Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorinto 5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Wakorinto

      • Kuvaa makao ya kimbingu (1-10)

      • Utumishi wa upatanisho (11-21)

        • Kiumbe kipya (17)

        • Mabalozi wa Kristo (20)

2 Wakorinto 5:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “inavunjwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Pe. 1:13, 14
  • +1 Kor. 15:50; Flp 3:20, 21

2 Wakorinto 5:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “makao haya.”

  • *

    Ao “kuvaa makao yetu yenye ni ya.”

  • *

    Ao “makao yetu ya mbinguni.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 6:5; 8:23; 1 Kor. 15:48, 49

2 Wakorinto 5:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 15:43, 44; Flp 1:21
  • +1 Pe. 1:3, 4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    1/2016, uku. 18

2 Wakorinto 5:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “malipo ya kwanza; uhakikisho wa kile chenye kitakuja.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 2:10
  • +Rom. 8:23; Efe 1:13, 14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    1/2016, uku. 15-16

2 Wakorinto 5:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 14:3

2 Wakorinto 5:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2005, uku. 16-20

2 Wakorinto 5:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flp 1:23

2 Wakorinto 5:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuonekana.”

  • *

    Ao “maovu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ufu 22:12

2 Wakorinto 5:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “tunaonekana.”

  • *

    Ao “tunaonekana pia.”

2 Wakorinto 5:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 10:10

2 Wakorinto 5:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 11:1, 16

2 Wakorinto 5:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 53:10; Mt 20:28; 1 Tim. 2:5, 6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    1/2016, uku. 10-11

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2010, uku. 9

    15/5/2010, uku. 26-27

    15/3/2005, uku. 14

2 Wakorinto 5:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 14:7, 8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    1/2016, uku. 10-11

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2010, uku. 9

    15/5/2010, uku. 26-27

    15/3/2005, uku. 14

2 Wakorinto 5:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 12:50
  • +Yoh 20:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2008, uku. 28

2 Wakorinto 5:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 6:15

2 Wakorinto 5:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 5:10; Efe 2:15, 16; Kol 1:19, 20
  • +Mdo 20:24

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2014, uku. 18

    15/12/2010, uku. 12-14

    Ufalme wa Mungu Unatawala!,

    uku. 209-210

2 Wakorinto 5:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 5:6; 1 Yo. 2:1, 2
  • +Rom. 4:25; 5:18
  • +Mt 28:19, 20; Mdo 13:38, 39

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2010, uku. 12-13

2 Wakorinto 5:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ambassadeurs.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 6:19, 20
  • +Flp 3:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Upendo wa Mungu,” uku. 51-53

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2010, uku. 12-14

    1/11/2002, uku. 16-17

2 Wakorinto 5:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “toleo la zambi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 4:15; 7:26
  • +Rom. 1:16, 17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2000, uku. 18-19

Maandiko ingine

2 Wakorintho 5:12 Pe. 1:13, 14
2 Wakorintho 5:11 Kor. 15:50; Flp 3:20, 21
2 Wakorintho 5:2Rom. 6:5; 8:23; 1 Kor. 15:48, 49
2 Wakorintho 5:41 Kor. 15:43, 44; Flp 1:21
2 Wakorintho 5:41 Pe. 1:3, 4
2 Wakorintho 5:5Efe 2:10
2 Wakorintho 5:5Rom. 8:23; Efe 1:13, 14
2 Wakorintho 5:6Yoh 14:3
2 Wakorintho 5:8Flp 1:23
2 Wakorintho 5:10Ufu 22:12
2 Wakorintho 5:122 Kor. 10:10
2 Wakorintho 5:132 Kor. 11:1, 16
2 Wakorintho 5:14Isa 53:10; Mt 20:28; 1 Tim. 2:5, 6
2 Wakorintho 5:15Rom. 14:7, 8
2 Wakorintho 5:16Mt 12:50
2 Wakorintho 5:16Yoh 20:17
2 Wakorintho 5:17Gal 6:15
2 Wakorintho 5:18Rom. 5:10; Efe 2:15, 16; Kol 1:19, 20
2 Wakorintho 5:18Mdo 20:24
2 Wakorintho 5:19Rom. 5:6; 1 Yo. 2:1, 2
2 Wakorintho 5:19Rom. 4:25; 5:18
2 Wakorintho 5:19Mt 28:19, 20; Mdo 13:38, 39
2 Wakorintho 5:20Efe 6:19, 20
2 Wakorintho 5:20Flp 3:20
2 Wakorintho 5:21Ebr 4:15; 7:26
2 Wakorintho 5:21Rom. 1:16, 17
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Wakorinto 5:1-21

Ya Pili kwa Wakorinto

5 Kwa maana tunajua kwamba ikiwa nyumba yetu ya kidunia, hema hii, inabomolewa,*+ tutapata jengo kutoka kwa Mungu, nyumba yenye haikujengwa kwa mikono,+ nyumba ya milele mbinguni. 2 Kwa maana tunalia kwa maumivu kwelikweli katika nyumba hii,* na tunatamani sana kuvaa ile yetu* ya kutoka mbinguni,*+ 3 ili wakati tutaivaa, tusipatikane tukiwa uchi. 4 Kwa kweli, sisi wenye tuko katika hema hii tunalia kwa maumivu, na tunalemewa, kwa sababu hatutaki kuvua hema hii, lakini tunataka kuvaa ile ingine,+ ili uzima umeze kile chenye kinaweza kufa.+ 5 Sasa ule mwenye alitutayarisha kwa ajili ya jambo hili ni Mungu,+ mwenye alitupatia roho kama alama yenye kuhakikisha kile chenye kitakuja.*+

6 Basi sikuzote tuko na uhakika kabisa na tunajua kama wakati tungali na makao yetu katika mwili, hatuko mahali Bwana iko,*+ 7 kwa maana tunatembea kwa imani, hapana kwa kuona. 8 Lakini tuko hakika kabisa na tungependa zaidi tusikuwe katika mwili na tufanye makao yetu pamoja na Bwana.+ 9 Basi ikuwe tuko nyumbani pamoja naye ao hatuko pamoja naye, tunafanya kusudi letu likuwe kukubaliwa naye. 10 Kwa maana sisi wote tunapaswa kusimama* mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mumoja apate malipo kulingana na mambo yenye alitenda wakati alikuwa katika mwili, yakuwe ya muzuri ao ya mubaya.*+

11 Kwa hiyo, kwa kuwa tunajua kumuogopa Bwana, tunaendelea kushawishi watu, lakini tunajulikana muzuri* kwa Mungu. Hata hivyo, ninatumaini kama tunajulikana pia muzuri* kwa zamiri zenu. 12 Hatujipendekeze wenyewe tena kwenu, lakini tunawachochea ninyi kujisifu juu yetu, ili muweze kujibu wale wenye wanajisifu juu ya namna wanaonekana kwa inje+ lakini hapana juu ya mambo yenye kuwa katika moyo. 13 Kwa maana kama tulikuwa tumepoteza akili,+ ilikuwa kwa ajili ya Mungu; kama tuko na akili ya muzuri, ni kwa ajili yenu. 14 Kwa maana upendo wenye Kristo iko* nao unatulazimisha, kwa sababu tumefikia uamuzi huu, kwamba mutu mumoja alikufa kwa ajili ya watu wote;+ kwa hiyo basi, watu wote walikuwa wamekufa. 15 Na alikufa kwa ajili ya watu wote ili wale wenye wanaishi wasiishi tena kwa ajili yao wenyewe,+ lakini kwa ajili ya ule mwenye alikufa kwa ajili yao na akafufuliwa.

16 Basi tangu sasa na kuendelea hatumujue mutu yeyote kulingana na mawazo ya kimwili.+ Hata kama wakati fulani tulimujua Kristo kulingana na mwili, kwa hakika hatumujue tena kwa njia hiyo.+ 17 Kwa hiyo, kama mutu yeyote iko* katika umoja na Kristo, yeye ni kiumbe kipya;+ mambo ya zamani yalipita; angalia! mambo ya mupya yamekuja kuwa. 18 Lakini mambo yote yametoka kwa Mungu, mwenye alitupatanisha naye mwenyewe kupitia Kristo+ na kutupatia utumishi wa upatanisho,+ 19 ni kusema, kwamba Mungu kupitia Kristo alikuwa anapatanisha ulimwengu kwake yeye mwenyewe,+ bila kuwahesabia makosa yao,+ na alitupatia ujumbe wa upatanisho.+

20 Kwa hiyo sisi ni mabalozi*+ pa nafasi ya Kristo,+ kama vile Mungu alikuwa anaomba kupitia sisi. Kama wenye kuwa pa nafasi ya Kristo, tunaomba: “Mupatanishwe pamoja na Mungu.” 21 Ule mwenye hakujua zambi+ alimufanya kuwa zambi* kwa ajili yetu, ili kupitia yeye tukuwe haki ya Mungu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine