Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 17
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Ezekieli

      • Kitendawili cha tai mbili na muzabibu (1-21)

      • Chipukizi la teketeke litakuwa mwerezi mukubwa (22-24)

Ezekieli 17:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ho 12:10

Ezekieli 17:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:49, 50; Yer 4:13; Omb 4:19
  • +Yer 22:23
  • +2 Fal. 24:12; 2Nya 36:9, 10; Yer 24:1

Ezekieli 17:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “inchi ya Kanaani.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/7/2007, uku. 12-13

Ezekieli 17:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:17; Yer 37:1

Ezekieli 17:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 17:13, 14
  • +2Nya 36:11

Ezekieli 17:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 17:15
  • +Yer 37:5, 7
  • +2 Fal. 24:20; 2Nya 36:11, 13

Ezekieli 17:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 37:1

Ezekieli 17:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 21:7
  • +2 Fal. 25:7

Ezekieli 17:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:12, 14; Isa 39:7; Yer 22:24, 25; 52:31, 32

Ezekieli 17:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:17; Yer 37:1
  • +2Nya 36:11, 13
  • +2 Fal. 24:15; Yer 24:1

Ezekieli 17:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 27:12; 38:17

Ezekieli 17:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:20; 2Nya 36:11, 13
  • +Kum 17:16
  • +Yer 37:5
  • +Yer 32:3, 4

Ezekieli 17:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, Nebukadneza.

  • *

    Ni kusema, Sedekia.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 34:2, 3; 52:11

Ezekieli 17:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 37:7, 8; Omb 4:17; Eze 29:6

Ezekieli 17:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “alitoa mukono wake.”

Ezekieli 17:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 5:11

Ezekieli 17:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “makila yangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 12:13
  • +Eze 20:36

Ezekieli 17:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kuelekea kila upepo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 12:14
  • +Eze 6:13

Ezekieli 17:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 11:1; Yer 23:5
  • +Isa 53:2
  • +Zab 2:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/7/2007, uku. 12-13

Ezekieli 17:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/7/2007, uku. 12-13

Ezekieli 17:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 9:6; Eze 21:26, 27; Da. 4:17; Amo 9:11
  • +1 Sa. 2:7, 8; Lu 1:52

Maandiko ingine

Eze. 17:2Ho 12:10
Eze. 17:3Kum 28:49, 50; Yer 4:13; Omb 4:19
Eze. 17:3Yer 22:23
Eze. 17:32 Fal. 24:12; 2Nya 36:9, 10; Yer 24:1
Eze. 17:42 Fal. 24:15
Eze. 17:52 Fal. 24:17; Yer 37:1
Eze. 17:6Eze 17:13, 14
Eze. 17:62Nya 36:11
Eze. 17:7Eze 17:15
Eze. 17:7Yer 37:5, 7
Eze. 17:72 Fal. 24:20; 2Nya 36:11, 13
Eze. 17:8Yer 37:1
Eze. 17:9Yer 21:7
Eze. 17:92 Fal. 25:7
Eze. 17:122 Fal. 24:12, 14; Isa 39:7; Yer 22:24, 25; 52:31, 32
Eze. 17:132 Fal. 24:17; Yer 37:1
Eze. 17:132Nya 36:11, 13
Eze. 17:132 Fal. 24:15; Yer 24:1
Eze. 17:14Yer 27:12; 38:17
Eze. 17:152 Fal. 24:20; 2Nya 36:11, 13
Eze. 17:15Kum 17:16
Eze. 17:15Yer 37:5
Eze. 17:15Yer 32:3, 4
Eze. 17:16Yer 34:2, 3; 52:11
Eze. 17:17Yer 37:7, 8; Omb 4:17; Eze 29:6
Eze. 17:19Kum 5:11
Eze. 17:20Eze 12:13
Eze. 17:20Eze 20:36
Eze. 17:21Eze 12:14
Eze. 17:21Eze 6:13
Eze. 17:22Isa 11:1; Yer 23:5
Eze. 17:22Isa 53:2
Eze. 17:22Zab 2:6
Eze. 17:24Isa 9:6; Eze 21:26, 27; Da. 4:17; Amo 9:11
Eze. 17:241 Sa. 2:7, 8; Lu 1:52
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ezekieli 17:1-24

Ezekieli

17 Neno la Yehova likakuja tena kwangu, na kusema: 2 “Mwana wa binadamu, tega kitendawili na useme mezali kuhusu nyumba ya Israeli.+ 3 Unapaswa kusema, ‘Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: “Tai mukubwa,+ mwenye mabawa makubwa, na manyoya ya murefu, na mwenye kujaa manyoya yenye rangi mbalimbali, alikuja Lebanoni+ na kukamata sehemu ya juu ya mwerezi.+ 4 Alingoa chipukizi lake la juu sana na kulileta kwenye inchi ya wafanyabiashara* na kulitia katika muji wa wafanyabiashara.+ 5 Kisha akakamata mbegu fulani ya inchi hiyo+ na kuitia katika shamba lenye mbolea. Akaipanda kama muti wa muvinje pembeni ya maji mengi. 6 Kwa hiyo ikachipuka na kuwa muzabibu mufupi, wenye kutambaa,+ wenye majani yenye kuelekea ndani na mizizi yenye kukomaa chini yake. Kwa hiyo, ukakuwa muzabibu na ukatokeza machipukizi na matawi.+

7 “‘“Na tai mwingine mukubwa akakuja,+ mwenye mabawa makubwa na manyoya makubwa.+ Kisha muzabibu huo ukanyoosha mizizi yake kwa bidii kumuelekea, mbali na maeneo ya kidogo-kidogo ya bustani kwenye ulipandwa, na ukaelekeza majani yake kwake ili aumwangilie maji.+ 8 Ulikuwa tayari umepandwa katika shamba la muzuri karibu na maji mengi, ili utokeze matawi, uzae matunda, na ukuwe muzabibu mukubwa.”’+

9 “Sema, ‘Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: “Je, utasitawi? Je, mutu fulani hatangoa mizizi yake+ na kufanya matunda yake yaoze na machipukizi yake yakauke?+ Utakauka sana na hivyo hautahitaji mukono wenye nguvu wala watu wengi ili kuungoa kupitia mizizi yake. 10 Hata kama ulingolewa na kupandwa mahali pengine, je, utasitawi? Je, hautakauka kabisa wakati upepo wa mashariki utavuma juu yake? Utakauka katika eneo la kidogo la bustani kwenye ulichipuka.”’”

11 Na neno la Yehova likakuja tena kwangu, na kusema: 12 “Tafazali ambia nyumba yenye kuasi, ‘Je, hamutambue maana ya mambo haya?’ Sema, ‘Angalia! Mufalme wa Babiloni alikuja Yerusalemu na kukamata mufalme wake na wakubwa wake na kurudia pamoja nao Babiloni.+ 13 Tena, alikamata mumoja wa uzao wa* kifalme+ na kufanya agano pamoja naye na kumutia chini ya kiapo.+ Kisha akakamata watu wa maana wa inchi,+ 14 ili ufalme huo ushushwe chini, usiweze kusimama, ili uendelee kuwa ikiwa tu unaendelea kushika agano lake.+ 15 Lakini mwishowe mufalme huyo alimuasi+ kwa kutuma wajumbe wake Misri ili apate farasi+ na jeshi kubwa kutoka kwao.+ Je, atafanikiwa? Je, ule mwenye kufanya mambo hayo ataponyoka azabu? Je anaweza kuvunja agano na bado aponyoke?’+

16 “‘“Kama vile hakika ninaishi,” ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema, “atakufa kule Babiloni, mahali kwenye mufalme* mwenye alimufanya yeye* kuwa mufalme anaishi, ule mwenye alizarau kiapo chake na mwenye alivunja agano lake.+ 17 Na lile jeshi kubwa na wanajeshi wengi wa Farao hawatamusaidia katika vita,+ wakati maboma ya kuzingira yatasimamishwa na wakati kuta za kuzunguka kwa ajili ya vita zitajengwa ili kuharibu uzima wa* watu wengi. 18 Amezarau kiapo na kuvunja agano. Hata kama alitoa ahadi,* amefanya mambo hayo yote, naye hataponyoka.”’

19 “‘Kwa hiyo, Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: “Kama vile hakika ninaishi, nitaleta juu ya kichwa chake matokeo ya kuzarau kiapo changu+ na kuvunja agano langu. 20 Nitatupa wavu wangu* juu yake, naye atakamatwa katika wavu wangu wa kuwindia.+ Nitamuleta Babiloni na kuingia katika hukumu pamoja naye kule kwa sababu ya ukosefu wa uaminifu wenye alinitendea.+ 21 Wakimbizi wote katikati ya wanajeshi wake wataanguka kwa upanga, na wale wenye watabakia watasambazwa kila upande.*+ Halafu mutalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.”’+

22 “‘Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: “Nitakamata chipukizi kutoka sehemu ya juu ya mwerezi murefu sana+ na kulipanda, kutoka sehemu ya juu ya matawi yake nitakata chipukizi la teketeke,+ na mimi mwenyewe nitalipanda juu ya mulima murefu na wenye kuwa juu sana.+ 23 Nitalipanda juu ya mulima murefu wa Israeli; na matawi yake yatakomaa, na litazaa matunda na kuwa mwerezi mukubwa. Na ndege wa kila namna wataishi chini yake na kukaa katika kivuli cha majani yake. 24 Na miti yote ya shamba italazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimeshusha ule muti murefu na kuinua ule muti mufupi;+ nimekausha ule muti mubichi na kufanya ule muti wenye kukauka utoe maua.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema na nimefanya vile.”’”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine