Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Danieli 10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Danieli

      • Danieli anatembelewa na mujumbe wa Mungu (1-21)

        • Mikaeli anamusaidia malaika (13)

Danieli 10:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 1:1, 2; Isa 45:1; Da. 1:21; 6:28
  • +Da. 1:7; 4:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,”

    uku. 138, 141

Danieli 10:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 9:3

Danieli 10:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Hidekeli.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 2:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 141

Danieli 10:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mushipi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ufu 19:14

Danieli 10:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 1:16
  • +Eze 1:5, 7

Danieli 10:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 6:17; Mdo 9:7

Danieli 10:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 7:28; 8:27

Danieli 10:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 8:18

Danieli 10:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 1:9; Ufu 1:17

Danieli 10:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwenye kutamanika sana; mwenye kuheshimika sana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 9:23; 10:19

Danieli 10:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ufu 1:17
  • +Da. 9:23

Danieli 10:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake, “Ni Nani Mwenye Kuwa Kama Mungu?”

  • *

    Ao “mukubwa wa cheo cha kwanza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 6:12
  • +Da. 10:21; 12:1; Yud 9; Ufu 12:7, 8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2011, uku. 7-8

Danieli 10:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 2:28
  • +Da. 8:17, 26; 12:4

Danieli 10:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 6:7; Yer 1:9
  • +Da. 10:8

Danieli 10:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 6:22
  • +Isa 6:5

Danieli 10:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 10:10

Danieli 10:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwenye kutamanika sana; mwenye kuheshimika sana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ufu 1:17
  • +Da. 9:22, 23; 10:11
  • +Amu 6:23

Danieli 10:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 10:13

Danieli 10:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 10:13; Yud 9; Ufu 12:7, 8
  • +Da. 12:1

Maandiko ingine

Dan. 10:1Ezr 1:1, 2; Isa 45:1; Da. 1:21; 6:28
Dan. 10:1Da. 1:7; 4:8
Dan. 10:2Da. 9:3
Dan. 10:4Mwa 2:14
Dan. 10:5Ufu 19:14
Dan. 10:6Eze 1:16
Dan. 10:6Eze 1:5, 7
Dan. 10:72 Fal. 6:17; Mdo 9:7
Dan. 10:8Da. 7:28; 8:27
Dan. 10:9Da. 8:18
Dan. 10:10Yer 1:9; Ufu 1:17
Dan. 10:11Da. 9:23; 10:19
Dan. 10:12Ufu 1:17
Dan. 10:12Da. 9:23
Dan. 10:13Efe 6:12
Dan. 10:13Da. 10:21; 12:1; Yud 9; Ufu 12:7, 8
Dan. 10:14Da. 2:28
Dan. 10:14Da. 8:17, 26; 12:4
Dan. 10:16Isa 6:7; Yer 1:9
Dan. 10:16Da. 10:8
Dan. 10:17Amu 6:22
Dan. 10:17Isa 6:5
Dan. 10:18Da. 10:10
Dan. 10:19Ufu 1:17
Dan. 10:19Da. 9:22, 23; 10:11
Dan. 10:19Amu 6:23
Dan. 10:20Da. 10:13
Dan. 10:21Da. 10:13; Yud 9; Ufu 12:7, 8
Dan. 10:21Da. 12:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Danieli 10:1-21

Danieli

10 Katika mwaka wa tatu (3) wa utawala wa Koreshi+ mufalme wa Uajemi, ufunuo ulitolewa kwa Danieli, mwenye aliitwa kwa jina Belteshaza;+ na ujumbe ulikuwa wa kweli, na ulihusu ugomvi mukubwa. Na akaelewa ujumbe huo na akapewa uelewaji juu ya mambo yenye alikuwa ameona.

2 Katika siku hizo, mimi Danieli, nilikuwa nimeomboleza+ kwa majuma tatu (3) kamili. 3 Sikukula chakula kizuri, na hakuna nyama wala divai yenye iliingia katika kinywa changu, na sikujipakaa mafuta kwa majuma tatu (3) kamili. 4 Katika siku ya makumi mbili na ine (24) ya mwezi wa kwanza, wakati nilikuwa pembeni ya ule muto mukubwa, Tigri,*+ 5 niliinua macho na nikaona mwanaume mwenye kuvaa nguo ya kitani,+ na kuzunguka kiuno chake kulikuwa mukaba* wa zahabu ya Ufazi. 6 Mwili wake ulikuwa kama krisolito,+ uso wake ulikuwa kama umeme wa radi, macho yake yalikuwa kama mienge yenye kuwaka moto, mikono yake na miguu yake ilionekana kama shaba yenye kungarishwa,+ na sauti ya maneno yake ilikuwa kama sauti ya watu wengi. 7 Mimi tu, Danieli, ndiye niliona maono hayo; watu wenye walikuwa pamoja na mimi hawakuona maono hayo.+ Lakini walishikwa na mutetemeko mukubwa, na wakakimbia na kujificha.

8 Kisha niliachwa peke yangu, na wakati niliona maono hayo makubwa, hakuna nguvu zenye zilibakia ndani yangu na sura yangu yenye kuheshimika ikaniacha na nguvu zote zikanitoka.+ 9 Kisha nikasikia sauti yake akisema; lakini wakati nilimusikia akisema, nilipatwa na usingizi muzito nikiwa nimelala uso chini.+ 10 Lakini kisha pale mukono ukanigusa,+ na ukanitikisa ili niinuke kwa mikono na magoti yangu. 11 Kisha akaniambia:

“Ee Danieli, wewe mutu mwenye samani sana,*+ kaza uangalifu juu ya maneno yenye ninataka kukuambia. Sasa, simama mahali pako, kwa maana nimetumwa kwako.”

Wakati aliniambia vile, nikasimama, nilikuwa ninatetemeka.

12 Kisha akaniambia: “Usiogope,+ Ee Danieli. Maneno yako yalisikiwa tangu siku ya kwanza yenye ulielekeza moyo wako kwenye uelewaji na kujinyenyekeza mbele ya Mungu wako, na nimekuja kwa sababu ya maneno yako.+ 13 Lakini mukubwa+ wa ufalme wa Uajemi alisimama ili kunipinga kwa siku makumi mbili na moja (21). Lakini kisha pale Mikaeli,*+ mumoja kati ya wakubwa wa mbele,* alikuja kunisaidia; na nilibakia pale karibu na wafalme wa Uajemi. 14 Nimekuja ili kukufanya uelewe mambo yenye yatapata watu wako katika kipindi cha mwisho cha zile siku,+ kwa sababu hayo bado ni maono kwa ajili ya siku zenye zitakuja.”+

15 Sasa wakati aliniambia maneno hayo, niliinamisha uso wangu chini na nikakuwa bubu. 16 Kisha mumoja mwenye kuonekana kama mwanadamu akagusa midomo yangu,+ na nikafungua kinywa changu na kumuambia ule mwenye alikuwa amesimama mbele yangu: “Bwana wangu, ninatetemeka kwa woga kwa sababu ya maono hayo, na sina nguvu.+ 17 Basi namna gani mutumishi wa bwana wangu anaweza kusema na bwana wangu?+ Kwa maana sasa sina nguvu, na hakuna pumuzi yenye kubakia ndani yangu.”+

18 Ule mwenye kuonekana kama mwanadamu akanigusa tena na kunitia nguvu.+ 19 Kisha akasema: “Usiogope,+ Ee mutu mwenye samani sana.*+ Ukuwe na amani.+ Ukuwe na nguvu, ndiyo, ukuwe na nguvu.” Wakati alisema na mimi nilitiwa nguvu na nikasema: “Bwana wangu aseme, kwa maana umenitia nguvu.”

20 Kisha akasema: “Je, unajua sababu gani nimekuja kwako? Sasa nitarudia kupigana na mukubwa wa Uajemi.+ Wakati nitaondoka, mukubwa wa Ugiriki atakuja. 21 Hata hivyo, nitakuambia mambo yenye yameandikwa katika maandishi ya kweli. Hakuna mwenye iko* ananitegemeza kwa nguvu katika mambo haya isipokuwa Mikaeli,+ mukubwa wako.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine