 Wakorinto 2:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2010, uku. 23

    15/7/2008, uku. 28

    1/9/2005, uku. 31

2 Wakorinto 2:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 15:19; 2 Kor. 4:3; 1 Pe. 2:7, 8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2010, uku. 23

    15/7/2008, uku. 28

    1/9/2005, uku. 31

2 Wakorinto 2:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hatufanye biashara ya; hatupate faida kutokana na.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 4:2

Maandiko ingine

2 Wakorintho 2:42 Kor. 7:8, 9
2 Wakorintho 2:51 Kor. 5:1
2 Wakorintho 2:7Lu 15:23, 24
2 Wakorintho 2:7Ebr 12:12
2 Wakorintho 2:8Rom. 12:10
2 Wakorintho 2:11Lu 22:31; 2 Tim. 2:26
2 Wakorintho 2:11Efe 6:11, 12; 1 Pe. 5:8
2 Wakorintho 2:12Mdo 16:8
2 Wakorintho 2:13Gal 2:3; Tit 1:4
2 Wakorintho 2:132 Kor. 7:5
2 Wakorintho 2:16Yoh 15:19; 2 Kor. 4:3; 1 Pe. 2:7, 8
2 Wakorintho 2:172 Kor. 4:2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Wakorinto 2:1-17

Ya Pili kwa Wakorinto

2 Kwa maana nimeamua kwamba sitakuja kwenu tena kwa huzuni. 2 Kwa maana kama ninawahuzunisha ninyi, ni nani mwenye atabakia ili kunichangamusha isipokuwa ule mwenye nilihuzunisha? 3 Niliandika mambo yenye nilifanya, ili wakati nitakuja, nisihuzunishwe na wale wenye ninapaswa kufurahi juu yao, kwa sababu niko hakika kama kile chenye kinaniletea furaha kinawaletea ninyi wote furaha ileile. 4 Kwa maana ni kupitia taabu nyingi na uchungu wa moyo ndiyo niliwaandikia ninyi kwa machozi mengi, hapana ili kuwahuzunisha,+ lakini ili kuwajulisha namna upendo wenye niko nao kuwaelekea ninyi ni mukubwa.

5 Sasa kama mutu yeyote ametokeza huzuni,+ amehuzunisha, hapana mimi, lakini ninyi wote kwa kadiri fulani⁠—⁠nisikuwe mukali sana kwa maneno yenye ninasema. 6 Kemeo hili lenye linatolewa na wenye kuwa wengi linatosha kwa mutu wa namna hiyo; 7 sasa tofauti na hilo, munapaswa kumusamehe kwa fazili na kumufariji,+ ili asilemewe* na huzuni yenye kupita kiasi.+ 8 Kwa hiyo ninawaomba ninyi, mumuhakikishie upendo wenu.+ 9 Kwa maana hii ndiyo sababu pia niliwaandikia ninyi: ili kujua kama mungetoa jambo lenye kuhakikisha kwamba muko watiifu katika mambo yote. 10 Kama munamusamehe mutu yeyote jambo lolote, mimi pia ninamusamehe. Kwa kweli, jambo lolote lenye nimesamehe (kama nimesamehe jambo lolote) ni kwa ajili yenu mbele ya macho ya Kristo, 11 ili Shetani asitushinde akili,+ kwa maana hatukose kujua mipango yake ya werevu.*+

12 Sasa wakati nilifika Troa+ ili kutangaza habari njema juu ya Kristo na nikafunguliwa mulango katika Bwana, 13 roho yangu haikupata kitulizo kwa sababu sikumukuta Tito+ ndugu yangu. Basi, nikawaaga kisha nikaondoka ili kuenda Makedonia.+

14 Lakini shukrani kwa Mungu, mwenye sikuzote anatuongoza katika maandamano yenye furaha ya ushindi pamoja na Kristo na kupitia sisi anaeneza harufu ya ujuzi juu yake* kila mahali! 15 Kwa maana kwa Mungu sisi ni harufu ya muzuri ya Kristo kati ya wale wenye kuokolewa na kati ya wale wenye kuangamia; 16 kwa hao wenye kuangamia ni harufu ya kifo yenye inaongoza kwenye kifo,+ kwa wale wenye kuokolewa ni harufu ya uzima yenye inaongoza kwenye uzima. Na ni nani mwenye anastahili kabisa mambo haya? 17 Ni sisi, kwa maana sisi hatuko wachuruzi wa* neno la Mungu+ kama vile watu wengi wako, lakini tunasema kwa unyoofu wote, tukiwa tumetumwa na Mungu, ndiyo, mbele ya macho ya Mungu na pamoja na Kristo.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine