Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 127
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Bila Mungu, kila kitu ni bure

        • “Kama Yehova hajenge nyumba” (1)

        • Watoto ni zawabu kutoka kwa Mungu (3)

Zaburi 127:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 3:6; 10:22; 16:3
  • +Isa 27:3

Zaburi 127:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 3:5; Mhu. 5:12

Zaburi 127:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Watoto.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 33:4, 5; 48:3, 4; 1 Sa. 2:21
  • +Mwa 41:51, 52; Law. 26:9; Yob 42:12, 13; Zab 128:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2005, uku. 8-19

    Furaha ya Familia, uku. 126

Zaburi 127:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 17:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2013, uku. 17

    1/4/2008,

    uku. 13-16

    1/9/2007,

    uku. 26, 30

Zaburi 127:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 50:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2008,

    uku. 13-16

Maandiko ingine

Zb. 127:1Mez. 3:6; 10:22; 16:3
Zb. 127:1Isa 27:3
Zb. 127:2Zab 3:5; Mhu. 5:12
Zb. 127:3Mwa 33:4, 5; 48:3, 4; 1 Sa. 2:21
Zb. 127:3Mwa 41:51, 52; Law. 26:9; Yob 42:12, 13; Zab 128:3
Zb. 127:4Mez. 17:6
Zb. 127:5Mwa 50:23
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 127:1-5

Zaburi

Wimbo wa Safari za Kupanda. Wa Sulemani.

127 Kama Yehova hajenge nyumba,

Wale wenye kuijenga wanafanya kazi ya nguvu ya bure.+

Kama Yehova halinde muji,+

Mulinzi anakesha bure.

 2 Ni bure kwamba munaamuka asubui sana,

Kwamba munachelewa kulala,

Kwamba munafanya kazi ya jasho ili kupata chakula,

Kwa maana yeye anaandalia wale wenye anapenda na anawapatia usingizi.+

 3 Angalia! Wana* ni uriti kutoka kwa Yehova;+

Uzao wa tumbo la uzazi ni zawabu.+

 4 Kama mishale katika mukono wa mwanaume mwenye nguvu,

Ni vile pia wana wa ujana wa mutu.+

 5 Mwenye furaha ni mwanaume mwenye anawajaza katika mufuko wake wa mishale.+

Hawatapatishwa haya,

Kwa maana watazungumuza na maadui katika mulango mukubwa wa muji.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine