Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Samweli

      • Natani anamukaripia Daudi (1-15a)

      • Mwana wa Bat-sheba anakufa (15b-23)

      • Bat-sheba anamuzaa Sulemani (24, 25)

      • Muji wa Raba wa Waamoni unakamatwa (26-31)

2 Samweli 12:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 1:8; 1Nya 17:1; 29:29
  • +Zab 51:utangulizi

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/5/2010, uku. 30

2 Samweli 12:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:13; 15:16

2 Samweli 12:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 11:3

2 Samweli 12:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 11:4

2 Samweli 12:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 6:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/5/2010, uku. 30

2 Samweli 12:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 22:1

2 Samweli 12:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 16:13; 2 Sa. 7:8
  • +1 Sa. 18:10, 11; 19:10; 23:14

2 Samweli 12:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 13:13, 14; 15:26, 28
  • +2 Sa. 3:7; 1 Fal. 2:22
  • +2 Sa. 2:4; 5:5
  • +2 Sa. 7:19

2 Samweli 12:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:13
  • +Kut 20:14, 17
  • +2 Sa. 11:15, 27

2 Samweli 12:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:18; 2 Sa. 13:32; 18:33; Gal 6:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/5/2010, uku. 30

2 Samweli 12:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwanaume mwenzako.”

  • *

    Tnn., “mbele ya macho ya jua hili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 12:15, 19; 13:10-15; 15:14
  • +Kut 21:24; Yob 31:9-11; 34:11
  • +2 Sa. 16:21, 22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 62

2 Samweli 12:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbele ya jua.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 11:4, 15

2 Samweli 12:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ameacha zambi yako ipite.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 39:9; Zab 32:5; 38:3; 51:utangulizi; 51:4; Mez. 28:13
  • +Kut 34:6; Zab 32:1
  • +Law. 20:10; Zab 103:10

2 Samweli 12:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 12:22; Yon 3:8, 9

2 Samweli 12:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nyumba ya mufalme.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ru 3:3; 2 Sa. 14:2
  • +2 Sa. 6:17

2 Samweli 12:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 12:16; Yoe 1:14
  • +Isa 38:3, 5; Yoe 2:13, 14; Amo 5:15; Yon 3:8, 9

2 Samweli 12:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 9:6
  • +Yob 30:23; Mhu. 3:20; Mdo 2:29, 34; 13:36
  • +Mhu. 9:5, 10

2 Samweli 12:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Jina hilo linatokana na neno la Kiebrania lenye kumaanisha “Amani.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 11:3
  • +1Nya 3:5, 9; 22:9; 28:5; Mt 1:6
  • +2 Sa. 7:12; 1Nya 29:1

2 Samweli 12:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Mupendwa wa Yah.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:4, 5; 12:1; 1 Fal. 1:8

2 Samweli 12:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “muji wa ufalme huo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 3:11; Yosh. 13:24, 25
  • +Kum 23:3, 6
  • +2 Sa. 11:25; 1Nya 20:1

2 Samweli 12:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Pengine alikuwa anazungumuzia vyanzo vya maji ya muji huo.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 11:1

2 Samweli 12:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “na jina langu litaitwa juu yake.”

2 Samweli 12:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Talanta moja ilikuwa sawa na kilograme 34.2 (aunsi troi 1.101). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 8:11, 12
  • +1Nya 20:2, 3

2 Samweli 12:31

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2005, uku. 27

Maandiko ingine

2 Sam. 12:11 Fal. 1:8; 1Nya 17:1; 29:29
2 Sam. 12:1Zab 51:utangulizi
2 Sam. 12:22 Sa. 5:13; 15:16
2 Sam. 12:32 Sa. 11:3
2 Sam. 12:42 Sa. 11:4
2 Sam. 12:5Kum 6:13
2 Sam. 12:6Kut 22:1
2 Sam. 12:71 Sa. 16:13; 2 Sa. 7:8
2 Sam. 12:71 Sa. 18:10, 11; 19:10; 23:14
2 Sam. 12:81 Sa. 13:13, 14; 15:26, 28
2 Sam. 12:82 Sa. 3:7; 1 Fal. 2:22
2 Sam. 12:82 Sa. 2:4; 5:5
2 Sam. 12:82 Sa. 7:19
2 Sam. 12:9Kut 20:13
2 Sam. 12:9Kut 20:14, 17
2 Sam. 12:92 Sa. 11:15, 27
2 Sam. 12:10Hes 14:18; 2 Sa. 13:32; 18:33; Gal 6:7
2 Sam. 12:112 Sa. 12:15, 19; 13:10-15; 15:14
2 Sam. 12:11Kut 21:24; Yob 31:9-11; 34:11
2 Sam. 12:112 Sa. 16:21, 22
2 Sam. 12:122 Sa. 11:4, 15
2 Sam. 12:13Mwa 39:9; Zab 32:5; 38:3; 51:utangulizi; 51:4; Mez. 28:13
2 Sam. 12:13Kut 34:6; Zab 32:1
2 Sam. 12:13Law. 20:10; Zab 103:10
2 Sam. 12:162 Sa. 12:22; Yon 3:8, 9
2 Sam. 12:20Ru 3:3; 2 Sa. 14:2
2 Sam. 12:202 Sa. 6:17
2 Sam. 12:222 Sa. 12:16; Yoe 1:14
2 Sam. 12:22Isa 38:3, 5; Yoe 2:13, 14; Amo 5:15; Yon 3:8, 9
2 Sam. 12:23Mhu. 9:6
2 Sam. 12:23Yob 30:23; Mhu. 3:20; Mdo 2:29, 34; 13:36
2 Sam. 12:23Mhu. 9:5, 10
2 Sam. 12:242 Sa. 11:3
2 Sam. 12:241Nya 3:5, 9; 22:9; 28:5; Mt 1:6
2 Sam. 12:242 Sa. 7:12; 1Nya 29:1
2 Sam. 12:252 Sa. 7:4, 5; 12:1; 1 Fal. 1:8
2 Sam. 12:26Kum 3:11; Yosh. 13:24, 25
2 Sam. 12:26Kum 23:3, 6
2 Sam. 12:262 Sa. 11:25; 1Nya 20:1
2 Sam. 12:272 Sa. 11:1
2 Sam. 12:302 Sa. 8:11, 12
2 Sam. 12:301Nya 20:2, 3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Samweli 12:1-31

Cha Pili cha Samweli

12 Kwa hiyo Yehova akamutuma Natani+ kwa Daudi. Akafika kwake+ na kumuambia: “Kulikuwa wanaume wawili katika muji mumoja, mumoja alikuwa tajiri na mwingine maskini. 2 Ule mwanaume tajiri alikuwa na kondoo na ngombe wengi sana;+ 3 lakini ule mwanaume maskini hakukuwa na kitu chochote isipokuwa mwana-kondoo dike mumoja mudogo, mwenye alikuwa amenunua.+ Alimutunza mwana-kondoo huyo, naye akakomaa pamoja naye na wana wake. Mwana-kondoo huyo alikuwa anakula chakula kidogo chenye mutu huyo alikuwa nacho na kunywa katika kikombe chake na alikuwa analala katika mikono yake. Mwana-kondoo huyo akakuwa sawa binti yake. 4 Kisha wakati fulani mugeni akamutembelea ule mwanaume tajiri, lakini mwanaume huyo hakutaka kuchukua mumoja wa kondoo wake mwenyewe ao ngombe wake ili atayarishe chakula kwa ajili ya musafiri mwenye alimutembelea. Lakini, alichukua mwana-kondoo wa ule mwanaume maskini na kumutayarisha kwa ajili ya mutu mwenye alimutembelea.”+

5 Halafu Daudi akamukasirikia sana mwanaume huyo, na akamuambia Natani: “Kama vile hakika Yehova anaishi,+ mutu mwenye alifanya vile anastahili kufa! 6 Na anapaswa kulipa mara ine (4)+ kwa ajili ya mwana-kondoo huyo, kwa sababu alifanya jambo hilo na hakuonyesha huruma.”

7 Basi Natani akamuambia Daudi: “Mwanaume huyo ni wewe! Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Mimi mwenyewe nilikutia mafuta ili ukuwe mufalme juu ya Israeli,+ na nilikuokoa kutoka katika mukono wa Sauli.+ 8 Nilikuwa tayari kukupatia nyumba ya bwana wako+ na kutia bibi za bwana wako+ katika mikono yako, na nilikupatia nyumba ya Israeli na ya Yuda.+ Na kama mambo hayo hayangetosha, nilikuwa tayari kukufanyia mengi zaidi.+ 9 Sababu gani ulizarau neno la Yehova kwa kutenda mambo ya mubaya mbele ya macho yake? Ulimupiga na kumuua Uria Muhiti kwa upanga!+ Kisha ukachukua bibi yake ili akuwe bibi yako+ baada ya kumuua Uria kwa upanga wa Waamoni.+ 10 Sasa upanga hautaondoka hata kidogo katika nyumba yako,+ kwa sababu ulinizarau kwa kukamata bibi ya Uria Muhiti ili akuwe bibi yako.’ 11 Yehova anasema hivi: ‘Angalia, ninaleta juu yako musiba kutoka katika nyumba yako mwenyewe;+ na mbele ya macho yako mwenyewe, nitakamata bibi zako na kumupatia mwanaume mwingine,*+ naye atalala na bibi zako wakati wa muchana.*+ 12 Hata kama ulitenda kwa uficho,+ mimi nitafanya jambo hili mbele ya Israeli wote na wakati wa muchana.’”*

13 Basi Daudi akamuambia Natani: “Nimemutendea Yehova zambi.”+ Natani akamujibu Daudi: “Yehova naye amesamehe zambi yako.*+ Hautakufa.+ 14 Lakini, kwa sababu umemukosea Yehova heshima kabisa katika jambo hili, mwana wako mwenye ametoka tu kuzaliwa, hakika atakufa.”

15 Kisha Natani akaenda kwenye nyumba yake.

Na Yehova akamuletea pigo mutoto mwenye bibi ya Uria alikuwa amemuzalia Daudi, na akakuwa mugonjwa. 16 Daudi akamulilia Mungu wa kweli kwa ajili ya mutoto huyo mwanaume. Daudi akafunga kabisa na alikuwa anaingia ndani na kulala chini usiku wote.+ 17 Basi wazee wa nyumba yake wakasimama karibu naye na wakajaribu kumusimamisha kutoka chini, lakini alikataa na hakukuwa anakula pamoja nao. 18 Siku ya saba (7) ule mutoto akakufa, lakini watumishi wa Daudi wakaogopa kumuambia kwamba mutoto amekufa. Walisema: “Wakati mutoto alikuwa muzima tulizungumuza naye, na hakutusikiliza. Sasa namna gani tutamuambia kwamba mutoto amekufa? Anaweza kutenda jambo fulani la mubaya.”

19 Wakati Daudi aliona watumishi wake wakisemezana kwa sauti ya chini-chini, akatambua kwamba ule mutoto alikuwa amekufa. Daudi akaambia watumishi wake: “Mutoto amekufa?” Wakajibu: “Amekufa.” 20 Basi Daudi akasimama kutoka chini. Akaoga, akajipakaa mafuta,+ akabadilisha nguo zake, na akaenda katika nyumba+ ya Yehova na kuinama uso chini. Kisha, akaenda kwenye nyumba yake* na kuomba wamuletee chakula, na akakula. 21 Watumishi wake wakamuuliza: “Sababu gani umefanya hivi? Wakati mutoto alikuwa muzima, ulifunga na uliendelea kulia; lakini wakati tu mutoto alikufa, ulisimama na kula chakula.” 22 Akajibu: “Wakati mutoto alikuwa muzima, nilifunga+ na niliendelea kulia kwa sababu nilisema katika moyo wangu, ‘Ni nani anajua kama Yehova anaweza kunionyesha wema na kumuacha mutoto aishi?’+ 23 Sasa kwa kuwa amekufa, sababu gani nifunge? Je, ninaweza kumurudisha tena?+ Mimi nitamufuata,+ lakini yeye hatarudia kwangu tena.”+

24 Kisha Daudi akamufariji Bat-sheba+ bibi yake. Akaingia kwake na kulala naye. Kisha wakati fulani akazaa mwana, na akaitwa Sulemani.*+ Na Yehova akamupenda mwana huyo,+ 25 na akatuma ujumbe kupitia nabii Natani+ ili mwana huyo aitwe Yedidia,* kwa ajili ya Yehova.

26 Yoabu akaendelea kupigana na muji wa Raba+ wa Waamoni,+ na akakamata muji huo wa kifalme.*+ 27 Basi Yoabu akatuma wajumbe kwa Daudi na kusema: “Nimepigana na Raba,+ na nimekamata muji wenye maji.* 28 Sasa kusanya maaskari wenye kubakia na upige kambi ili kupigana na muji huo na kuukamata. Kama haufanye vile, mimi ndiye nitakamata muji huo, na nitasifiwa kwa kuukamata.”*

29 Basi Daudi akakusanya maaskari wote na kuenda Raba, na akapigana na muji huo na kuukamata. 30 Kisha akaondoa taji la Malkamu kwenye kichwa chake. Uzito wa taji hilo ulikuwa talanta moja* ya zahabu, pamoja na majiwe yenye samani, na taji hilo likawekwa juu ya kichwa cha Daudi. Akachukua pia vitu vingi sana+ katika muji huo.+ 31 Na akapeleka inje watu wenye walikuwa ndani ya muji huo na akawaweka kwenye kazi ya kukata majiwe kwa misumeno, na kufanya kazi kwa vyombo vya chuma vyenye makali na mashoka ya chuma, na kwenye kazi ya kutengeneza matofali. Ni vile alifanyia miji yote ya Waamoni. Mwishowe Daudi na maaskari wote wakarudia Yerusalemu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine