Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matendo 10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Matendo

      • Maono ya Kornelio (1-8)

      • Maono ya Petro juu ya wanyama wenye wametakaswa (9-16)

      • Petro anamutembelea Kornelio (17-33)

      • Petro anatangazia watu wa mataifa habari njema (34-43)

        • “Mungu hana ubaguzi” (34, 35)

      • Watu wa mataifa wanapokea roho takatifu na wanabatizwa (44-48)

Matendo 10:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ofisa wa jeshi mwenye kusimamia maaskari 100.

  • *

    Kikundi cha maaskari wa Roma chenye kilikuwa na watu 600.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 70

Matendo 10:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “anatoa sala ya dua kwa Mungu.”

Matendo 10:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, karibu saa 9 kisha muchana-kati (15:00).

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 3:1

Matendo 10:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 65:2

Matendo 10:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2011, uku. 18

    Kutoa Ushahidi, uku. 69

Matendo 10:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, karibu saa 6 ya muchana-kati (12:00).

Matendo 10:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 11:5-10

Matendo 10:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “aina fulani ya chombo.”

Matendo 10:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 11:4, 13-20; 20:25; Kum 14:3, 19; Eze 4:14

Matendo 10:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “chombo.”

Matendo 10:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 11:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 71

Matendo 10:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 13:2; 15:28; 16:6; 20:23

Matendo 10:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 10:1

Matendo 10:24

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2014, uku. 3-4

    Kutoa Ushahidi, uku. 71, 75

Matendo 10:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 4:8; Mdo 14:12-15; Ufu 19:10; 22:8, 9

Matendo 10:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 18:28
  • +Mdo 10:45; Efe 3:5, 6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 71

Matendo 10:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, karibu saa 9 kisha muchana-kati (15:00).

Matendo 10:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:43

Matendo 10:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Matendo 10:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 10:17; 2Nya 19:7; Rom. 2:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2013, uku. 8

    1/9/2009, uku. 29

    1/2/2004, uku. 30

    Kutoa Ushahidi, uku. 72

    “Kila Andiko,”

    uku. 201-202

Matendo 10:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 2:13; 1 Kor. 12:13; Gal 3:28

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2013, uku. 8

    1/10/2010, uku. 11

    1/2/2004, uku. 30

    Kutoa Ushahidi, uku. 72

    “Kila Andiko,”

    uku. 201-202

Matendo 10:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 52:7; Nah 1:15
  • +Mt 28:18; Rom. 14:9; Ufu 19:11, 16

Matendo 10:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 4:14

Matendo 10:38

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 11:2; 42:1; 61:1; Mt 3:16
  • +Lu 13:16
  • +Yoh 3:1, 2

Matendo 10:39

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    ‘Nchi Nzuri’, uku. 28

Matendo 10:40

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “aonekane.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yon 1:17; 2:10; Mdo 2:23, 24

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 6 2017 uku. 9

Matendo 10:41

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 24:30, 31; Yoh 21:13, 14

Matendo 10:42

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 28:19, 20; Mdo 1:8
  • +Mdo 17:31; Rom. 14:9; 2 Kor. 5:10; 2 Tim. 4:1; 1 Pe. 4:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2008, uku. 16, 19

    1/1/2005, uku. 12

    Huduma ya Ufalme,

    2/2003, uku. 3

Matendo 10:43

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 24:27; Ufu 19:10
  • +Isa 53:11; Yer 31:34; Da. 9:24

Matendo 10:44

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 4:31; 8:14, 15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 72

Matendo 10:45

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “waaminifu.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 72

Matendo 10:46

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 2:1, 4; 19:6

Matendo 10:47

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 3:11; Mdo 8:36; 11:17

Matendo 10:48

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 16:19; Mdo 2:38

Maandiko ingine

Mdo. 10:3Mdo 3:1
Mdo. 10:4Zab 65:2
Mdo. 10:10Mdo 11:5-10
Mdo. 10:14Law. 11:4, 13-20; 20:25; Kum 14:3, 19; Eze 4:14
Mdo. 10:17Mdo 11:11
Mdo. 10:19Mdo 13:2; 15:28; 16:6; 20:23
Mdo. 10:22Mdo 10:1
Mdo. 10:26Lu 4:8; Mdo 14:12-15; Ufu 19:10; 22:8, 9
Mdo. 10:28Yoh 18:28
Mdo. 10:28Mdo 10:45; Efe 3:5, 6
Mdo. 10:32Mdo 9:43
Mdo. 10:34Kum 10:17; 2Nya 19:7; Rom. 2:11
Mdo. 10:35Rom. 2:13; 1 Kor. 12:13; Gal 3:28
Mdo. 10:36Isa 52:7; Nah 1:15
Mdo. 10:36Mt 28:18; Rom. 14:9; Ufu 19:11, 16
Mdo. 10:37Lu 4:14
Mdo. 10:38Isa 11:2; 42:1; 61:1; Mt 3:16
Mdo. 10:38Lu 13:16
Mdo. 10:38Yoh 3:1, 2
Mdo. 10:40Yon 1:17; 2:10; Mdo 2:23, 24
Mdo. 10:41Lu 24:30, 31; Yoh 21:13, 14
Mdo. 10:42Mt 28:19, 20; Mdo 1:8
Mdo. 10:42Mdo 17:31; Rom. 14:9; 2 Kor. 5:10; 2 Tim. 4:1; 1 Pe. 4:5
Mdo. 10:43Lu 24:27; Ufu 19:10
Mdo. 10:43Isa 53:11; Yer 31:34; Da. 9:24
Mdo. 10:44Mdo 4:31; 8:14, 15
Mdo. 10:46Mdo 2:1, 4; 19:6
Mdo. 10:47Mt 3:11; Mdo 8:36; 11:17
Mdo. 10:48Mt 16:19; Mdo 2:38
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Matendo 10:1-48

Matendo ya Mitume

10 Sasa katika Kaisaria kulikuwa mwanaume mumoja mwenye aliitwa Kornelio, ofisa wa jeshi* katika kile chenye kiliitwa kikundi cha maaskari* wa Italia. 2 Alikuwa muabudu wa Mungu na alikuwa anamuogopa Mungu, yeye pamoja na watu wote wa nyumba yake, na alipatia watu zawadi nyingi za rehema na alikuwa anasali kwa kumulilia Mungu* sikuzote. 3 Karibu saa ya kenda (9)*+ aliona waziwazi katika maono malaika wa Mungu anakuja kwake na kusema: “Kornelio!” 4 Kornelio akamuangalia, akiwa na woga, na akamuuliza: “Kuko nini Bwana?” Akamuambia: “Sala zako na zawadi zako za rehema zimepanda kwa Mungu na anaendelea kuzikumbuka.+ 5 Basi sasa tuma watu kule Yopa wamulete mwanaume mwenye jina lake ni Simoni na mwenye kuitwa Petro. 6 Mutu huyo ni mugeni wa Simoni, mutengenezaji wa ngozi, mwenye kuwa na nyumba pembeni ya bahari.” 7 Wakati tu ule malaika mwenye alizungumuza naye aliondoka, akaita wawili kati ya watumishi wake na mumoja wa maaskari wake, mwenye kumuogopa Mungu, 8 na akawaelezea mambo yote na akawatuma Yopa.

9 Siku yenye ilifuata, wakati walikuwa wanaendelea na safari yao na kukaribia muji huo, Petro alipanda kwenye sehemu ya juu ya nyumba karibu saa ya sita (6)* ili kusali. 10 Lakini akasikia njaa sana na akataka kula. Wakati walikuwa wanatayarisha chakula, akaona maono+ 11 na akaona mbingu imefunguliwa na kitu fulani* kikishuka kama kitambaa kikubwa cha kitani, kikiteremushwa kwenye pembe zake ine (4) mupaka katika dunia; 12 na ndani yake mulikuwa kila namna ya wanyama wenye miguu ine (4) na viumbe vyenye kutambaa, na ndege wa mbinguni. 13 Kisha sauti ikamuambia: “Petro, simama, chinja na ukule!” 14 Lakini Petro akasema: “Hapana Bwana, kwa sababu sijakula hata siku moja kitu kichafu na chenye hakiko safi.”+ 15 Ile sauti ikamuambia tena, kwa mara ya pili: “Acha kuita vitu vyenye Mungu ametakasa kuwa ni vichafu.” 16 Jambo hilo likatokea mara ya tatu (3), na mara moja kile kitambaa* kikapandishwa juu mbinguni.

17 Wakati Petro alikuwa angali anashangaa juu ya maana ya maono hayo, wale watu wenye walitumwa na Kornelio waliuliza ikiwa nyumba ya Simoni ilikuwa wapi na walikuwa wamesimama pale kwenye mulango mukubwa.+ 18 Wakaita kwa sauti kubwa na kuuliza kama Simoni mwenye kuitwa Petro alikuwa mugeni mule. 19 Wakati Petro alikuwa angali anafikiri sana juu ya yale maono, roho+ ikasema: “Angalia! Wanaume watatu (3) wanakutafuta. 20 Basi simama, ushuke na uende pamoja nao, usikuwe na mashaka hata kidogo, kwa sababu nimewatuma.” 21 Kisha Petro akashuka chini na kuenda kwenye wanaume hao walikuwa na akasema: “Mimi huyu, mimi ndiye munatafuta. Sababu gani mumekuja hapa?” 22 Wakasema: “Kornelio,+ ofisa mumoja wa jeshi, mwanaume mwenye haki na mwenye kumuogopa Mungu na mwenye taifa lote la Wayahudi linasema kuwa iko* na sifa za muzuri, Mungu alimupatia maagizo kupitia malaika mutakatifu atume watu wakuje kukuita uende kwenye nyumba yake na asikie mambo yenye utasema.” 23 Basi akawakaribisha ndani na kukaa nao wakiwa wageni wake.

Siku yenye ilifuata akasimama na kuenda pamoja nao, na wamoja kati ya ndugu wa kule Yopa wakaenda pamoja naye. 24 Siku yenye ilifuata akaingia Kaisaria. Kwa kweli, Kornelio alikuwa anawangojea na alikuwa amekusanya watu wa jamaa yake na marafiki wake wa karibu. 25 Wakati Petro aliingia, Kornelio akaenda kukutana naye, akapiga magoti kwenye miguu yake, na akainama mbele yake. 26 Lakini Petro akamusimamisha, na kusema: “Simama; mimi pia ni mwanadamu tu.”+ 27 Wakati alikuwa anazungumuza naye, akaingia na kukuta watu wengi wamekusanyika. 28 Akawaambia: “Munajua muzuri kwamba Muyahudi haruhusiwe kushirikiana ao kukaribia mutu wa taifa lingine,+ lakini Mungu amenionyesha kwamba sipaswe kuita mutu yeyote kuwa muchafu ao haiko safi.+ 29 Basi nilikuja, kwa kweli bila kupinga, wakati watu walitumwa waniite. Kwa hiyo, ninawauliza ninyi sababu gani muliniita?”

30 Basi Kornelio akasema: “Siku ine (4) zenye zilipita kuanzia saa hii, nilikuwa ninasali katika nyumba yangu saa ya kenda (9);* wakati huo mwanaume mwenye kuvaa nguo yenye kungaa akasimama mbele yangu 31 na kusema: ‘Kornelio, sala yako imesikiwa na kukubaliwa, na Mungu amekumbuka zawadi zako za rehema. 32 Kwa hiyo, tuma watu waende Yopa wamuite Simoni mwenye kuitwa Petro. Mutu huyu ni mugeni katika nyumba ya Simoni, mutengenezaji wa ngozi, pembeni ya bahari.’+ 33 Kwa hiyo, mara moja nikatuma watu wakuite, na umefanya muzuri kuja hapa. Basi sisi wote tuko mbele ya Mungu ili kusikia mambo yote yenye Yehova* amekuamuru useme.”

34 Halafu Petro akaanza kusema: “Sasa ninaelewa kabisa kwamba Mungu hana ubaguzi,+ 35 lakini katika kila taifa mutu mwenye anamuogopa na kufanya mambo yenye kuwa sawa anakubaliwa naye.+ 36 Alituma neno kwa wana wa Israeli ili kuwatangazia habari njema ya amani+ kupitia Yesu Kristo⁠—⁠huyo ni Bwana wa wote.+ 37 Munajua habari yenye ilizungumuzwa kila mahali katika Yudea yote, kuanzia Galilaya+ kisha ubatizo wenye Yohana alihubiri: 38 juu ya Yesu mwenye alikuwa wa Nazareti, namna Mungu alimutia mafuta kwa roho takatifu+ na nguvu, na akapita katika inchi akitenda mema na kuponyesha wote wenye walikandamizwa na Ibilisi,+ kwa sababu Mungu alikuwa pamoja naye.+ 39 Na sisi ni mashahidi wa mambo yote yenye alifanya katika inchi ya Wayahudi na katika Yerusalemu; lakini walimuua kwa kumutundika kwenye muti. 40 Mungu alimufufua siku ya tatu (3)+ na kumufanya afunuliwe,* 41 hapana kwa watu wote, lakini kwa mashahidi wenye Mungu alichagua mbele ya wakati, kwetu sisi, wenye tulikula na kunywa pamoja naye kisha yeye kufufuliwa kutoka kwa wafu.+ 42 Pia, alituamuru tuhubirie watu na kutoa ushahidi kamili+ kwamba yeye ndiye aliwekwa na Mungu kuwa muamuzi wa wazima na wafu.+ 43 Manabii wote wanatoa ushahidi juu yake,+ kwamba kila mutu mwenye anamuamini anapata musamaha wa zambi kupitia jina lake.”+

44 Wakati Petro alikuwa angali anasema juu ya mambo hayo, roho takatifu ikakuja juu ya wale wote wenye walikuwa wanasikia lile neno.+ 45 Na waamini* wenye walikuwa wametahiriwa wenye walikuja pamoja na Petro wakashangaa, kwa sababu zawadi ya bure ya roho takatifu ilikuwa inamwangwa pia juu ya watu wa mataifa. 46 Kwa maana waliwasikia wanasema katika luga za kigeni na kumutukuza Mungu.+ Kisha Petro akasema: 47 “Je, kuko mutu yeyote mwenye anaweza kukataza maji, ili watu hawa wenye wamepokea roho takatifu kama sisi wasibatizwe?”+ 48 Halafu akawaamuru wabatizwe katika jina la Yesu Kristo.+ Kisha wakamuomba akae pamoja nao siku kidogo.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine