Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Muhubiri 12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Muhubiri

      • Kumbuka Muumbaji mbele ya kuzeeka (1-8)

      • Maneno ya kumalizia ya mukutanishaji (9-14)

        • Maneno ya hekima ni kama michokoo ya kuongozea ngombe (11)

        • Ogopa Mungu wa kweli (13)

Muhubiri 12:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “musiba.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 71:17; 148:7, 12; Lu 2:48, 49; 2 Tim. 3:15
  • +Zab 90:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2015, uku. 31-32

    15/1/2014, uku. 18, 22-23

    1/7/2011, uku. 8-9

    15/4/2010, uku. 3-4

    15/4/2008, uku. 12-16

    15/6/2005, uku. 28

    1/5/2004, uku. 13-14

    Vijana Huuliza 2, uku. 312-313

    Amuka!,

    8/7/2004, uku. 8-9

Muhubiri 12:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “pamoja na.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 4:15

Muhubiri 12:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wenye kuchunga.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 48:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Utumishi na Maisha ya Mukristo—Buku la Mukutano,

    11/2016, uku. 6

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2008, uku. 23

Muhubiri 12:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 19:34, 35

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Utumishi na Maisha ya Mukristo—Buku la Mukutano,

    11/2016, uku. 6

Muhubiri 12:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni tunda lenye kuitwa capre.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 16:31
  • +Yob 30:23; Mhu. 9:10
  • +Mwa 50:7, 10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Utumishi na Maisha ya Mukristo—Buku la Mukutano,

    11/2016, uku. 6

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2005, uku. 22-23

Muhubiri 12:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mupeto; pneu.”

Muhubiri 12:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nguvu ya uzima.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 3:19; Zab 146:4
  • +Mwa 2:7; Yob 27:3; 34:14, 15; Zab 104:29; Isa 42:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Biblia Inafundisha, uku. 211

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/7/2001, uku. 5-6

Muhubiri 12:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ubatili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:1
  • +Mhu. 1:2, 14

Muhubiri 12:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “alitafakari.”

  • *

    Ao “apange kwa utaratibu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 10:1, 3, 6, 8
  • +1 Fal. 4:29, 32; Mez. 1:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 107

Muhubiri 12:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “sahihi ya kweli.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 16:24; 25:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/1/2008,

    uku. 10-11

Muhubiri 12:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 2:37; Ebr 4:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2012, uku. 9

    1/11/2006, uku. 16

    1/12/2004, uku. 32

Muhubiri 12:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 1:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2004, uku. 32

    1/10/2000, uku. 10

Muhubiri 12:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 28:28; Zab 111:10; Mez. 1:7
  • +1 Yo. 5:3
  • +Kum 6:1, 2; 10:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 1 2017 uku. 14

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2011, uku. 21

Muhubiri 12:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 62:12; Mhu. 11:9; Mt 12:36, 37; Mdo 17:31; 2 Kor. 5:10; 1 Tim. 5:24

Maandiko ingine

Muh. 12:1Zab 71:17; 148:7, 12; Lu 2:48, 49; 2 Tim. 3:15
Muh. 12:1Zab 90:10
Muh. 12:21 Sa. 4:15
Muh. 12:3Mwa 48:10
Muh. 12:42 Sa. 19:34, 35
Muh. 12:5Mez. 16:31
Muh. 12:5Yob 30:23; Mhu. 9:10
Muh. 12:5Mwa 50:7, 10
Muh. 12:7Mwa 3:19; Zab 146:4
Muh. 12:7Mwa 2:7; Yob 27:3; 34:14, 15; Zab 104:29; Isa 42:5
Muh. 12:81 Fal. 8:1
Muh. 12:8Mhu. 1:2, 14
Muh. 12:91 Fal. 10:1, 3, 6, 8
Muh. 12:91 Fal. 4:29, 32; Mez. 1:1
Muh. 12:10Mez. 16:24; 25:11
Muh. 12:11Mdo 2:37; Ebr 4:12
Muh. 12:12Mhu. 1:18
Muh. 12:13Yob 28:28; Zab 111:10; Mez. 1:7
Muh. 12:131 Yo. 5:3
Muh. 12:13Kum 6:1, 2; 10:12
Muh. 12:14Zab 62:12; Mhu. 11:9; Mt 12:36, 37; Mdo 17:31; 2 Kor. 5:10; 1 Tim. 5:24
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Muhubiri 12:1-14

Muhubiri

12 Basi, kumbuka Muumbaji wako Mukubwa katika siku za ujana wako,+ mbele siku za taabu* hazijakuja+ na mbele haijafika miaka yenye utasema: “Siifurahie”; 2 mbele ya jua na mwangaza na mwezi na nyota kuwa na giza,+ na mbele ya mawingu kurudia kisha* mvua kubwa; 3 siku yenye walinzi wa* nyumba wanatetemeka, na wanaume wenye nguvu wanainama, na wanamuke wanaacha kusaga kwa sababu wamekuwa kidogo, na mabibi wenye kuangalia kupitia madirisha wanaona giza;+ 4 wakati milango yenye inaelekea kwenye barabara imefungwa, wakati sauti ya jiwe la kusagia inapunguka, wakati mutu anaamushwa na sauti ya ndege, na mabinti wa wimbo wanazimia.+ 5 Tena, mutu anaogopa nafasi za juu, na kuko mambo yenye kuogopesha sana katika barabara. Na muti wa lozi unatoa maua,+ na panzi anajikokota, na tunda lenye kuleta hamu ya kula linapasuka,* kwa sababu mwanadamu anaenda kwenye nyumba yake ya kudumu+ na waombolezaji wanatembea huku na huku katika barabara;+ 6 mbele kamba ya feza haijaondolewa, na bakuli la zahabu kuvunjwa, na mutungi wenye kuwa kwenye chemchemi kuvunjwa, na gurudumu* la maji kwa ajili ya tangi kuvunjika. 7 Kisha mavumbi yanarudia kwenye udongo,+ kama vile yalikuwa, na roho* inarudia kwa Mungu wa kweli mwenye aliitoa.+

8 “Yote ni bure* kabisa!” ni vile mukutanishaji anasema,+ “Kila kitu ni bure.”+

9 Zaidi ya kuwa na hekima, mukutanishaji aliendelea kufundisha watu mambo yenye alijua,+ na alifikiri sana* na kuchunguza kwa uangalifu ili akusanye* mezali nyingi.+ 10 Mukutanishaji alijikaza kutafuta maneno yenye kupendeza+ na kuandika maneno ya kweli yenye hayana makosa.*

11 Maneno ya wenye hekima ni kama michokoo ya kuongozea ngombe,+ na semi zao zenye kukusanywa ni kama misumari yenye kupigiliwa kwa nguvu; yametolewa kutoka kwa muchungaji mumoja. 12 Kuhusu jambo lingine zaidi ya mambo haya, mwana wangu, ufanye angalisho: Hakuna mwisho wa kutunga vitabu vingi, na kujitoa sana kwa vitabu hivyo kunachokesha mwili.+

13 Huu ndio mwisho wa jambo, mambo yote yamekwisha kusikiwa: Ogopa Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana hilo ndilo jambo lote lenye mwanadamu anapaswa kufanya.+ 14 Kwa maana Mungu wa kweli atahukumu kila tendo, kutia ndani kila jambo lenye kufichwa, kama ni jambo la muzuri ao la mubaya.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine