Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Watesalonike 2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Watesalonike

      • Ule mutu wa uvunjaji wa sheria (1-12)

      • Wanaombwa wakuwe imara (13-17)

2 Watesalonike 2:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 24:3
  • +1 Tes. 4:17

2 Watesalonike 2:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kupitia kwa roho.” Angalia Maana ya Maneno, “Roho.”

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 4:1
  • +Sef 1:14; 2 Pe. 3:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 232

2 Watesalonike 2:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “awashawishi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 4:1; 2 Tim. 2:16-18; 4:3; 2 Pe. 2:1; 1 Yo. 2:18, 19
  • +Mt 7:15; Mdo 20:29, 30
  • +2 Pe. 2:1, 3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2015, uku. 14

    15/9/2008, uku. 30

    1/9/2003, uku. 6

    Tafsiri ya Ulimwengu Mupya, uku. 1969

2 Watesalonike 2:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuheshimiwa.”

2 Watesalonike 2:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 20:29, 30; 1 Kor. 11:18, 19; 1 Yo. 2:18

2 Watesalonike 2:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 11:4; Ufu 19:15
  • +1 Tim. 6:13-15; 2 Tim. 4:1, 8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2008, uku. 30

2 Watesalonike 2:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 11:3
  • +Mt 24:24

2 Watesalonike 2:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 24:11

2 Watesalonike 2:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 24:5; 1 Tim. 4:1; 2 Tim. 4:3, 4

2 Watesalonike 2:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 6:44; Rom. 8:30
  • +Yoh 17:17; 1 Kor. 6:11; 1 Tes. 4:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2008, uku. 30

2 Watesalonike 2:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Pe. 5:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2008, uku. 30

2 Watesalonike 2:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 15:58; 16:13
  • +1 Kor. 11:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2013, uku. 8-9

2 Watesalonike 2:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 4:10
  • +1 Pe. 1:3, 4

2 Watesalonike 2:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuwatia nguvu.”

Maandiko ingine

2 Te. 2:1Mt 24:3
2 Te. 2:11 Tes. 4:17
2 Te. 2:21 Yo. 4:1
2 Te. 2:2Sef 1:14; 2 Pe. 3:10
2 Te. 2:31 Tim. 4:1; 2 Tim. 2:16-18; 4:3; 2 Pe. 2:1; 1 Yo. 2:18, 19
2 Te. 2:3Mt 7:15; Mdo 20:29, 30
2 Te. 2:32 Pe. 2:1, 3
2 Te. 2:7Mdo 20:29, 30; 1 Kor. 11:18, 19; 1 Yo. 2:18
2 Te. 2:8Isa 11:4; Ufu 19:15
2 Te. 2:81 Tim. 6:13-15; 2 Tim. 4:1, 8
2 Te. 2:92 Kor. 11:3
2 Te. 2:9Mt 24:24
2 Te. 2:10Mt 24:11
2 Te. 2:11Mt 24:5; 1 Tim. 4:1; 2 Tim. 4:3, 4
2 Te. 2:13Yoh 6:44; Rom. 8:30
2 Te. 2:13Yoh 17:17; 1 Kor. 6:11; 1 Tes. 4:7
2 Te. 2:141 Pe. 5:10
2 Te. 2:151 Kor. 15:58; 16:13
2 Te. 2:151 Kor. 11:2
2 Te. 2:161 Yo. 4:10
2 Te. 2:161 Pe. 1:3, 4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Watesalonike 2:1-17

Ya Pili kwa Watesalonike

2 Lakini, ndugu, kwa habari ya kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo+ na kukusanywa kwetu pamoja kwake,+ tunawaomba ninyi kwamba 2 akili yenu isivurugwe haraka, wala musiogopeshwe na neno lenye liliongozwa na roho,*+ ao na ujumbe wa maneno, ao na barua yenye inaonekana kama vile imetoka kwetu, ya kwamba siku ya Yehova*+ iko hapa.

3 Musiache mutu yeyote awadanganye* ninyi kwa njia yoyote, kwa sababu siku hiyo haitakuja mupaka uasi-imani+ ukuje kwanza na ule mutu wa uvunjaji wa sheria+ afunuliwe, ule mwana wa uharibifu.+ 4 Yeye anapinga na kujiinua mwenyewe juu ya kila mwenye kuitwa mungu ao kitu cha kuabudiwa,* na hivyo anakaa katika hekalu la Mungu, akijionyesha mwenyewe waziwazi kuwa mungu. 5 Je, hamukumbuke kama wakati nilikuwa ningali pamoja na ninyi, nilikuwa ninawaambia mambo haya?

6 Na sasa munajua kile chenye kutenda kama kizuizi, ili afunuliwe katika wakati wake mwenyewe wenye kufaa. 7 Ni kweli, fumbo la huu uvunjaji wa sheria tayari linafanya kazi,+ lakini ni mupaka tu ule mwenye kutenda sasa kama kizuizi atakuwa ameondolewa katika njia. 8 Kisha, kwa kweli, ule mwenye kuvunja sheria atafunuliwa, ule mwenye Bwana Yesu atamuharibu kwa roho ya kinywa chake,+ na kumufanya kuwa bure wakati kuwapo kwa Yesu kutaonekana wazi.+ 9 Lakini kuwapo kwa ule mwenye kuvunja sheria ni kupitia utendaji wa Shetani+ pamoja na kila tendo lenye nguvu na alama za uongo, na maajabu+ 10 na kila udanganyifu wenye hauko wa haki,+ kwa wale wenye kuangamia, ili kuwa malipo kwa sababu hawakukubali kupenda ile kweli ili waokolewe. 11 Ndiyo sababu Mungu anaacha wadanganywe ili wafikie kuamini uongo,+ 12 ili wote wahukumiwe kwa sababu hawakuamini ile kweli, lakini walifurahia ukosefu wa haki.

13 Lakini, tunalazimika kumushukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, ndugu wenye kupendwa na Yehova,* kwa sababu tangu mwanzo Mungu aliwachagua ninyi+ kwa ajili ya wokovu kwa kuwatakasa+ kupitia roho yake na kwa imani yenu katika kweli. 14 Aliwaita ninyi kwenye wokovu kupitia habari njema yenye tunatangaza, ili mupate utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.+ 15 Basi, ndugu, musimame imara+ na muendelee kushika mapokeo yenye mulifundishwa,+ ikuwe ni kupitia ujumbe wa maneno ao kupitia barua kutoka kwetu. 16 Zaidi ya hayo, Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu mwenye alitupenda+ na kutupatia faraja ya milele na tumaini la muzuri+ kupitia fazili zenye hazistahiliwe, 17 wafariji mioyo yenu na kuwafanya ninyi kuwa imara* katika kila tendo na neno la muzuri.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine