Zaburi
Ya Daudi. Muziki.
110 Yehova alimuambia Bwana wangu:
2 Yehova atanyoosha fimbo ya ufalme ya nguvu zako kutoka Sayuni, na kusema:
“Uende utawale katikati ya maadui wako.”+
3 Watu wako watajitoa kwa kujipendea katika siku ya jeshi lako.*
Katika utakatifu wenye kupendeza sana, kutoka katika tumbo la uzazi la mapambazuko,*
Uko na kikundi chako cha vijana kama vile matone ya umande.
4 Yehova ameapa kiapo na hatabadilisha mawazo yake:*
Ataponda kiongozi wa* inchi kubwa sana.*
7 Yeye* atakunywa maji ya muto mudogo wenye kuwa pembeni ya barabara.
Kwa hiyo, atainua juu kichwa chake.