Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Maombolezo

      • Kasirani ya Yehova juu ya Yerusalemu

        • Hakuna huruma yenye ilionyeshwa (2)

        • Yehova amekuwa kama adui kwa Yerusalemu (5)

        • Machozi juu ya Sayuni (11-13)

        • Wapita-njia wanachekelea muji wenye ulikuwa unapendeza zamani (15)

        • Maadui wanafurahi juu ya kuanguka kwa Sayuni (17)

Maombolezo 2:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Omb 2:15
  • +1Nya 28:2; Zab 132:7; Isa 60:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/6/2007, uku. 9

Maombolezo 2:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:52; Mik 5:11
  • +Eze 21:26, 27
  • +Isa 39:7; 43:28

Maombolezo 2:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kila pembe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 74:10, 11
  • +Kum 32:22; Isa 42:25; Yer 7:20

Maombolezo 2:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Amekanyanga.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:63; Isa 63:10; Yer 21:5
  • +2 Fal. 25:21
  • +Yer 4:4
  • +Yer 10:20

Maombolezo 2:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 30:14

Maombolezo 2:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Ameharibu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 25:8, 9; 2Nya 36:19; Isa 63:18; 64:11
  • +Omb 1:4
  • +Yer 52:24, 27

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/6/2007, uku. 9

Maombolezo 2:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:31; Yer 26:6; 52:12, 13; Eze 24:21; Mik 3:12
  • +2Nya 36:19
  • +Zab 74:4

Maombolezo 2:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “asimeze.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 25:10; Yer 39:8
  • +2 Fal. 21:13; Isa 28:17

Maombolezo 2:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Pingo ni kipande cha muti ao cha chuma cha kufungia mulango kwa ndani.

  • *

    Ao “agizo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 1:3; Yer 14:2
  • +Kum 28:15, 36; 2 Fal. 24:15; 25:7; Omb 4:20; Eze 12:13; Da. 1:3, 6
  • +Zab 74:9; Yer 23:16; Eze 7:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia, uku. 73

Maombolezo 2:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 3:26
  • +Yer 6:26; Eze 7:18

Maombolezo 2:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Matumbotumbo yangu yanavurugika.”

  • *

    Maneno ya kishairi yenye kuzungumuzia vitu kama watu, pengine yanaonyesha huruma ao sikitiko.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Omb 3:48
  • +Yer 14:17
  • +Yer 11:22; Omb 2:19; 4:4

Maombolezo 2:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yao inapotea.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:49, 51; 2 Fal. 25:3; Isa 3:1; Yer 18:21

Maombolezo 2:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 14:17; Da. 9:12
  • +Yer 30:12

Maombolezo 2:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 2:8; 27:14; Eze 13:2, 3
  • +Yer 23:14
  • +Yer 23:32; 27:9; Mik 3:5; Sef 3:4

Maombolezo 2:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 25:2, 6
  • +1 Fal. 9:8; Yer 25:9
  • +Zab 48:2; Eze 16:14

Maombolezo 2:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 51:34
  • +Mik 4:11
  • +Oba 13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/6/2007, uku. 9

Maombolezo 2:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “pembe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 18:11; Mik 2:3
  • +2 Fal. 23:27
  • +Law. 26:14, 17; Kum 28:15
  • +Eze 5:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia, uku. 154

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/6/2007, uku. 9

Maombolezo 2:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “binti ya jicho lako.”

Maombolezo 2:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi.”

  • *

    Tnn., “kwenye kichwa cha kila barabara.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 51:20; Omb 4:9; Eze 5:16

Maombolezo 2:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “matunda yao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:29; Kum 28:53; Yer 19:9; Omb 4:10; Eze 5:10
  • +Eze 9:6, 7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/6/2007, uku. 9

Maombolezo 2:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Vijana wangu wanamuke.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:49, 50; 2Nya 36:17
  • +Yer 9:21; 18:21
  • +Yer 13:14; 21:7; Omb 3:43; Eze 5:11; 9:6

Maombolezo 2:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wenye nilizaa wakiwa na afya ya muzuri.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 16:16
  • +Sef 1:18
  • +Kum 28:18

Maandiko ingine

Omb. 2:1Omb 2:15
Omb. 2:11Nya 28:2; Zab 132:7; Isa 60:13
Omb. 2:2Kum 28:52; Mik 5:11
Omb. 2:2Eze 21:26, 27
Omb. 2:2Isa 39:7; 43:28
Omb. 2:3Zab 74:10, 11
Omb. 2:3Kum 32:22; Isa 42:25; Yer 7:20
Omb. 2:4Kum 28:63; Isa 63:10; Yer 21:5
Omb. 2:42 Fal. 25:21
Omb. 2:4Yer 4:4
Omb. 2:4Yer 10:20
Omb. 2:5Yer 30:14
Omb. 2:62 Fal. 25:8, 9; 2Nya 36:19; Isa 63:18; 64:11
Omb. 2:6Omb 1:4
Omb. 2:6Yer 52:24, 27
Omb. 2:7Law. 26:31; Yer 26:6; 52:12, 13; Eze 24:21; Mik 3:12
Omb. 2:72Nya 36:19
Omb. 2:7Zab 74:4
Omb. 2:82 Fal. 25:10; Yer 39:8
Omb. 2:82 Fal. 21:13; Isa 28:17
Omb. 2:9Ne 1:3; Yer 14:2
Omb. 2:9Kum 28:15, 36; 2 Fal. 24:15; 25:7; Omb 4:20; Eze 12:13; Da. 1:3, 6
Omb. 2:9Zab 74:9; Yer 23:16; Eze 7:26
Omb. 2:10Isa 3:26
Omb. 2:10Yer 6:26; Eze 7:18
Omb. 2:11Omb 3:48
Omb. 2:11Yer 14:17
Omb. 2:11Yer 11:22; Omb 2:19; 4:4
Omb. 2:12Kum 28:49, 51; 2 Fal. 25:3; Isa 3:1; Yer 18:21
Omb. 2:13Yer 14:17; Da. 9:12
Omb. 2:13Yer 30:12
Omb. 2:14Yer 2:8; 27:14; Eze 13:2, 3
Omb. 2:14Yer 23:14
Omb. 2:14Yer 23:32; 27:9; Mik 3:5; Sef 3:4
Omb. 2:15Eze 25:2, 6
Omb. 2:151 Fal. 9:8; Yer 25:9
Omb. 2:15Zab 48:2; Eze 16:14
Omb. 2:16Yer 51:34
Omb. 2:16Mik 4:11
Omb. 2:16Oba 13
Omb. 2:17Yer 18:11; Mik 2:3
Omb. 2:172 Fal. 23:27
Omb. 2:17Law. 26:14, 17; Kum 28:15
Omb. 2:17Eze 5:11
Omb. 2:19Isa 51:20; Omb 4:9; Eze 5:16
Omb. 2:20Law. 26:29; Kum 28:53; Yer 19:9; Omb 4:10; Eze 5:10
Omb. 2:20Eze 9:6, 7
Omb. 2:21Kum 28:49, 50; 2Nya 36:17
Omb. 2:21Yer 9:21; 18:21
Omb. 2:21Yer 13:14; 21:7; Omb 3:43; Eze 5:11; 9:6
Omb. 2:22Kum 16:16
Omb. 2:22Sef 1:18
Omb. 2:22Kum 28:18
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Maombolezo 2:1-22

Maombolezo

א [Aleph]

2 Namna Yehova amefunika binti ya Sayuni katika wingu la kasirani yake!

Ametupa chini uzuri wa Israeli kutoka mbinguni mupaka duniani.+

Hakukumbuka kiti cha miguu yake+ katika siku ya kasirani yake.

ב [Beth]

 2 Yehova amemeza bila huruma makao yote ya Yakobo.

Katika kasirani yake amebomoa ngome za binti ya Yuda.+

Ameangusha chini na kuchafua ufalme+ na wakubwa wake.+

ג [Gimel]

 3 Katika joto kali la kasirani amekata nguvu zote* za Israeli.

Alirudisha mukono wake wa kuume wakati adui alikaribia,+

Na katika Yakobo aliendelea kuwaka kama moto wenye unateketeza kila kitu kuuzunguka.+

ד [Daleth]

 4 Amekunja* upinde wake kama adui; na kama mupinzani, ametayarisha mukono wake wa kuume ili kushambulia;+

Aliendelea kuua wote wenye kupendeza macho.+

Na amemwanga kasirani yake kali kama moto+ katika hema ya binti ya Sayuni.+

ה [He]

 5 Yehova amekuwa kama adui;+

Amemeza Israeli.

Amemeza minara yake yote;

Ameharibu mahali pake pote penye ngome.

Na katika binti ya Yuda anafanya kilio na maombolezo viongezeke.

ו [Waw]

 6 Anatendea kibanda chake kwa jeuri,+ kama kibanda chenye kuwa katika bustani.

Amemaliza* sikukuu yake.+

Yehova amefanya sikukuu na sabato zisahauliwe katika Sayuni,

Na katika kasirani yake kali haheshimie mufalme na kuhani.+

ז [Zayin]

 7 Yehova amekataa mazabahu yake;

Amekataa patakatifu pake.+

Ametoa kuta za minara yake yenye ngome katika mukono wa adui.+

Wamepandisha sauti yao katika nyumba ya Yehova,+ kama katika siku ya sikukuu.

ח [Heth]

 8 Yehova ameazimia kuharibu ukuta wa binti ya Sayuni.+

Amenyoosha kamba ya kupimia.+

Hakurudisha mukono wake nyuma ili asilete uharibifu.*

Na anafanya boma na ukuta viomboleze.

Vyote pamoja vimeregezwa.

ט [Teth]

 9 Milango yake mikubwa imezama katika udongo.+

Ameharibu na kuvunja mapingo* yake.

Mufalme wake na wakubwa wake wako kati ya mataifa.+

Hakuna sheria;* hata manabii wake hawapate maono kutoka kwa Yehova.+

י [Yod]

10 Wazee wa binti ya Sayuni wamekaa chini kimya.+

Wanatupa mavumbi kwenye vichwa vyao na kuvaa nguo za magunia.+

Mabikira wa Yerusalemu wameinamisha vichwa vyao mupaka chini.

כ [Kaph]

11 Macho yangu yamechoka kwa sababu ya kutoa machozi.+

Sehemu zangu za ndani zinavurugika.*

Ini langu limemwangwa chini kwa sababu ya kuangamizwa kwa binti* ya watu wangu,+

Kwa sababu watoto na watoto wadogo wanazimia katika viwanja vya watu wote vya muji.+

ל [Lamed]

12 Wanaendelea kuuliza mama zao: “Nafaka na divai viko wapi?”+

Wakati wanazimia kama mutu mwenye aliumizwa katika viwanja vya watu wote vya muji,

Wakati uzima wao unapotea* katika mikono ya mama zao.

מ [Mem]

13 Ninaweza kutumia nini kama shahidi,

Ao ninaweza kukufananisha na nini, Ee binti ya Yerusalemu?

Ninaweza kukulinganisha na nini, ili kukufariji, Ee binti bikira wa Sayuni?

Kwa maana muvunjiko wako ni mukubwa kama bahari.+ Ni nani anaweza kukuponyesha?+

נ [Nun]

14 Maono yenye manabii wako waliona kwa ajili yako yalikuwa ya uongo na yenye hayana maana,+

Na hawakufunua kosa lako ili usipelekwe katika utekwa,+

Lakini waliendelea kuona kwa ajili yako maono ya matangazo ya uongo na yenye kupotosha.+

ס [Samekh]

15 Wale wote wenye kupita katika barabara wanapiga mikono ili kukuchekelea.+

Wanapiga muluzi kwa mushangao+ na kutikisa vichwa vyao juu ya binti ya Yerusalemu, na kusema:

“Je, huu ndio muji wenye walikuwa wanasema juu yake, ‘Unakamilika katika uzuri, furaha ya dunia yote’?”+

פ [Pe]

16 Maadui wako wote wamefungua kinywa chao juu yako.

Wanapiga muluzi na kusaga meno yao na kusema: “Tumemumeza.+

Hii ndiyo siku yenye tulikuwa tunangojea!+ Imefika, na tumeiona!”+

ע [Ayin]

17 Yehova amefanya jambo lenye alikusudia;+ ametimiza neno lake,+

Lenye aliamuru tangu zamani.+

Amebomoa bila huruma.+

Amefanya adui afurahi juu yako; ameinua nguvu* za wapinzani wako.

צ [Tsade]

18 Moyo wao unamulilia Yehova, Ee ukuta wa binti ya Sayuni.

Acha machozi yatiririke kama muto mudogo muchana na usiku.

Usijipatie pumuziko, usipatie jicho lako* pumuziko.

ק [Qoph]

19 Simama! Lia wakati wa usiku, kwenye mwanzo wa makesha.

Mwanga moyo wako kama maji mbele ya uso wa Yehova.

Inua mikono yako kwake kwa ajili ya uzima* wa watoto wako,

Wenye wanazimia kwenye kila pembe* ya barabara kwa sababu ya njaa.+

ר [Resh]

20 Ona, Ee Yehova, na uangalie ule mwenye ulitendea kwa ukali hivi.

Je, wanamuke waendelee kula uzao wao* wenyewe, watoto wao wenyewe wenye afya ya muzuri kabisa,+

Ao, je, makuhani na manabii wauawe katika patakatifu pa Yehova?+

ש [Shin]

21 Kijana mudogo na mwanaume muzee wamelala chini wakiwa wamekufa katika barabara.+

Mabikira wangu* na vijana wangu wanaume wameanguka kwa upanga.+

Umeua katika siku ya kasirani yako; umechinja bila huruma.+

ת [Taw]

22 Kama vile kwa ajili ya siku ya sikukuu,+ unaita woga kutoka kila mahali.

Katika siku ya kasirani kali ya Yehova, hakuna mutu yeyote mwenye alitoroka wala kuokoka;+

Wale wenye nilizaa* na kulea, adui yangu aliwaharibu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine