Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Mambo ya Walawi

      • Zambi fulani na matoleo yenye yaliombwa (1-6)

        • Kutoa habari kuhusu zambi za wengine (1)

      • Matoleo yenye maskini wangeweza kutoa (7-13)

      • Toleo la hatia kwa ajili ya zambi zenye zilifanywa bila kukusudia (14-19)

Mambo ya Walawi 5:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi.”

  • *

    Tnn., “amesikia laana (kiapo).” Pengine amesikia tangazo kuhusu kosa lenye lilifanywa na laana yenye itamupata mukosaji ao shahidi yeyote mwenye anakataa kutoa ushahidi.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 29:24

Mambo ya Walawi 5:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 11:21-24; 17:15; Kum 14:8

Mambo ya Walawi 5:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 12:2; 13:3; 15:3; Hes 19:11

Mambo ya Walawi 5:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi.”

  • *

    Inaonekana mutu huyo hatimize kiapo chake.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 5:33

Mambo ya Walawi 5:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 5:7; Zab 32:5; Mez. 28:13; 1 Yo. 1:9

Mambo ya Walawi 5:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 7:1; 14:2, 12; 19:20, 21; Hes 6:12

Mambo ya Walawi 5:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 2:24
  • +Law. 12:7, 8; 14:21, 22; 15:13-15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2009, uku. 26

Mambo ya Walawi 5:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 1:4, 5; 7:2; Ebr 9:22

Mambo ya Walawi 5:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 1:15-17
  • +Law. 6:7

Mambo ya Walawi 5:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Sehemu moja ya kumi ya efa ilikuwa sawa na litre 2.2 (vibaba 2). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 16:36

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2013, uku. 15-16

    1/6/2009, uku. 26

Mambo ya Walawi 5:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 4:26
  • +Law. 2:10; 7:1, 6
  • +Law. 6:14-16; 1 Kor. 9:13

Mambo ya Walawi 5:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Shekeli moja ilikuwa sawa na grame 11.4 (aunsi troi 0.367). Angalia Nyongeza B14.

  • *

    Ao “shekeli takatifu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 10:17, 18
  • +Law. 6:6
  • +Kut 30:13; Law. 27:25

Mambo ya Walawi 5:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 6:4, 5; 22:14; Hes 5:6, 7
  • +Kut 32:30
  • +Law. 6:7; 19:22

Mambo ya Walawi 5:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi inatenda.”

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 5:2

Mambo ya Walawi 5:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 6:6

Maandiko ingine

Mambo ya walawi 5:1Mez. 29:24
Mambo ya walawi 5:2Law. 11:21-24; 17:15; Kum 14:8
Mambo ya walawi 5:3Law. 12:2; 13:3; 15:3; Hes 19:11
Mambo ya walawi 5:4Mt 5:33
Mambo ya walawi 5:5Hes 5:7; Zab 32:5; Mez. 28:13; 1 Yo. 1:9
Mambo ya walawi 5:6Law. 7:1; 14:2, 12; 19:20, 21; Hes 6:12
Mambo ya walawi 5:7Lu 2:24
Mambo ya walawi 5:7Law. 12:7, 8; 14:21, 22; 15:13-15
Mambo ya walawi 5:9Law. 1:4, 5; 7:2; Ebr 9:22
Mambo ya walawi 5:10Law. 1:15-17
Mambo ya walawi 5:10Law. 6:7
Mambo ya walawi 5:11Kut 16:36
Mambo ya walawi 5:13Law. 4:26
Mambo ya walawi 5:13Law. 2:10; 7:1, 6
Mambo ya walawi 5:13Law. 6:14-16; 1 Kor. 9:13
Mambo ya walawi 5:15Law. 10:17, 18
Mambo ya walawi 5:15Law. 6:6
Mambo ya walawi 5:15Kut 30:13; Law. 27:25
Mambo ya walawi 5:16Law. 6:4, 5; 22:14; Hes 5:6, 7
Mambo ya walawi 5:16Kut 32:30
Mambo ya walawi 5:16Law. 6:7; 19:22
Mambo ya walawi 5:17Law. 5:2
Mambo ya walawi 5:18Law. 6:6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Mambo ya Walawi 5:1-19

Mambo ya Walawi

5 “‘Kama mutu* anafanya zambi kwa sababu amesikia mwito wa waziwazi wa kutoa ushahidi*+ naye ni shahidi ao amejionea ao amepata kujua kuhusu jambo hilo, lakini hatoe habari, basi atajibu kwa sababu ya kosa lake.

2 “‘Ao wakati mutu anagusa kitu chochote chenye hakiko safi, ikuwe muzoga wa munyama wa pori, muzoga wa munyama wa kufugwa, ao kiumbe chenye hakiko safi chenye kupatikana kwa wingi,+ mutu huyo haiko safi na amekuwa na hatia hata kama hatambue jambo hilo. 3 Ao kama mutu anagusa uchafu wa mwanadamu bila kujua+⁠—​kitu chochote chenye hakiko safi ambacho kinaweza kumufanya asikuwe safi⁠—​na anafikia kujua jambo hilo, basi amekuwa na hatia.

4 “‘Ao kama mutu* anaapa bila kufikiri kwamba atafanya jambo fulani⁠—​ikuwe kufanya jambo la muzuri ao kufanya jambo la mubaya, hata likuwe jambo gani⁠—​na hakukuwa anajua vile, lakini kisha anatambua kwamba ameapa bila kufikiri, amekuwa na hatia.*+

5 “‘Kama anafikia kuwa na hatia katika moja kati ya mambo hayo, basi anapaswa kuungama+ namna gani amefanya zambi. 6 Pia atamuletea Yehova toleo la hatia kwa ajili ya zambi yenye alifanya,+ ni kusema, munyama dike kutoka katika kundi, mwana-kondoo dike ao mwana-mbuzi dike, kwa ajili ya toleo la zambi. Kisha kuhani atafunika zambi kwa ajili ya mutu huyo.

7 “‘Lakini, kama hana uwezo wa kupata kondoo, atamuletea Yehova njiwa-tetere wawili ao njiwa wawili wadogo+ kuwa toleo lake la hatia kwa ajili ya zambi yake, ndege mumoja kwa ajili ya toleo la zambi na ndege mwingine kwa ajili ya toleo la kuteketezwa.+ 8 Atawaleta kwa kuhani, na kuhani atatoa ndege mumoja kwanza kwa ajili ya toleo la zambi na atamuvunja shingo na kuacha kichwa kikininginia, lakini asikikate kabisa. 9 Atanyunyiza* sehemu fulani ya damu ya toleo hilo la zambi pembeni ya mazabahu, lakini damu yenye kubakia itamwangwa kwenye musingi wa mazabahu.+ Ni toleo la zambi. 10 Atamutoa ule ndege mwingine kuwa toleo la kuteketezwa kulingana na utaratibu wa kawaida;+ na kuhani atafunika zambi kwa ajili yake kwa sababu ya zambi yenye amefanya, naye atasamehewa.+

11 “‘Sasa kama hana uwezo wa kupata njiwa-tetere wawili ao njiwa wawili wadogo, atatoa sehemu moja ya kumi (1/10) ya kipimo cha efa moja*+ ya unga muzuri ili kuwa toleo la zambi. Hapaswe kuongeza mafuta ao kutia ubani juu ya unga huo kwa sababu ni toleo la zambi. 12 Atauleta kwa kuhani, na kuhani atakamata mukono mumoja wa unga huo kuwa toleo la kumbukumbu na atauchoma ili utoe moshi kwenye mazabahu juu ya matoleo ya Yehova yenye yanatolewa kwa njia ya moto. Ni toleo la zambi. 13 Kuhani atafunika zambi kwa ajili yake kwa sababu ya zambi yenye ametenda, yoyote kati ya zambi hizo, naye atasamehewa.+ Sehemu yenye kubakia ya toleo hilo itakuwa ya kuhani,+ kama vile toleo la nafaka.’”+

14 Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumuambia: 15 “Kama mutu anajiendesha kwa njia ya kukosa uaminifu kwa kutenda zambi bila kukusudia kwa kuvunja sheria kuhusu vitu vitakatifu vya Yehova,+ atamuletea Yehova kondoo-dume mwenye hana kasoro kutoka katika kundi ili akuwe toleo la hatia;+ samani yake itapimwa kwa shekeli* za feza kulingana na shekeli ya kawaida ya mahali patakatifu.*+ 16 Na atalipia zambi yenye ametendea mahali patakatifu, na pia ataongeza sehemu moja ya tano (1/5) ya samani ya vitu hivyo.+ Atamupatia kuhani, ili kuhani afunike zambi+ kwa ajili yake kupitia ule kondoo-dume wa toleo la hatia, naye atasamehewa.+

17 “Kama mutu anatenda* zambi kwa kufanya moja kati ya mambo yenye Yehova ameamuru kwamba hayapaswe kufanywa, hata kama hajue jambo hilo, iko* tu na hatia na atajibu kwa sababu ya kosa lake.+ 18 Atamuletea kuhani kondoo-dume mwenye hana kasoro kutoka katika kundi kulingana na samani yenye ilikadiriwa, kwa ajili ya toleo la hatia.+ Kisha kuhani atafunika zambi kwa ajili yake kwa sababu ya kosa la bila kukusudia lenye alifanya bila kujua, naye atasamehewa. 19 Ni toleo la hatia. Hakika amekuwa na hatia ya kutenda zambi juu ya Yehova.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine