Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 139
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Mungu anajua muzuri watumishi wake

        • Hakuna mahali pa kujificha mbali na roho ya Mungu (7)

        • ‘Nimeumbwa kwa njia ya ajabu’ (14)

        • ‘Uliniona nikiwa kiini-tete’ (16)

        • “Uniongoze katika njia ya milele” (24)

Zaburi 139:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 16:6, 7; 1Nya 28:9; Zab 17:3; 139:23; Yer 20:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2011, uku. 15

Zaburi 139:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 16:13
  • +Zab 94:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2011, uku. 15

Zaburi 139:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Unanipima.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 28:15; 2 Sa. 8:14; Yob 31:4; Zab 121:8; Mez. 5:21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2011, uku. 15

    1/6/2006, uku. 6

Zaburi 139:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 4:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2014, uku. 4-5

Zaburi 139:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ni wa kushangaza sana kwangu.”

  • *

    Ao “Uko mwingi sana, siwezi kuuelewa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 26:14; 42:3; Zab 40:5; Rom. 11:33

Zaburi 139:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yon 1:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2011, uku. 27

    Amuka!,

    4/2011, uku. 28-29

Zaburi 139:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Sheoli,” ni kusema, kaburi la wanadamu wote. Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 26:6; Mez. 15:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2011, uku. 27

Zaburi 139:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Mapambazuko ni wakati mwangaza wa asubui unaanza kutokea.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2011, uku. 27

Zaburi 139:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 63:8; 73:23; Isa 41:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2011, uku. 27

Zaburi 139:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 2:22
  • +Ebr 4:13

Zaburi 139:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “Ulinisuka pamoja.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 22:9; 71:6; Yer 1:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/6/2007, uku. 21-22

Zaburi 139:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nafsi yangu inajua.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 1:26
  • +Zab 19:1; 104:24; 111:2; Ufu 15:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 172-173

    Amuka!,

    5/2011, uku. 3, 4-8

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/6/2007, uku. 21

Zaburi 139:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 10:10, 11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/6/2007, uku. 22

Zaburi 139:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    Na. 3 2017 uku. 4

    8/2015, uku. 5-6

    11/2011, uku. 4-5

    Mkaribie Yehova, uku. 172

    Uhai, uku. 13, 17

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/6/2007, uku. 22-23

Zaburi 139:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 55:9
  • +Rom. 11:33

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/6/2007, uku. 23-24

Zaburi 139:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “nitakuwa ningali ninayahesabu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 40:5
  • +Zab 63:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/6/2007, uku. 23-24

Zaburi 139:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wenye hatia ya damu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 5:6

Zaburi 139:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kulingana na wazo lao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:7

Zaburi 139:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 19:2; 2 Kor. 6:14
  • +Zab 119:158

Zaburi 139:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 101:3

Zaburi 139:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “yenye kusumbua.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 20:12
  • +Zab 94:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2009, uku. 3

    15/6/2007, uku. 24-25

    1/9/2006, uku. 16

    15/6/2001, uku. 22-23

Zaburi 139:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 17:3
  • +Zab 5:8; 143:8, 10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/6/2007, uku. 24-25

    1/9/2006, uku. 16

    15/6/2001, uku. 22-23

Maandiko ingine

Zb. 139:11 Sa. 16:6, 7; 1Nya 28:9; Zab 17:3; 139:23; Yer 20:12
Zb. 139:2Mwa 16:13
Zb. 139:2Zab 94:11
Zb. 139:3Mwa 28:15; 2 Sa. 8:14; Yob 31:4; Zab 121:8; Mez. 5:21
Zb. 139:4Ebr 4:12
Zb. 139:6Yob 26:14; 42:3; Zab 40:5; Rom. 11:33
Zb. 139:7Yon 1:3
Zb. 139:8Yob 26:6; Mez. 15:11
Zb. 139:10Zab 63:8; 73:23; Isa 41:13
Zb. 139:12Da. 2:22
Zb. 139:12Ebr 4:13
Zb. 139:13Zab 22:9; 71:6; Yer 1:5
Zb. 139:14Mwa 1:26
Zb. 139:14Zab 19:1; 104:24; 111:2; Ufu 15:3
Zb. 139:15Yob 10:10, 11
Zb. 139:17Isa 55:9
Zb. 139:17Rom. 11:33
Zb. 139:18Zab 40:5
Zb. 139:18Zab 63:6
Zb. 139:19Zab 5:6
Zb. 139:20Kut 20:7
Zb. 139:212Nya 19:2; 2 Kor. 6:14
Zb. 139:21Zab 119:158
Zb. 139:22Zab 101:3
Zb. 139:23Yer 20:12
Zb. 139:23Zab 94:19
Zb. 139:24Zab 17:3
Zb. 139:24Zab 5:8; 143:8, 10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 139:1-24

Zaburi

Kwa kiongozi. Ya Daudi. Muziki.

139 Ee Yehova, umenichunguza kabisa, na unanijua.+

 2 Unajua wakati ninakaa na wakati ninasimama.+

Unatambua mawazo yangu kwa mbali.+

 3 Unanichunguza* wakati ninasafiri na wakati ninalala;

Unajua njia zangu zote.+

 4 Hakuna neno kwenye ulimi wangu,

Lakini angalia! Ee Yehova, tayari unalijua muzuri.+

 5 Unanizunguka nyuma na mbele;

Na unatia mukono wako juu yangu.

 6 Ujuzi wa namna hiyo unapita uelewaji wangu.*

Uko juu sana, siwezi kuufikia.*+

 7 Ninaweza kuenda wapi ili kuponyoka roho yako,

Na ni wapi ninaweza kukimbia mbali na uso wako?+

 8 Kama ningepanda mbinguni, ungekuwa kule,

Na kama ningetandika kitanda changu katika Kaburi,* angalia! ungekuwa kule.+

 9 Kama ningeruka kwa mabawa ya mapambazuko*

Ili niishi pembeni ya bahari ya mbali sana,

10 Hata kule mukono wako ungeniongoza

Na mukono wako wa kuume ungenishika.+

11 Kama ninasema: “Hakika giza litanificha!”

Basi usiku wenye kunizunguka ungekuwa mwangaza.

12 Hata giza halingekuwa nzito sana kwako,

Lakini usiku ungekuwa wenye kungaa kama muchana;+

Kwako giza ni sawa na mwangaza.+

13 Kwa maana uliumba figo zangu;

Ulinificha* katika tumbo la uzazi la mama yangu.+

14 Ninakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia yenye kuogopesha sana na ya ajabu.+

Kazi zako ni za ajabu,+

Ninajua* muzuri sana jambo hilo.

15 Mifupa yangu haikufichwa mbele ya macho yako

Wakati nilifanywa katika siri,

Wakati nilisukwa katika sehemu za chini kabisa za dunia.+

16 Macho yako hata yaliniona wakati nilikuwa kiini-tete;

Sehemu zake zote ziliandikwa katika kitabu chako

Kuhusiana na siku zenye sehemu hizo ziliumbwa,

Mbele sehemu yoyote kati ya hizo ikuwe.

17 Kwa hiyo kwangu mimi, mawazo yako ni yenye samani sana!+

Ee Mungu, hesabu yote ya mawazo hayo ni kubwa sana!+

18 Kama ninajaribu kuyahesabu, ni mengi kuliko chembe za muchanga.+

Wakati ninaamuka, ningali pamoja na wewe.*+

19 Ee Mungu, ingekuwa muzuri kama ungeua waovu!+

Halafu watu wenye jeuri* wangeniondokea,

20 Wale wenye kusema mambo ya mubaya juu yako kwa nia yenye uovu;*

Wao ni wapinzani wako wenye kutumia jina lako kwa njia yenye haifae.+

21 Je, sichukie wale wenye kukuchukia, Ee Yehova,+

Na kuchukia kabisa wale wenye kukuasi?+

22 Ninawachukia kwelikweli;+

Wamekuwa maadui wangu kabisa.

23 Unichunguze kabisa, Ee Mungu, na ujue moyo wangu.+

Unichunguze, na ujue mawazo yangu yenye kuhangaisha.*+

24 Angalia kama kuko njia yoyote yenye kuumiza ndani yangu,+

Na uniongoze katika njia ya milele.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine