Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorinto 16
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Wakorinto

      • Muchango kwa ajili ya Wakristo wa Yerusalemu (1-4)

      • Mipango ya safari ya Paulo (5-9)

      • Mipango ya Timoteo na Apolo ili kutembelea kutaniko (10-12)

      • Mashauri na salamu (13-24)

1 Wakorinto 16:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 24:17; Rom. 15:26; 2 Kor. 8:3, 4

1 Wakorinto 16:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2013, uku. 14

    15/7/2008, uku. 28

    1/12/2002, uku. 5

    1/11/2002, uku. 30

    Huduma ya Ufalme,

    1/2002, uku. 2

1 Wakorinto 16:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 8:19

1 Wakorinto 16:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 19:21; 2 Kor. 1:15, 16

1 Wakorinto 16:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 20:2

1 Wakorinto 16:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 19:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Huduma ya Ufalme, 2/2003, uku. 7

    “Kila Andiko,” uku. 210

1 Wakorinto 16:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 19:10, 11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2008, uku. 18

    Huduma ya Ufalme, 2/2003, uku. 7

1 Wakorinto 16:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 16:1, 2
  • +Flp 2:19, 20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2009, uku. 14-15

1 Wakorinto 16:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 18:24, 25

1 Wakorinto 16:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuwa na ujasiri.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tes. 5:6
  • +1 Kor. 15:58; Flp 1:27
  • +Mdo 4:29
  • +Efe 6:10; Kol 1:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2015, uku. 15-20

    1/1/2003, uku. 18-19

    1/4/2002, uku. 15, 27-28

    Amuka!,

    22/4/2000, uku. 15

    Huduma ya Ufalme,

    2/2000, uku. 8

1 Wakorinto 16:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 13:4; 1 Pe. 4:8

1 Wakorinto 16:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flp 2:29, 30; 1 Tes. 5:12; 1 Tim. 5:17

1 Wakorinto 16:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 1:16

1 Wakorinto 16:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 16:3, 5; Flm 2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/8/2007, uku. 10

Maandiko ingine

1 Wakorintho 16:1Mdo 24:17; Rom. 15:26; 2 Kor. 8:3, 4
1 Wakorintho 16:32 Kor. 8:19
1 Wakorintho 16:5Mdo 19:21; 2 Kor. 1:15, 16
1 Wakorintho 16:7Mdo 20:2
1 Wakorintho 16:8Mdo 19:1
1 Wakorintho 16:9Mdo 19:10, 11
1 Wakorintho 16:10Mdo 16:1, 2
1 Wakorintho 16:10Flp 2:19, 20
1 Wakorintho 16:12Mdo 18:24, 25
1 Wakorintho 16:131 Tes. 5:6
1 Wakorintho 16:131 Kor. 15:58; Flp 1:27
1 Wakorintho 16:13Mdo 4:29
1 Wakorintho 16:13Efe 6:10; Kol 1:11
1 Wakorintho 16:141 Kor. 13:4; 1 Pe. 4:8
1 Wakorintho 16:16Flp 2:29, 30; 1 Tes. 5:12; 1 Tim. 5:17
1 Wakorintho 16:171 Kor. 1:16
1 Wakorintho 16:19Rom. 16:3, 5; Flm 2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Wakorinto 16:1-24

Ya Kwanza kwa Wakorinto

16 Sasa kuhusu muchango kwa ajili ya watakatifu,+ munaweza kufuata miongozo yenye nilitoa kwa makutaniko ya Galatia. 2 Siku ya kwanza ya kila juma, kila mumoja wenu aweke kitu fulani pembeni kulingana na uwezo wake mwenyewe, ili michango isikusanywe wakati nitafika. 3 Lakini wakati nitafika kule, nitatuma watu wenye munakubali katika barua zenu,+ wapeleke zawadi yenu ya fazili Yerusalemu. 4 Hata hivyo, kama inaonekana kuwa jambo lenye kufaa mimi niende kule pia, wataenda kule pamoja na mimi.

5 Lakini nitakuja kwenu kisha kupita Makedonia, kwa maana nitapita Makedonia;+ 6 na pengine nitakaa kwa muda ao hata nitapitisha kipindi cha baridi pamoja na ninyi, ili munisindikize umbali fulani kokote kule kwenye nitaenda. 7 Kwa maana sitaki kuwaona ninyi sasa wakati tu ninapita, kwa kuwa ninatumaini kupitisha wakati fulani pamoja na ninyi,+ kama Yehova* anaruhusu. 8 Lakini ninabakia Efeso+ mupaka Sikukuu ya Pentekoste, 9 kwa sababu nimefunguliwa mulango mukubwa wenye unaongoza kwenye utendaji,+ lakini kuko wapinzani wengi.

10 Sasa kama Timoteo+ anafika, muhakikishe kwamba haogope kitu chochote wakati atakuwa katikati yenu, kwa maana anafanya kazi ya Yehova,*+ kama mimi. 11 Kwa hiyo, mutu yeyote asimuzarau. Mumusindikize kwa amani ili akuje kwangu, kwa maana ninamungojea nikiwa pamoja na ndugu.

12 Sasa kuhusu Apolo+ ndugu yetu, nilimuomba sana akuje kwenu pamoja na ndugu. Hakukuwa anapenda kuja sasa, lakini atakuja wakati atapata nafasi.

13 Mukae macho,+ musimame imara katika imani,+ muendelee kuwa kama wanaume,*+ mukuwe na nguvu.+ 14 Mambo yote yenye munafanya, yafanywe kwa upendo.+

15 Sasa ninawaomba ninyi, ndugu: Munajua kwamba nyumba ya Stefana ndiyo matunda ya kwanza ya Akaya na kwamba walijitoa wenyewe ili kutumikia watakatifu. 16 Ninyi pia, muendelee kujitiisha kwa watu kama hao na kwa wale wote wenye wanashirikiana na kutumika kwa bidii.+ 17 Lakini ninafurahi kwamba Stefana na Fortunato+ na Akaiko wamekuja; kwa sababu wamenisaidia pa nafasi yenu. 18 Kwa maana wametuliza roho yangu na yenu pia. Kwa hiyo, muheshimie watu wa namna ile.

19 Makutaniko ya Asia yanawatumia ninyi salamu zao. Akila na Priska pamoja na kutaniko lenye kuwa katika nyumba yao+ wanawasalimia kwa uchangamufu katika Bwana. 20 Ndugu wote wanawasalimia ninyi. Musalimiane kwa busu takatifu.

21 Hii ni salamu yangu, mimi Paulo, kwa mukono wangu mwenyewe.

22 Kama mutu yeyote hamupendi Bwana, mutu huyo alaaniwe. Ee Bwana wetu, ukuje! 23 Fazili zenye hazistahiliwe za Bwana Yesu zikuwe pamoja na ninyi. 24 Upendo wangu ukuwe pamoja na ninyi wote katika umoja na Kristo Yesu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine