Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 102
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Sala ya mutu mwenye kukandamizwa wakati amepoteza tumaini

        • “Niko kama ndege mwenye kuwa peke yake” (7)

        • ‘Siku zangu ni kivuli chenye kufifia’ (11)

        • “Yehova atajenga upya Sayuni” (16)

        • Yehova anadumu milele (26, 27)

Zaburi 102:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “anakuwa zaifu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 61:2; 142:2

Zaburi 102:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 55:1; Da. 9:17
  • +Kut 2:23

Zaburi 102:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Inama chini na unisikilize.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 27:9; Omb 1:20
  • +Zab 143:7; Isa 65:24

Zaburi 102:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Omb 1:13

Zaburi 102:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 143:4

Zaburi 102:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 6:6; 38:8
  • +Yob 19:20; Mez. 17:22

Zaburi 102:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “Nimekonda sana na nimekuwa zaifu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 38:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2014, uku. 16

Zaburi 102:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wenye kunifanya nionekane kuwa mupumbavu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 31:11; 74:10; 79:4

Zaburi 102:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Omb 3:15
  • +Zab 80:5

Zaburi 102:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kivuli chenye kurefuka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 39:5
  • +Yob 14:1, 2; Zab 102:4

Zaburi 102:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “jina lako litadumu.” Tnn., “ukumbusho wako utadumu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 90:2
  • +Kut 3:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2014, uku. 16

Zaburi 102:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 49:15
  • +Isa 60:10
  • +Ezr 1:1, 2; Isa 40:2; Da. 9:2

Zaburi 102:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 2:3; Zab 137:5
  • +Zab 79:1

Zaburi 102:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 60:3; Zek 8:22

Zaburi 102:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 147:2; Yer 33:7
  • +Isa 60:1

Zaburi 102:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Da. 9:20, 21
  • +Zab 22:24

Zaburi 102:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hawajaumbwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 78:4; Rom. 15:4

Zaburi 102:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 16:9

Zaburi 102:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 3:7; Isa 61:1
  • +2Nya 33:12, 13; Zab 79:11

Zaburi 102:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 9:13, 14; 22:22; Isa 51:11

Zaburi 102:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 11:10; 49:22; 60:3

Zaburi 102:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 90:2; Hab 1:12; Ufu 1:8

Zaburi 102:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 8:3; Isa 48:13; Ebr 1:10-12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2011, uku. 27

    1/1/2006, uku. 30

Zaburi 102:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2011, uku. 27-28

    1/4/2008, uku. 11-12

    1/1/2006, uku. 30

Zaburi 102:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 36:26; Mal 3:6; Yak 1:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2014, uku. 16

    1/7/2011, uku. 27

Zaburi 102:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 66:22

Maandiko ingine

Zb. 102:utanguliziZab 61:2; 142:2
Zb. 102:1Zab 55:1; Da. 9:17
Zb. 102:1Kut 2:23
Zb. 102:2Zab 27:9; Omb 1:20
Zb. 102:2Zab 143:7; Isa 65:24
Zb. 102:3Omb 1:13
Zb. 102:4Zab 143:4
Zb. 102:5Zab 6:6; 38:8
Zb. 102:5Yob 19:20; Mez. 17:22
Zb. 102:7Zab 38:11
Zb. 102:8Zab 31:11; 74:10; 79:4
Zb. 102:9Omb 3:15
Zb. 102:9Zab 80:5
Zb. 102:11Zab 39:5
Zb. 102:11Yob 14:1, 2; Zab 102:4
Zb. 102:12Zab 90:2
Zb. 102:12Kut 3:15
Zb. 102:13Isa 49:15
Zb. 102:13Isa 60:10
Zb. 102:13Ezr 1:1, 2; Isa 40:2; Da. 9:2
Zb. 102:14Ne 2:3; Zab 137:5
Zb. 102:14Zab 79:1
Zb. 102:15Isa 60:3; Zek 8:22
Zb. 102:16Zab 147:2; Yer 33:7
Zb. 102:16Isa 60:1
Zb. 102:17Da. 9:20, 21
Zb. 102:17Zab 22:24
Zb. 102:18Zab 78:4; Rom. 15:4
Zb. 102:192Nya 16:9
Zb. 102:20Kut 3:7; Isa 61:1
Zb. 102:202Nya 33:12, 13; Zab 79:11
Zb. 102:21Zab 9:13, 14; 22:22; Isa 51:11
Zb. 102:22Isa 11:10; 49:22; 60:3
Zb. 102:24Zab 90:2; Hab 1:12; Ufu 1:8
Zb. 102:25Zab 8:3; Isa 48:13; Ebr 1:10-12
Zb. 102:27Yob 36:26; Mal 3:6; Yak 1:17
Zb. 102:28Isa 66:22
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 102:1-28

Zaburi

Sala ya mutu mwenye kukandamizwa wakati amepoteza tumaini*

na anamwanga hangaiko lake

mbele ya Yehova.+

102 Ee Yehova, sikia sala yangu;+

Kilio changu cha kuomba musaada kikufikie.+

 2 Usinifiche uso wako wakati niko katika taabu.+

Unitegee sikio lako;*

Unijibu haraka wakati ninaita.+

 3 Kwa maana siku zangu zinaisha kama moshi,

Na mifupa yangu imeungua na kuwa myeusi kama jiko.+

 4 Moyo wangu umepigwa kama majani na umekauka,+

Kwa maana ninasahau kula chakula changu.

 5 Kwa sababu ninalia kwa maumivu kwa sauti kubwa,+

Mifupa yangu inakamatana na nyama yangu.+

 6 Ninafanana na mwari wa jangwa;

Niko kama bundi mudogo kati ya mabomoko.

 7 Ninalala bila kupata usingizi;*

Niko kama ndege mwenye kuwa peke yake kwenye sehemu ya juu ya nyumba.+

 8 Maadui wangu wananichokoza muchana wote.+

Wale wenye kunichekelea* wanatumia jina langu kama laana.

 9 Kwa maana ninakula majivu kama mukate,+

Na kinywaji changu kimechanganywa na machozi,+

10 Kwa sababu ya hasira yako na kasirani yako kali,

Kwa maana uliniinua juu ili tu unitupe pembeni.

11 Siku zangu ziko kama kivuli chenye kufifia,*+

Na ninakauka kama majani.+

12 Lakini wewe unadumu milele, Ee Yehova,+

Na sifa yako itadumu* katika vizazi vyote.+

13 Hakika utasimama na kuonyesha Sayuni rehema,+

Kwa maana ni wakati wa kuonyesha muji huo wema wako;+

Wakati wenye uliwekwa umefika.+

14 Kwa maana watumishi wako wanafurahia majiwe yake+

Na wanapenda hata mavumbi yake.+

15 Mataifa yataogopa jina la Yehova,

Na wafalme wote wa dunia wataogopa utukufu wako.+

16 Kwa maana Yehova atajenga upya Sayuni;+

Atatokea katika utukufu wake.+

17 Atasikiliza sala ya maskini;+

Hatazarau sala yao.+

18 Hili limeandikwa kwa ajili ya kizazi cha siku zenye kuja,+

Ili watu wenye bado hawajazaliwa* wamusifu Yah.

19 Kwa maana anaangalia chini akiwa katika nafasi yake takatifu ya juu,+

Akiwa mbinguni Yehova anaona dunia,

20 Ili asikie kilio cha maumivu cha mufungwa,+

Ili aweke huru wale wenye walihukumiwa kifo,+

21 Ili jina la Yehova litangazwe katika Sayuni+

Na sifa yake katika Yerusalemu,

22 Wakati vikundi vya watu na falme

Wanakusanyika pamoja ili kumutumikia Yehova.+

23 Alininyanganya nguvu zangu mbele ya wakati;

Alifupisha siku zangu.

24 Nilisema: “Ee Mungu wangu,

Usiniharibu nikiwa katikati ya maisha yangu,

Wewe mwenye miaka yako inadumu katika vizazi vyote.+

25 Zamani sana uliweka misingi ya dunia,

Na mbingu ni kazi ya mikono yako.+

26 Hizo zitaangamia, lakini wewe utaendelea kuwa;

Zote zitazeeka kama vile nguo.

Utazibadilisha kama vile nguo, na zitapita.

27 Lakini wewe ni uleule, na miaka yako haitafikia mwisho hata siku moja.+

28 Watoto wa watumishi wako watakaa kwa usalama,

Na uzao wao utafanywa kuwa imara kabisa mbele yako.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine