Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 130
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • “Ninakuita nikiwa katika sehemu za chini kabisa”

        • ‘Kama ungekuwa unaangalia makosa’ (3)

        • Yehova anatoa musamaha wa kweli (4)

        • “Ninamungojea Yehova kwa hamu” (6)

Zaburi 130:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Omb 3:55; Yon 2:1, 2

Zaburi 130:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “unafuatilia.”

  • *

    “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 38:4; 103:14; 143:1, 2; Isa 55:7; Da. 9:18; Rom. 3:20; Tit 3:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2002, uku. 14

Zaburi 130:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Ili wakuogope.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:6, 7; Zab 25:11
  • +Yer 33:8, 9

Zaburi 130:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nafsi yangu inamungojea.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mik 7:7
  • +Zab 119:147

Zaburi 130:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 86:5

Maandiko ingine

Zb. 130:1Omb 3:55; Yon 2:1, 2
Zb. 130:3Zab 38:4; 103:14; 143:1, 2; Isa 55:7; Da. 9:18; Rom. 3:20; Tit 3:5
Zb. 130:4Kut 34:6, 7; Zab 25:11
Zb. 130:4Yer 33:8, 9
Zb. 130:6Mik 7:7
Zb. 130:6Zab 119:147
Zb. 130:7Zab 86:5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 130:1-8

Zaburi

Wimbo wa Safari za Kupanda.

130 Ninakuita nikiwa katika sehemu za chini kabisa, Ee Yehova.+

 2 Ee Yehova, sikia sauti yangu.

Masikio yako yasikilize vilio vyangu vya kuomba musaada.

 3 Kama ungekuwa unaangalia* makosa, Ee Yah,*

Basi ni nani, Ee Yehova, angeweza kusimama?+

 4 Kwa maana wewe unatoa musamaha wa kweli,+

Ili wakuogope sana.*+

 5 Ninamutumainia Yehova, nafsi yangu yote inamutumainia;

Ninangojea neno lake.

 6 Ninamungojea* Yehova kwa hamu,+

Kuliko namna walinzi wanangojea asubui,+

Ndiyo, kuliko namna walinzi wanangojea asubui.

 7 Israeli aendelee kumungojea Yehova,

Kwa maana Yehova ni mushikamanifu katika upendo wake,+

Na iko* na nguvu nyingi za kukomboa.

 8 Atakomboa Israeli katika makosa yao yote.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine