Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Danieli 12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Danieli

      • “Wakati wa mwisho” na kisha pale (1-13)

        • Mikaeli atasimama (1)

        • Wenye ufahamu watangaa kama mwangaza (3)

        • Ujuzi wa kweli utakuwa mwingi (4)

        • Danieli atasimama kwa ajili ya fungu lake (13)

Danieli 12:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Ni Nani Mwenye Kuwa Kama Mungu?”

  • *

    Ao “atainuka.”

  • *

    Tnn., “wana wa watu wako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 10:13; Yud 9; Ufu 12:7, 8
  • +Da. 10:21
  • +Isa 26:20; Yoe 2:31, 32; Mt 24:21, 22; Ufu 7:13, 14
  • +Mal 3:16; Lu 10:20; Ufu 3:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2015, uku. 30

Danieli 12:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2016, uku. 19

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2010, uku. 22-23

    15/3/2010, uku. 23

    1/9/2007, uku. 20

Danieli 12:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “watakichunguza [ni kusema, kitabu] kwa uangalifu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 8:17, 26; 12:9
  • +Isa 11:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Biblia Inafundisha, uku. 92

    Ufalme wa Mungu Unatawala!,

    uku. 35, 36-37

    Mapenzi ya Yehova, uku. 6

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2012, uku. 3-7

    15/8/2009, uku. 14-16

    15/5/2000, uku. 11

Danieli 12:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 10:4

Danieli 12:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 10:5, 6

Danieli 12:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, nyakati tatu na nusu.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 4:34; Ufu 4:9; 10:6
  • +Da. 8:24

Danieli 12:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 18:34; Mdo 1:7; 1 Pe. 1:10, 11

Danieli 12:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 8:17, 26; 10:14; 12:4

Danieli 12:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 11:35
  • +Zab 111:10; Da. 11:33; 12:3

Danieli 12:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 8:11
  • +Da. 11:31; Mk 13:14

Danieli 12:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “anangojea kwa hamu.”

Danieli 12:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “katika nafasi yako yenye uligawiwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 11:24; Mdo 17:31; 24:15; Ufu 20:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    12/2017, uku. 7

    Amuka!,

    5/2012, uku. 11

    Munara wa Mulinzi,

    1/5/2005, uku. 12

    15/5/2000, uku. 19

Maandiko ingine

Dan. 12:1Da. 10:13; Yud 9; Ufu 12:7, 8
Dan. 12:1Da. 10:21
Dan. 12:1Isa 26:20; Yoe 2:31, 32; Mt 24:21, 22; Ufu 7:13, 14
Dan. 12:1Mal 3:16; Lu 10:20; Ufu 3:5
Dan. 12:4Da. 8:17, 26; 12:9
Dan. 12:4Isa 11:9
Dan. 12:5Da. 10:4
Dan. 12:6Da. 10:5, 6
Dan. 12:7Da. 4:34; Ufu 4:9; 10:6
Dan. 12:7Da. 8:24
Dan. 12:8Lu 18:34; Mdo 1:7; 1 Pe. 1:10, 11
Dan. 12:9Da. 8:17, 26; 10:14; 12:4
Dan. 12:10Da. 11:35
Dan. 12:10Zab 111:10; Da. 11:33; 12:3
Dan. 12:11Da. 8:11
Dan. 12:11Da. 11:31; Mk 13:14
Dan. 12:13Yoh 11:24; Mdo 17:31; 24:15; Ufu 20:12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Danieli 12:1-13

Danieli

12 “Wakati huo Mikaeli*+ atasimama,* ule mukubwa+ mwenye anasimama kwa ajili ya watu wako.* Na kutakuwa wakati wa taabu yenye haijatokea tangu kuwapo kwa taifa lolote mupaka wakati huo. Na wakati huo watu wako wataponyoka,+ kila mutu mwenye anapatikana ameandikwa katika kile kitabu.+ 2 Na wengi kati ya wale wenye wamelala katika mavumbi ya dunia wataamuka, wamoja kwenye uzima wa milele na wengine kwenye haya na zarau ya milele.

3 “Na wenye kuwa na ufahamu watangaa kama mwangaza wa mbinguni, na wenye wanaleta watu wengi kwenye haki watangaa kama nyota, milele na milele.

4 “Sasa wewe, Danieli, weka maneno hayo kuwa siri, na utie kitabu muhuri mupaka wakati wa mwisho.+ Wengi wataenda huku na huku,* na ujuzi wa kweli utakuwa mwingi.”+

5 Kisha, mimi Danieli nikaangalia na kuona watu wengine wawili wamesimama pale, pembeni ya muto mudogo, mumoja kwenye upande huu na mwingine kwenye ule upande mwingine.+ 6 Kisha mumoja akamuambia ule mwanaume mwenye alikuwa anavaa nguo ya kitani,+ mwenye alikuwa juu ya maji ya ule muto mudogo: “Itachukua wakati gani ili mambo haya ya ajabu yafikie mwisho?” 7 Kisha nikasikia ule mwanaume mwenye kuvaa nguo ya kitani, mwenye alikuwa juu ya maji ya ule muto mudogo, wakati aliinua mukono wake wa kuume na mukono wake wa kushoto kuelekea mbinguni na kuapa kwa Ule mwenye anaishi milele:+ “Itakuwa kwa wakati wenye uliwekwa, nyakati zenye ziliwekwa, na nusu ya wakati.* Wakati tu watamaliza kuvunja-vunja nguvu za watakatifu,+ mambo haya yote yatafikia mwisho.”

8 Sasa mimi, nilisikia, lakini sikuelewa;+ basi nikasema: “Ee bwana wangu, ni nini itakuwa matokeo ya mambo haya?”

9 Kisha akasema: “Uende, Danieli, kwa sababu maneno hayo yanapaswa kuwekwa kuwa siri na kutiwa muhuri mupaka wakati wa mwisho.+ 10 Wengi watajitakasa na kujifanya kuwa weupe na watasafishwa.+ Na waovu watatenda kwa uovu, na hakuna muovu yeyote mwenye ataelewa; lakini wale wenye kuwa na ufahamu wataelewa.+

11 “Na tangu wakati ile zabihu ya kuendelea+ itakuwa imeondolewa, na lile chukizo lenye linaleta uharibifu litakuwa limesimamishwa,+ kutakuwa siku elfu moja mia mbili makumi kenda (1 290).

12 “Mwenye furaha ni ule mwenye anaendelea kungojea* na kufika kwenye zile siku elfu moja mia tatu makumi tatu na tano (1 335)!

13 “Lakini wewe, endelea mupaka mwisho. Utapumuzika, lakini utasimama kwa ajili ya fungu lako* kwenye mwisho wa zile siku.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine