Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Waamuzi

      • Waamuzi Tola na Yairi (1-5)

      • Israeli wanaasi na wanatubu (6-16)

      • Waamoni wanataka kushambulia Israeli (17, 18)

Waamuzi 10:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 2:16

Waamuzi 10:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 3:14

Waamuzi 10:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Siria.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 2:19; 4:1; 6:1; Ne 9:28
  • +Amu 3:7; Zab 106:36-38
  • +Hes 25:1, 2
  • +1 Fal. 11:5; 2 Fal. 23:13
  • +Amu 16:23; 1 Sa. 5:4; 2 Fal. 1:2

Waamuzi 10:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:15, 48; 31:17; Amu 2:14; 4:2

Waamuzi 10:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/5/2007, uku. 8

Waamuzi 10:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:30
  • +Amu 2:13; 3:7; 1 Sa. 12:9, 10

Waamuzi 10:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 14:30
  • +Hes 21:23-25
  • +Amu 3:31

Waamuzi 10:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 2:12
  • +2Nya 15:2; Mik 3:4

Waamuzi 10:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 18:27
  • +Yer 2:28

Waamuzi 10:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “na nafsi yake ikashindwa kuvumilia kwa sababu ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 7:26
  • +2Nya 7:14; 33:13, 15; Zab 106:44; Isa 63:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 254-255

Waamuzi 10:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 19:36, 38; Amu 3:13

Waamuzi 10:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 11:1

Maandiko ingine

Amu. 10:1Amu 2:16
Amu. 10:4Kum 3:14
Amu. 10:6Amu 2:19; 4:1; 6:1; Ne 9:28
Amu. 10:6Amu 3:7; Zab 106:36-38
Amu. 10:6Hes 25:1, 2
Amu. 10:61 Fal. 11:5; 2 Fal. 23:13
Amu. 10:6Amu 16:23; 1 Sa. 5:4; 2 Fal. 1:2
Amu. 10:7Kum 28:15, 48; 31:17; Amu 2:14; 4:2
Amu. 10:10Kum 4:30
Amu. 10:10Amu 2:13; 3:7; 1 Sa. 12:9, 10
Amu. 10:11Kut 14:30
Amu. 10:11Hes 21:23-25
Amu. 10:11Amu 3:31
Amu. 10:13Amu 2:12
Amu. 10:132Nya 15:2; Mik 3:4
Amu. 10:141 Fal. 18:27
Amu. 10:14Yer 2:28
Amu. 10:16Kum 7:26
Amu. 10:162Nya 7:14; 33:13, 15; Zab 106:44; Isa 63:9
Amu. 10:17Mwa 19:36, 38; Amu 3:13
Amu. 10:18Amu 11:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Waamuzi 10:1-18

Waamuzi

10 Kisha Abimeleki, Tola mwana wa Pua, mwana wa Dodo, mwanaume wa Isakari, akatokea ili kuokoa Israeli.+ Aliishi Shamiri katika eneo lenye milima la Efraimu. 2 Alihukumu Israeli kwa miaka makumi mbili na tatu (23). Kisha akakufa na kuzikwa kule Shamiri.

3 Kisha yeye kukatokea Yairi Mugileadi, na akahukumu Israeli kwa miaka makumi mbili na mbili (22). 4 Yairi alikuwa na wana makumi tatu (30) wenye kupanda juu ya punda makumi tatu, na walikuwa na miji makumi tatu yenye mupaka leo inaitwa Hawot-yairi,+ iko katika inchi ya Gileadi. 5 Kisha Yairi akakufa na kuzikwa kule Kamoni.

6 Waisraeli wakafanya tena mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova,+ na wakaanza kutumikia Mabaali,+ sanamu za Ashtoreti, miungu ya Aramu,* miungu ya Sidoni, miungu ya Moabu,+ miungu ya Waamoni,+ na miungu ya Wafilisti.+ Wakamuacha Yehova na hawakumutumikia. 7 Basi kasirani ya Yehova ikawaka juu ya Israeli, na akawauzisha katika mikono ya Wafilisti na Waamoni.+ 8 Kwa hiyo wakavunja-vunja na kukandamiza sana Waisraeli katika mwaka huo⁠—​kwa miaka kumi na munane (18) walikandamiza Waisraeli wote wenye walikuwa ngambo ya Yordani yenye ilikuwa inchi ya Waamori katika Gileadi. 9 Waamoni pia walikuwa wanavuka Yordani ili kupigana na Yuda, Benyamini, na nyumba ya Efraimu; na Israeli walikuwa katika taabu kubwa sana. 10 Kisha Waisraeli wakamulilia Yehova awasaidie,+ wakisema: “Tumekutendea zambi, kwa maana tumeacha Mungu wetu na tumetumikia Mabaali.”+

11 Lakini Yehova akaambia Waisraeli: “Je, sikuwaokoa kutoka Misri+ na kutoka kwa Waamori,+ Waamoni, Wafilisti,+ 12 Wasidoni, Waamaleki, na Wamidiani wakati walikuwa wanawakandamiza? Wakati mulinililia, niliwaokoa katika mukono wao. 13 Lakini muliniacha na kutumikia miungu mingine.+ Ndiyo sababu sitawaokoa tena.+ 14 Muende kwa miungu yenye mulichagua na muililie iwasaidie.+ Iwaokoe wakati wa taabu.”+ 15 Lakini Waisraeli wakamuambia Yehova: “Tumetenda zambi. Ututendee kitu chochote chenye utaona kuwa kizuri mbele ya macho yako. Lakini tafazali, utuokoe leo hii.” 16 Basi wakaondoa katikati yao miungu ya kigeni na wakamutumikia Yehova,+ kwa hiyo hakuweza tena kuvumilia* kuona Israeli wakiteseka.+

17 Kisha wakati fulani Waamoni+ wakakusanywa pamoja, na wakapiga kambi katika Gileadi. Kwa hiyo Waisraeli wakakusanyika pamoja na wakapiga kambi katika Mispa. 18 Watu wa Gileadi na wakubwa wao wakaulizana: “Ni nani ataongoza ili kupigana na Waamoni?+ Akuwe mukubwa juu ya wakaaji wote wa Gileadi.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine