Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 136
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Upendo mushikamanifu wa Yehova unadumu milele

        • Mbingu na dunia zilifanywa kwa ufundi (5, 6)

        • Farao alikufa katika Bahari Nyekundu (15)

        • Mungu anakumbuka wenye kushuka moyo (23)

        • Anapatia chakula kila kiumbe chenye uzima (25)

Zaburi 136:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 18:19
  • +2Nya 7:3; 20:21; Zab 106:1; 107:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 284-285

Zaburi 136:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 97:9; Da. 2:47

Zaburi 136:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:11; Ufu 15:3
  • +Zab 103:17

Zaburi 136:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwa uelewaji.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 38:36; Mez. 3:19, 20

Zaburi 136:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 1:9; Zab 24:1, 2

Zaburi 136:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 1:14

Zaburi 136:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 1:16; Yer 31:35

Zaburi 136:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 8:3

Zaburi 136:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:29

Zaburi 136:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:51

Zaburi 136:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 13:14

Zaburi 136:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “vipande-vipande.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 14:21

Zaburi 136:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 14:29

Zaburi 136:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 14:27, 28

Zaburi 136:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 13:18; 15:22

Zaburi 136:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 12:7, 8

Zaburi 136:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:21-24

Zaburi 136:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:33-35

Zaburi 136:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 32:33

Zaburi 136:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:36
  • +Ne 9:32

Zaburi 136:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 3:9; 6:9

Zaburi 136:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “miili yote.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 145:15; 147:9

Maandiko ingine

Zb. 136:1Lu 18:19
Zb. 136:12Nya 7:3; 20:21; Zab 106:1; 107:1
Zb. 136:2Zab 97:9; Da. 2:47
Zb. 136:4Kut 15:11; Ufu 15:3
Zb. 136:4Zab 103:17
Zb. 136:5Yob 38:36; Mez. 3:19, 20
Zb. 136:6Mwa 1:9; Zab 24:1, 2
Zb. 136:7Mwa 1:14
Zb. 136:8Mwa 1:16; Yer 31:35
Zb. 136:9Zab 8:3
Zb. 136:10Kut 12:29
Zb. 136:11Kut 12:51
Zb. 136:12Kut 13:14
Zb. 136:13Kut 14:21
Zb. 136:14Kut 14:29
Zb. 136:15Kut 14:27, 28
Zb. 136:16Kut 13:18; 15:22
Zb. 136:17Yosh. 12:7, 8
Zb. 136:19Hes 21:21-24
Zb. 136:20Hes 21:33-35
Zb. 136:21Hes 32:33
Zb. 136:23Kum 32:36
Zb. 136:23Ne 9:32
Zb. 136:24Amu 3:9; 6:9
Zb. 136:25Zab 145:15; 147:9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 136:1-26

Zaburi

136 Mumushukuru Yehova, kwa maana ni mwema;+

Upendo wake mushikamanifu unadumu milele.+

 2 Mumushukuru Mungu wa miungu,+

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.

 3 Mumushukuru Bwana wa mabwana,

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.

 4 Yeye peke yake ndiye anafanya mambo makubwa ya ajabu,+

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.+

 5 Alifanya mbingu kwa ufundi,*+

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.

 6 Alitandika dunia juu ya maji,+

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.

 7 Alifanya vitu vikubwa vya kutoa mwangaza,+

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele,

 8 Jua ili litawale muchana,+

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele,

 9 Mwezi na nyota ili vitawale usiku,+

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.

10 Alipiga na kuua muzaliwa wa kwanza wa Misri,+

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.

11 Alitosha Israeli katikati yao,+

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele,

12 Kwa mukono wenye nguvu+ na mukono wenye kunyooshwa,

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.

13 Aligawa Bahari Nyekundu katika sehemu mbili,*+

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.

14 Alifanya Israeli apite katikati ya ile bahari,+

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.

15 Alimukunguta Farao na jeshi lake ndani ya Bahari Nyekundu,+

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.

16 Alipitisha watu wake katika jangwa,+

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.

17 Alipiga na kuua wafalme wakubwa,+

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.

18 Aliua wafalme wenye nguvu,

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.

19 Sihoni+ mufalme wa Waamori,

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele,

20 Na Ogu+ mufalme wa Bashani,

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.

21 Alitoa inchi yao kuwa uriti,+

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.

22 Uriti kwa Israeli mutumishi wake,

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.

23 Alitukumbuka wakati tulikuwa katika hali ya chini,+

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.+

24 Aliendelea kutuokoa kutoka kwa wapinzani wetu,+

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.

25 Anapatia chakula kila kiumbe chenye uzima,*+

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.

26 Mumushukuru Mungu wa mbinguni,

Kwa maana upendo wake mushikamanifu unadumu milele.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine