Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Samweli

      • Daudi anafanywa kuwa mufalme juu ya Israeli yote (1-5)

      • Muji wa Yerusalemu unakamatwa (6-16)

        • Sayuni, Muji wa Daudi (7)

      • Daudi anashinda Wafilisti (17-25)

2 Samweli 5:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Tuko na uhusiano wa damu pamoja na wewe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 2:1, 11; 1Nya 12:23
  • +1Nya 11:1-3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2005, uku. 17

2 Samweli 5:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ulikuwa unatosha inje na kuingiza ndani Israeli.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 18:13; 25:28
  • +Mwa 49:10; 1 Sa. 16:1; 25:30; 2 Sa. 6:21; 7:8; 1Nya 28:4; Zab 78:71

2 Samweli 5:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 11:17
  • +1 Sa. 16:13; 2 Sa. 2:4; Mdo 13:22

2 Samweli 5:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 29:26, 27

2 Samweli 5:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 14:18

2 Samweli 5:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:23; Yosh. 15:63; Amu 1:8, 21
  • +1Nya 11:4-6

2 Samweli 5:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 2:10; Ne 12:37

2 Samweli 5:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wanachukia nafsi ya Daudi.”

2 Samweli 5:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “na akapaita.”

  • *

    Ao “Milo.” Neno la Kiebrania lenye kumaanisha “jaza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 9:15, 24; 11:27; 2Nya 32:5
  • +1Nya 11:7-9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tafsiri ya Ulimwengu Mupya, uku. 1953

2 Samweli 5:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 16:13; 2 Sa. 3:1
  • +1 Sa. 17:45

2 Samweli 5:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nyumba ya mufalme.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 5:1, 8
  • +2Nya 2:3
  • +2 Sa. 7:2; 1Nya 14:1, 2

2 Samweli 5:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:16; Zab 41:11; 89:21
  • +Zab 89:27
  • +1 Fal. 10:9; 2Nya 2:11

2 Samweli 5:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 15:16
  • +1Nya 3:5-9; 14:3-7

2 Samweli 5:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 3:23, 31
  • +2 Sa. 12:24

2 Samweli 5:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:3
  • +Zab 2:2
  • +1 Sa. 22:1, 5; 24:22; 2 Sa. 23:14; 1Nya 14:8

2 Samweli 5:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Eneo Tambarare la Chini.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 15:8, 12; 1Nya 11:15; 14:9

2 Samweli 5:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 27:21
  • +1Nya 14:10-12

2 Samweli 5:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Bwana Mwenye Kufanya Mupasuko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 22:41
  • +Isa 28:21

2 Samweli 5:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Eneo Tambarare la Chini.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 15:8, 12; 1Nya 11:15; 14:13-17

2 Samweli 5:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:7
  • +Yosh. 18:21, 24
  • +Yosh. 16:10

Maandiko ingine

2 Sam. 5:12 Sa. 2:1, 11; 1Nya 12:23
2 Sam. 5:11Nya 11:1-3
2 Sam. 5:21 Sa. 18:13; 25:28
2 Sam. 5:2Mwa 49:10; 1 Sa. 16:1; 25:30; 2 Sa. 6:21; 7:8; 1Nya 28:4; Zab 78:71
2 Sam. 5:32 Fal. 11:17
2 Sam. 5:31 Sa. 16:13; 2 Sa. 2:4; Mdo 13:22
2 Sam. 5:41Nya 29:26, 27
2 Sam. 5:5Mwa 14:18
2 Sam. 5:6Kut 23:23; Yosh. 15:63; Amu 1:8, 21
2 Sam. 5:61Nya 11:4-6
2 Sam. 5:71 Fal. 2:10; Ne 12:37
2 Sam. 5:91 Fal. 9:15, 24; 11:27; 2Nya 32:5
2 Sam. 5:91Nya 11:7-9
2 Sam. 5:101 Sa. 16:13; 2 Sa. 3:1
2 Sam. 5:101 Sa. 17:45
2 Sam. 5:111 Fal. 5:1, 8
2 Sam. 5:112Nya 2:3
2 Sam. 5:112 Sa. 7:2; 1Nya 14:1, 2
2 Sam. 5:122 Sa. 7:16; Zab 41:11; 89:21
2 Sam. 5:12Zab 89:27
2 Sam. 5:121 Fal. 10:9; 2Nya 2:11
2 Sam. 5:132 Sa. 15:16
2 Sam. 5:131Nya 3:5-9; 14:3-7
2 Sam. 5:14Lu 3:23, 31
2 Sam. 5:142 Sa. 12:24
2 Sam. 5:172 Sa. 5:3
2 Sam. 5:17Zab 2:2
2 Sam. 5:171 Sa. 22:1, 5; 24:22; 2 Sa. 23:14; 1Nya 14:8
2 Sam. 5:18Yosh. 15:8, 12; 1Nya 11:15; 14:9
2 Sam. 5:19Hes 27:21
2 Sam. 5:191Nya 14:10-12
2 Sam. 5:202 Sa. 22:41
2 Sam. 5:20Isa 28:21
2 Sam. 5:22Yosh. 15:8, 12; 1Nya 11:15; 14:13-17
2 Sam. 5:25Law. 26:7
2 Sam. 5:25Yosh. 18:21, 24
2 Sam. 5:25Yosh. 16:10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Samweli 5:1-25

Cha Pili cha Samweli

5 Kisha wakati fulani makabila yote ya Israeli yakakuja kwa Daudi kule Hebroni+ na kusema: “Angalia! Sisi ni mufupa wako na nyama yako mwenyewe.*+ 2 Zamani, wakati Sauli alikuwa mufalme wetu, ni wewe ulikuwa unaongoza Israeli katika mapambano yao ya kijeshi.*+ Na Yehova alikuambia: ‘Utachunga watu wangu Israeli, na utakuwa kiongozi juu ya Israeli.’”+ 3 Basi wazee wote wa Israeli wakakuja kwa mufalme kule Hebroni, na Mufalme Daudi akafanya agano pamoja nao+ katika Hebroni mbele ya Yehova. Kisha wakamutia Daudi mafuta kuwa mufalme juu ya Israeli.+

4 Daudi alikuwa na miaka makumi tatu (30) wakati alikuwa mufalme, na alitawala miaka makumi ine (40).+ 5 Katika Hebroni alitawala juu ya Yuda kwa miaka saba (7) na miezi sita (6), na katika Yerusalemu+ alitawala kwa miaka makumi tatu na tatu (33) juu ya Israeli yote na Yuda. 6 Na mufalme na watu wake wakaondoka na kuenda Yerusalemu ili kupigana na Wayebusi+ wenye walikuwa wanaishi katika inchi hiyo. Walimuchokoza Daudi: “Hautaingia humu hata kidogo! Hata vipofu na vilema wa miguu watakufukuza.” Waliwaza, ‘Daudi hataingia humu hata kidogo.’+ 7 Lakini, Daudi akakamata ngome ya Sayuni, yenye sasa ni Muji wa Daudi.+ 8 Kwa hiyo Daudi akasema siku hiyo: “Wale wenye kushambulia Wayebusi wanapaswa kupita katika mufereji wa maji ili wapige na kuua ‘vilema wa miguu na vipofu,’ wenye wanamuchukia Daudi!”* Ndiyo sababu watu wanasema: “Vipofu na vilema wa miguu hawataingia hata kidogo katika nyumba.” 9 Kisha Daudi akaanza kukaa katika ngome hiyo, na ikaitwa* Muji wa Daudi; na Daudi akaanza kujenga kuzunguka pande zote kuanzia kwenye Kilima*+ kuelekea ndani.+ 10 Basi Daudi akakuwa mukubwa zaidi na zaidi,+ na Yehova Mungu wa majeshi alikuwa pamoja naye.+

11 Mufalme Hiramu+ wa Tiro alituma wajumbe kwa Daudi, na pia mbao za mierezi,+ wafanyakazi wa miti, na mafundi wa kujenga kwa majiwe ili kujenga kuta, nao wakaanza kumujengea Daudi nyumba.*+ 12 Na Daudi akajua kwamba Yehova alikuwa amemufanya imara kabisa kuwa mufalme juu ya Israeli+ na alikuwa ameinua ufalme wake+ kwa ajili ya watu Wake Israeli.+

13 Daudi akachukua masuria*+ na bibi wengine zaidi katika Yerusalemu kisha kutoka Hebroni, na wakamuzalia Daudi watoto wanaume na watoto wanamuke wengine zaidi.+ 14 Haya ndiyo majina ya watoto wake wenye walizaliwa Yerusalemu: Shamua, Shobabu, Natani,+ Sulemani,+ 15 Ibhari, Elishua, Nefegi, Yafia, 16 Elishama, Eliada, na Elifeleti.

17 Wakati Wafilisti walisikia kwamba Daudi alikuwa ametiwa mafuta kuwa mufalme juu ya Israeli,+ Wafilisti wote wakapanda kuja kumutafuta Daudi.+ Wakati Daudi alisikia jambo hilo, akashuka kuingia katika ngome.+ 18 Kisha Wafilisti wakaingia na kusambaa katika Bonde* la Refaimu.+ 19 Daudi akamuuliza Yehova,+ kwa kusema: “Je, nipande kuenda kupigana na Wafilisti? Je, utawatia katika mukono wangu?” Halafu Yehova akamuambia Daudi: “Panda uende, kwa maana hakika nitawatia Wafilisti katika mukono wako.”+ 20 Basi Daudi akafika Baal-perasimu, na Daudi akawapiga na kuwaua kule. Halafu akasema: “Yehova amepasua njia katikati ya maadui wangu+ mbele yangu, kama njia yenye kupasuliwa na maji.” Ndiyo sababu aliita mahali pale Baal-perasimu.*+ 21 Wafilisti wakaacha sanamu zao pale, na Daudi na watu wake wakazibeba.

22 Kisha wakati fulani Wafilisti wakakuja tena na kusambaa katika Bonde* la Refaimu.+ 23 Daudi akamuuliza Yehova, lakini Akasema: “Usipande moja kwa moja. Lakini, uzunguke nyuma yao, na uwashambulie mbele ya miti midogo-midogo ya mibaka. 24 Na wakati utasikia sauti ya mwendo juu ya miti midogo-midogo ya mibaka, basi tenda bila kusita, kwa sababu Yehova atakuwa ametoka kuenda mbele yako ili kupiga na kuua jeshi la Wafilisti.” 25 Basi Daudi akafanya kama vile Yehova alimuamuru, na akapiga na kuua Wafilisti+ kuanzia Geba+ mupaka Gezeri.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine