Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Watesalonike 1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Watesalonike

      • Salamu (1, 2)

      • Imani ya Watesalonike inakomaa (3-5)

      • Kisasi juu ya wenye hawatii (6-10)

      • Sala kwa ajili ya kutaniko (11, 12)

2 Watesalonike 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Anaitwa pia Sila.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 1:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 232

2 Watesalonike 1:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tes. 3:12; 4:9, 10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2005, uku. 32

2 Watesalonike 1:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “vyenye munavumilia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tes. 2:19
  • +1 Tes. 1:6; 2:14; 1 Pe. 2:21

2 Watesalonike 1:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 14:22; Rom. 8:17; 2 Tim. 2:12

2 Watesalonike 1:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 12:19; Ufu 6:9, 10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2004, uku. 19

2 Watesalonike 1:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 17:29, 30; 1 Pe. 1:7
  • +Mk 8:38

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2004, uku. 19

2 Watesalonike 1:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 2:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2004, uku. 19

2 Watesalonike 1:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Pe. 3:7

2 Watesalonike 1:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:30

Maandiko ingine

2 Te. 1:12 Kor. 1:19
2 Te. 1:31 Tes. 3:12; 4:9, 10
2 Te. 1:41 Tes. 2:19
2 Te. 1:41 Tes. 1:6; 2:14; 1 Pe. 2:21
2 Te. 1:5Mdo 14:22; Rom. 8:17; 2 Tim. 2:12
2 Te. 1:6Rom. 12:19; Ufu 6:9, 10
2 Te. 1:7Lu 17:29, 30; 1 Pe. 1:7
2 Te. 1:7Mk 8:38
2 Te. 1:8Rom. 2:8
2 Te. 1:92 Pe. 3:7
2 Te. 1:11Rom. 8:30
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Watesalonike 1:1-12

Ya Pili kwa Watesalonike

1 Paulo, na Silvano,* na Timoteo,+ kwa kutaniko la Watesalonike wenye kuwa katika umoja na Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo:

2 Mukuwe na fazili zenye hazistahiliwe na amani kutoka kwa Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo.

3 Tunalazimika kumushukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, ndugu. Hilo linafaa, kwa sababu imani yenu inakomaa sana na upendo wa kila mumoja wenu unaongezeka mumoja kuelekea mwingine.+ 4 Kwa sababu hiyo, sisi wenyewe tunajivunia ninyi+ wakati tunawataja katika makutaniko ya Mungu kwa sababu ya uvumilivu wenu na imani katika mateso na taabu vyenye munapata.*+ 5 Huu ni uhakikisho wa kwamba hukumu ya Mungu ni yenye haki, na hilo linafanya muhesabiwe kuwa munastahili Ufalme wa Mungu, wenye kwa kweli munateseka kwa ajili yake.+

6 Hili linahesabiwa kuwa haki mbele ya Mungu kulipa taabu wale wenye wanawaletea ninyi taabu.+ 7 Lakini ninyi wenye kupata taabu mutapewa kitulizo pamoja na sisi wakati Bwana Yesu atafunuliwa+ kutoka mbinguni pamoja na malaika wake wenye nguvu+ 8 katika moto wenye kuwaka, wakati ataleta kisasi juu ya wale wenye hawamujue Mungu na wale wenye hawatii habari njema juu ya Bwana wetu Yesu.+ 9 Watu hao watahukumiwa azabu ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele ya Bwana na kutoka kwenye utukufu wa nguvu zake, 10 wakati atakuja kutukuzwa pamoja na watakatifu wake na kuonwa kwa mushangao katika siku hiyo kati ya wale wote wenye waliamini, kwa sababu mulikubali kwa imani ushahidi wenye tulitoa.

11 Kwa sababu hiyo, tunasali sikuzote kwa ajili yenu, kwamba Mungu wetu awahesabu ninyi kuwa munastahili mwito wake+ na kwa nguvu zake afanye kabisa mambo yote yenye yanamupendeza na kila kazi ya imani. 12 Ili jina la Bwana wetu Yesu litukuzwe ndani yenu, na ninyi mutukuzwe katika umoja naye, kulingana na fazili zenye hazistahiliwe za Mungu wetu na za Bwana Yesu Kristo.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine