Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Wafilipi 1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Wafilipi

      • Salamu (1, 2)

      • Shukrani kwa Mungu; sala ya Paulo (3-11)

      • Habari njema inasonga mbele hata kama kuko matatizo (12-20)

      • Kuishi ni kwa ajili ya Kristo, kufa ni faida (21-26)

      • Mujiendeshe kwa njia yenye inastahili habari njema (27-30)

Wafilipi 1:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 16:12
  • +1 Tim. 3:1, 8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tengenezo, uku. 50

Wafilipi 1:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “dua yangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tes. 1:2

Wafilipi 1:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwa sababu mumeshiriki kuendeleza.”

Wafilipi 1:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flp 2:13
  • +1 Kor. 1:8

Wafilipi 1:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 3:1; Flp 1:13; Kol 4:18; 2 Tim. 1:8; Flm 13
  • +Mdo 24:10, 14; 25:10-12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2015, uku. 22-23

    Kutoa Ushahidi,

    uku. 131-132

    “Kila Andiko,”

    uku. 94

Wafilipi 1:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “upendo mwororo.”

  • *

    Ao “eko.”

Wafilipi 1:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “sahihi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tes. 3:12
  • +Yoh 17:3
  • +Ebr 5:14

Wafilipi 1:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 12:2
  • +Rom. 14:13, 21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2008, uku. 24

Wafilipi 1:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 15:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/4/2007, uku. 24

Wafilipi 1:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 3:1
  • +Mdo 28:30, 31

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2013, uku. 14-16

    Tafsiri ya Ulimwengu Mupya, uku. 1971

Wafilipi 1:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flp 1:7

Wafilipi 1:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “dua yenu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 1:11
  • +Yoh 15:26

Wafilipi 1:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 14:8; 1 Pe. 4:16

Wafilipi 1:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 2:20
  • +1 Tes. 4:14; 2 Tim. 4:8; Ufu 14:13

Wafilipi 1:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tim. 4:6
  • +2 Kor. 5:6, 8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2008, uku. 28

Wafilipi 1:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mujiendeshe kama wanainchi.”

  • *

    Ao “kwa nia moja.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 4:1, 3; Kol 1:10
  • +Rom. 15:5, 6; 1 Kor. 1:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2012, uku. 11-12

    15/9/2010, uku. 13-14

Wafilipi 1:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tes. 1:6
  • +Lu 21:19; 2 Tes. 1:4, 5

Wafilipi 1:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 5:41

Wafilipi 1:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 16:22, 23; 1 Tes. 2:2

Maandiko ingine

Flp. 1:1Mdo 16:12
Flp. 1:11 Tim. 3:1, 8
Flp. 1:41 Tes. 1:2
Flp. 1:6Flp 2:13
Flp. 1:61 Kor. 1:8
Flp. 1:7Efe 3:1; Flp 1:13; Kol 4:18; 2 Tim. 1:8; Flm 13
Flp. 1:7Mdo 24:10, 14; 25:10-12
Flp. 1:91 Tes. 3:12
Flp. 1:9Yoh 17:3
Flp. 1:9Ebr 5:14
Flp. 1:10Rom. 12:2
Flp. 1:10Rom. 14:13, 21
Flp. 1:11Yoh 15:5
Flp. 1:13Efe 3:1
Flp. 1:13Mdo 28:30, 31
Flp. 1:16Flp 1:7
Flp. 1:192 Kor. 1:11
Flp. 1:19Yoh 15:26
Flp. 1:20Rom. 14:8; 1 Pe. 4:16
Flp. 1:21Gal 2:20
Flp. 1:211 Tes. 4:14; 2 Tim. 4:8; Ufu 14:13
Flp. 1:232 Tim. 4:6
Flp. 1:232 Kor. 5:6, 8
Flp. 1:27Efe 4:1, 3; Kol 1:10
Flp. 1:27Rom. 15:5, 6; 1 Kor. 1:10
Flp. 1:282 Tes. 1:6
Flp. 1:28Lu 21:19; 2 Tes. 1:4, 5
Flp. 1:29Mdo 5:41
Flp. 1:30Mdo 16:22, 23; 1 Tes. 2:2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Wafilipi 1:1-30

Kwa Wafilipi

1 Paulo na Timoteo, watumwa wa Kristo Yesu, kwa watakatifu wote katika umoja na Kristo Yesu wenye kuwa katika Filipi,+ pamoja na waangalizi na watumishi wa huduma:+

2 Mukuwe na fazili zenye hazistahiliwe na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.

3 Ninamushukuru Mungu wangu sikuzote wakati ninawakumbuka ninyi 4 katika kila sala yangu ya kumulilia Mungu* kwa ajili yenu ninyi wote. Ninatoa kila sala ya kusihi kwa furaha,+ 5 kwa sababu ya muchango wenye mumetoa kwa ajili ya* habari njema tangu siku ya kwanza mupaka sasa. 6 Kwa maana niko hakika na jambo hili, kwamba ule mwenye alianzisha kazi njema kati yenu ataikamilisha+ kufikia siku ya Kristo Yesu.+ 7 Ni sawa kwangu kufikiri vile kuwaelekea ninyi wote, kwa kuwa muko katika moyo wangu, ninyi wenye kuwa washiriki pamoja na mimi katika fazili zenye hazistahiliwe katika vifungo vyangu vya gereza+ na pia katika kutetea habari njema na kuifanya ikubaliwe kisheria.+

8 Kwa maana Mungu ni shahidi wangu kwamba ninatamani sana kuwaona ninyi wote kwa upendo wenye upole* kama ule wenye Kristo Yesu iko* nao. 9 Na hili ndilo ninaendelea kusali, kwamba upendo wenu ukuwe mwingi zaidi na zaidi+ pamoja na ujuzi wenye hauna makosa*+ na utambuzi kamili;+ 10 kwamba muhakikishe mambo ya maana zaidi,+ ili mukuwe bila kasoro na musikuwe munakwaza wengine+ mupaka siku ya Kristo; 11 na kwamba mujae tunda la haki, lenye linakuja kupitia Yesu Kristo,+ kwa utukufu na sifa kwa Mungu.

12 Sasa ndugu, ninataka mujue kama hali yangu kwa kweli imesaidia kuendeleza habari njema, 13 hivi kwamba vifungo vyangu vya gereza+ kwa ajili ya Kristo vimejulikana waziwazi+ kati ya Walinzi wote wa Mufalme na wengine wote. 14 Sasa ndugu wengi katika Bwana wamekuwa na uhakika kwa sababu ya vifungo vyangu vya gereza, na wanaonyesha uhodari mwingi wa kusema neno la Mungu bila woga.

15 Ni kweli, wengine wanamuhubiri Kristo kwa wivu na kushindana, lakini wengine kwa nia njema. 16 Hawa wa mwisho wanamutangaza Kristo kwa upendo, kwa maana wanajua kama nimechaguliwa ili kutetea habari njema;+ 17 lakini wale wa kwanza wanafanya vile kwa ugomvi, haiko kwa kusudi safi, kwa maana wanataka kuniletea taabu katika vifungo vyangu vya gereza. 18 Na matokeo ni nini? Ni kwamba katika kila njia, ikuwe ni kwa unafiki ao ni kwa ukweli, Kristo anatangazwa, na ninafurahi juu ya jambo hilo. Kwa kweli, nitaendelea pia kufurahi, 19 kwa maana ninajua kwamba hilo litatokeza wokovu wangu kupitia sala yenu ya kumulilia Mungu*+ na kwa musaada wa roho ya Yesu Kristo.+ 20 Hilo linapatana na uhakika wenye niko nao na pia tumaini la kwamba sitapata haya kwa njia yoyote, lakini kwamba kwa uhuru wote wa kusema, sasa Kristo, kama sikuzote wakati wenye ulipita, atatukuzwa kupitia mwili wangu, ikuwe ni kupitia uzima ao kupitia kifo.+

21 Kwa maana kwangu mimi, kuishi ni Kristo+ na kufa ni faida.+ 22 Sasa kama nitaendelea kuishi katika mwili, hilo ni tunda la kazi yangu; hata hivyo, mimi siseme kile ningechagua. 23 Sijue nichague nini kati ya mambo hayo mbili, kwa maana ninatamani kufunguliwa na kuwa pamoja na Kristo,+ jambo lenye, kwa hakika, ni la muzuri zaidi.+ 24 Lakini, ni jambo la maana zaidi kwangu kubakia katika mwili kwa ajili yenu. 25 Basi, nikiwa na uhakika wa jambo hili, ninajua nitabakia na nitaendelea kuwa pamoja na ninyi wote ili musonge mbele na mukuwe na furaha katika imani, 26 ili furaha yenu ijae sana katika Kristo Yesu kwa sababu yangu wakati nitakuwa tena pamoja na ninyi.

27 Lakini tu mujiendeshe* kwa njia yenye inastahili habari njema juu ya Kristo,+ ili kama nitakuja kuwaona ao kama sikuje, nisikie juu yenu na nisikie kwamba munasimama imara katika roho moja, kwa nafsi moja,*+ mukikazana pamoja kwa ajili ya imani ya habari njema, 28 na bila kuogopeshwa kwa njia yoyote na wapinzani wenu. Jambo hili ni uhakikisho wa uharibifu+ kwao, lakini wokovu kwenu;+ na hili linatoka kwa Mungu. 29 Kwa maana mulipewa pendeleo kwa ajili ya Kristo, haiko tu ili mukuwe na imani katika yeye, lakini pia ili muteseke kwa ajili yake.+ 30 Kwa maana muko na pambano lilelile lenye muliona ninapambana nalo,+ lenye munasikia sasa kwamba ninaendelea kupambana nalo.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine