Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 17
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Wafalme

      • Nabii Eliya anatabiri ukame (1)

      • Eliya analishwa na kunguru (2-7)

      • Eliya anamutembelea mujane katika Sarefati (8-16)

      • Mwana wa mujane anakufa na anafufuliwa (17-24)

1 Wafalme 17:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Mungu Wangu Ni Yehova.”

  • *

    Tnn., “mwenye ninasimama mbele yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 17:15, 16, 22, 24; 18:36, 38, 46; 2 Fal. 2:8, 11; Lu 1:17; Yoh 1:19, 21
  • +Yosh. 22:9
  • +Kum 28:15, 23; Yer 14:22; Lu 4:25; Yak 5:17

1 Wafalme 17:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Bonde la Muto la Keriti.”

1 Wafalme 17:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 37:25; Mt 6:11

1 Wafalme 17:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 11:23; Amu 15:19

1 Wafalme 17:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 18:5

1 Wafalme 17:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 4:25, 26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2014, uku. 13-14

1 Wafalme 17:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 11:32, 37

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2014, uku. 13-14

1 Wafalme 17:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2014, uku. 13-14

1 Wafalme 17:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 4:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2014, uku. 14

1 Wafalme 17:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2014, uku. 14

1 Wafalme 17:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 34:10; 37:17, 19; Flp 4:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2014, uku. 14

1 Wafalme 17:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 10:41, 42; Lu 4:25, 26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2014,

    uku. 14-15

1 Wafalme 17:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2014, uku. 14-15

1 Wafalme 17:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 4:19, 20

1 Wafalme 17:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Uko na shida gani na mimi, . . .?”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 13:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2014, uku. 15

1 Wafalme 17:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 4:21, 32

1 Wafalme 17:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 99:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2014, uku. 15

1 Wafalme 17:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi ya.”

1 Wafalme 17:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi ya ule mutoto ikarudia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yak 5:16
  • +Kum 32:39; 1 Sa. 2:6; 2 Fal. 4:32, 34; 13:21; Lu 7:15; 8:54, 55; Yoh 5:28, 29; 11:44; Mdo 9:40, 41; 20:9, 10; Rom. 14:9; Ebr 11:17, 19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/7/2007, uku. 4-5

1 Wafalme 17:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 11:35

1 Wafalme 17:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 3:2

Maandiko ingine

1 Fa. 17:11 Fal. 17:15, 16, 22, 24; 18:36, 38, 46; 2 Fal. 2:8, 11; Lu 1:17; Yoh 1:19, 21
1 Fa. 17:1Yosh. 22:9
1 Fa. 17:1Kum 28:15, 23; Yer 14:22; Lu 4:25; Yak 5:17
1 Fa. 17:4Zab 37:25; Mt 6:11
1 Fa. 17:6Hes 11:23; Amu 15:19
1 Fa. 17:71 Fal. 18:5
1 Fa. 17:9Lu 4:25, 26
1 Fa. 17:10Ebr 11:32, 37
1 Fa. 17:122 Fal. 4:2
1 Fa. 17:14Zab 34:10; 37:17, 19; Flp 4:19
1 Fa. 17:15Mt 10:41, 42; Lu 4:25, 26
1 Fa. 17:172 Fal. 4:19, 20
1 Fa. 17:18Yob 13:26
1 Fa. 17:192 Fal. 4:21, 32
1 Fa. 17:20Zab 99:6
1 Fa. 17:22Yak 5:16
1 Fa. 17:22Kum 32:39; 1 Sa. 2:6; 2 Fal. 4:32, 34; 13:21; Lu 7:15; 8:54, 55; Yoh 5:28, 29; 11:44; Mdo 9:40, 41; 20:9, 10; Rom. 14:9; Ebr 11:17, 19
1 Fa. 17:23Ebr 11:35
1 Fa. 17:24Yoh 3:2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Wafalme 17:1-24

Cha Kwanza cha Wafalme

17 Sasa Eliya*+ Mutishbi, mukaaji wa Gileadi,+ akamuambia Ahabu: “Kama vile hakika Yehova Mungu wa Israeli mwenye ninatumikia* anaishi, katika miaka hii hakutakuwa umande ao mvua isipokuwa kwa neno langu!”+

2 Neno la Yehova likakuja kwake, na kusema: 3 “Toka hapa, na ugeuke kuenda upande wa mashariki na ujifiche kwenye Bonde la Keriti,* upande wa mashariki wa Yordani. 4 Utakunywa maji kutoka katika muto mudogo, na nitaamuru kunguru wakuletee chakula kule.”+ 5 Akaenda mara moja na akafanya kulingana na neno la Yehova; akaenda na kukaa karibu na Bonde la Keriti, upande wa mashariki wa Yordani. 6 Na kunguru walikuwa wanamuletea mukate na nyama asubui na mukate na nyama mangaribi, na alikunywa maji kutoka katika ule muto mudogo.+ 7 Lakini kisha siku fulani, muto huo mudogo ukakauka,+ kwa sababu mvua haikunyesha katika inchi.

8 Halafu neno la Yehova likakuja kwake: 9 “Simama, uende Sarefati, ya Sidoni, na ukae kule. Angalia! Nitamuamuru mujane fulani kule akupatie chakula.”+ 10 Basi akasimama na kuenda Sarefati. Wakati alifika kwenye muingilio wa muji, kulikuwa mujane fulani mwenye alikuwa anaokota kuni. Basi akamuita na kusema: “Tafazali, uniletee maji kidogo katika kikombe nikunywe.”+ 11 Wakati alikuwa anaenda kuyaleta, akamuita na kusema: “Tafazali, uniletee kipande cha mukate katika mukono wako.” 12 Halafu mwanamuke huyo akasema: “Kama vile hakika Yehova Mungu wako anaishi, sina mukate, niko tu na mukono mumoja wa unga katika mutungi mukubwa na mafuta kidogo katika mutungi mudogo.+ Sasa ninaokota kuni kidogo, na nitaingia na kupika chakula kidogo kwa ajili yangu na mwana wangu. Kisha sisi kula, tutakufa.”

13 Kisha Eliya akamuambia: “Usiogope. Ingia na ufanye vile ulisema. Lakini unitayarishie kwanza mukate mudogo wa muviringo kwa kutumia kile chenye kiko, na uniletee. Kisha pale unaweza kutayarisha kitu fulani kwa ajili yako na mwana wako. 14 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Ule mutungi mukubwa wa unga hautaisha, na ule mutungi mudogo wa mafuta hautaisha mupaka siku Yehova ataleta mvua juu ya uso wa inchi.’”+ 15 Basi akaenda na kufanya vile Eliya alisema, na ule mwanamuke pamoja na Eliya na nyumba ya ule mwanamuke wakakula kwa siku nyingi. + 16 Ule mutungi mukubwa wa unga haukuisha, na ule mutungi mudogo wa mafuta haukukauka, kulingana na neno la Yehova lenye alikuwa amesema kupitia Eliya.

17 Kisha mambo hayo, mwana wa ule mwanamuke mwenye nyumba akakuwa mugonjwa, na ugonjwa wake ukakuwa mukali sana na hivyo akakata pumuzi.+ 18 Halafu akamuuliza Eliya: “Niko na shida gani na wewe,* Ee mutu wa Mungu wa kweli? Je, umekuja kunikumbusha kosa langu na kumuua mwana wangu?”+ 19 Lakini Eliya akamuambia: “Unipatie mwana wako.” Kisha akamuchukua kutoka katika mikono yake na akamubeba na kumupandisha katika chumba cha juu, kwenye alikuwa anakaa, na akamulalisha kwenye kitanda chake mwenyewe.+ 20 Akamuita Yehova: “Ee Yehova Mungu wangu,+ je, unaleta mabaya pia juu ya mujane mwenye ninakaa naye kwa kumuua mwana wake?” 21 Kisha akajinyoosha juu ya mutoto huyo mara tatu (3) na akamuita Yehova: “Ee Yehova Mungu wangu, tafazali, uzima wa* mutoto huyu urudie ndani yake.” 22 Yehova akasikiliza ombi la Eliya,+ na uzima wa ule mutoto ukarudia* ndani yake, na akakuwa muzima tena.+ 23 Eliya akamuchukua ule mutoto, akamushusha kutoka katika kile chumba cha juu, akamuleta katika nyumba na kumupatia mama yake; na Eliya akasema: “Ona, mwana wako ni muzima.”+ 24 Halafu ule mwanamuke akamuambia Eliya: “Sasa ninajua kwa kweli kwamba wewe ni mutu wa Mungu+ na kwamba neno la Yehova katika kinywa chako ni kweli.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine