Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Watesalonike 1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Watesalonike

      • Salamu (1)

      • Shukrani kwa ajili ya imani ya Watesalonike (2-10)

1 Watesalonike 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Anaitwa pia Sila.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 15:22; 1 Pe. 5:12
  • +Mdo 16:1, 2

1 Watesalonike 1:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tes. 1:11, 12

1 Watesalonike 1:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Pe. 1:3, 4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/3/2007, uku. 6-7

    Huduma ya Ufalme,

    2/2000, uku. 4

1 Watesalonike 1:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Shule ya Huduma, uku. 194

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2000, uku. 16

    Huduma ya Ufalme,

    2/2000, uku. 3-4

1 Watesalonike 1:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 11:1; Flp 3:17; 2 Tes. 3:9
  • +1 Pe. 2:21
  • +1 Tes. 2:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Huduma ya Ufalme,

    2/2000, uku. 3-4

1 Watesalonike 1:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tes. 1:4

1 Watesalonike 1:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 10:14; 12:2; Gal 4:8; 1 Yo. 5:21

1 Watesalonike 1:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 1:10, 11; Tit 2:13
  • +1 Tes. 5:2; 2 Pe. 3:12

Maandiko ingine

1 Te. 1:1Mdo 15:22; 1 Pe. 5:12
1 Te. 1:1Mdo 16:1, 2
1 Te. 1:22 Tes. 1:11, 12
1 Te. 1:31 Pe. 1:3, 4
1 Te. 1:61 Kor. 11:1; Flp 3:17; 2 Tes. 3:9
1 Te. 1:61 Pe. 2:21
1 Te. 1:61 Tes. 2:14
1 Te. 1:82 Tes. 1:4
1 Te. 1:91 Kor. 10:14; 12:2; Gal 4:8; 1 Yo. 5:21
1 Te. 1:101 Tes. 5:2; 2 Pe. 3:12
1 Te. 1:10Mdo 1:10, 11; Tit 2:13
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Watesalonike 1:1-10

Ya Kwanza kwa Watesalonike

1 Paulo, na Silvano,*+ na Timoteo,+ kwa kutaniko la Watesalonike wenye kuwa katika umoja na Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo:

Mukuwe na fazili zenye hazistahiliwe na amani.

2 Sikuzote tunamushukuru Mungu wakati tunawataja ninyi wote katika sala zetu,+ 3 kwa maana tunaendelea kukumbuka kazi yenu ya uaminifu, kazi yenu ya jasho na yenye kuchochewa na upendo, na uvumilivu wenu kwa sababu ya tumaini lenu+ katika Bwana wetu Yesu Kristo mbele ya Mungu wetu na Baba. 4 Kwa maana tunajua, ndugu wenye kupendwa na Mungu, kwamba amewachagua ninyi, 5 kwa sababu habari njema yenye tunahubiri haikufika kwenu kwa maneno tu lakini pia kwa nguvu, na kwa roho takatifu, na kwa usadikisho wenye nguvu, kama vile munajua sisi tulikuwa watu wa namna gani katikati yenu kwa faida yenu. 6 Na ninyi mukakuwa waigaji wetu+ na wa Bwana,+ kwa sababu mulikubali neno katika taabu nyingi+ pamoja na furaha ya roho takatifu, 7 na hivyo mukakuwa mufano kwa waamini wote katika Makedonia na Akaya.

8 Ukweli ni kwamba, neno la Yehova* kutoka kwenu lilisikika katika Makedonia na Akaya, lakini pia imani yenu katika Mungu imeenea kila mahali,+ na hivyo hatuna lazima ya kusema jambo lolote. 9 Kwa maana wao wenyewe wanaendelea kueleza namna tulikutana na ninyi kwa mara ya kwanza na namna muligeuka kumuelekea Mungu na mukaacha sanamu zenu,+ ili kumutumikia Mungu wa kweli mwenye kuishi, 10 na kumungojea Mwana wake kutoka mbinguni,+ mwenye yeye alimufufua kutoka kwa wafu, ni kusema, Yesu, mwenye anatukomboa ili tusipatwe na kasirani kali yenye inakuja.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine