Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorinto 3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Wakorinto

      • Barua za mapendekezo (1-3)

      • Watumishi wa agano jipya (4-6)

      • Utukufu wa muzuri zaidi wa agano jipya (7-18)

2 Wakorinto 3:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 9:2

2 Wakorinto 3:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 3:5
  • +Kut 31:18; 34:1
  • +Mez. 3:3; 7:3

2 Wakorinto 3:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 4:12, 15; Flp 2:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2008, uku. 28

    15/2/2002, uku. 24-25

    15/11/2000, uku. 17-19

2 Wakorinto 3:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 8:6
  • +Rom. 13:9
  • +Gal 3:10
  • +Yoh 6:63

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2002, uku. 24-25

    15/11/2000, uku. 17-19

    “Kila Andiko,”

    uku. 24

2 Wakorinto 3:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 31:18; 32:16
  • +Kut 34:29, 30

2 Wakorinto 3:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 2:1, 4
  • +1 Pe. 4:14

2 Wakorinto 3:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 27:26
  • +Kut 34:35
  • +Rom. 3:21, 22

2 Wakorinto 3:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kol 2:16, 17

2 Wakorinto 3:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:16; 24:17
  • +Ebr 12:22-24

2 Wakorinto 3:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Pe. 1:3, 4

2 Wakorinto 3:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:33-35

2 Wakorinto 3:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 11:7
  • +Yoh 12:40
  • +Rom. 7:6; Efe 2:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2009, uku. 21

    15/8/2005, uku. 20

    15/3/2004, uku. 16

    “Kila Andiko,” uku. 11

2 Wakorinto 3:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 15:21
  • +Rom. 11:8

2 Wakorinto 3:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:34

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2005, uku. 23

2 Wakorinto 3:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 4:24
  • +Isa 61:1; Rom. 6:14; 8:15; Gal 5:1, 13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2012, uku. 10

2 Wakorinto 3:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

  • *

    Tnn., “kutoka utukufu mupaka utukufu.”

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

  • *

    Ao pengine, “kupitia roho ya Yehova.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 4:6; Efe 4:23, 24; 5:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2012, uku. 23-24

    15/8/2005,

    uku. 14-15, 24

    15/3/2004, uku. 16-17

Maandiko ingine

2 Wakorintho 3:21 Kor. 9:2
2 Wakorintho 3:31 Kor. 3:5
2 Wakorintho 3:3Kut 31:18; 34:1
2 Wakorintho 3:3Mez. 3:3; 7:3
2 Wakorintho 3:5Kut 4:12, 15; Flp 2:13
2 Wakorintho 3:6Ebr 8:6
2 Wakorintho 3:6Rom. 13:9
2 Wakorintho 3:6Gal 3:10
2 Wakorintho 3:6Yoh 6:63
2 Wakorintho 3:7Kut 31:18; 32:16
2 Wakorintho 3:7Kut 34:29, 30
2 Wakorintho 3:8Mdo 2:1, 4
2 Wakorintho 3:81 Pe. 4:14
2 Wakorintho 3:9Kum 27:26
2 Wakorintho 3:9Kut 34:35
2 Wakorintho 3:9Rom. 3:21, 22
2 Wakorintho 3:10Kol 2:16, 17
2 Wakorintho 3:11Kut 19:16; 24:17
2 Wakorintho 3:11Ebr 12:22-24
2 Wakorintho 3:121 Pe. 1:3, 4
2 Wakorintho 3:13Kut 34:33-35
2 Wakorintho 3:14Rom. 11:7
2 Wakorintho 3:14Yoh 12:40
2 Wakorintho 3:14Rom. 7:6; Efe 2:15
2 Wakorintho 3:15Mdo 15:21
2 Wakorintho 3:15Rom. 11:8
2 Wakorintho 3:16Kut 34:34
2 Wakorintho 3:17Yoh 4:24
2 Wakorintho 3:17Isa 61:1; Rom. 6:14; 8:15; Gal 5:1, 13
2 Wakorintho 3:182 Kor. 4:6; Efe 4:23, 24; 5:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Wakorinto 3:1-18

Ya Pili kwa Wakorinto

3 Je, tunaanza tena kujipendekeza wenyewe? Ao kama watu fulani, je, tuko na lazima ya barua za mapendekezo kwa ajili yenu ao kutoka kwenu? 2 Ninyi wenyewe ndio barua yetu,+ yenye kuandikwa juu ya mioyo yetu na yenye kujulikana na kusomwa na wanadamu wote. 3 Kwa maana munaonyeshwa kuwa ninyi ni barua ya Kristo yenye tuliandika tukiwa watumishi,+ yenye iliandikwa haiko kwa wino lakini kwa roho ya Mungu mwenye kuishi, haiko juu ya mabamba ya majiwe,+ lakini juu ya mabamba ya nyama, juu ya mioyo.+

4 Tuko na uhakika wa namna hii kwa Mungu kupitia Kristo. 5 Haiko kusema kwamba sisi wenyewe tunastahili kabisa kufikiri kuwa jambo lolote linatoka kwetu, lakini kustahili kwetu kabisa kunatoka kwa Mungu,+ 6 mwenye kwa kweli ametufanya tustahili kabisa kuwa watumishi wa agano jipya,+ hapana wa sheria zenye ziliandikwa,+ lakini wa roho; kwa maana sheria zenye ziliandikwa zinaleta hukumu ya kifo,+ lakini roho inafanya kuwa na uzima.+

7 Sasa kama sheria zenye zinatoa kifo zenye zilichongwa kwa herufi kwenye majiwe+ zilikuja kwa utukufu kama huo na hivyo wana wa Israeli hawakuweza kuangalia uso wa Musa kwa sababu ya utukufu wa uso wake,+ utukufu wenye ungekuja kuondolewa, 8 sababu gani kutolewa kwa roho+ kusikuwe na utukufu mwingi hata zaidi?+ 9 Kwa maana kama sheria zenye zilitoa hukumu ya kuwa na makosa+ zilikuwa zenye utukufu,+ kutoa haki kungekuwa na utukufu mwingi hata zaidi!+ 10 Kwa kweli, hata kile chenye wakati mumoja kilifanywa kuwa na utukufu kimevuliwa utukufu kwa sababu ya utukufu wenye unakipita.+ 11 Kwa maana kama kile chenye kingeondolewa kiliingizwa kwa utukufu,+ basi utukufu wa kile chenye kinabakia ungekuwa mwingi hata zaidi!+

12 Kwa kuwa tuko na tumaini hilo,+ tunatumia uhuru mwingi wa kusema, 13 na hatufanye kama vile Musa alifanya wakati alikuwa anaweka kitambaa juu ya uso wake,+ ili wana wa Israeli wasiangalie mwisho wa kile chenye kingeondolewa. 14 Lakini akili zao zilitiwa uzito.+ Kwa maana mupaka leo, kitambaa kilekile kinabakia bila kuondolewa wakati agano la zamani linasomwa,+ kwa sababu kinaondolewa tu kupitia Kristo.+ 15 Kwa kweli mupaka leo, kila wakati wenye Musa anasomwa,+ kitambaa kinakaa juu ya mioyo yao.+ 16 Lakini wakati mutu anageuka kumuelekea Yehova,* kitambaa kinaondolewa.+ 17 Basi Yehova* ni Roho,+ na mahali kwenye kuko roho ya Yehova,* kuko uhuru.+ 18 Na sisi wote, wenye tunarudisha kama vioo utukufu wa Yehova* tukiwa na nyuso zenye hazina kitambaa, tunageuzwa kuwa katika mufano uleule kutoka kiasi fulani cha utukufu mupaka kiasi kingine,* sawasawa kabisa na vile Yehova* anafanya, yeye ambaye ni Roho.*+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine