Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Muhubiri 5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Muhubiri

      • Karibia Mungu ukiwa na woga wenye unafaa (1-7)

      • Watu wenye kuwa chini wanaangaliwa na watu wenye kuwa juu zaidi (8, 9)

      • Utajiri ni bure (10-20)

        • Watu wenye wanapenda feza hawatosheke hata kidogo (10)

        • Usingizi wa mufanyakazi ni mutamu (12)

Muhubiri 5:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 15:1, 2
  • +Kum 31:12; Mdo 17:11
  • +1 Sa. 13:12, 13; 15:22; Mez. 21:27; Isa 1:13; Ho 6:6

Muhubiri 5:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 30:2; 1 Sa. 14:24
  • +Mez. 10:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 14

Muhubiri 5:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mambo mengi sana ya kufanya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 6:25, 34; Lu 12:18-20
  • +Mez. 10:19; 15:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 14-15

Muhubiri 5:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 23:21; Zab 76:11; Mt 5:33
  • +Mhu. 10:12
  • +Hes 30:2; Zab 66:13

Muhubiri 5:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 23:22; Mez. 20:25

Muhubiri 5:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kifanye mwili wako.”

  • *

    Ao “mujumbe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 11:35
  • +Law. 5:4
  • +Zab 127:1; Hag 1:11

Muhubiri 5:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ubatili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 5:3
  • +Mhu. 12:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 14-15

Muhubiri 5:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 3:16

Muhubiri 5:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 8:11, 12; 1 Fal. 4:7; 2Nya 26:9, 10; Wim 8:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 14

Muhubiri 5:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ubatili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 4:8
  • +Mt 6:24; Lu 12:15; 1 Tim. 6:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    10/2014, uku. 4

    9/2011, uku. 8

    4/2006, uku. 5

Muhubiri 5:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 4:22, 23
  • +Mez. 23:4, 5; 1 Yo. 2:16

Muhubiri 5:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Muhubiri 5:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “musiba mubaya sana wenye.”

Muhubiri 5:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “shuguli ya mubaya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 23:4, 5; Mt 6:19

Muhubiri 5:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 1:21
  • +Zab 49:17; Lu 12:20; 1 Tim. 6:7

Muhubiri 5:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “musiba mubaya sana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 16:26; Yoh 6:27

Muhubiri 5:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 6:10

Muhubiri 5:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hilo ndilo fungu lake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 4:20
  • +Mhu. 2:24; 3:22; Isa 65:21, 22

Muhubiri 5:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “fungu lake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 3:12, 13; Yob 42:12
  • +Kum 8:10; Mhu. 3:12, 13; 1 Tim. 6:17; Yak 1:17

Muhubiri 5:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kukumbuka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:8; Zab 4:7

Maandiko ingine

Muh. 5:1Zab 15:1, 2
Muh. 5:1Kum 31:12; Mdo 17:11
Muh. 5:11 Sa. 13:12, 13; 15:22; Mez. 21:27; Isa 1:13; Ho 6:6
Muh. 5:2Hes 30:2; 1 Sa. 14:24
Muh. 5:2Mez. 10:19
Muh. 5:3Mt 6:25, 34; Lu 12:18-20
Muh. 5:3Mez. 10:19; 15:2
Muh. 5:4Hes 30:2; Zab 66:13
Muh. 5:4Kum 23:21; Zab 76:11; Mt 5:33
Muh. 5:4Mhu. 10:12
Muh. 5:5Kum 23:22; Mez. 20:25
Muh. 5:6Amu 11:35
Muh. 5:6Law. 5:4
Muh. 5:6Zab 127:1; Hag 1:11
Muh. 5:7Mhu. 5:3
Muh. 5:7Mhu. 12:13
Muh. 5:8Mhu. 3:16
Muh. 5:91 Sa. 8:11, 12; 1 Fal. 4:7; 2Nya 26:9, 10; Wim 8:11
Muh. 5:10Mhu. 4:8
Muh. 5:10Mt 6:24; Lu 12:15; 1 Tim. 6:10
Muh. 5:111 Fal. 4:22, 23
Muh. 5:11Mez. 23:4, 5; 1 Yo. 2:16
Muh. 5:14Mez. 23:4, 5; Mt 6:19
Muh. 5:15Yob 1:21
Muh. 5:15Zab 49:17; Lu 12:20; 1 Tim. 6:7
Muh. 5:16Mt 16:26; Yoh 6:27
Muh. 5:171 Tim. 6:10
Muh. 5:181 Fal. 4:20
Muh. 5:18Mhu. 2:24; 3:22; Isa 65:21, 22
Muh. 5:191 Fal. 3:12, 13; Yob 42:12
Muh. 5:19Kum 8:10; Mhu. 3:12, 13; 1 Tim. 6:17; Yak 1:17
Muh. 5:20Kum 28:8; Zab 4:7
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Muhubiri 5:1-20

Muhubiri

5 Ukuwe muangalifu wakati unaenda katika nyumba ya Mungu wa kweli;+ ni muzuri zaidi ukaribie ili kusikiliza+ kuliko kutoa zabihu kama vile wajinga wanafanya,+ kwa maana hawajue kwamba jambo lenye wanafanya ni mubaya.

2 Usikuwe haraka kufungua kinywa chako, wala usiache moyo wako useme haraka mbele ya Mungu wa kweli,+ kwa maana Mungu wa kweli iko* mbinguni lakini wewe uko katika dunia. Ndiyo sababu maneno yako yanapaswa kuwa kidogo.+ 3 Kwa maana ndoto inatokana na mawazo mengi sana,*+ na kusema-sema kwa mujinga kunatokana na maneno mengi sana.+ 4 Kila mara wakati unaweka naziri kwa Mungu, usikawie kuitimiza,+ kwa maana hafurahie wajinga.+ Naziri yenye unaweka, uitimize.+ 5 Ni muzuri zaidi usiweke naziri kuliko kuweka naziri na kukosa kuitimiza.+ 6 Usiruhusu kinywa chako kikufanye* utende zambi,+ na usiseme mbele ya malaika* kwamba lilikuwa kosa.+ Sababu gani umukasirishe Mungu wa kweli kwa sababu ya maneno yenye unasema na hivyo kumufanya aharibu kazi ya mikono yako?+ 7 Kwa maana kama vile mawazo mengi yanafanya mutu aote ndoto,+ vilevile, maneno mengi yanaongoza kwenye mambo ya bure.* Lakini umuogope Mungu wa kweli.+

8 Kama unaona maskini wanakandamizwa kwa njia yoyote na haki inavunjwa na uadilifu* havifuatwe katika wilaya yako, jambo hilo lisikushangaze.+ Kwa maana ofisa mukubwa iko* anaangaliwa na ule mwenye kuwa juu zaidi kuliko yeye, na kuko wengine wenye wako tena juu kuliko wao.

9 Pia, wao wote wanagawana faida ya inchi; hata mufalme anapata faida kutoka katika shamba.+

10 Mwenye anapenda feza hatashiba feza, wala mwenye anapenda mali hatashiba mapato.+ Jambo hili pia ni bure.*+

11 Wakati vitu vya muzuri vinaongezeka, wenye kuvikula wanaongezeka.+ Na mwenye vitu hivyo anapata faida gani, isipokuwa kuviangalia tu na macho yake?+

12 Usingizi wa mutumishi ni mutamu, ikuwe amekula mingi ao kidogo, lakini vitu vingi vyenye tajiri iko* navyo havimuruhusu alale.

13 Kuko jambo la mubaya sana lenye* nimeona chini ya jua: utajiri wenye mutu alijirundikia ili kujiumiza mwenyewe. 14 Utajiri huo ulipotea kwa sababu ya kuutumia mubaya,* na wakati anazaa mwana, hana kitu chochote chenye alibakia nacho.+

15 Kama vile mutu alitoka katika tumbo la uzazi la mama yake, ataenda akiwa uchi, kama vile alikuja.+ Na hawezi kubeba kitu chochote kwa ajili ya kazi yake yote ya nguvu.+

16 Hili pia ni jambo la mubaya sana:* Kama vile alikuja, ni vile ataenda; na kuko faida gani kwa mutu mwenye anaendelea kufanya kazi ya nguvu kwa ajili ya upepo?+ 17 Pia, kila siku anakula katika giza, akiwa amevunjika moyo kabisa na akiwa mugonjwa na mwenye kukasirika.+

18 Nimeona kwamba hili ndilo jambo la muzuri na lenye kufaa: kwamba mutu anapaswa kula, kunywa, na kufurahia kazi yake yote ya nguvu+ yenye anafanya kwa jasho chini ya jua siku kidogo za maisha yenye Mungu wa kweli amemupatia, kwa maana hiyo ndiyo zawabu yake.*+ 19 Pia, wakati Mungu wa kweli anapatia mutu utajiri na vitu vya kimwili+ na kumuwezesha kuvifurahia, anapaswa kukamata zawabu yake* na kufurahia kazi yake ya nguvu. Hiyo ni zawadi ya Mungu.+ 20 Kwa maana itakuwa vigumu kwake kutambua* kwamba siku za maisha yake zinapita haraka, kwa sababu Mungu wa kweli anamufanya aendelee kufurahi sana katika moyo wake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine