Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 19
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Wafalme

      • Eliya anakimbia kasirani kali ya Yezebeli (1-8)

      • Yehova anamutokea Eliya kule Horebu (9-14)

      • Eliya anaambiwa amutie mafuta Hazaeli, Yehu, Elisha (15-18)

      • Elisha anawekwa ili kuchukua nafasi ya Eliya (19-21)

1 Wafalme 19:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 16:29; 21:25
  • +1 Fal. 16:31
  • +1 Fal. 18:40

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 101

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2011, uku. 18

1 Wafalme 19:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “sitafanya nafsi yako ikuwe kama nafsi ya.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 101

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2011, uku. 19

1 Wafalme 19:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 2:15; 1 Sa. 27:1
  • +Mwa 21:31
  • +Yosh. 15:21, 28

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 101-102

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2011, uku. 19-20

1 Wafalme 19:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yake ikufe.”

  • *

    Ao “nafsi yangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 11:15; Yob 3:21; Yon 4:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2014, uku. 15

    1/7/2011, uku. 19-20

    Tuige Imani Yao, uku. 102-103

1 Wafalme 19:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 10:8-10; Mdo 12:7
  • +Zab 34:7; Ebr 1:7, 14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 103

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2011, uku. 20

1 Wafalme 19:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 103

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2011, uku. 20

1 Wafalme 19:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 103

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2011, uku. 20

1 Wafalme 19:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 3:1; 19:18; Mal 4:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 103-104

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2011, uku. 20-21

1 Wafalme 19:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 11:32, 38

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 104

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2011, uku. 21

1 Wafalme 19:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:4, 5; Hes 25:11; Zab 69:9
  • +Kum 29:24, 25; Amu 2:20; 1 Fal. 8:9; 2 Fal. 17:15
  • +1 Fal. 18:4
  • +1 Fal. 19:2; Rom. 11:2, 3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 104

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2011, uku. 21

1 Wafalme 19:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 33:22
  • +Zab 50:3; Isa 29:6
  • +1 Sa. 14:15; Yob 9:6; Zab 68:8; Nah 1:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 37-38, 42-43

    Tuige Imani Yao, uku. 106

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2011, uku. 21-22

1 Wafalme 19:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:11
  • +Kut 34:5, 6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 37-38, 42-43

    Tuige Imani Yao, uku. 106-107

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2011, uku. 21-22

1 Wafalme 19:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 3:6

1 Wafalme 19:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 31:20; Zab 78:37; Isa 1:4; Yer 22:9
  • +Rom. 11:2, 3

1 Wafalme 19:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 8:7, 8; Amo 1:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 106-107

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2011, uku. 22

1 Wafalme 19:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Mungu Ni Wokovu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 9:1-3, 30-33
  • +2 Fal. 2:9, 15

1 Wafalme 19:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 8:12; 10:32; 13:3
  • +2 Fal. 9:14, 24; 10:6, 7, 23, 25
  • +2 Fal. 2:23, 24

1 Wafalme 19:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 11:4
  • +Kut 20:5
  • +Ho 13:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 107

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2011, uku. 22

1 Wafalme 19:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 2:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2014, uku. 12

1 Wafalme 19:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 24:13; 2 Fal. 2:3; 3:11

Maandiko ingine

1 Fa. 19:11 Fal. 16:29; 21:25
1 Fa. 19:11 Fal. 16:31
1 Fa. 19:11 Fal. 18:40
1 Fa. 19:3Kut 2:15; 1 Sa. 27:1
1 Fa. 19:3Mwa 21:31
1 Fa. 19:3Yosh. 15:21, 28
1 Fa. 19:4Hes 11:15; Yob 3:21; Yon 4:3
1 Fa. 19:5Da. 10:8-10; Mdo 12:7
1 Fa. 19:5Zab 34:7; Ebr 1:7, 14
1 Fa. 19:8Kut 3:1; 19:18; Mal 4:4
1 Fa. 19:9Ebr 11:32, 38
1 Fa. 19:10Kut 20:4, 5; Hes 25:11; Zab 69:9
1 Fa. 19:10Kum 29:24, 25; Amu 2:20; 1 Fal. 8:9; 2 Fal. 17:15
1 Fa. 19:101 Fal. 18:4
1 Fa. 19:101 Fal. 19:2; Rom. 11:2, 3
1 Fa. 19:11Kut 33:22
1 Fa. 19:11Zab 50:3; Isa 29:6
1 Fa. 19:111 Sa. 14:15; Yob 9:6; Zab 68:8; Nah 1:5
1 Fa. 19:12Kum 4:11
1 Fa. 19:12Kut 34:5, 6
1 Fa. 19:13Kut 3:6
1 Fa. 19:14Kum 31:20; Zab 78:37; Isa 1:4; Yer 22:9
1 Fa. 19:14Rom. 11:2, 3
1 Fa. 19:152 Fal. 8:7, 8; Amo 1:4
1 Fa. 19:162 Fal. 9:1-3, 30-33
1 Fa. 19:162 Fal. 2:9, 15
1 Fa. 19:172 Fal. 8:12; 10:32; 13:3
1 Fa. 19:172 Fal. 9:14, 24; 10:6, 7, 23, 25
1 Fa. 19:172 Fal. 2:23, 24
1 Fa. 19:18Rom. 11:4
1 Fa. 19:18Kut 20:5
1 Fa. 19:18Ho 13:2
1 Fa. 19:192 Fal. 2:8
1 Fa. 19:21Kut 24:13; 2 Fal. 2:3; 3:11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Wafalme 19:1-21

Cha Kwanza cha Wafalme

19 Kisha Ahabu+ akamuambia Yezebeli+ mambo yote yenye Eliya alikuwa amefanya na namna alikuwa ameua manabii wote kwa upanga.+ 2 Halafu Yezebeli akatuma mujumbe kwa Eliya, akisema: “Miungu inifanyie vile na iongeze juu ya hilo kama kufikia kesho wakati kama huu sitakufanya ukuwe kama* kila mumoja wao!” 3 Basi akaogopa, kwa hiyo akasimama na kukimbia ili kuokoa uzima wake.*+ Akakuja Beer-sheba,+ ya Yuda,+ na akaacha mutumishi wake kule. 4 Akaenda katika jangwa safari ya siku moja na akakuja na kukaa chini ya muti wa muretemu, na akaomba akufe.* Akasema: “Imetosha! Sasa, Ee Yehova, ondoa uzima wangu,*+ kwa maana mimi siko mutu muzuri zaidi kuliko mababu zangu.”

5 Kisha akalala chini na kupata usingizi chini ya muti huo wa muretemu. Lakini kwa kushitukia malaika akamugusa+ na kumuambia: “Simama na ukule.”+ 6 Wakati aliangalia, karibu na kichwa chake kulikuwa mukate wa muviringo juu ya majiwe yenye moto na pia jagi la maji. Akakula na kunywa na akalala chini tena. 7 Kisha wakati fulani malaika wa Yehova akarudia mara ya pili na akamugusa na kusema: “Simama na ukule, kwa maana safari itakuwa murefu sana kwako.” 8 Basi akasimama na akakula na kunywa, na katika nguvu za chakula hicho akaendelea kusafiri kwa siku makumi ine (40) muchana na usiku mupaka wakati alifika Horebu, mulima wa Mungu wa kweli.+

9 Kule akaingia katika pango+ na kulala ndani usiku; na angalia! neno la Yehova likakuja kwake, na kumuambia: “Unafanya nini hapa, Eliya?” 10 Basi akasema: “Nimekuwa na bidii kwelikweli kwa ajili ya Yehova Mungu wa majeshi;+ kwa maana watu wa Israeli wameacha agano lako,+ wamebomoa mazabahu zako, na wameua manabii wako kwa upanga,+ na ni mimi tu ndiye nimebakia. Sasa wanatafuta kuondoa uzima wangu.”*+ 11 Lakini Akasema: “Toka inje na usimame kwenye mulima mbele ya Yehova.” Na angalia! Yehova alikuwa anapita karibu,+ na upepo mukubwa na wenye nguvu ulikuwa unapasua milima na kuvunja miamba mbele ya Yehova,+ lakini Yehova hakukuwa katika upepo huo. Kisha upepo, kukakuwa tetemeko la inchi,+ lakini Yehova hakukuwa katika tetemeko hilo la inchi. 12 Kisha tetemeko la inchi, kukakuwa moto,+ lakini Yehova hakukuwa katika moto huo. Kisha moto, kukakuwa sauti tulivu, ya chini.+ 13 Wakati tu Eliya aliisikia, akafunika uso wake katika nguo yake ya pekee+ na akatoka inje na kusimama kwenye muingilio wa pango. Kisha sauti ikamuuliza: “Unafanya nini hapa, Eliya?” 14 Basi akasema: “Nimekuwa na bidii kwelikweli kwa ajili ya Yehova Mungu wa majeshi; kwa maana watu wa Israeli wameacha agano lako,+ wamebomoa mazabahu zako, na wameua manabii wako kwa upanga, na ni mimi tu ndiye nimebakia. Sasa wanatafuta kuondoa uzima wangu.”*+

15 Yehova akamuambia: “Rudia, na uende katika jangwa la Damasko. Wakati utafika, umutie mafuta Hazaeli+ ili akuwe mufalme juu ya Siria. 16 Pia umutie mafuta Yehu+ mujukuu wa Nimshi ili akuwe mufalme juu ya Israeli, na umutie mafuta Elisha* mwana wa Shafati kutoka Abel-mehola ili akuwe nabii wa kuchukua nafasi yako.+ 17 Mutu yeyote mwenye ataponyoka upanga wa Hazaeli,+ Yehu atamuua;+ na mutu yeyote mwenye ataponyoka upanga wa Yehu, Elisha atamuua.+ 18 Na ningali na watu elfu saba (7 000) katika Israeli,+ wale wote wenye hawakumupigia Baali magoti+ na wenye vinywa vyao havikumubusu.”+

19 Basi akatoka kule na kumukuta Elisha mwana wa Shafati akilima kwa kutumia ngombe-dume makumi mbili na ine (24) wenye kufungwa wawili-wawili, na alikuwa na wale wawili wa mwisho. Basi Eliya akamukaribia na akatupa nguo yake ya pekee+ juu yake. 20 Mara moja akaacha wale ngombe-dume na akakimbia kumufuata Eliya na kusema: “Tafazali, uniruhusu nibusu baba yangu na mama yangu. Kisha nitakufuata.” Akamujibu: “Uende, urudie, kwa maana nimefanya nini ili kukuzuia?” 21 Basi akarudia na akakamata ngombe-dume wawili wenye kufungwa pamoja na akawatoa zabihu, na akatumia vifaa vya kulimia ili kutokotesha nyama ya ngombe-dume hao na akaipatia watu, na wakakula. Kisha, akasimama na kumufuata Eliya na akaanza kumutumikia.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine