Zaburi
Muziki wa Daudi.
15 Ee Yehova, ni nani anaweza kuwa mugeni katika hema yako?
Ni nani anaweza kukaa katika mulima wako mutakatifu?+
2 Ule mwenye anatembea bila kosa,*+
Mwenye anazoea kufanya mambo yenye kuwa sawa+
Na kusema kweli katika moyo wake.+
Havunje ahadi yake,* hata wakati inamuletea matatizo.+
Mutu yeyote mwenye kufanya mambo hayo hatatikiswa* hata kidogo.+