Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Kumbukumbu la Torati

      • Umupende Yehova kwa moyo wako wote (1-9)

        • “Sikiliza, Ee Israeli” (4)

        • Wazazi wanapaswa kufundisha watoto (6, 7)

      • Usimusahau Yehova (10-15)

      • Musimujaribu Yehova (16-19)

      • Ambia kizazi chenye kufuata (20-25)

Kumbukumbu la Torati 6:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 18:19; Kum 4:9
  • +Mez. 3:1, 2

Kumbukumbu la Torati 6:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 5:7; Isa 42:8; Zek 14:9; Mk 12:29, 32; 1 Kor. 8:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    6/2016, uku. 15-20

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2012, uku. 23

Kumbukumbu la Torati 6:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Ao “nguvu yako yote ya uzima; mali yako yote.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 10:12; 11:13; 30:6; Mt 22:37
  • +Mk 12:30, 33; Lu 10:27

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/5/2007, uku. 15-16

    15/6/2005, uku. 20

    “Kila Andiko,” uku. 37

Kumbukumbu la Torati 6:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2008, uku. 14

    15/5/2007, uku. 15-16

    1/4/2006, uku. 8-9

    15/6/2005, uku. 20

    1/4/2005, uku. 11-12

    Furaha ya Familia, uku. 55-57, 58-59, 70-⁠71

Kumbukumbu la Torati 6:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “uyarudilie-rudilie kwa; uyaingize katika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 18:19; Kum 4:9; Mez. 22:6; Efe 6:4
  • +Kum 11:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2013, uku. 16

    1/4/2008, uku. 14

    1/9/2007, uku. 22

    15/5/2007, uku. 15-16

    1/11/2006, uku. 4-6

    1/4/2006, uku. 8-9

    15/6/2005, uku. 20-21

    15/4/2005, uku. 6-7

    1/4/2005, uku. 11-12

    1/1/2005, uku. 26

    15/6/2004, uku. 5

    Furaha ya Familia, uku.  55-57, 58-59, 70-71

Kumbukumbu la Torati 6:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “katikati ya macho yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 11:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2005, uku. 13

    15/9/2004, uku. 26

Kumbukumbu la Torati 6:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2005, uku. 13

Kumbukumbu la Torati 6:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 15:18
  • +Yosh. 24:13; Zab 105:44

Kumbukumbu la Torati 6:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 8:10

Kumbukumbu la Torati 6:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 3:7

Kumbukumbu la Torati 6:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 10:12; 13:4
  • +Lu 4:8
  • +Yer 12:16

Kumbukumbu la Torati 6:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:14

Kumbukumbu la Torati 6:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:5; Kum 4:24
  • +Kut 32:9, 10; Hes 25:3; Kum 11:16, 17; Amu 2:14
  • +2 Fal. 17:18

Kumbukumbu la Torati 6:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 4:7; Lu 4:12; 1 Kor. 10:9
  • +Kut 17:2, 7; Zab 95:8, 9; Ebr 3:8, 9

Kumbukumbu la Torati 6:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 15:18

Kumbukumbu la Torati 6:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:30

Kumbukumbu la Torati 6:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 7:3
  • +Kum 4:34

Kumbukumbu la Torati 6:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 13:5; Kum 1:8

Kumbukumbu la Torati 6:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 111:10; Mez. 14:27
  • +Law. 18:5; Kum 4:1; Gal 3:12

Kumbukumbu la Torati 6:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbele ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 12:13; Rom. 10:5

Maandiko ingine

Kum. 6:2Mwa 18:19; Kum 4:9
Kum. 6:2Mez. 3:1, 2
Kum. 6:4Kum 5:7; Isa 42:8; Zek 14:9; Mk 12:29, 32; 1 Kor. 8:6
Kum. 6:5Kum 10:12; 11:13; 30:6; Mt 22:37
Kum. 6:5Mk 12:30, 33; Lu 10:27
Kum. 6:7Mwa 18:19; Kum 4:9; Mez. 22:6; Efe 6:4
Kum. 6:7Kum 11:19
Kum. 6:8Kum 11:18
Kum. 6:10Mwa 15:18
Kum. 6:10Yosh. 24:13; Zab 105:44
Kum. 6:11Kum 8:10
Kum. 6:12Amu 3:7
Kum. 6:13Kum 10:12; 13:4
Kum. 6:13Lu 4:8
Kum. 6:13Yer 12:16
Kum. 6:14Kut 34:14
Kum. 6:15Kut 20:5; Kum 4:24
Kum. 6:15Kut 32:9, 10; Hes 25:3; Kum 11:16, 17; Amu 2:14
Kum. 6:152 Fal. 17:18
Kum. 6:16Mt 4:7; Lu 4:12; 1 Kor. 10:9
Kum. 6:16Kut 17:2, 7; Zab 95:8, 9; Ebr 3:8, 9
Kum. 6:18Mwa 15:18
Kum. 6:19Kut 23:30
Kum. 6:22Kut 7:3
Kum. 6:22Kum 4:34
Kum. 6:23Kut 13:5; Kum 1:8
Kum. 6:24Zab 111:10; Mez. 14:27
Kum. 6:24Law. 18:5; Kum 4:1; Gal 3:12
Kum. 6:25Mhu. 12:13; Rom. 10:5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Kumbukumbu la Torati 6:1-25

Kumbukumbu la Torati

6 “Sasa hizi ni amri, masharti, na maamuzi ya hukumu yenye Yehova Mungu wenu ametoa ili kuwafundisha, ili muvishike wakati munavuka kuingia katika inchi yenye mutariti, 2 ili umuogope Yehova Mungu wako na kushika sheria zake zote na amri zake zenye ninakuamuru⁠—wewe na mwana wako na mujukuu wako+⁠—​siku zote za maisha yako, ili uishi wakati murefu.+ 3 Na unapaswa kusikiliza, Ee Israeli, na kuzishika kwa uangalifu, ili ufanikiwe na mukuwe wengi sana katika inchi yenye kutiririka maziwa na asali, kama vile Yehova, Mungu wa mababu zako, amekuahidi.

4 “Sikiliza, Ee Israeli: Yehova Mungu wetu ni Yehova mumoja.+ 5 Unapaswa kumupenda Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi* yako yote+ na kwa nguvu zako zote.*+ 6 Maneno haya yenye ninakuamuru leo yanapaswa kuwa kwenye moyo wako, 7 na unapaswa kuyakazia katika* wana wako+ na kuongea kuyahusu wakati unakaa katika nyumba yako na wakati unatembea katika barabara na wakati unalala na wakati unaamuka.+ 8 Uyafunge kuwa kikumbusho kwenye mukono wako, na yanapaswa kuwa kama utepe wa kichwa kwenye paji la uso wako.*+ 9 Uyaandike kwenye miimo ya milango ya nyumba yako na kwenye milango yako mikubwa.

10 “Wakati Yehova Mungu wako atakuingiza katika inchi yenye aliapia mababu zako Abrahamu, Isaka, na Yakobo kwamba atakupatia+⁠—​miji mikubwa na yenye kupendeza yenye haukujenga,+ 11 nyumba zenye kujaa vitu vya muzuri vya namna mbalimbali vyenye haukufanya kazi ili kuvipata, matangi yenye haukuchimba, na mashamba ya mizabibu na mizeituni yenye haukupanda⁠—​na wakati utakuwa umekula na kushiba,+ 12 ukuwe muangalifu ili usimusahau Yehova,+ mwenye alikutosha katika inchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa. 13 Unapaswa kumuogopa Yehova Mungu wako,+ na unapaswa kumutumikia,+ na unapaswa kuapa kwa jina lake.+ 14 Hamupaswe kufuata miungu mingine, miungu yoyote ya vikundi vya watu vyenye kuwazunguka pande zote,+ 15 kwa maana Yehova Mungu wako mwenye kuwa katikati yako ni Mungu mwenye anataka watu washikamane na yeye tu.+ Kama haufanye vile, kasirani ya Yehova Mungu wako itawaka juu yako+ na atakuharibu usikuwe tena juu ya uso wa dunia.+

16 “Hamupaswe kumujaribu Yehova Mungu wenu+ kama vile mulimujaribu kule Masa.+ 17 Munapaswa kushika kwa bidii amri za Yehova Mungu wenu na vikumbusho vyake na masharti yake yenye amewaamuru mushike. 18 Unapaswa kufanya mambo yenye kuwa sawa na ya muzuri mbele ya macho ya Yehova, ili ufanikiwe na ili uingie na kuriti inchi ya muzuri yenye Yehova aliapia mababu zako,+ 19 kwa kufukuza maadui wako wote mbele yako, kama vile Yehova ameahidi.+

20 “Wakati wenye kuja, wakati mwana wako atakuuliza, ‘Ni nini maana ya vikumbusho, masharti, na maamuzi ya hukumu yenye Yehova Mungu wetu amewaamuru?’ 21 basi utamuambia mwana wako, ‘Tulikuwa watumwa wa Farao katika Misri, lakini Yehova alitutosha Misri kwa mukono wenye nguvu. 22 Kwa hiyo mbele ya macho yetu Yehova aliendelea kutuma alama na miujiza, mikubwa na yenye kuleta uharibifu, juu ya Misri,+ juu ya Farao, na juu ya nyumba yake yote.+ 23 Na alitutosha kule ili atulete hapa na kutupatia inchi yenye alikuwa ameapia mababu zetu.+ 24 Kisha Yehova akatuamuru tufuate masharti hayo yote na kumuogopa Yehova Mungu wetu kwa faida yetu ya kudumu,+ ili tuendelee kuishi,+ kama vile tuko leo. 25 Na hilo litamaanisha haki kwa ajili yetu ikiwa tunashika kwa uangalifu amri hizo zote ili kumutii* Yehova Mungu wetu, kama vile ametuamuru.’+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine