Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Timoteo 1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Timoteo

      • Salamu (1, 2)

      • Onyo juu ya walimu wa uongo (3-11)

      • Paulo alionyeshwa fazili zenye hazistahiliwe (12-16)

      • Mufalme wa umilele (17)

      • ‘Pigana vita ya muzuri’ (18-20)

1 Timoteo 1:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Pe. 1:3, 4

1 Timoteo 1:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Mwenye Kumuheshimia Mungu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 16:1, 2; Flp 2:19, 20
  • +1 Kor. 4:17

1 Timoteo 1:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,”

    uku. 237-238

1 Timoteo 1:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 4:7; 2 Tim. 4:3, 4; Tit 1:13, 14
  • +1 Tim. 6:20; 2 Tim. 2:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2011, uku. 16-18

1 Timoteo 1:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “amri.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 13:8
  • +Gal 5:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2015, uku. 9

1 Timoteo 1:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 6:20; 2 Tim. 2:16-18

1 Timoteo 1:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yak 3:1

1 Timoteo 1:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kisheria.”

1 Timoteo 1:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wenye hawana upendo mushikamanifu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 3:19

1 Timoteo 1:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno, “Uasherati.”

  • *

    Ao “lenye kujenga afya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tim. 1:13; Tit 1:7, 9

1 Timoteo 1:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 2:7, 8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2009, uku. 16-17

    1/3/2007, uku. 17

1 Timoteo 1:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:15; 2 Kor. 3:5, 6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2016, uku. 22

1 Timoteo 1:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 8:3; 9:1, 2; Gal 1:13; Flp 3:5, 6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2005,

    uku. 26-27

1 Timoteo 1:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 5:32; 2 Kor. 5:19; 1 Yo. 2:1, 2
  • +Mdo 9:1, 2; 1 Kor. 15:9

1 Timoteo 1:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 6:40; 20:31

1 Timoteo 1:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 10:16; 90:2; Da. 6:26; Ufu 15:3
  • +Rom. 1:23
  • +Kol 1:15
  • +Isa 43:10; 1 Kor. 8:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 12

1 Timoteo 1:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “amri.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tim. 2:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2015, uku. 14

    15/9/2008, uku. 30

    Kutoa Ushahidi, uku. 121

1 Timoteo 1:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua ya maji; bateau.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 1:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/10/2007, uku. 12-15

1 Timoteo 1:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tim. 2:16-18
  • +1 Kor. 5:5, 11

Maandiko ingine

1 Timotheo 1:11 Pe. 1:3, 4
1 Timotheo 1:2Mdo 16:1, 2; Flp 2:19, 20
1 Timotheo 1:21 Kor. 4:17
1 Timotheo 1:41 Tim. 4:7; 2 Tim. 4:3, 4; Tit 1:13, 14
1 Timotheo 1:41 Tim. 6:20; 2 Tim. 2:14
1 Timotheo 1:5Rom. 13:8
1 Timotheo 1:5Gal 5:6
1 Timotheo 1:61 Tim. 6:20; 2 Tim. 2:16-18
1 Timotheo 1:7Yak 3:1
1 Timotheo 1:9Gal 3:19
1 Timotheo 1:102 Tim. 1:13; Tit 1:7, 9
1 Timotheo 1:11Gal 2:7, 8
1 Timotheo 1:12Mdo 9:15; 2 Kor. 3:5, 6
1 Timotheo 1:13Mdo 8:3; 9:1, 2; Gal 1:13; Flp 3:5, 6
1 Timotheo 1:15Lu 5:32; 2 Kor. 5:19; 1 Yo. 2:1, 2
1 Timotheo 1:15Mdo 9:1, 2; 1 Kor. 15:9
1 Timotheo 1:16Yoh 6:40; 20:31
1 Timotheo 1:17Zab 10:16; 90:2; Da. 6:26; Ufu 15:3
1 Timotheo 1:17Rom. 1:23
1 Timotheo 1:17Kol 1:15
1 Timotheo 1:17Isa 43:10; 1 Kor. 8:4
1 Timotheo 1:182 Tim. 2:3
1 Timotheo 1:191 Tim. 1:5
1 Timotheo 1:202 Tim. 2:16-18
1 Timotheo 1:201 Kor. 5:5, 11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Timoteo 1:1-20

Ya Kwanza kwa Timoteo

1 Paulo, mutume wa Kristo Yesu kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na ya Kristo Yesu, tumaini letu,+ 2 kwa Timoteo,*+ mutoto wangu wa kweli+ katika imani:

Ukuwe na fazili zenye hazistahiliwe, na rehema, na amani kutoka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.

3 Kama vile nilikutia moyo ubakie Efeso wakati nilikuwa karibu kuenda Makedonia, ni vile ninafanya tena sasa, ili uamuru watu fulani wasifundishe fundisho tofauti, 4 wala wasisikilize hadisi za uongo+ na wasifuatilie mambo ya vizazi. Mwishowe, mambo kama hayo hayalete faida yoyote,+ lakini yanatokeza maulizo kuliko kuleta jambo lolote kutoka kwa Mungu lenye kujenga imani. 5 Kwa kweli, kusudi la agizo* hili ni upendo+ wenye kutoka katika moyo safi na zamiri ya muzuri na imani+ yenye haina unafiki. 6 Kwa kugeuka na kuacha mambo hayo, watu fulani wamegeuzwa kando na kujiingiza katika mazungumuzo yenye hayana maana.+ 7 Wanataka kuwa walimu+ wa sheria, lakini hawaelewe hata mambo yenye wako wanasema ao mambo yenye wanatilia mukazo kwa nguvu sana.

8 Sasa tunajua kuwa Sheria ni ya muzuri kama mutu anaitumia muzuri,* 9 na tunatambua kama sheria haiwekwe kwa ajili ya mwenye haki, lakini inawekwa kwa ajili ya watu wenye kuvunja sheria+ na waasi, watu wenye hawamuogope Mungu na watenda-zambi, wenye hawako washikamanifu* na wenye kuzarau mambo matakatifu, wenye kuua baba na wenye kuua mama, wenye kuua watu wengine, 10 waasherati,* wanaume wenye kulala na wanaume wenzao, watu wenye kukamata wengine kinguvu na kukimbia nao, waongo, watu wenye kuapa kwa uongo, na jambo lingine lolote lenye kuwa kinyume na fundisho lenye faida*+ 11 kulingana na habari njema yenye utukufu ya Mungu mwenye furaha, yenye nilipewa.+

12 Mimi ni mwenye shukrani kwa Kristo Yesu Bwana wetu, mwenye alinipatia nguvu, kwa sababu aliniona kuwa muaminifu kwa kunipatia utumishi,+ 13 hata kama zamani nilikuwa mutu mwenye kumutukana Mungu na mutesaji na mutu mwenye zarau.+ Hata hivyo, nilionyeshwa rehema kwa sababu nilitenda bila kujua na kwa kukosa imani. 14 Lakini fazili zenye hazistahiliwe za Bwana wetu zikakuwa nyingi sana pamoja na imani na upendo wenye kuwa katika Kristo Yesu. 15 Neno hili ni lenye kutegemeka na linastahili kukubaliwa kabisa: Kristo Yesu alikuja katika ulimwengu ili kuokoa watenda-zambi.+ Kati ya hao, mimi ni wa kwanza kabisa.+ 16 Lakini, nilionyeshwa rehema ili kupitia mimi mwenye kuwa wa kwanza kabisa, Kristo Yesu aonyeshe uvumilivu wake wote, na kunifanya mimi kuwa mufano kwa wote wenye watamuamini ili kupata uzima wa milele.+

17 Sasa kwa Mufalme wa umilele,+ mwenye hawezi kuharibika,+ mwenye haonekanake,+ Mungu pekee,+ kukuwe heshima na utukufu milele na milele. Amina.

18 Ninakupatia agizo* hili, mutoto wangu Timoteo, kupatana na unabii mbalimbali wenye ulitolewa juu yako, kwamba kupitia unabii huo, uendelee kupigana vita ya muzuri,+ 19 ukishika imani na zamiri ya muzuri,+ yenye wengine wametupa pembeni, na hilo likafanya imani yao iharibike kama mashua* yenye kuvunjika. 20 Himenayo+ na Aleksanda wako kati yao, na mimi nimewatia katika mikono ya Shetani+ ili wafundishwe kupitia nizamu kuacha kumutukana Mungu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine