Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Kumbukumbu la Torati

      • Wanaambiwa watii (1-14)

        • Usisahau matendo ya Mungu (9)

      • Yehova anataka watu washikamane na yeye tu (15-31)

      • Hakuna Mungu mwingine isipokuwa Yehova (32-40)

      • Miji ya makimbilio upande wa mashariki wa Yordani (41-43)

      • Wanapewa Sheria (44-49)

Kumbukumbu la Torati 4:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:5

Kumbukumbu la Torati 4:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:32; Mez. 30:5, 6; Ufu 22:18, 19

Kumbukumbu la Torati 4:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 25:5, 9; Zab 106:28; Ho 9:10; 1 Kor. 10:7, 8

Kumbukumbu la Torati 4:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:46; Hes 30:16; 36:13; Kum 6:1

Kumbukumbu la Torati 4:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 2:3
  • +Zab 111:10
  • +Zab 119:98, 100
  • +1 Fal. 4:34; 10:4-7; Da. 1:19, 20

Kumbukumbu la Torati 4:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 25:8; Law. 26:12; Kum 5:26; 2 Sa. 7:23

Kumbukumbu la Torati 4:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 147:19, 20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2002, uku. 14-15

Kumbukumbu la Torati 4:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “na kuangalia sana nafsi yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 18:19; Kum 6:6, 7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2006, uku. 29-30

    Shule ya Huduma, uku. 20

Kumbukumbu la Torati 4:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:9
  • +Kut 20:20; Kum 5:29
  • +Mez. 22:6; Efe 6:4

Kumbukumbu la Torati 4:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mupaka kwenye moyo wa mbingu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:18; Ebr 12:18, 19

Kumbukumbu la Torati 4:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 9:10
  • +Isa 40:18; Yoh 1:18; 4:24
  • +Kut 20:22

Kumbukumbu la Torati 4:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “yale Maneno Kumi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:5; Kum 5:2; 9:9; Ebr 9:19, 20
  • +Kut 20:1; 34:28; Kum 10:4
  • +Kut 24:12; 31:18; 32:19; 34:1

Kumbukumbu la Torati 4:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “muangalie sana nafsi zenu.”

Kumbukumbu la Torati 4:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:4; Kum 27:15; Isa 40:18; Mdo 17:29; 1 Kor. 10:14

Kumbukumbu la Torati 4:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 5:8; Rom. 1:22, 23

Kumbukumbu la Torati 4:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 5:4

Kumbukumbu la Torati 4:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 17:2, 3; 2 Fal. 17:16; Eze 8:16

Kumbukumbu la Torati 4:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wa uriti wake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:5

Kumbukumbu la Torati 4:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 106:32
  • +Hes 20:12; Kum 31:1, 2

Kumbukumbu la Torati 4:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 3:27

Kumbukumbu la Torati 4:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 24:3
  • +Kut 20:4

Kumbukumbu la Torati 4:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 24:17; Kum 9:3; Ebr 12:29
  • +Kut 20:5; 34:14; Hes 25:11; Lu 10:27

Kumbukumbu la Torati 4:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 18:30; 2 Fal. 21:1, 7
  • +2 Fal. 17:16, 17

Kumbukumbu la Torati 4:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:24, 28; 26:27, 32

Kumbukumbu la Torati 4:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:64; Ne 1:8
  • +Kum 28:62

Kumbukumbu la Torati 4:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:15, 36; Yer 16:13; Eze 20:39

Kumbukumbu la Torati 4:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 15:4, 15
  • +Kum 30:1-3, 8-10; 1 Fal. 8:48, 49; Yer 29:13; Yoe 2:12

Kumbukumbu la Torati 4:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 33:13; Ne 1:9

Kumbukumbu la Torati 4:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:6; Kum 30:3; 2Nya 30:9; Ne 9:31; Isa 54:7; 55:7
  • +Law. 26:42

Kumbukumbu la Torati 4:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 44:1

Kumbukumbu la Torati 4:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 5:26

Kumbukumbu la Torati 4:34

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “majaribu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 7:3
  • +Kut 15:3
  • +Kut 13:3
  • +Kum 26:8; Zab 78:43-51

Kumbukumbu la Torati 4:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 6:7
  • +Kut 15:11; Kum 32:39; 1 Sa. 2:2; Isa 45:18; Mk 12:32

Kumbukumbu la Torati 4:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:18; 20:22

Kumbukumbu la Torati 4:37

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu yao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 10:15; Zab 105:6

Kumbukumbu la Torati 4:38

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:28; Kum 7:1; 9:1; Yosh. 3:10

Kumbukumbu la Torati 4:39

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 20:6
  • +Isa 44:6

Kumbukumbu la Torati 4:40

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 48:3, 4

Kumbukumbu la Torati 4:41

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 35:14

Kumbukumbu la Torati 4:42

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 35:22-24
  • +Hes 35:11, 25; Kum 19:4, 5

Kumbukumbu la Torati 4:43

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 21:8, 36
  • +Yosh. 21:8, 38
  • +Yosh. 21:27
  • +Yosh. 20:8, 9

Kumbukumbu la Torati 4:44

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 17:18; 27:2, 3; Gal 3:24

Kumbukumbu la Torati 4:45

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:46; Kum 4:1

Kumbukumbu la Torati 4:46

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 1:5; 3:29
  • +Hes 21:26
  • +Hes 21:23, 24

Kumbukumbu la Torati 4:47

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:33; Kum 3:4

Kumbukumbu la Torati 4:48

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Bonde la Muto la Arnoni.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 2:36; 3:12
  • +Kum 3:8, 9

Kumbukumbu la Torati 4:49

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, Bahari ya Chumvi, ao Bahari Yenye Kufa.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 3:16, 17; 34:1

Maandiko ingine

Kum. 4:1Law. 18:5
Kum. 4:2Kum 12:32; Mez. 30:5, 6; Ufu 22:18, 19
Kum. 4:3Hes 25:5, 9; Zab 106:28; Ho 9:10; 1 Kor. 10:7, 8
Kum. 4:5Law. 26:46; Hes 30:16; 36:13; Kum 6:1
Kum. 4:61 Fal. 2:3
Kum. 4:6Zab 111:10
Kum. 4:6Zab 119:98, 100
Kum. 4:61 Fal. 4:34; 10:4-7; Da. 1:19, 20
Kum. 4:7Kut 25:8; Law. 26:12; Kum 5:26; 2 Sa. 7:23
Kum. 4:8Zab 147:19, 20
Kum. 4:9Mwa 18:19; Kum 6:6, 7
Kum. 4:10Kut 19:9
Kum. 4:10Kut 20:20; Kum 5:29
Kum. 4:10Mez. 22:6; Efe 6:4
Kum. 4:11Kut 19:18; Ebr 12:18, 19
Kum. 4:12Kum 9:10
Kum. 4:12Isa 40:18; Yoh 1:18; 4:24
Kum. 4:12Kut 20:22
Kum. 4:13Kut 19:5; Kum 5:2; 9:9; Ebr 9:19, 20
Kum. 4:13Kut 20:1; 34:28; Kum 10:4
Kum. 4:13Kut 24:12; 31:18; 32:19; 34:1
Kum. 4:16Kut 20:4; Kum 27:15; Isa 40:18; Mdo 17:29; 1 Kor. 10:14
Kum. 4:17Kum 5:8; Rom. 1:22, 23
Kum. 4:181 Sa. 5:4
Kum. 4:19Kum 17:2, 3; 2 Fal. 17:16; Eze 8:16
Kum. 4:20Kut 19:5
Kum. 4:21Zab 106:32
Kum. 4:21Hes 20:12; Kum 31:1, 2
Kum. 4:22Kum 3:27
Kum. 4:23Kut 24:3
Kum. 4:23Kut 20:4
Kum. 4:24Kut 24:17; Kum 9:3; Ebr 12:29
Kum. 4:24Kut 20:5; 34:14; Hes 25:11; Lu 10:27
Kum. 4:25Amu 18:30; 2 Fal. 21:1, 7
Kum. 4:252 Fal. 17:16, 17
Kum. 4:26Law. 18:24, 28; 26:27, 32
Kum. 4:27Kum 28:64; Ne 1:8
Kum. 4:27Kum 28:62
Kum. 4:28Kum 28:15, 36; Yer 16:13; Eze 20:39
Kum. 4:292Nya 15:4, 15
Kum. 4:29Kum 30:1-3, 8-10; 1 Fal. 8:48, 49; Yer 29:13; Yoe 2:12
Kum. 4:302Nya 33:13; Ne 1:9
Kum. 4:31Kut 34:6; Kum 30:3; 2Nya 30:9; Ne 9:31; Isa 54:7; 55:7
Kum. 4:31Law. 26:42
Kum. 4:32Zab 44:1
Kum. 4:33Kum 5:26
Kum. 4:34Kut 7:3
Kum. 4:34Kut 15:3
Kum. 4:34Kut 13:3
Kum. 4:34Kum 26:8; Zab 78:43-51
Kum. 4:35Kut 6:7
Kum. 4:35Kut 15:11; Kum 32:39; 1 Sa. 2:2; Isa 45:18; Mk 12:32
Kum. 4:36Kut 19:18; 20:22
Kum. 4:37Kum 10:15; Zab 105:6
Kum. 4:38Kut 23:28; Kum 7:1; 9:1; Yosh. 3:10
Kum. 4:392Nya 20:6
Kum. 4:39Isa 44:6
Kum. 4:40Mwa 48:3, 4
Kum. 4:41Hes 35:14
Kum. 4:42Hes 35:22-24
Kum. 4:42Hes 35:11, 25; Kum 19:4, 5
Kum. 4:43Yosh. 21:8, 36
Kum. 4:43Yosh. 21:8, 38
Kum. 4:43Yosh. 21:27
Kum. 4:43Yosh. 20:8, 9
Kum. 4:44Kum 17:18; 27:2, 3; Gal 3:24
Kum. 4:45Law. 26:46; Kum 4:1
Kum. 4:46Kum 1:5; 3:29
Kum. 4:46Hes 21:26
Kum. 4:46Hes 21:23, 24
Kum. 4:47Hes 21:33; Kum 3:4
Kum. 4:48Kum 2:36; 3:12
Kum. 4:48Kum 3:8, 9
Kum. 4:49Kum 3:16, 17; 34:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Kumbukumbu la Torati 4:1-49

Kumbukumbu la Torati

4 “Sasa, Ee Israeli, sikiliza masharti na maamuzi ya hukumu yenye ninawafundisha kushika, ili muishi+ na kuingia na kuriti inchi yenye Yehova, Mungu wa mababu zenu, anawapatia ninyi. 2 Hamupaswe kuongeza kitu kwenye neno lenye ninawaamuru, wala hamupaswe kuondoa kitu kwenye neno hilo,+ ili mushike amri za Yehova Mungu wenu zenye ninawaamuru ninyi.

3 “Macho yenu wenyewe yameona mambo yenye Yehova alitenda katika jambo la Baali wa Peori; Yehova Mungu wenu aliharibu kila mutu katikati yenu mwenye alimufuata Baali wa Peori.+ 4 Lakini ninyi wenye munashikamana kabisa na Yehova Mungu wenu, ninyi wote muko wazima leo. 5 Angalia, nimewafundisha masharti na maamuzi ya hukumu,+ kama vile Yehova Mungu wangu ameniamuru, ili muyashike katika inchi yenye mutariti. 6 Munapaswa kuyafuata kwa uangalifu,+ kwa sababu hilo litaonyesha kwamba muko na hekima+ na uelewaji+ mbele ya vikundi vya watu vyenye vitasikia kuhusu masharti haya yote, na watasema, ‘Kwa kweli taifa hili kubwa ni taifa la watu wenye hekima na uelewaji.’+ 7 Kwa maana ni taifa gani kubwa lenye miungu yake iko karibu nalo kama vile Yehova Mungu wetu iko* karibu na sisi kila wakati wenye tunamuitia?+ 8 Na ni taifa gani kubwa lenye liko na masharti na maamuzi ya hukumu yenye haki kama Sheria hii yote yenye ninatia mbele yenu leo?+

9 “Lakini tu ukuwe muangalifu na ujiangalie sana,* ili usisahau mambo yenye macho yako yameona na ili yasitoke katika moyo wako siku zote za maisha yako. Unapaswa pia kuyajulisha wana wako na wajukuu wako.+ 10 Siku yenye ulisimama mbele ya Yehova Mungu wako kule Horebu, Yehova aliniambia, ‘Kusanya watu pamoja mbele yangu ili niwafanye wasikie maneno yangu,+ kusudi wajifunze kuniogopa+ siku zote zenye wataishi juu ya udongo na kusudi wafundishe wana wao.’+

11 “Kwa hiyo mulikaribia na kusimama kwenye sehemu ya chini ya mulima, na mulima huo ulikuwa unawaka moto mupaka kwenye mbingu zenyewe;* kulikuwa giza, wingu, weusi muzito.+ 12 Na Yehova akaanza kusema na ninyi kutoka katika moto.+ Mulisikia sauti ya maneno, lakini hamukuona umbo lolote+⁠—​kulikuwa sauti tu.+ 13 Na akawatangazia agano lake,+ lenye aliwaamuru mushike⁠—​zile Amri Kumi (10).*+ Kisha, akaziandika kwenye mabamba mbili ya majiwe.+ 14 Wakati huo Yehova aliniamuru niwafundishe masharti na maamuzi ya hukumu yenye munapaswa kushika katika inchi yenye mutaingia ili kuiriti.

15 “Kwa hiyo, mujiangalie sana*⁠—​kwa sababu hamukuona umbo lolote siku yenye Yehova alisema na ninyi kule Horebu kutoka katikati ya moto⁠— 16 ili musitende kwa upotovu kwa kujitengenezea sanamu ya kuchongwa yenye umbo ya mufano wowote, mufano wa mwanaume ao mwanamuke,+ 17 mufano wa munyama yeyote wa dunia ao mufano wa ndege yeyote mwenye anaruka katika anga,+ 18 mufano wa kitu chochote chenye kinatambaa juu ya udongo ao mufano wa samaki yeyote mwenye kuwa ndani ya maji chini ya dunia.+ 19 Na wakati unainua macho yako kuangalia mbinguni na kuona jua na mwezi na nyota⁠—​jeshi lote la mbinguni⁠—​usishawishiwe na kuviinamia na kuvitumikia.+ Yehova Mungu wako amevipatia vikundi vyote vya watu vyenye kuwa chini ya mbingu zote. 20 Lakini ninyi ndio watu wenye Yehova alichukua na kuwatosha katika tanuru ya kuyeyushia chuma, katika Misri, ili mukuwe watu wenye ni mali yake mwenyewe,*+ kama vile muko leo.

21 “Yehova alinikasirikia kwa sababu yenu,+ na akaapa kwamba sitavuka Yordani ao kuingia katika inchi ya muzuri yenye Yehova Mungu wako anakupatia kuwa uriti.+ 22 Kwa maana nitakufa katika inchi hii; sitavuka Yordani,+ lakini ninyi mutavuka na kuriti inchi hiyo ya muzuri. 23 Mukuwe waangalifu ili musisahau agano la Yehova Mungu wenu lenye alifanya pamoja na ninyi,+ na musijitengenezee sanamu ya kuchongwa, umbo ya kitu chochote chenye Yehova Mungu wako alikukataza.+ 24 Kwa maana Yehova Mungu wako ni moto wenye kuteketeza,+ Mungu mwenye anataka watu washikamane na yeye tu.+

25 “Kama unazaa wana na wajukuu na kama mumeishi wakati murefu katika inchi na munatenda kwa uharibifu na kutengeneza sanamu ya kuchongwa+ ya aina yoyote na munatenda uovu mbele ya macho ya Yehova Mungu wako na hivyo kumukasirisha,+ 26 ninachukua mbingu na dunia kuwa mashahidi juu yenu leo kwamba hakika mutaharibiwa haraka katika inchi yenye munavuka Yordani ili kuiriti. Hamutaishi wakati murefu katika inchi hiyo, lakini mutaharibiwa kabisa.+ 27 Yehova atawasambaza kati ya vikundi vya watu,+ na ni watu kidogo tu kati yenu ndio wataokoka+ kati ya mataifa kwenye Yehova atakuwa amewafukuzia. 28 Kule mutalazimika kutumikia miungu ya miti na ya majiwe yenye ilitengenezwa na mikono ya wanadamu,+ miungu yenye haiwezi kuona wala kusikia wala kula wala kunusa.

29 “Kama munatafuta Yehova Mungu wako mukiwa kule, hakika mutamupata,+ kama unamutafuta kwa moyo wako wote na kwa nafsi* yako yote.+ 30 Wakati utakuwa katika mateso makubwa na mambo hayo yote yakuwe yamekupata katika siku zenye kuja, basi utamurudilia Yehova Mungu wako na kusikiliza sauti yake.+ 31 Kwa maana Yehova Mungu wako ni Mungu mwenye rehema.+ Hatakuacha wala kukuharibu wala kusahau agano lenye aliapia mababu zako.+

32 “Sasa, uliza, kuhusu siku za zamani mbele ya wakati wako, kuanzia siku yenye Mungu aliumba mwanadamu juu ya dunia; tafuta kuanzia mwisho mumoja wa mbingu mupaka mwisho mwingine wa mbingu. Je, kuko jambo lolote kubwa kama hili lenye limekwisha kutokea ao kuko jambo lolote kama hili lenye limekwisha kusikiwa?+ 33 Je, kuko taifa lingine lolote lenye limekwisha kusikia sauti ya Mungu ikisema kutoka katika moto kama vile wewe uliisikia na kuendelea kuishi?+ 34 Ao je, Mungu amekwisha kujaribu kujichukulia taifa katikati ya taifa lingine kwa hukumu,* kwa alama, kwa miujiza,+ kwa vita,+ kwa mukono wenye nguvu,+ kwa mukono wenye kunyooshwa, na kwa matendo ya kuogopesha sana,+ kama vile Yehova Mungu wenu aliwafanyia kule Misri mbele ya macho yenu wenyewe? 35 Ninyi wenyewe mumeonyeshwa mambo hayo ili mujue kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli;+ hakuna mwingine isipokuwa yeye.+ 36 Alikufanya usikie sauti yake kutoka mbinguni ili akurekebishe, na katika dunia alikufanya uone moto wake mukubwa, na maneno yake uliyasikia kutoka katika moto.+

37 “Kwa sababu alipenda mababu zako na amechagua uzao wao* kisha wao,+ ulitoshwa Misri kwa nguvu zake kubwa mbele ya macho yake. 38 Alifukuza mbele yako mataifa makubwa sana na yenye nguvu sana kuliko wewe, ili akuingize na kukupatia inchi yao kuwa uriti, kama vile hali iko leo.+ 39 Kwa hiyo, siku ya leo, ujue na utie katika moyo wako kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli juu mbinguni na chini duniani.+ Hakuna mwingine.+ 40 Unapaswa kushika masharti yake na amri zake zenye ninakuamuru leo, ili mambo yakuendee muzuri wewe na wana wako kisha wewe, kusudi ubakie wakati murefu katika inchi yenye Yehova Mungu wako anakupatia.”+

41 Wakati huo Musa alitia pembeni miji tatu (3) upande wa mashariki wa Yordani.+ 42 Kama muuaji yeyote anaua mwanadamu mwenzake bila kukusudia na hakumuchukia zamani,+ anapaswa kukimbilia katika muji mumoja kati ya miji hiyo na kuishi.+ 43 Miji hiyo ni Beseri+ katika jangwa kwenye eneo tambarare la juu kwa ajili ya Warubeni, Ramoti+ katika Gileadi kwa ajili ya Wagadi, na Golani+ katika Bashani kwa ajili ya Wamanase.+

44 Sasa hiyo ndiyo Sheria+ yenye Musa alitia mbele ya watu wa Israeli. 45 Hivi ni vikumbusho, masharti, na maamuzi ya hukumu yenye Musa alipatia Waisraeli kisha wao kutoka Misri,+ 46 katika eneo la Yordani, katika bonde lenye kuwa ngambo ingine ya Bet-peori,+ katika inchi ya Mufalme Sihoni wa Waamori, mwenye alikuwa anakaa Heshboni,+ mwenye Musa na Waisraeli walimushinda kisha kutoka Misri.+ 47 Na wakakamata inchi yake na inchi ya Mufalme Ogu+ wa Bashani, wafalme wawili wa Waamori wenye walikuwa katika eneo la upande wa mashariki wa Yordani, 48 kuanzia Aroeri,+ yenye kuwa kwenye mupaka wa Bonde la Arnoni,* kufikia kwenye Mulima Sioni, ni kusema, Hermoni,+ 49 na Araba yote katika eneo la mashariki ya Yordani, mupaka Bahari ya Araba,* kwenye sehemu ya chini ya miteremuko ya Pisga.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine