Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Waebrania

      • Kusonga mbele kuelekea ukomavu (1-3)

      • Wale wenye wanaanguka wanamupigilia tena Mwana misumari kwenye muti (4-8)

      • Mufanye tumaini lenu kuwa hakika (9-12)

      • Uhakika wa ahadi ya Mungu (13-20)

        • Ahadi na kiapo cha Mungu havibadilike (17, 18)

Waebrania 6:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 5:12
  • +1 Kor. 14:20; Efe 4:13; Ebr 5:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    10/2016, uku. 29-30

    “Upendo wa Mungu,” uku. 199-202

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2009, uku. 9-13

Waebrania 6:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 8:17
  • +Mt 22:31; Yoh 5:28, 29; 11:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    12/2017, uku. 8-9

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2008, uku. 30

    15/9/2008, uku. 32

Waebrania 6:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 1:18; Ebr 10:26

Waebrania 6:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mufumo wa mambo.” Angalia Maana ya Maneno.

Waebrania 6:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 2:19
  • +Ebr 10:29

Waebrania 6:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 10:32, 33

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova,

    uku. 245-246

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2008, uku. 20-21

    1/2/2007, uku. 17

    15/4/2003, uku. 17

Waebrania 6:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Pe. 1:3, 4
  • +Ebr 3:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/1/2006, uku. 24

    1/2/2004, uku. 30

Waebrania 6:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 12:11; Ufu 2:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2003, uku. 16-17

Waebrania 6:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 22:16

Waebrania 6:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 22:17

Waebrania 6:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 31:53

Waebrania 6:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “shauri.”

  • *

    Ao “aliingilia kati.” Tnn., “alifanya upatanisho.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 3:29

Waebrania 6:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 23:19; Tit 1:2

Waebrania 6:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Nanga ni jiwe ao chuma chenye kufungwa kwa kamba ao kwa munyororo na kuingizwa ndani ya maji ili mashua isibebwe na maji.

  • *

    Ao “ya uzima wetu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Pe. 1:3, 4
  • +Law. 16:2, 12; Ebr 9:7; 10:19, 20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    12/2016, uku. 26

    Amuka!,

    5/2009, uku. 10

    22/4/2004, uku. 12

Waebrania 6:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 4:14
  • +Zab 110:4; Ebr 5:6

Maandiko ingine

Ebr. 6:1Ebr 5:12
Ebr. 6:11 Kor. 14:20; Efe 4:13; Ebr 5:14
Ebr. 6:2Mdo 8:17
Ebr. 6:2Mt 22:31; Yoh 5:28, 29; 11:25
Ebr. 6:4Efe 1:18; Ebr 10:26
Ebr. 6:61 Yo. 2:19
Ebr. 6:6Ebr 10:29
Ebr. 6:10Ebr 10:32, 33
Ebr. 6:111 Pe. 1:3, 4
Ebr. 6:11Ebr 3:14
Ebr. 6:12Rom. 12:11; Ufu 2:4
Ebr. 6:13Mwa 22:16
Ebr. 6:14Mwa 22:17
Ebr. 6:16Mwa 31:53
Ebr. 6:17Gal 3:29
Ebr. 6:18Hes 23:19; Tit 1:2
Ebr. 6:191 Pe. 1:3, 4
Ebr. 6:19Law. 16:2, 12; Ebr 9:7; 10:19, 20
Ebr. 6:20Ebr 4:14
Ebr. 6:20Zab 110:4; Ebr 5:6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Waebrania 6:1-20

Kwa Waebrania

6 Kwa hiyo, kwa kuwa sasa tumeacha nyuma fundisho la musingi+ juu ya Kristo, tusonge mbele kuelekea ukomavu,+ bila kuweka tena musingi, ni kusema, kutubu matendo yenye yalikufa na imani katika Mungu, 2 fundisho juu ya maubatizo na kuwekewa mikono,+ kufufuliwa kwa wafu+ na hukumu ya milele. 3 Na tutafanya vile, kama kwa kweli Mungu anaruhusu.

4 Kwa maana kuhusu wale wenye wakati fulani walikuwa kwenye mwangaza+ na wenye wameonja zawadi ya bure ya kimbingu na wenye wamekuwa washiriki wa roho takatifu 5 na wenye wameonja neno la muzuri la Mungu na nguvu za mupangilio wa mambo* wenye unakuja, 6 lakini wameanguka,+ haiwezekane kuwarudisha tena kwenye toba, kwa sababu wanapigilia tena Mwana wa Mungu misumari kwenye muti kwa ajili yao wenyewe na kumupatisha haya mbele ya watu wote.+ 7 Kwa maana udongo unapokea baraka kutoka kwa Mungu wakati unakunywa mvua yenye inanyesha juu yake mara kwa mara, na kisha unatokeza mimea yenye inaletea faida wale wenye unalimwa kwa ajili yao. 8 Lakini kama unazaa miiba na michongoma, unakataliwa na unakuwa karibu kulaaniwa, na mwishowe utachomwa.

9 Lakini katika hali yenu, wapendwa, tuko hakika kuhusu mambo ya muzuri, mambo yenye yanaongoza kwenye wokovu, hata kama tunasema kwa njia hiyo. 10 Kwa maana Mungu hana ukosefu wa haki ili asahau kazi yenu na upendo wenye mulionyesha kwa ajili ya jina lake+ kwa kutumikia na kuendelea kutumikia watakatifu. 11 Lakini tunatamani kila mumoja wenu aonyeshe bidii ileile ili kuwa na uhakika kamili wa tumaini+ mupaka mwisho,+ 12 ili musikuwe wavivu,+ lakini mukuwe waigaji wa wale wenye kupitia imani na uvumilivu wanariti ahadi.

13 Kwa maana wakati Mungu alitoa ahadi yake kwa Abrahamu, kwa kuwa hangeweza kuapa kwa mutu yeyote mwenye kuwa mukubwa zaidi, aliapa kwa jina lake mwenyewe,+ 14 akisema: “Hakika nitakubariki na hakika nitakufanya uongezeke.”+ 15 Kwa hiyo kisha Abrahamu kuonyesha uvumilivu, alipata ahadi hiyo. 16 Kwa maana watu wanaapa kwa mutu mwenye kuwa mukubwa zaidi, na kiapo chao ndicho mwisho wa kila bishano, kwa kuwa hicho ni uhakikisho wa kisheria kwao.+ 17 Kwa njia ileile, wakati Mungu aliamua kuonyesha wazi zaidi kwa wariti wa ile ahadi+ kwamba kusudi* lake haliwezi kubadilika, alitoa uhakikisho* kwa kiapo, 18 ili kupitia mambo mbili yenye hayawezi kubadilika yenye katika hayo haiwezekane Mungu aseme uongo,+ sisi wenye tumekimbia kuenda katika kimbilio kusudi tupate kitia-moyo chenye nguvu ili tushike imara tumaini lenye liliwekwa mbele yetu. 19 Tuko na tumaini hilo+ kama nanga* ya nafsi,* likiwa hakika na pia imara, na linaingia ndani ya pazia,+ 20 mahali mutangulizi ameingia kwa ajili yetu, Yesu,+ mwenye amekuwa kuhani mukubwa milele kwa mufano wa Melkisedeki.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine