Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Waamuzi

      • Muamuzi Yefta anafukuzwa, kisha wakati fulani anafanywa kuwa kiongozi (1-11)

      • Yefta anazungumuza na mufalme wa Waamoni (12-28)

      • Naziri ya Yefta na binti yake (29-40)

        • Binti ya Yefta anaishi bila kuolewa (38-40)

Waamuzi 11:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 12:7; 1 Sa. 12:11; Ebr 11:32

Waamuzi 11:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    4/2016, uku. 4-5

Waamuzi 11:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/5/2007, uku. 8

Waamuzi 11:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 10:17

Waamuzi 11:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 11:2

Waamuzi 11:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 10:18

Waamuzi 11:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/5/2007, uku. 9

Waamuzi 11:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ule mwenye kusikia.”

Waamuzi 11:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 10:17; 11:34

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    4/2016, uku. 4-5

Waamuzi 11:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Ni nini kwangu na kwako?”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 19:36, 38

Waamuzi 11:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:23, 24
  • +Hes 21:26
  • +Kum 3:16, 17

Waamuzi 11:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 19:36, 37; Kum 2:9
  • +Kum 2:19, 37

Waamuzi 11:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 14:25
  • +Hes 20:1

Waamuzi 11:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 36:1; Hes 20:14; Kum 2:4
  • +Mwa 19:36, 37
  • +Hes 20:22

Waamuzi 11:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:4
  • +Hes 21:11
  • +Hes 21:13

Waamuzi 11:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:21-26; Kum 2:26, 27

Waamuzi 11:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 2:32, 33

Waamuzi 11:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 13:15, 21

Waamuzi 11:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 2:36

Waamuzi 11:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 9:22

Waamuzi 11:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 11:7
  • +Kut 23:28; 34:11; Hes 33:53; Kum 9:5; 18:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/5/2007, uku. 9

Waamuzi 11:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 22:2, 3; Yosh. 24:9

Waamuzi 11:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “yenye kuizunguka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:25
  • +Hes 21:26

Waamuzi 11:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 33:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/5/2007, uku. 9

Waamuzi 11:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 3:9, 10; Zek 4:6
  • +Amu 10:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/5/2007, uku. 9

Waamuzi 11:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 23:21

Waamuzi 11:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 1:11
  • +1 Sa. 1:24

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    4/2017, uku. 4

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    4/2016, uku. 5-7

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2008, uku. 7-8

    15/8/2007, uku. 19

    15/5/2007, uku. 9-10

    15/1/2005, uku. 26

    “Kila Andiko,” uku. 49

Waamuzi 11:34

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “tari.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 10:17; 11:11

Waamuzi 11:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Umenishusha chini sana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 30:2; Zab 15:4; Mhu. 5:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    4/2017, uku. 4

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    4/2016, uku. 6-7

Waamuzi 11:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 11:30, 31

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    4/2016, uku. 7-8

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/5/2007, uku. 10

Waamuzi 11:37

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nilie pamoja na marafiki wangu kwa sababu sitaolewaka hata siku moja.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    4/2017, uku. 4

Waamuzi 11:39

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “sharti.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 1:22, 24

Waamuzi 11:40

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/5/2007, uku. 10

Maandiko ingine

Amu. 11:1Amu 12:7; 1 Sa. 12:11; Ebr 11:32
Amu. 11:4Amu 10:17
Amu. 11:7Amu 11:2
Amu. 11:8Amu 10:18
Amu. 11:11Amu 10:17; 11:34
Amu. 11:12Mwa 19:36, 38
Amu. 11:13Hes 21:23, 24
Amu. 11:13Hes 21:26
Amu. 11:13Kum 3:16, 17
Amu. 11:15Mwa 19:36, 37; Kum 2:9
Amu. 11:15Kum 2:19, 37
Amu. 11:16Hes 14:25
Amu. 11:16Hes 20:1
Amu. 11:17Mwa 36:1; Hes 20:14; Kum 2:4
Amu. 11:17Mwa 19:36, 37
Amu. 11:17Hes 20:22
Amu. 11:18Hes 21:4
Amu. 11:18Hes 21:11
Amu. 11:18Hes 21:13
Amu. 11:19Hes 21:21-26; Kum 2:26, 27
Amu. 11:20Kum 2:32, 33
Amu. 11:21Yosh. 13:15, 21
Amu. 11:22Kum 2:36
Amu. 11:23Ne 9:22
Amu. 11:241 Fal. 11:7
Amu. 11:24Kut 23:28; 34:11; Hes 33:53; Kum 9:5; 18:12
Amu. 11:25Hes 22:2, 3; Yosh. 24:9
Amu. 11:26Hes 21:25
Amu. 11:26Hes 21:26
Amu. 11:27Isa 33:22
Amu. 11:29Amu 3:9, 10; Zek 4:6
Amu. 11:29Amu 10:17
Amu. 11:30Kum 23:21
Amu. 11:311 Sa. 1:11
Amu. 11:311 Sa. 1:24
Amu. 11:34Amu 10:17; 11:11
Amu. 11:35Hes 30:2; Zab 15:4; Mhu. 5:4
Amu. 11:36Amu 11:30, 31
Amu. 11:391 Sa. 1:22, 24
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Waamuzi 11:1-40

Waamuzi

11 Yefta+ Mugileadi alikuwa mupiganaji-vita mwenye nguvu; alikuwa mwana wa kahaba, na Gileadi ndiye alikuwa baba ya Yefta. 2 Lakini bibi ya Gileadi pia akamuzalia wana. Wakati wana hao wa bibi yake walikomaa, walimufukuza Yefta na kumuambia: “Hautakuwa na uriti katika nyumba ya baba yetu, kwa maana wewe ni mwana wa mwanamuke mwingine.” 3 Basi Yefta akakimbia ndugu zake na akaanza kuishi katika inchi ya Tobu. Na watu wavivu wakajiunga na Yefta, na wakamufuata.

4 Kisha wakati fulani, Waamoni wakapigana na Israeli.+ 5 Na wakati Waamoni walipigana na Israeli, wazee wa Gileadi wakaenda mara moja kumuchukua Yefta katika inchi ya Tobu. 6 Wakamuambia Yefta: “Kuja ukuwe kamanda wetu, ili tupigane na Waamoni.” 7 Lakini Yefta akaambia wazee wa Gileadi: “Je, haiko ninyi ndio mulinichukia sana mupaka mukanifukuza katika nyumba ya baba yangu?+ Sababu gani mumekuja kwangu sasa wakati muko katika taabu?” 8 Kwa hiyo wazee wa Gileadi wakamuambia Yefta: “Ndiyo sababu sasa tumerudia kwako. Kama unaenda pamoja na sisi na kupigana na Waamoni, utakuwa kiongozi wetu juu ya wakaaji wote wa Gileadi.”+ 9 Basi Yefta akaambia wazee wa Gileadi: “Mukinirudisha ili nipigane na Waamoni na Yehova akiwashinda kwa ajili yangu, hakika nitakuwa kiongozi wenu!” 10 Wazee wa Gileadi wakamuambia Yefta: “Yehova akuwe shahidi* katikati yetu kama hatufanye vile unasema.” 11 Basi Yefta akaenda pamoja na wazee wa Gileadi, na watu wakamufanya kuwa kiongozi na kamanda wao. Na Yefta akasema tena maneno yake yote mbele ya Yehova katika Mispa.+

12 Kisha Yefta akatuma wajumbe kwa mufalme wa Waamoni,+ na kusema: “Uko na shida gani na mimi* ili ukuje kushambulia inchi yangu?” 13 Basi mufalme wa Waamoni akaambia wajumbe wa Yefta: “Ni kwa sababu Israeli walikamata inchi yangu wakati walipanda kutoka Misri,+ kuanzia Arnoni+ mupaka Yaboki na kufikia Yordani.+ Basi sasa uirudishe kwa amani.” 14 Lakini Yefta akatuma tena wajumbe kwa mufalme wa Waamoni 15 ili wamuambie:

“Yefta anasema hivi: ‘Israeli hawakukamata inchi ya Wamoabu+ na inchi ya Waamoni,+ 16 kwa maana wakati walipanda kutoka Misri, Israeli walipita katika jangwa mupaka kwenye Bahari Nyekundu+ na wakafika Kadeshi.+ 17 Kisha Israeli wakatuma wajumbe kwa mufalme wa Edomu,+ na kusema: “Tafazali uturuhusu tupite katika inchi yako,” lakini mufalme wa Edomu hakusikiliza. Pia wakatuma ujumbe kwa mufalme wa Moabu,+ lakini hakukubali. Basi Israeli wakaendelea kukaa Kadeshi.+ 18 Wakati walipita katika jangwa, walizunguka inchi ya Edomu+ na inchi ya Moabu. Walienda upande wa mashariki wa inchi ya Moabu+ na kupiga kambi katika eneo la Arnoni; hawakuingia katika mupaka wa Moabu,+ kwa sababu Muto Arnoni ulikuwa mupaka wa Moabu.

19 “‘Kisha Israeli walituma wajumbe kwa Sihoni mufalme wa Waamori, mufalme wa Heshboni, na Israeli wakamuambia: “Tafazali, uturuhusu tupite katika inchi yako na kuenda katika inchi yetu.”+ 20 Lakini Sihoni hakuamini Israeli wapite katika eneo lake, basi Sihoni akakusanya watu wake na kupiga kambi katika Yahazi na kupigana na Israeli.+ 21 Kwa hiyo Yehova Mungu wa Israeli akatia Sihoni na watu wake wote katika mukono wa Israeli, na wakawashinda na Israeli wakakamata inchi yote ya Waamori, wakaaji wa inchi hiyo.+ 22 Basi wakakamata eneo lote la Waamori kuanzia Arnoni mupaka Yaboki na kuanzia kwenye jangwa mupaka Yordani.+

23 “‘Ni Yehova Mungu wa Israeli ndiye alifukuza Waamori mbele ya watu wake Israeli,+ na sasa unataka kuwafukuza? 24 Je, wewe hautariti kitu chochote chenye mungu wako Kemoshi+ anakupatia uriti? Basi kila mutu mwenye Yehova Mungu wetu amefukuza mbele yetu ndiye tutafukuza.+ 25 Sasa, je, wewe unamupita Balaki+ mwana wa Sipori, mufalme wa Moabu? Je, kuko siku alishindana na Israeli, ao je, kuko siku alipigana nao? 26 Wakati Israeli walikuwa wanakaa katika Heshboni na miji yake ya pembeni-pembeni,*+ Aroeri na miji yake ya pembeni-pembeni, na katika miji yote yenye kuwa pembeni ya Muto Arnoni kwa miaka mia tatu (300), sababu gani hamukujaribu kuikamata tena wakati huo?+ 27 Sijakutendea zambi, lakini umekosea kwa kunishambulia. Yehova ndiye Muamuzi+ na aamue leo kati ya watu wa Israeli na Waamoni.’”

28 Lakini mufalme wa Waamoni hakusikiliza ujumbe wenye Yefta alimutumia.

29 Roho ya Yehova ikakuja juu ya Yefta,+ na akapita katika Gileadi na Manase kuenda Mispe ya Gileadi,+ na kutoka Mispe ya Gileadi akaendelea mupaka kwa Waamoni.

30 Kisha Yefta akafanya naziri+ kwa Yehova na kusema: “Ukitia Waamoni katika mukono wangu, 31 mutu yeyote mwenye atatokea katika mulango wa nyumba yangu ili kunipokea wakati nitarudia kwa amani kutoka kwa Waamoni atakuwa wa Yehova,+ na nitamutoa huyo kuwa toleo la kuteketezwa.”+

32 Basi Yefta akaenda kupigana na Waamoni, na Yehova akawatia katika mukono wake. 33 Akapiga na kuua Waamoni wengi sana kuanzia Aroeri mupaka Miniti, miji makumi mbili (20), na hata kufikia Abel-keramimu. Kwa hiyo Waamoni wakanyenyekezwa mbele ya Waisraeli.

34 Mwishowe Yefta akafika Mispa kwenye nyumba yake,+ na angalia! binti yake akaenda inje ili kumupokea, alikuwa anapiga ngoma ya kidogo* na kucheza dansi! Na alikuwa ndiye mutoto wake mumoja tu. Yefta hakukuwa na mutoto mwanaume wala mutoto mwanamuke isipokuwa huyo. 35 Wakati alimuona, akapasua nguo zake na kusema: “Aa hapana, binti yangu! Umevunja moyo wangu,* kwa maana umekuwa mutu mwenye nimefukuza. Sasa nimemufungulia Yehova kinywa changu, na siwezi kurudia nyuma.”+

36 Lakini akamuambia: “Baba yangu, kama umemufungulia Yehova kinywa chako, unitendee kama vile uliahidi,+ kwa maana Yehova amekulipizia kisasi juu ya maadui wako, Waamoni.” 37 Kisha akamuambia baba yake: “Ninaomba tu jambo moja: Uniache peke yangu kwa miezi mbili, niende kwenye milima, na nililie ubikira wangu pamoja na watoto wanamuke wenzangu.”*

38 Basi akasema: “Uende!” Kwa hiyo akamuacha aende kwa miezi mbili, na akaenda kwenye milima pamoja na watoto wanamuke wenzake ili kulilia ubikira wake. 39 Wakati miezi mbili iliisha, akarudia kwa baba yake, kisha baba yake akatimiza naziri yenye alifanya juu yake.+ Hakulala na mwanaume hata siku moja. Na ikakuwa desturi* katika Israeli: 40 Kila mwaka, vijana wanamuke wa Israeli walikuwa wanaenda kumupongeza binti ya Yefta Mugileadi siku ine (4) kwa mwaka.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine