Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Wafalme

      • Sanduku linaletwa katika hekalu (1-13)

      • Sulemani anasema na watu (14-21)

      • Sala ya Sulemani ya kumutolea Mungu hekalu (22-53)

      • Sulemani anabariki watu (54-61)

      • Zabihu na sikukuu ya kumutolea Mungu hekalu (62-66)

1 Wafalme 8:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 1:1
  • +2Nya 5:2, 3
  • +2 Sa. 6:17
  • +2 Sa. 5:7; 1Nya 11:5

1 Wafalme 8:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, Sikukuu ya Vibanda.

  • *

    Angalia Nyongeza B15.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 23:34; Kum 16:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tafsiri ya Ulimwengu Mupya, uku. 1950, 2052

1 Wafalme 8:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 15:2, 15; 2Nya 5:4-6

1 Wafalme 8:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 40:2; 2Nya 1:13

1 Wafalme 8:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 16:1

1 Wafalme 8:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 26:33; 40:21; 2 Sa. 6:17; Ufu 11:19
  • +1 Fal. 6:27; 2Nya 5:7; Zab 80:1; Eze 10:5

1 Wafalme 8:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 25:20; 2Nya 5:8-10

1 Wafalme 8:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 25:14; 37:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi, (2001),

    15/10/2001, uku. 31

1 Wafalme 8:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:13; Ebr 9:4
  • +Kut 40:20; Kum 10:5
  • +Kut 24:8
  • +Kut 19:1; Hes 10:11, 12

1 Wafalme 8:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 40:34; Law. 16:2
  • +2Nya 5:11-14

1 Wafalme 8:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 40:35; Eze 10:4; 43:4; 44:4; Mdo 7:55; Ufu 21:23

1 Wafalme 8:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:21; Kum 5:22; 2Nya 6:1, 2; Zab 18:11; 97:2

1 Wafalme 8:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 78:69; 132:13, 14

1 Wafalme 8:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 6:3-11

1 Wafalme 8:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:11

1 Wafalme 8:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:1-3; 1Nya 17:1, 2

1 Wafalme 8:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mwana wako, ule mwenye atatoka katika viuno vyako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:12, 13

1 Wafalme 8:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 28:5, 6

1 Wafalme 8:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:28; Kum 9:9; 31:26

1 Wafalme 8:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 6:12

1 Wafalme 8:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:11; 1 Sa. 2:2; 2 Sa. 7:22
  • +Kum 7:9
  • +2Nya 6:14-17

1 Wafalme 8:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:12, 13

1 Wafalme 8:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 2:4; Zab 132:12

1 Wafalme 8:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 66:1
  • +Zab 148:13; Yer 23:24
  • +2Nya 2:6; 6:18-21; Ne 9:6; Mdo 17:24

1 Wafalme 8:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:24; 2 Sa. 7:13
  • +Da. 6:10; 1 Pe. 3:12

1 Wafalme 8:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 33:13
  • +2Nya 7:13, 14; Da. 9:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    4/2011, uku. 28

1 Wafalme 8:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “na huyu analeta laana juu yake.” Ni kusema, kiapo chenye kinaleta laana kama mutu anaapa kwa uongo ao anakosa kutimiza kiapo hicho.

  • *

    Tnn., “laana hiyo.”

  • *

    Ao “eko.”

  • *

    Tnn., “laana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 6:22, 23

1 Wafalme 8:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kuwa muovu.”

  • *

    Tnn., “kuwa mwenye haki.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 34:11

1 Wafalme 8:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:14, 17; Yosh. 7:8, 11; 2 Fal. 17:6, 7
  • +Ne 1:11
  • +2 Fal. 19:19, 20; 2Nya 6:24, 25

1 Wafalme 8:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 106:47

1 Wafalme 8:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “uliwatesa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:19; Kum 28:23
  • +Eze 14:13
  • +2Nya 6:26, 27

1 Wafalme 8:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 30:20; 54:13
  • +1 Fal. 18:1

1 Wafalme 8:37

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “panzi.”

  • *

    Tnn., “katika inchi ya milango yake mikubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:16; 2 Fal. 6:25
  • +Kum 28:21, 22; Amo 4:9
  • +2Nya 6:28-31

1 Wafalme 8:38

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 33:12, 13
  • +Mez. 14:10

1 Wafalme 8:39

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 63:15
  • +Zab 130:4
  • +Yob 34:11; Zab 18:20
  • +1 Sa. 16:7; 1Nya 28:9; Yer 17:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    4/2011, uku. 28

1 Wafalme 8:41

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “sifa yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 9:14; Ru 1:16; 2 Fal. 5:15; 2Nya 6:32, 33; Isa 56:6, 7; Mdo 8:27

1 Wafalme 8:42

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 9:10

1 Wafalme 8:43

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 11:4
  • +Zab 67:2; 102:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2011, uku. 27

1 Wafalme 8:44

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:31; 1 Fal. 20:13
  • +2Nya 14:11; 20:5, 6
  • +Zab 78:68; 132:13
  • +2Nya 6:34, 35

1 Wafalme 8:46

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 51:5; 130:3; Mhu. 7:20; Rom. 3:23; 1 Yo. 1:8
  • +Kum 28:15, 36; 2 Fal. 17:6; 25:21; 2Nya 6:36-39

1 Wafalme 8:47

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:40
  • +Kum 30:1, 2
  • +Kum 4:27, 29; 2Nya 33:12, 13
  • +Ne 1:6; Zab 106:6; Mez. 28:13; Da. 9:5

1 Wafalme 8:48

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 7:3
  • +Da. 6:10

1 Wafalme 8:49

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 63:15

1 Wafalme 8:50

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 30:9; Ezr 7:28; Ne 2:7, 8

1 Wafalme 8:51

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:5; Kum 9:26
  • +Kut 14:30
  • +Kum 4:20

1 Wafalme 8:52

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuwasikiliza juu ya kila jambo lenye wanakuomba.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 6:40
  • +Zab 86:5; 145:18

1 Wafalme 8:53

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:6; Kum 4:34; 32:9

1 Wafalme 8:54

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 6:12, 13

1 Wafalme 8:56

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 4:24, 25
  • +Kum 10:11; Yosh. 21:45

1 Wafalme 8:57

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 31:6; Yosh. 1:5; 2Nya 32:7; Zab 46:7
  • +Isa 41:10; Ebr 13:5

1 Wafalme 8:58

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 86:11; 119:36; 2 Tes. 3:5

1 Wafalme 8:60

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 4:24; 1 Sa. 17:46; Eze 36:23; 39:7
  • +Kum 4:35, 39; Isa 44:6

1 Wafalme 8:61

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ujitoe kikamili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 18:13; 2 Fal. 20:3; 1Nya 28:9; Mt 22:37

1 Wafalme 8:62

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 7:4, 5

1 Wafalme 8:63

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 3:1
  • +Ezr 6:16; Ne 12:27

1 Wafalme 8:64

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 4:1
  • +Law. 3:16

1 Wafalme 8:65

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “muingilio wa Hamati.”

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 23:34
  • +Mwa 15:18; Hes 34:5, 8

1 Wafalme 8:66

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ya munane,” ni kusema, siku yenye ilifuata kipindi cha pili cha siku saba.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 31:19; Isa 63:7; Yer 31:12

Maandiko ingine

1 Fa. 8:1Mhu. 1:1
1 Fa. 8:12Nya 5:2, 3
1 Fa. 8:12 Sa. 6:17
1 Fa. 8:12 Sa. 5:7; 1Nya 11:5
1 Fa. 8:2Law. 23:34; Kum 16:13
1 Fa. 8:31Nya 15:2, 15; 2Nya 5:4-6
1 Fa. 8:4Kut 40:2; 2Nya 1:13
1 Fa. 8:51Nya 16:1
1 Fa. 8:6Kut 26:33; 40:21; 2 Sa. 6:17; Ufu 11:19
1 Fa. 8:61 Fal. 6:27; 2Nya 5:7; Zab 80:1; Eze 10:5
1 Fa. 8:7Kut 25:20; 2Nya 5:8-10
1 Fa. 8:8Kut 25:14; 37:4
1 Fa. 8:9Kum 4:13; Ebr 9:4
1 Fa. 8:9Kut 40:20; Kum 10:5
1 Fa. 8:9Kut 24:8
1 Fa. 8:9Kut 19:1; Hes 10:11, 12
1 Fa. 8:10Kut 40:34; Law. 16:2
1 Fa. 8:102Nya 5:11-14
1 Fa. 8:11Kut 40:35; Eze 10:4; 43:4; 44:4; Mdo 7:55; Ufu 21:23
1 Fa. 8:12Kut 20:21; Kum 5:22; 2Nya 6:1, 2; Zab 18:11; 97:2
1 Fa. 8:13Zab 78:69; 132:13, 14
1 Fa. 8:142Nya 6:3-11
1 Fa. 8:16Kum 12:11
1 Fa. 8:172 Sa. 7:1-3; 1Nya 17:1, 2
1 Fa. 8:192 Sa. 7:12, 13
1 Fa. 8:201Nya 28:5, 6
1 Fa. 8:21Kut 34:28; Kum 9:9; 31:26
1 Fa. 8:222Nya 6:12
1 Fa. 8:23Kut 15:11; 1 Sa. 2:2; 2 Sa. 7:22
1 Fa. 8:23Kum 7:9
1 Fa. 8:232Nya 6:14-17
1 Fa. 8:242 Sa. 7:12, 13
1 Fa. 8:251 Fal. 2:4; Zab 132:12
1 Fa. 8:27Isa 66:1
1 Fa. 8:27Zab 148:13; Yer 23:24
1 Fa. 8:272Nya 2:6; 6:18-21; Ne 9:6; Mdo 17:24
1 Fa. 8:29Kut 20:24; 2 Sa. 7:13
1 Fa. 8:29Da. 6:10; 1 Pe. 3:12
1 Fa. 8:30Zab 33:13
1 Fa. 8:302Nya 7:13, 14; Da. 9:19
1 Fa. 8:312Nya 6:22, 23
1 Fa. 8:32Yob 34:11
1 Fa. 8:33Law. 26:14, 17; Yosh. 7:8, 11; 2 Fal. 17:6, 7
1 Fa. 8:33Ne 1:11
1 Fa. 8:332 Fal. 19:19, 20; 2Nya 6:24, 25
1 Fa. 8:34Zab 106:47
1 Fa. 8:35Law. 26:19; Kum 28:23
1 Fa. 8:35Eze 14:13
1 Fa. 8:352Nya 6:26, 27
1 Fa. 8:36Isa 30:20; 54:13
1 Fa. 8:361 Fal. 18:1
1 Fa. 8:37Law. 26:16; 2 Fal. 6:25
1 Fa. 8:37Kum 28:21, 22; Amo 4:9
1 Fa. 8:372Nya 6:28-31
1 Fa. 8:382Nya 33:12, 13
1 Fa. 8:38Mez. 14:10
1 Fa. 8:39Isa 63:15
1 Fa. 8:39Zab 130:4
1 Fa. 8:39Yob 34:11; Zab 18:20
1 Fa. 8:391 Sa. 16:7; 1Nya 28:9; Yer 17:10
1 Fa. 8:41Hes 9:14; Ru 1:16; 2 Fal. 5:15; 2Nya 6:32, 33; Isa 56:6, 7; Mdo 8:27
1 Fa. 8:42Ne 9:10
1 Fa. 8:43Zab 11:4
1 Fa. 8:43Zab 67:2; 102:15
1 Fa. 8:44Kut 23:31; 1 Fal. 20:13
1 Fa. 8:442Nya 14:11; 20:5, 6
1 Fa. 8:44Zab 78:68; 132:13
1 Fa. 8:442Nya 6:34, 35
1 Fa. 8:46Zab 51:5; 130:3; Mhu. 7:20; Rom. 3:23; 1 Yo. 1:8
1 Fa. 8:46Kum 28:15, 36; 2 Fal. 17:6; 25:21; 2Nya 6:36-39
1 Fa. 8:47Law. 26:40
1 Fa. 8:47Kum 30:1, 2
1 Fa. 8:47Kum 4:27, 29; 2Nya 33:12, 13
1 Fa. 8:47Ne 1:6; Zab 106:6; Mez. 28:13; Da. 9:5
1 Fa. 8:481 Sa. 7:3
1 Fa. 8:48Da. 6:10
1 Fa. 8:49Isa 63:15
1 Fa. 8:502Nya 30:9; Ezr 7:28; Ne 2:7, 8
1 Fa. 8:51Kut 19:5; Kum 9:26
1 Fa. 8:51Kut 14:30
1 Fa. 8:51Kum 4:20
1 Fa. 8:522Nya 6:40
1 Fa. 8:52Zab 86:5; 145:18
1 Fa. 8:53Kut 19:6; Kum 4:34; 32:9
1 Fa. 8:542Nya 6:12, 13
1 Fa. 8:561 Fal. 4:24, 25
1 Fa. 8:56Kum 10:11; Yosh. 21:45
1 Fa. 8:57Kum 31:6; Yosh. 1:5; 2Nya 32:7; Zab 46:7
1 Fa. 8:57Isa 41:10; Ebr 13:5
1 Fa. 8:58Zab 86:11; 119:36; 2 Tes. 3:5
1 Fa. 8:60Yosh. 4:24; 1 Sa. 17:46; Eze 36:23; 39:7
1 Fa. 8:60Kum 4:35, 39; Isa 44:6
1 Fa. 8:61Kum 18:13; 2 Fal. 20:3; 1Nya 28:9; Mt 22:37
1 Fa. 8:622Nya 7:4, 5
1 Fa. 8:63Law. 3:1
1 Fa. 8:63Ezr 6:16; Ne 12:27
1 Fa. 8:642Nya 4:1
1 Fa. 8:64Law. 3:16
1 Fa. 8:65Law. 23:34
1 Fa. 8:65Mwa 15:18; Hes 34:5, 8
1 Fa. 8:66Zab 31:19; Isa 63:7; Yer 31:12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
  • 59
  • 60
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64
  • 65
  • 66
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Wafalme 8:1-66

Cha Kwanza cha Wafalme

8 Wakati huo Sulemani akakusanya+ wazee wa Israeli, vichwa vyote vya makabila, wakubwa wa jamaa za upande wa baba za Israeli.+ Wakakuja kwa Mufalme Sulemani kule Yerusalemu ili kupandisha sanduku la agano la Yehova kutoka katika Muji wa Daudi,+ ni kusema, Sayuni.+ 2 Wanaume wote wa Israeli wakakusanyika mbele ya Mufalme Sulemani kwenye sikukuu* katika mwezi wa Etanimu,* ni kusema, mwezi wa saba (7).+ 3 Basi wazee wote wa Israeli wakakuja, na makuhani wakanyangula Sanduku.+ 4 Wakapandisha Sanduku la Yehova, hema ya mukutano,+ na vyombo vyote vitakatifu vyenye vilikuwa katika hema hiyo. Makuhani na Walawi wakavipandisha. 5 Mufalme Sulemani na mukusanyiko wote wa Israeli, wenye walikuwa wameitwa ili wakutane naye, walikuwa mbele ya Sanduku. Kondoo wengi sana na ngombe wengi sana walikuwa wanatolewa kuwa zabihu+ na hivyo hawangeweza kuhesabiwa ao kujulikana hesabu.

6 Kisha makuhani wakaleta sanduku la agano la Yehova mahali pake,+ katika chumba cha ndani kabisa cha nyumba, Patakatifu Zaidi, chini ya mabawa ya wale makerubi.+

7 Kwa hiyo mabawa ya makerubi yalikuwa yamenyooshwa juu ya mahali kwenye Sanduku lilikuwa, na hivyo makerubi hao walifunika Sanduku na miti yake.+ 8 Miti hiyo+ ilikuwa mirefu sana na hivyo sehemu za mwisho za ile miti zilionekana kutoka Patakatifu mbele ya chumba cha ndani kabisa, lakini haikuonekana kutoka inje. Na iko kule mupaka leo. 9 Hapakukuwa kitu chochote ndani ya Sanduku hilo isipokuwa yale mabamba mbili ya majiwe+ yenye Musa aliweka ndani+ kule Horebu, wakati Yehova alifanya agano+ pamoja na watu wa Israeli wakati walikuwa wanatoka katika inchi ya Misri.+

10 Wakati makuhani walitoka mahali patakatifu, wingu+ lilijaza nyumba ya Yehova.+ 11 Makuhani hawakuweza kusimama ili kufanya utumishi kwa sababu ya wingu hilo, kwa maana utukufu wa Yehova ulijaza nyumba ya Yehova.+ 12 Wakati huo Sulemani akasema: “Yehova alisema kwamba atakaa katika giza nzito.+ 13 Nimeweza kukujengea nyumba yenye kuinuliwa, mahali kwenye kulifanywa imara ili ukae ndani milele.”+

14 Kisha mufalme akageuka na kuanza kubariki kutaniko lote la Israeli wakati kutaniko lote la Israeli lilikuwa limesimama.+ 15 Akasema: “Yehova Mungu wa Israeli asifiwe, yeye mwenye kwa kinywa chake mwenyewe alimuahidi baba yangu Daudi, na kwa mukono wake mwenyewe ametimiza, na kusema, 16 ‘Kuanzia siku nilitosha watu wangu Israeli katika Misri, sikuchagua muji katika makabila yote ya Israeli ili kujenga ndani nyumba kusudi jina langu likae ndani,+ lakini nimemuchagua Daudi akuwe juu ya watu wangu Israeli.’ 17 Na ilikuwa tamaa ya moyo wa baba yangu Daudi kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wa Israeli.+ 18 Lakini Yehova akamuambia baba yangu Daudi, ‘Ilikuwa tamaa ya moyo wako kujenga nyumba kwa ajili ya jina langu, na ulifanya muzuri kutamani jambo hilo katika moyo wako. 19 Hata hivyo, hautajenga nyumba hiyo, lakini mwana wako mwenye utazaa* ndiye atajenga nyumba hiyo kwa ajili ya jina langu.’+ 20 Yehova ametimiza ahadi yenye alitoa, kwa maana nimechukua nafasi ya baba yangu Daudi na ninakaa kwenye kiti cha ufalme cha Israeli, kama vile Yehova aliahidi. Nimejenga pia nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wa Israeli+ 21 na nimetayarisha mahali pale kwa ajili ya lile Sanduku lenye ndani yake muko agano+ lenye Yehova alifanya na mababu zetu wakati alikuwa anawatosha katika inchi ya Misri.”

22 Kisha Sulemani akasimama mbele ya mazabahu ya Yehova mbele ya kutaniko lote la Israeli, na akanyoosha mikono yake kuelekea mbinguni,+ 23 na akasema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli, hakuna Mungu kama wewe+ juu mbinguni ao chini duniani, mwenye anashika agano na kuonyesha upendo mushikamanifu+ kwa watumishi wako wenye wanatembea mbele yako kwa moyo wao wote.+ 24 Umetimiza ahadi yenye ulimutolea mutumishi wako Daudi baba yangu. Ulitoa ahadi hiyo kwa kinywa chako mwenyewe, na siku hii umeitimiza kwa mukono wako mwenyewe.+ 25 Na sasa, Ee Yehova Mungu wa Israeli, timiza ahadi yenye ulimutolea mutumishi wako Daudi baba yangu wakati ulisema: ‘Hakutakosa hata kidogo mwanaume wa uzao wako mbele yangu ili kukaa kwenye kiti cha ufalme cha Israeli, ingekuwa muzuri kama wana wako wanakuwa waangalifu kuhusu njia yao kwa kutembea mbele yangu, kama vile umetembea mbele yangu.’+ 26 Na sasa, Ee Mungu wa Israeli, tafazali, acha ahadi yenye ulitolea mutumishi wako Daudi baba yangu ikuwe yenye kutegemeka.

27 “Lakini je, kweli Mungu atakaa katika dunia?+ Angalia! Mbingu, ndiyo, mbingu za mbingu, haziwezi kukuenea;+ namna gani basi nyumba hii yenye nimejenga!+ 28 Sasa kaza uangalifu kwenye sala ya mutumishi wako na ombi lake la kuomba rehema, Ee Yehova Mungu wangu, na usikilize kilio cha kuomba musaada na sala yenye mutumishi wako anasali leo mbele yako. 29 Macho yako yafunguliwe kuelekea nyumba hii usiku na muchana, kuelekea mahali kwenye ulisema juu yake, ‘Jina langu litakuwa pale,’+ ili kusikiliza sala yenye mutumishi wako anasali kuelekea mahali hapa.+ 30 Na usikilize ombi la mutumishi wako la kuomba rehema na ombi la watu wako Israeli lenye wanaomba kuelekea mahali hapa, na usikie ukiwa katika makao yako mbinguni;+ ndiyo, usikie na usamehe.+

31 “Wakati mwanadamu anamutendea mwanadamu mwenzake zambi na anaapishwa* na kuwekwa chini ya wajibu wa kiapo hicho,* na wakati iko* chini ya kiapo* anakuja mbele ya mazabahu yako katika nyumba hii,+ 32 basi usikie kule mbinguni na utende na uhukumu watumishi wako kwa kumutangaza ule muovu kuwa na kosa* na kuleta mambo yenye alifanya juu ya kichwa chake mwenyewe, na kwa kumutangaza mwenye haki kuwa hana kosa* na kwa kumupatia zawabu kulingana na haki yake.+

33 “Wakati watu wako Israeli wanashindwa mbele ya adui kwa sababu waliendelea kukutendea zambi,+ na wanarudia kwako na wanatukuza jina lako+ na kusali na kukuomba rehema katika nyumba hii,+ 34 basi usikie kule mbinguni na usamehe zambi ya watu wako Israeli na uwarudishe katika inchi yenye ulipatia mababu zao.+

35 “Wakati mbingu zinafungwa na hakuna mvua+ kwa sababu waliendelea kukutendea zambi,+ na wanasali kuelekea mahali hapa na wanatukuza jina lako na wanageuka na kuacha zambi yao kwa sababu uliwanyenyekeza,*+ 36 basi usikie kule mbinguni na usamehe zambi ya watumishi wako, ya watu wako Israeli, kwa maana utawafundisha+ kuhusu njia ya muzuri yenye wanapaswa kutembea ndani; na ulete mvua juu ya inchi yako+ yenye ulipatia watu wako kuwa uriti.

37 “Kama njaa inatokea katika inchi,+ ao ugonjwa wa kuambukiza, ugonjwa wenye kukausha mimea, kuvu,+ nzige wenye kupatikana kwa wingi, ao nzige wenye kula sana;* ao kama adui yao anawazunguka kwa ajili ya vita katika muji wowote wa inchi* ao kama kunatokea aina ingine yoyote ya pigo ao ya ugonjwa,+ 38 sala yoyote, ombi lolote la kuomba rehema+ lenye linaweza kutolewa na mutu yeyote ao na watu wako wote Israeli (kwa maana kila mumoja anajua pigo la moyo wake mwenyewe)+ wakati wananyoosha mikono yao kuelekea nyumba hii, 39 basi usikie kule mbinguni, makao yako,+ na usamehe+ na utende; na upatie zawabu kila mumoja kulingana na njia zake zote,+ kwa maana unajua moyo wake (wewe peke yako unajua kwa kweli moyo wa kila mwanadamu),+ 40 ili wakuogope sikuzote zenye wanaishi katika inchi yenye ulipatia mababu zetu.

41 “Pia kuhusu mugeni mwenye haiko sehemu ya watu wako Israeli na mwenye anakuja kutoka inchi ya mbali kwa sababu ya jina lako*+ 42 (kwa maana watasikia juu ya jina lako kubwa+ na mukono wako wenye nguvu na mukono wako wenye kunyooshwa), na anakuja na kusali kuelekea nyumba hii, 43 basi usikilize kule mbinguni, makao yako,+ na ufanye mambo yote yenye mugeni huyo anakuomba, ili vikundi vyote vya watu katika dunia vijue jina lako na vikuogope,+ kama vile watu wako Israeli wanafanya, na ili wajue kwamba jina lako limeitwa juu ya nyumba hii yenye nimejenga.

44 “Kama watu wako wanaenda katika vita ili kupigana na adui yao katika njia yenye unawatuma,+ na wanasali+ kwa Yehova kuelekea muji wenye umechagua+ na kuelekea nyumba yenye nimejenga kwa ajili ya jina lako,+ 45 basi usikie kule mbinguni sala yao na ombi lao la kuomba rehema na ufanye hukumu kwa ajili yao.

46 “Kama wanakutendea zambi (kwa maana hakuna mwanadamu mwenye hafanyake zambi),+ na unawakasirikia sana na kuwaacha katika mikono ya adui, na wenye waliwakamata wanawapeleka wakiwa wametekwa katika inchi ya adui, mbali ao karibu;+ 47 na wanarudiwa na fahamu zao katika inchi yenye walipelekwa ndani wakiwa wametekwa,+ na wanarudia kwako+ na kukuomba rehema katika inchi ya watu wenye waliwakamata wakiwa wametekwa,+ na kusema, ‘Tumetenda zambi na tumefanya makosa; tumetenda kwa uovu,’+ 48 na wanarudia kwako kwa moyo wao wote+ na kwa nafsi* yao yote katika inchi ya maadui wao wenye waliwapeleka wakiwa wametekwa, na wanasali kwako kuelekea inchi yao yenye ulipatia mababu zao na muji wenye umechagua na nyumba yenye nimejenga kwa ajili ya jina lako,+ 49 basi usikie kule mbinguni, makao yako,+ sala yao na ombi lao la kuomba rehema, na ufanye hukumu kwa ajili yao 50 na usamehe watu wako wenye wamekutendea zambi, kwa kusamehe makosa yao yote yenye walikutendea. Utawafanya kuwa vitu vya kusikilia huruma mbele ya wale wenye waliwakamata na kuwapeleka katika inchi ingine, na watawasikilia huruma+ 51 (kwa maana wao ni watu wako na uriti wako,+ wenye ulitosha Misri,+ kutoka ndani ya tanuru ya kuyeyushia chuma).+ 52 Macho yako yafunguliwe kuelekea ombi la mutumishi wako la kuomba rehema+ na kuelekea ombi la kuomba rehema la watu wako Israeli kwa kusikiliza kila wakati wanakuita.*+ 53 Kwa maana uliwaweka pembeni kuwa uriti wako kutoka katika vikundi vyote vya watu vya dunia,+ kama vile ulisema kupitia Musa mutumishi wako wakati ulikuwa unatosha mababu zetu katika Misri, Ee Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova.”

54 Na wakati tu Sulemani alimaliza kumutolea Yehova sala hiyo yote na ombi la kuomba rehema, alisimama kutoka mbele ya mazabahu ya Yehova, kwenye alikuwa amepiga magoti akiwa amenyoosha mikono yake kuelekea mbinguni.+ 55 Kisha akasimama na kubariki kutaniko lote la Israeli kwa sauti kubwa, na kusema: 56 “Yehova asifiwe, mwenye amepatia watu wake Israeli mahali pa kupumuzikia, kama vile aliahidi.+ Hakuna neno lolote lenye limekosa kutimia kati ya ahadi yake yote ya muzuri yenye alitoa kupitia Musa mutumishi wake.+ 57 Yehova Mungu wetu akuwe pamoja na sisi kama vile alikuwa pamoja na mababu zetu.+ Na asituache ao kututupa.+ 58 Avute moyo wetu kwake,+ ili tutembee katika njia zake zote na kushika amri zake, masharti yake, na hukumu zake, zenye aliamuru mababu zetu washike. 59 Na maneno yangu haya yenye nimesema ili kumuomba Yehova rehema yakuwe karibu na Yehova Mungu wetu muchana na usiku, ili afanye hukumu kwa ajili ya mutumishi wake na kwa ajili ya watu wake Israeli kama vile kila siku inaomba, 60 ili vikundi vyote vya watu katika dunia vijue kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+ Hakuna mwingine!+ 61 Basi moyo wenu ukuwe kamili*+ kwa Yehova Mungu wetu kwa kutembea katika masharti yake na kwa kushika amri zake kama vile leo.”

62 Sasa mufalme na Israeli wote pamoja naye wakatoa zabihu kubwa mbele ya Yehova.+ 63 Sulemani akatoa zabihu za ushirika+ kwa Yehova: Alitoa ngombe elfu makumi mbili na mbili (22 000) na kondoo elfu mia moja makumi mbili (120 000). Basi mufalme na Waisraeli wote wakazindua nyumba ya Yehova.+ 64 Katika siku hiyo iliomba mufalme atakase sehemu ya katikati ya kiwanja chenye kuwa mbele ya nyumba ya Yehova, kwa maana alipaswa kutolea pale zabihu za kuteketezwa, matoleo ya nafaka, na vipande vya mafuta vya zabihu za ushirika, kwa sababu mazabahu ya shaba+ yenye kuwa mbele ya Yehova ilikuwa ya kidogo sana na zabihu za kuteketezwa, matoleo ya nafaka, na vipande vya mafuta+ vya zabihu za ushirika havingeweza kuenea juu yake. 65 Wakati huo Sulemani alifanya sikukuu+ pamoja na Israeli wote, kutaniko kubwa kuanzia Lebo-hamati* kushuka mupaka kwenye Bonde la Muto* la Misri,+ mbele ya Yehova Mungu wetu kwa siku saba (7) na kisha siku zingine saba, zote pamoja siku kumi na ine (14). 66 Katika siku yenye ilifuata,* aliacha watu waende, na wakamubariki mufalme na kuenda kwao wakishangilia na kufurahi katika moyo kwa sababu ya wema wote+ wenye Yehova alikuwa amemuonyesha Daudi mutumishi wake na Israeli watu wake.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine