Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Yohana 1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Yohana

      • Neno la uzima (1-4)

      • Kutembea katika mwangaza (5-7)

      • Uhitaji wa kuungama zambi (8-10)

1 Yohana 1:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 1:4; 6:68

1 Yohana 1:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 21:24; Mdo 2:32
  • +Yoh 17:3

1 Yohana 1:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ushirika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 15:26, 27; Mdo 4:20
  • +Yoh 17:20, 21

1 Yohana 1:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “katika umoja naye.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yak 1:17

1 Yohana 1:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 6:14; Efe 5:8; Tit 1:16; 1 Yo. 2:4

1 Yohana 1:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 3:25; Efe 1:7; Ebr 9:14; 10:22; Ufu 1:5

1 Yohana 1:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:46; Mhu. 7:20

1 Yohana 1:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 32:5; Mez. 28:13; Yak 5:16

Maandiko ingine

1 Yoh. 1:1Yoh 1:4; 6:68
1 Yoh. 1:2Yoh 21:24; Mdo 2:32
1 Yoh. 1:2Yoh 17:3
1 Yoh. 1:3Yoh 15:26, 27; Mdo 4:20
1 Yoh. 1:3Yoh 17:20, 21
1 Yoh. 1:5Yak 1:17
1 Yoh. 1:62 Kor. 6:14; Efe 5:8; Tit 1:16; 1 Yo. 2:4
1 Yoh. 1:7Rom. 3:25; Efe 1:7; Ebr 9:14; 10:22; Ufu 1:5
1 Yoh. 1:81 Fal. 8:46; Mhu. 7:20
1 Yoh. 1:9Zab 32:5; Mez. 28:13; Yak 5:16
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Yohana 1:1-10

Ya Kwanza ya Yohana

1 Kile chenye kilikuwa tangu mwanzo, chenye tulisikia, chenye tuliona kwa macho yetu, chenye tuliangalia, na mikono yetu ikakigusa, kuhusu neno la uzima,+ 2 (ndiyo, uzima ulifunuliwa, na tuliona na tunatoa ushahidi+ na kuwajulisha ninyi uzima wa milele+ wenye ulikuwa pamoja na Baba, na ulifunuliwa kwetu), 3 kile chenye tuliona na kusikia tunawajulisha ninyi pia,+ ili ninyi vilevile mukuwe katika umoja* na sisi. Na huu umoja wetu uko pamoja na Baba na pamoja na Mwana wake Yesu Kristo.+ 4 Na tunaandika mambo haya ili furaha yetu ikuwe kamili.

5 Huu ndio ujumbe wenye tulisikia kutoka kwake na tunawatangazia ninyi: Mungu ni mwangaza,+ na hakuna giza hata kidogo ndani yake.* 6 Kama tunasema, “Tuko katika umoja naye,” lakini tunaendelea kutembea katika giza, tunasema uongo na hatuzoee kutenda kweli.+ 7 Hata hivyo, kama tuko tunatembea katika mwangaza kama vile yeye mwenyewe iko* katika mwangaza, tuko katika umoja mumoja na mwingine, na damu ya Yesu Mwana wake inatusafisha kutoka katika zambi yote.+

8 Kama tunasema, “Hatuna zambi,” tunajidanganya sisi wenyewe+ na kweli haiko ndani yetu. 9 Kama tunaungama zambi zetu, yeye ni muaminifu na mwenye haki na atatusamehe zambi zetu na kutusafisha na kila namna ya ukosefu wa haki.+ 10 Kama tunasema, “Hatukufanya zambi,” tunamufanya yeye kuwa muongo, na neno lake haliko ndani yetu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine