Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorinto 8
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Wakorinto

      • Kuhusu chakula chenye kinatolewa kwa sanamu (1-13)

        • Kwetu sisi kuko Mungu mumoja tu (5, 6)

1 Wakorinto 8:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 15:20, 29
  • +Rom. 14:14; 1 Kor. 8:10
  • +1 Kor. 8:13; 13:4, 5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    8/2017, uku. 29

    Amuka!,

    11/2008, uku. 8

    Munara wa Mulinzi (2001),

    1/1/2001, uku. 9

1 Wakorinto 8:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:21; 2 Fal. 19:17, 18; Yer 16:20
  • +Kum 6:4; 32:39

1 Wakorinto 8:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 82:1, 6; Yoh 10:34, 35

1 Wakorinto 8:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 2:5
  • +Mal 2:10; Mt 23:9
  • +Mdo 17:28; Rom. 11:36
  • +Yoh 1:1, 3; Kol 1:15, 16

1 Wakorinto 8:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 14:14
  • +1 Kor. 10:27, 28
  • +Rom. 14:23

1 Wakorinto 8:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 14:17
  • +Ebr 13:9

1 Wakorinto 8:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 14:13, 20

1 Wakorinto 8:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 14:15

1 Wakorinto 8:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 10:28, 29

1 Wakorinto 8:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 18:6; Rom. 14:15, 21

Maandiko ingine

1 Wakorintho 8:1Mdo 15:20, 29
1 Wakorintho 8:1Rom. 14:14; 1 Kor. 8:10
1 Wakorintho 8:11 Kor. 8:13; 13:4, 5
1 Wakorintho 8:4Kum 32:21; 2 Fal. 19:17, 18; Yer 16:20
1 Wakorintho 8:4Kum 6:4; 32:39
1 Wakorintho 8:5Zab 82:1, 6; Yoh 10:34, 35
1 Wakorintho 8:61 Tim. 2:5
1 Wakorintho 8:6Mal 2:10; Mt 23:9
1 Wakorintho 8:6Mdo 17:28; Rom. 11:36
1 Wakorintho 8:6Yoh 1:1, 3; Kol 1:15, 16
1 Wakorintho 8:7Rom. 14:14
1 Wakorintho 8:71 Kor. 10:27, 28
1 Wakorintho 8:7Rom. 14:23
1 Wakorintho 8:8Rom. 14:17
1 Wakorintho 8:8Ebr 13:9
1 Wakorintho 8:9Rom. 14:13, 20
1 Wakorintho 8:11Rom. 14:15
1 Wakorintho 8:121 Kor. 10:28, 29
1 Wakorintho 8:13Mt 18:6; Rom. 14:15, 21
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Wakorinto 8:1-13

Ya Kwanza kwa Wakorinto

8 Sasa kuhusu chakula chenye kilitolewa kwa sanamu:+ Tunajua sisi wote tuko na ujuzi.+ Ujuzi unaleta majivuno, lakini upendo unajenga.+ 2 Kama mutu yeyote anawaza kwamba anajua jambo fulani, bado hajalijua kama vile anapaswa kulijua. 3 Lakini kama mutu yeyote anamupenda Mungu, huyo anajulikana naye.

4 Sasa kuhusu kula chakula chenye kilitolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu haiko kitu+ katika ulimwengu na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mumoja.+ 5 Kwa maana hata kama kuko wale wenye wanaitwa miungu, ikuwe mbinguni ao duniani,+ kama vile kuko “miungu” mingi na “mabwana” wengi, 6 kwa kweli kwetu sisi kuko Mungu mumoja,+ ambaye ni Baba,+ mwenye vitu vyote vimetoka kwake na sisi tunaishi kwa ajili yake;+ na kuko Bwana mumoja, Yesu Kristo, mwenye vitu vyote viko kupitia yeye+ na sisi kupitia yeye.

7 Hata hivyo, haiko watu wote ndio wako na ujuzi huu.+ Lakini wengine, kwa sababu zamani waliabudu sanamu, wanakula chakula kama kitu chenye kilitolewa zabihu kwa sanamu,+ na zamiri yao, kwa kuwa ni zaifu, inachafuliwa.+ 8 Lakini chakula hakitafanya tumukaribie Mungu zaidi;+ kama hatukule hatupoteze kitu chochote, na kama tunakula hatuongeze kitu chochote.+ 9 Lakini muendelee kufanya angalisho ili haki yenu ya kuchagua isikuje kuwa kikwazo kwa njia fulani kwa wale wenye kuwa wazaifu.+ 10 Kwa maana kama mutu yeyote anakuona wewe mwenye kuwa na ujuzi, unakula chakula katika hekalu la sanamu, je, zamiri ya mutu huyo mwenye kuwa muzaifu haitachochewa kufikia hatua ya kula chakula chenye kilitolewa kwa sanamu? 11 Basi, kwa ujuzi wako, mutu mwenye kuwa muzaifu anaharibiwa, ndugu yako mwenye Kristo alikufa kwa ajili yake.+ 12 Wakati munatendea ndugu zenu zambi kwa njia hii na kuumiza zamiri yao yenye kuwa zaifu,+ munamutendea Kristo zambi. 13 Kwa sababu hiyo, kama chakula kinamukwaza ndugu yangu, mimi sitakula nyama tena hata kidogo, ili nisimukwaze ndugu yangu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine