Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 14
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zekaria

      • Ibada ya kweli inapata ushindi kabisa (1-21)

        • Mulima wa Mizeituni utagawanyika mara mbili (4)

        • Yehova atakuwa mumoja, na jina lake litakuwa moja (9)

        • Pigo kwa wenye kupinga Yerusalemu (12-15)

        • Kufanya Sikukuu ya Vibanda (16-19)

        • Kila chungu kitakuwa kitakatifu kwa Yehova (20, 21)

Zekaria 14:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, kwa muji wenye kuzungumuziwa katika mustari wa 2.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2013, uku. 18

Zekaria 14:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2013, uku. 18-19

Zekaria 14:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 38:23; Yoe 3:2, 14; Ufu 16:14
  • +Kut 15:3; 2Nya 20:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2013, uku. 20

Zekaria 14:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mahali jua linatokea.”

  • *

    Tnn., “kwenye bahari.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 19:29; Mdo 1:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Utumishi na Maisha ya Mukristo—Buku la Mukutano,

    12/2017, uku. 4

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2013, uku. 19

Zekaria 14:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amo 1:1
  • +Kum 33:2; Yoe 3:11; Yud 14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2013, uku. 19-20

Zekaria 14:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “vitabakia bila kutikisika,” kama vile vyenye kushikwa na baridi.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 13:9, 10; Amo 5:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2013, uku. 20

Zekaria 14:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoe 2:31; 1 Tes. 5:2; 2 Pe. 3:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2006, uku. 29

Zekaria 14:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, Bahari Yenye Kufa.

  • *

    Ni kusema, Bahari ya Mediterania.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ufu 21:6; 22:17
  • +Yer 17:13; Eze 47:1; Yoe 3:18; Ufu 22:1
  • +Kum 3:17
  • +Yosh. 1:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2013, uku. 21

    15/4/2006, uku. 29

Zekaria 14:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 97:1; Ufu 19:6
  • +Kum 6:4
  • +Isa 42:8; 44:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2006, uku. 29

Zekaria 14:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashimo ya mufalme ya kukamulia ndani.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 1:7
  • +1 Fal. 15:22
  • +1Nya 4:24, 32
  • +Yer 30:18
  • +Yer 37:13
  • +Ne 3:1; Yer 31:38

Zekaria 14:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 60:18; Yer 31:40
  • +Yer 23:6; 33:16

Zekaria 14:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 19:34, 35; Yoe 3:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Utumishi na Maisha ya Mukristo—Buku la Mukutano,

    12/2017, uku. 4

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2013, uku. 20

    Siku ya Yehova, uku. 32

Zekaria 14:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “na mutu mumoja atamushambulia mwingine.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 7:22; Eze 38:21

Zekaria 14:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 14:13; 20:25; Zek 2:8, 9

Zekaria 14:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Utumishi na Maisha ya Mukristo—Buku la Mukutano,

    12/2017, uku. 4

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2013, uku. 20

Zekaria 14:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kumuabudu.”

  • *

    Ao “Makao ya Muda.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 66:23
  • +Zab 86:9
  • +Law. 23:34; Ne 8:14, 15

Zekaria 14:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 60:12

Zekaria 14:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “vyungu vya kupikia vyenye mudomo mupana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 28:36; 39:30
  • +1 Sa. 2:13, 14
  • +Kut 25:29; Hes 4:7

Zekaria 14:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “chungu cha kupikia chenye mudomo mupana.”

  • *

    Ao pengine, “mufanyabiashara.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 44:9

Maandiko ingine

Zek. 14:3Eze 38:23; Yoe 3:2, 14; Ufu 16:14
Zek. 14:3Kut 15:3; 2Nya 20:15
Zek. 14:4Lu 19:29; Mdo 1:12
Zek. 14:5Amo 1:1
Zek. 14:5Kum 33:2; Yoe 3:11; Yud 14
Zek. 14:6Isa 13:9, 10; Amo 5:18
Zek. 14:7Yoe 2:31; 1 Tes. 5:2; 2 Pe. 3:10
Zek. 14:8Ufu 21:6; 22:17
Zek. 14:8Yer 17:13; Eze 47:1; Yoe 3:18; Ufu 22:1
Zek. 14:8Kum 3:17
Zek. 14:8Yosh. 1:4
Zek. 14:9Zab 97:1; Ufu 19:6
Zek. 14:9Kum 6:4
Zek. 14:9Isa 42:8; 44:6
Zek. 14:10Kum 1:7
Zek. 14:101 Fal. 15:22
Zek. 14:101Nya 4:24, 32
Zek. 14:10Yer 30:18
Zek. 14:10Yer 37:13
Zek. 14:10Ne 3:1; Yer 31:38
Zek. 14:11Isa 60:18; Yer 31:40
Zek. 14:11Yer 23:6; 33:16
Zek. 14:122 Fal. 19:34, 35; Yoe 3:2
Zek. 14:13Amu 7:22; Eze 38:21
Zek. 14:142Nya 14:13; 20:25; Zek 2:8, 9
Zek. 14:16Isa 66:23
Zek. 14:16Zab 86:9
Zek. 14:16Law. 23:34; Ne 8:14, 15
Zek. 14:17Isa 60:12
Zek. 14:20Kut 28:36; 39:30
Zek. 14:201 Sa. 2:13, 14
Zek. 14:20Kut 25:29; Hes 4:7
Zek. 14:21Eze 44:9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zekaria 14:1-21

Zekaria

14 “Angalia! Siku inakuja, siku ya Yehova, wakati vitu vyenye vilichukuliwa kwako* katika vita vitagawanywa katikati yako. 2 Nitakusanya mataifa yote juu ya Yerusalemu kwa ajili ya vita; na muji utakamatwa na vitu vyenye kuwa katika nyumba vitanyanganywa na wanamuke watalalwa kinguvu. Na nusu ya muji itapelekwa katika uhamisho, lakini wenye watabakia kati ya watu hawataondolewa katika muji.

3 “Yehova ataenda na kupigana vita na mataifa hayo+ kama vile wakati anapigana katika siku ya pigano.+ 4 Katika siku hiyo miguu yake itasimama kwenye Mulima wa Mizeituni,+ wenye kuwa mbele ya Yerusalemu kwenye upande wa mashariki; na Mulima wa Mizeituni utagawanyika mara mbili, kuanzia mashariki* mupaka mangaribi,* na kufanya bonde kubwa sana; na nusu ya mulima huo itasogea kaskazini, na nusu ingine itasogea kusini. 5 Mutakimbilia kwenye bonde la milima yangu, kwa maana bonde la milima hiyo litafika mupaka Aseli. Mutakimbia, kama vile mulikimbia kwa sababu ya tetemeko la inchi katika siku za Mufalme Uzia wa Yuda.+ Na Yehova Mungu wangu atakuja, na watakatifu wote watakuwa pamoja naye.+

6 “Katika siku hiyo hakutakuwa mwangaza wenye samani+⁠—⁠vitu vitaganda.* 7 Na itakuwa siku moja yenye inajulikana kuwa ni ya Yehova.+ Haitakuwa muchana, na haitakuwa usiku; na wakati wa mangaribi kutakuwa mwangaza. 8 Katika siku hiyo maji ya uzima+ yatatiririka kutoka Yerusalemu,+ nusu yake itaelekea kwenye bahari ya mashariki*+ na nusu itaelekea kwenye bahari ya mangaribi.*+ Itakuwa vile katika kipindi cha joto na katika kipindi cha baridi. 9 Na Yehova atakuwa Mufalme juu ya dunia yote.+ Katika siku hiyo Yehova atakuwa mumoja,+ na jina lake litakuwa moja.+

10 “Inchi yote itakuwa kama Araba,+ kuanzia Geba+ mupaka Rimoni+ upande wa kusini wa Yerusalemu; na itainuka na kuikaliwa na watu katika mahali pake,+ kutoka Mulango Mukubwa wa Benyamini+ mupaka mahali pa Mulango Mukubwa wa Kwanza, mupaka kwenye Mulango Mukubwa wa Pembe, na kutoka Munara wa Hananeli+ mupaka kwenye vikamulio vya divai vya mufalme.* 11 Na watu watakaa ndani yake; na hakutakuwa tena laana ya uharibifu hata siku moja,+ na Yerusalemu itakaliwa katika usalama.+

12 “Na hili ndilo pigo lenye Yehova atatumia ili kupiga vikundi vyote vya watu wenye wanafanya vita juu ya Yerusalemu:+ Miili yao itaoza wakiwa wenye kusimama kwa miguu yao, macho yao yataoza katika matundu yake, na ndimi zao zitaoza katika vinywa vyao.

13 “Katika siku hiyo muvurugo kutoka kwa Yehova utaenea kati yao; na kila mutu atashika mukono wa mwenzake, na mukono wake utakuja juu ya mukono wa mwenzake.*+ 14 Yuda pia itaingia katika vita kule Yerusalemu; na utajiri wa mataifa yote ya pembeni-pembeni utakusanywa, zahabu, feza, na nguo kwa wingi sana.+

15 “Na pigo kama hilo litakuja pia juu ya farasi, nyumbu, ngamia, punda, na mifugo yote yenye kuwa katika kambi hizo.

16 “Mutu yeyote mwenye anabakia kati ya mataifa yote yenye yanakuja kushambulia Yerusalemu atapanda kila mwaka+ ili kumuinamia* Mufalme, Yehova wa majeshi,+ na kufanya Sikukuu ya Vibanda.*+ 17 Lakini kama familia yoyote kati ya familia zenye kuwa katika dunia haipande kuenda Yerusalemu ili kuinama mbele ya Mufalme, Yehova wa majeshi, mvua haitanyesha juu yao.+ 18 Na kama familia ya Misri haipande na haiingie ndani, hawatapata mvua. Tofauti na hilo, watapata pigo lenye Yehova anatumia ili kupiga mataifa yenye hayapande ili kufanya Sikukuu ya Vibanda. 19 Hiyo ndiyo itakuwa azabu kwa ajili ya zambi ya Misri na zambi ya mataifa yote yenye hayapande ili kufanya Sikukuu ya Vibanda.

20 “Katika siku hiyo maneno ‘Utakatifu ni wa Yehova!’+ yataandikwa kwenye kengele za farasi. Na vyungu vya kupikia*+ vyenye kuwa katika nyumba ya Yehova vitakuwa kama mabakuli+ yenye kuwa mbele ya mazabahu. 21 Na kila chungu cha kupikia* chenye kuwa katika Yerusalemu na katika Yuda kitakuwa kitakatifu na kitakuwa cha Yehova wa majeshi, na wale wote wenye wanatoa zabihu wataingia na kutumia vimoja kati ya vyungu hivyo ili kutokoteshea ndani. Katika siku hiyo hakutakuwa tena Mukanaani* katika nyumba ya Yehova wa majeshi.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine