Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Muhubiri 11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Muhubiri

      • Tumia nafasi yenye inajitokeza (1-8)

        • Tupa mukate wako juu ya maji (1)

        • Panda mbegu kuanzia asubui mupaka mangaribi (6)

      • Furahia ujana kwa njia yenye inafaa (9, 10)

Muhubiri 11:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Tuma.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 22:9
  • +Kum 15:10, 11; Mez. 19:17; Lu 14:13, 14; Ebr 6:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2000, uku. 21

Muhubiri 11:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “musiba gani utatokea.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 37:21; Lu 6:38; 2 Kor. 9:7; 1 Tim. 6:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2000, uku. 21

Muhubiri 11:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 20:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    2/2014, uku. 7

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 16

Muhubiri 11:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mifupa katika tumbo la uzazi la.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 139:15
  • +Yob 26:14; Zab 40:5; Mhu. 8:17; Rom. 11:33

Muhubiri 11:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 9:10; 2 Kor. 9:6; Kol 3:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2001),

    1/2/2001,

    uku. 29-31

Muhubiri 11:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 15

Muhubiri 11:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ubatili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 5:18; 8:15
  • +Mhu. 12:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 15

Muhubiri 11:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “atakuomba utoe hesabu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 3:17; 12:14; Rom. 2:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/5/2004, uku. 13

Muhubiri 11:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ubatili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 25:7; 2 Tim. 2:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 15

    1/5/2004, uku. 13

Maandiko ingine

Muh. 11:1Mez. 22:9
Muh. 11:1Kum 15:10, 11; Mez. 19:17; Lu 14:13, 14; Ebr 6:10
Muh. 11:2Zab 37:21; Lu 6:38; 2 Kor. 9:7; 1 Tim. 6:18
Muh. 11:4Mez. 20:4
Muh. 11:5Zab 139:15
Muh. 11:5Yob 26:14; Zab 40:5; Mhu. 8:17; Rom. 11:33
Muh. 11:6Mhu. 9:10; 2 Kor. 9:6; Kol 3:23
Muh. 11:8Mhu. 5:18; 8:15
Muh. 11:8Mhu. 12:1
Muh. 11:9Mhu. 3:17; 12:14; Rom. 2:6
Muh. 11:10Zab 25:7; 2 Tim. 2:22
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Muhubiri 11:1-10

Muhubiri

11 Tupa* mukate wako juu ya maji,+ kwa maana kisha siku nyingi utaupata tena.+ 2 Patia fungu watu saba (7) ao hata munane (8),+ kwa maana haujue ni taabu gani itatokea* katika dunia.

3 Kama mawingu yanajaa maji, mvua itanyesha juu ya dunia; na kama muti unaanguka kuelekea kusini ao kaskazini, mahali kwenye muti unaangukia ni pale utabakia.

4 Mwenye anaangalia upepo hatapanda mbegu, na mwenye anaangalia mawingu hatavuna.+

5 Kama vile haujue namna roho inafanya kazi katika mifupa ya mutoto mwenye kuwa ndani ya* mwanamuke mwenye mimba,+ ni vile pia haujue kazi ya Mungu wa kweli, mwenye anafanya mambo yote.+

6 Panda mbegu zako asubui na usiache mukono wako upumuzike mupaka mangaribi;+ kwa maana haujue ni ya wapi itafanikiwa, kama ni hii ao ile, ao kama zote mbili zitakuwa muzuri.

7 Mwangaza ni mutamu, na ni muzuri kwa macho kuona jua. 8 Kwa maana kama mwanadamu anaishi miaka mingi, acha aifurahie yote.+ Lakini anapaswa kukumbuka kwamba siku za giza zinaweza kuwa nyingi; mambo yote yenye yatakuja ni bure.*+

9 Kijana, furahi wakati ungali kijana, na moyo wako ufurahi katika siku za ujana wako. Fuata njia za moyo wako na uende kwenye macho yako yanakuongoza; lakini ujue kwamba Mungu wa kweli atakuleta katika hukumu* kwa sababu ya mambo hayo yote.+ 10 Kwa hiyo ondoa katika moyo wako mambo yenye kuleta mahangaiko, na uepushe mwili wako na mambo yenye kuumiza, kwa maana ujana na kipindi kizuri cha maisha ni bure.*+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine