Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorinto 9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Wakorinto

      • Kitia-moyo cha kutoa (1-15)

        • Mungu anapenda mutu mwenye anatoa kwa furaha (7)

2 Wakorinto 9:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 15:26; 1 Kor. 16:1; 2 Kor. 9:12

2 Wakorinto 9:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 11:24; 19:17; 22:9; Mhu. 11:1; Lu 6:38

2 Wakorinto 9:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kutokutaka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 15:7, 10
  • +Kut 22:29; Mez. 11:25; Mdo 20:35; Ebr 13:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Ufalme wa Mungu Unatawala!,

    uku. 196

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2013, uku. 13

    1/12/2012, uku. 5

    Amuka!,

    5/2008, uku. 21

2 Wakorinto 9:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 28:27; Mal 3:10; Flp 4:18, 19

2 Wakorinto 9:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwa ukarimu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 112:9

2 Wakorinto 9:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Ufalme wa Mungu Unatawala!,

    uku. 210-212

2 Wakorinto 9:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 15:26, 27; 2 Kor. 8:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Ufalme wa Mungu Unatawala!,

    uku. 210-216

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2000, uku. 11-12

2 Wakorinto 9:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 5:16; Ebr 13:16; Yak 1:27; 1 Yo. 3:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Ufalme wa Mungu Unatawala!,

    uku. 210-212

2 Wakorinto 9:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuomba dua.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Ufalme wa Mungu Unatawala!, uku. 210-212, 216-217

2 Wakorinto 9:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 2 2017 uku. 3

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    1/2016, uku. 9-10

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2015, uku. 15

    Ufalme wa Mungu Unatawala!,

    uku. 210-212

Maandiko ingine

2 Wakorintho 9:1Rom. 15:26; 1 Kor. 16:1; 2 Kor. 9:12
2 Wakorintho 9:6Mez. 11:24; 19:17; 22:9; Mhu. 11:1; Lu 6:38
2 Wakorintho 9:7Kum 15:7, 10
2 Wakorintho 9:7Kut 22:29; Mez. 11:25; Mdo 20:35; Ebr 13:16
2 Wakorintho 9:8Mez. 28:27; Mal 3:10; Flp 4:18, 19
2 Wakorintho 9:9Zab 112:9
2 Wakorintho 9:12Rom. 15:26, 27; 2 Kor. 8:14
2 Wakorintho 9:13Mt 5:16; Ebr 13:16; Yak 1:27; 1 Yo. 3:17
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Wakorinto 9:1-15

Ya Pili kwa Wakorinto

9 Sasa kuhusu utumishi kwa ajili ya watakatifu,+ haiko lazima kabisa niwaandikie ninyi, 2 kwa maana ninajua utayari wenu wenye ninajisifia kwa Wamakedonia, kwamba Akaya imekwisha kuwa tayari tangu mwaka mumoja sasa, na bidii yenu imechochea wengi kati yao. 3 Lakini ninatuma ndugu, ili kujisifu kwetu juu yenu kusionekane kuwa bure kuhusu jambo hilo, na kwamba mukuwe tayari kwelikweli, kama vile nilisema mutakuwa. 4 Tofauti na hilo, kama Wamakedonia wanakuja pamoja na mimi na kukuta hamuko tayari, sisi⁠—⁠na hata ninyi⁠—⁠tutasikia haya kwa sababu tunawatumainia ninyi. 5 Basi niliona kama ni jambo la lazima kutia ndugu moyo wakuje kwenu mbele ya wakati na watayarishe zawadi yenu yenye munatoa kwa utayari, zawadi yenye iliahidiwa, ili ikuwe tayari kama zawadi ya ukarimu, hapana kama kitu chenye kunyanganywa.

6 Lakini juu ya jambo hili, mutu yeyote mwenye anapanda kwa uchoyo atavuna pia kwa uchoyo, na mutu yeyote mwenye anapanda kwa wingi atavuna pia kwa wingi.+ 7 Kila mumoja afanye kama vile alikusudia katika moyo wake, haiko kwa kutokupenda* wala kwa kulazimishwa,+ kwa maana Mungu anapenda mutu mwenye anatoa kwa furaha.+

8 Zaidi ya hayo, Mungu anaweza kufanya fazili zake zote zenye hazistahiliwe zikuwe nyingi kuwaelekea ninyi, ili sikuzote mukuwe wenye kutosheka kabisa katika kila jambo, na pia mukuwe na vitu vingi kwa ajili ya kila kazi njema.+ 9 (Kama vile imeandikwa: “Amegawa kwa wingi;* amepatia maskini. Haki yake inadumu milele.”+ 10 Sasa Ule mwenye anapatia mupandaji mbegu kwa wingi na mukate wa kula, atawapatia ninyi na kuwaongezea mbegu ili mupande, na ataongeza mavuno ya haki.) 11 Katika kila jambo munatajirishwa kwa ajili ya kila namna ya ukarimu, wenye kupitia sisi unatokeza shukrani kwa Mungu; 12 kwa sababu utumishi wa kazi hii ya watu wote haiko tu kutimiza muzuri mambo yenye watakatifu wako nayo+ lazima lakini pia ni ili kuwa tajiri katika shukrani nyingi kwa Mungu. 13 Kupitia uhakikisho wenye unatolewa na utumishi huu wa kutoa musaada, wanamutukuza Mungu kwa sababu munajitiisha kwa habari njema juu ya Kristo, kama vile mulitangaza mbele ya watu wote, na kwa sababu ninyi muko wakarimu katika muchango wenu kwa ajili yao na kwa ajili ya wote.+ 14 Na kwa kumulilia Mungu* kwa ajili yenu, wanaonyesha kwamba wanawapenda ninyi kwa sababu ya fazili nyingi sana zenye hazistahiliwe za Mungu juu yenu.

15 Mungu apewe shukrani kwa ajili ya zawadi yake ya bure yenye haiwezi kuelezeka.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine