Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matendo 24
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Matendo

      • Mashitaka juu ya Paulo (1-9)

      • Paulo anajitetea mbele ya Feliksi (10-21)

      • Kesi ya hukumu ya Paulo inacheleweshwa kwa miaka mbili (22-27)

Matendo 24:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwanasheria.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 23:2
  • +Mdo 23:26

Matendo 24:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 192

Matendo 24:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 192

Matendo 24:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ugonjwa wa kuambukiza.”

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 5:11; Mdo 16:20, 21; 17:6, 7
  • +Lu 23:1, 2
  • +Mt 2:23; Mdo 28:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 192

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/12/2001, uku. 22-23

Matendo 24:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 21:27, 28

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 192

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/12/2001, uku. 22-23

Matendo 24:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A3.

Matendo 24:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flp 1:7

Matendo 24:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 21:17, 26

Matendo 24:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 3:15; Mdo 3:13; 2 Tim. 1:3
  • +Mdo 28:23; Rom. 3:21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2000, uku. 13-14

Matendo 24:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 26:19; Mt 22:31, 32; Lu 14:13, 14; Yoh 5:28, 29; 11:25; Ebr 11:35; Ufu 20:12
  • +Lu 23:43

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2015, uku. 6

    1/6/2014, uku. 10-11

    15/3/2012, uku. 11

    15/6/2006, uku. 6

    15/7/2001, uku. 6

    15/7/2000, uku. 13-14

    Biblia Inafundisha, uku. 72-73

Matendo 24:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “zamiri yenye haijione kuwa na kosa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 23:1; 1 Kor. 4:4; Ebr 13:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2005, uku. 14-15

Matendo 24:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 8:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 169

Matendo 24:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 21:24, 26

Matendo 24:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 25:16

Matendo 24:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 23:6

Matendo 24:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:1, 2; 19:9

Matendo 24:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 10:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 194-195

Matendo 24:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 17:30, 31; 2 Kor. 5:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 194-195

Matendo 24:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/12/2001, uku. 23

Matendo 24:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 25:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 195

Maandiko ingine

Mdo. 24:1Mdo 23:2
Mdo. 24:1Mdo 23:26
Mdo. 24:5Mt 5:11; Mdo 16:20, 21; 17:6, 7
Mdo. 24:5Lu 23:1, 2
Mdo. 24:5Mt 2:23; Mdo 28:22
Mdo. 24:6Mdo 21:27, 28
Mdo. 24:10Flp 1:7
Mdo. 24:11Mdo 21:17, 26
Mdo. 24:14Kut 3:15; Mdo 3:13; 2 Tim. 1:3
Mdo. 24:14Mdo 28:23; Rom. 3:21
Mdo. 24:15Isa 26:19; Mt 22:31, 32; Lu 14:13, 14; Yoh 5:28, 29; 11:25; Ebr 11:35; Ufu 20:12
Mdo. 24:15Lu 23:43
Mdo. 24:16Mdo 23:1; 1 Kor. 4:4; Ebr 13:18
Mdo. 24:172 Kor. 8:4
Mdo. 24:18Mdo 21:24, 26
Mdo. 24:19Mdo 25:16
Mdo. 24:21Mdo 23:6
Mdo. 24:22Mdo 9:1, 2; 19:9
Mdo. 24:24Mt 10:18
Mdo. 24:25Mdo 17:30, 31; 2 Kor. 5:10
Mdo. 24:27Mdo 25:9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Matendo 24:1-27

Matendo ya Mitume

24 Kisha siku tano (5), kuhani mukubwa Anania+ akashuka pamoja na wazee fulani na musemaji wa mbele ya watu wote* mwenye kuitwa Tertulo, na wakatoa mashitaka yao juu ya Paulo mbele ya gavana.+ 2 Wakati Tertulo aliitwa, akaanza kumushitaki, kwa kusema:

“Kwa kuwa tunafurahia amani kubwa kupitia wewe, na kwa kuwa unajua kupanga mambo mbele ya wakati, mabadiliko yanafanyika katika taifa hili, 3 nyakati zote na kila mahali tunatambua mambo hayo, Ee Muheshimiwa Feliksi, kwa shukrani nyingi. 4 Lakini ili nisikuchukue wakati murefu, ninakuomba kwa fazili zako utusikilize kwa kifupi. 5 Kwa maana tumeona mwanaume huyu kuwa muleta-muvurugo,*+ mwenye kuchochea uasi+ katikati ya Wayahudi wote katika dunia yote yenye kuikaliwa na watu, na ni kiongozi mukubwa wa zehebu* la Wanazareti.+ 6 Pia alijaribu kuchafua hekalu, basi tukamukamata.+ 7*⁠ —— 8 Wakati wewe mwenyewe utamuuliza maulizo, utavumbua mambo haya yote yenye tunamushitaki.”

9 Halafu Wayahudi pia wakajiunga katika shambulio hilo, wakisema kwa mukazo kwamba mambo hayo ni ya kweli. 10 Wakati Gavana alimufanyia alama ili aseme, Paulo akajibu:

“Kwa kuwa ninajua muzuri kwamba umekuwa muamuzi wa taifa hili kwa miaka mingi, ninafurahi kujitetea mimi mwenyewe mbele yako.+ 11 Kama vile unaweza kuchunguza wewe mwenyewe, hakujapita zaidi ya siku kumi na mbili (12) tangu wakati nilipanda kuenda kuabudu katika Yerusalemu;+ 12 na hawakunikuta katika hekalu nikibishana na mutu yeyote wala kuchochea watu wafanye fujo, ikuwe katika masinagogi ao mahali popote katika muji. 13 Na hawawezi kukuhakikishia mambo yenye wananishitaki sasa hivi. 14 Lakini ninakubali jambo hili mbele yako, kwamba kulingana na ile njia yenye wao wanaita zehebu,* kwa namna hii ninamutolea Mungu wa mababu zangu utumishi mutakatifu,+ kwa kuwa ninaamini mambo yote yenye kuwa katika Sheria na yenye yameandikwa katika Manabii.+ 15 Na niko na tumaini kwa Mungu, tumaini lenye watu hawa pia wanangojea, kwamba kutakuwa ufufuo+ wa wenye haki na wenye hawako wenye haki.+ 16 Kwa sababu hiyo sikuzote ninajikaza kuendelea kuwa na zamiri safi* mbele ya Mungu na wanadamu.+ 17 Sasa kisha miaka fulani, nilifika kuleta zawadi za rehema+ kwa taifa langu na kutoa matoleo. 18 Wakati nilikuwa ninashugulikia mambo haya, wakanikuta katika hekalu nikiwa nimetakaswa kulingana na desturi,+ lakini hawakunikuta nikiwa na kikundi cha watu ao nikileta muvurugo. Lakini kulikuwa Wayahudi fulani kutoka jimbo la Asia 19 wenye wanapaswa kuwa mbele yako ili wanishitaki kama kwa kweli wako na jambo lolote juu yangu.+ 20 Ao watu hawa wenye wako hapa, waseme wao wenyewe ni kosa gani waliona wakati nilikuwa ninasimama mbele ya Sanhedrini, 21 isipokuwa jambo hili moja lenye nilisema kwa sauti kubwa wakati nilikuwa nimesimama katikati yao: ‘Ninahukumiwa leo mbele yenu+ kwa sababu ya ufufuo wa wafu!’”

22 Lakini, Feliksi, kwa kuwa alijua muzuri ukweli juu ya Njia hii,+ akaanza kuchelewesha kesi yao ya hukumu na kusema: “Wakati Lisia kiongozi wa jeshi atakuja, nitaamua haya mambo yenu.” 23 Na akamuamuru ofisa wa jeshi kwamba mutu huyo aendelee kuwa chini ya ulinzi lakini apewe uhuru fulani, na kwamba watu wake waruhusiwe kumutumikia.

24 Kisha siku fulani, Feliksi akakuja na Drusila bibi yake, mwenye alikuwa Muyahudi, na akatuma watu wamuite Paulo na akamusikiliza akisema juu ya imani katika Kristo Yesu.+ 25 Lakini wakati Paulo alikuwa anazungumuza juu ya haki, kujizuia, na hukumu yenye itakuja,+ Feliksi akaogopa na akajibu: “Kwa sasa unaweza kuenda, lakini wakati nitapata nafasi nitatuma watu wakuite tena.” 26 Wakati uleule alitumaini kwamba Paulo atamupatia feza. Kwa sababu hiyo, alikuwa anatuma watu mara nyingi wamuite na alikuwa anazungumuza naye. 27 Lakini wakati miaka mbili ilikuwa imepita, Porkio Festo alikamata nafasi ya Feliksi; na kwa sababu Feliksi alitamani kukubaliwa na Wayahudi,+ akamuacha Paulo katika kifungo.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine