Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 110
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Mufalme na kuhani kama Melkisedeki

        • ‘Tawala katikati ya maadui wako’ (2)

        • Vijana wenye wanajitoa kwa kujipendea ni kama matone ya umande (3)

Zaburi 110:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:34; Efe 1:20; Ebr 8:1; 12:2
  • +Mt 22:43, 44; Mk 12:36; Lu 20:42, 43; Mdo 2:34, 35; 1 Kor. 15:25; Ebr 1:3, 13; 10:12, 13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yesu—Ni Njia, uku. 252

    Mkaribie Yehova, uku. 194

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2012, uku. 26

    1/9/2006, uku. 13-14

    “Kila Andiko,” uku. 247

Zaburi 110:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 2:8, 9; 45:4, 5; Mt 28:18; Ufu 6:2; 12:5; 19:11, 15

Zaburi 110:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “siku yenye jeshi lako litajitayarisha kwa ajili ya vita.”

  • *

    Mapambazuko ni wakati mwangaza wa asubui unaanza kutokea.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Ufalme wa Mungu Unatawala!,

    uku. 61-65

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2008, uku. 12

    15/9/2002, uku. 8

Zaburi 110:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hatasikitika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 7:21, 28
  • +Mwa 14:18; Ebr 5:5, 6; 6:19, 20; 7:3, 11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 194

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2012, uku. 26

    1/9/2006, uku. 14

    “Kila Andiko,”

    uku. 245-247

Zaburi 110:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 16:8
  • +Zab 2:2; Rom. 2:5; Ufu 11:18; 19:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2006, uku. 14

Zaburi 110:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kati ya.”

  • *

    Tnn., “kichwa cha.”

  • *

    Ao “dunia yote.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 79:6
  • +Yer 25:31-33

Zaburi 110:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Mwenye kuzungumuziwa ni “Bwana wangu” ambaye anatajwa katika mustari wa 1.

Maandiko ingine

Zb. 110:1Rom. 8:34; Efe 1:20; Ebr 8:1; 12:2
Zb. 110:1Mt 22:43, 44; Mk 12:36; Lu 20:42, 43; Mdo 2:34, 35; 1 Kor. 15:25; Ebr 1:3, 13; 10:12, 13
Zb. 110:2Zab 2:8, 9; 45:4, 5; Mt 28:18; Ufu 6:2; 12:5; 19:11, 15
Zb. 110:4Ebr 7:21, 28
Zb. 110:4Mwa 14:18; Ebr 5:5, 6; 6:19, 20; 7:3, 11
Zb. 110:5Zab 16:8
Zb. 110:5Zab 2:2; Rom. 2:5; Ufu 11:18; 19:19
Zb. 110:6Zab 79:6
Zb. 110:6Yer 25:31-33
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 110:1-7

Zaburi

Ya Daudi. Muziki.

110 Yehova alimuambia Bwana wangu:

“Kaa kwenye mukono wangu wa kuume+

Mupaka niweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako.”+

 2 Yehova atanyoosha fimbo ya ufalme ya nguvu zako kutoka Sayuni, na kusema:

“Uende utawale katikati ya maadui wako.”+

 3 Watu wako watajitoa kwa kujipendea katika siku ya jeshi lako.*

Katika utakatifu wenye kupendeza sana, kutoka katika tumbo la uzazi la mapambazuko,*

Uko na kikundi chako cha vijana kama vile matone ya umande.

 4 Yehova ameapa kiapo na hatabadilisha mawazo yake:*

“Wewe ni kuhani milele+

Kwa mufano wa Melkisedeki!”+

 5 Yehova atakuwa kwenye mukono wako wa kuume;+

Ataponda wafalme katika siku ya kasirani yake.+

 6 Ataleta hukumu juu ya* mataifa;+

Atajaza maiti katika inchi.+

Ataponda kiongozi wa* inchi kubwa sana.*

 7 Yeye* atakunywa maji ya muto mudogo wenye kuwa pembeni ya barabara.

Kwa hiyo, atainua juu kichwa chake.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine