Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Watesalonike 3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Watesalonike

      • Muendelee kusali (1-5)

      • Onyo juu ya kujiendesha bila utaratibu (6-15)

      • Salamu za mwisho (16-18)

2 Watesalonike 3:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 15:30; 1 Tes. 5:25; Ebr 13:18
  • +Mdo 19:20; 1 Tes. 1:8

2 Watesalonike 3:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 25:4
  • +Mdo 28:24; Rom. 10:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/5/2009, uku. 8

2 Watesalonike 3:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 5:3
  • +Lu 21:19; Rom. 5:3

2 Watesalonike 3:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “agizo lenye.”

  • *

    Ao pengine, “walipata.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tes. 5:14
  • +1 Kor. 11:2; 2 Tes. 2:15; 3:14

2 Watesalonike 3:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 4:16; 1 Tes. 1:6

2 Watesalonike 3:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “bila kulipa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 20:34
  • +Mdo 18:3; 1 Kor. 9:14, 15; 2 Kor. 11:9; 1 Tes. 2:9

2 Watesalonike 3:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 10:9, 10; 1 Kor. 9:6, 7
  • +1 Kor. 11:1; Flp 3:17

2 Watesalonike 3:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tes. 4:11, 12; 1 Tim. 5:8

2 Watesalonike 3:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tes. 5:14
  • +1 Tim. 5:13; 1 Pe. 4:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 232

2 Watesalonike 3:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “tunawahimiza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 4:28

2 Watesalonike 3:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tes. 3:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    11/2016, uku. 12

    Tengenezo,

    uku. 134-136

2 Watesalonike 3:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tes. 5:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    11/2016, uku. 12

2 Watesalonike 3:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 14:27

2 Watesalonike 3:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 16:21; Kol 4:18

Maandiko ingine

2 Te. 3:1Rom. 15:30; 1 Tes. 5:25; Ebr 13:18
2 Te. 3:1Mdo 19:20; 1 Tes. 1:8
2 Te. 3:2Isa 25:4
2 Te. 3:2Mdo 28:24; Rom. 10:16
2 Te. 3:51 Yo. 5:3
2 Te. 3:5Lu 21:19; Rom. 5:3
2 Te. 3:61 Tes. 5:14
2 Te. 3:61 Kor. 11:2; 2 Tes. 2:15; 3:14
2 Te. 3:71 Kor. 4:16; 1 Tes. 1:6
2 Te. 3:8Mdo 20:34
2 Te. 3:8Mdo 18:3; 1 Kor. 9:14, 15; 2 Kor. 11:9; 1 Tes. 2:9
2 Te. 3:9Mt 10:9, 10; 1 Kor. 9:6, 7
2 Te. 3:91 Kor. 11:1; Flp 3:17
2 Te. 3:101 Tes. 4:11, 12; 1 Tim. 5:8
2 Te. 3:111 Tes. 5:14
2 Te. 3:111 Tim. 5:13; 1 Pe. 4:15
2 Te. 3:12Efe 4:28
2 Te. 3:142 Tes. 3:6
2 Te. 3:151 Tes. 5:14
2 Te. 3:16Yoh 14:27
2 Te. 3:171 Kor. 16:21; Kol 4:18
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Watesalonike 3:1-18

Ya Pili kwa Watesalonike

3 Mwishowe, ndugu, muendelee kusali kwa ajili yetu,+ kwamba neno la Yehova* liendelee kuenea haraka+ na kutukuzwa, kama vile linafanya kwenu, 2 na kwamba Mungu atukomboe kutokana na watu wenye kuumiza na waovu,+ kwa maana imani haiko mali ya watu wote.+ 3 Lakini Bwana ni muaminifu, na atawatia ninyi nguvu na kuwalinda kutokana na ule muovu. 4 Zaidi ya hilo, tuko na uhakika katika Bwana juu yenu, kwamba munafanya na mutaendelea kufanya mambo yenye tunawaagiza. 5 Bwana aendelee kuongoza muzuri mioyo yenu ili mufikie upendo wa Mungu+ na mukuwe wavumilivu+ kwa ajili ya Kristo.

6 Sasa tunawapatia ninyi maagizo, ndugu, katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo, mujiepushe na kila ndugu mwenye anajiendesha bila utaratibu+ na hatembee kupatana na pokeo lenye* mulipata* kutoka kwetu.+ 7 Kwa maana ninyi wenyewe munajua namna munapaswa kutuiga,+ kwa sababu hatukujiendesha bila utaratibu kati yenu, 8 na hatukukula chakula cha mutu yeyote bure.*+ Lakini, kwa kazi ya jasho na ya taabu tulikuwa tunatumika usiku na muchana ili tusiwekee mutu yeyote kati yenu muzigo muzito.+ 9 Haimaanishe kama hatuna mamlaka,+ lakini tulitaka kuwawekea ninyi mufano ili mutuige.+ 10 Kwa kweli, wakati tulikuwa pamoja na ninyi, tulikuwa tunawapatia ninyi agizo hili: “Kama mutu yeyote hataki kufanya kazi, basi asikule pia chakula.”+ 11 Kwa maana tunasikia kama watu fulani wanajiendesha bila utaratibu kati yenu,+ hawafanye kazi yoyote, lakini wanajiingiza katika mambo yenye hayawaangalie.+ 12 Kwa watu wa namna hiyo tunatoa agizo na tunawatia moyo* katika jina la Bwana Yesu Kristo, kwamba wafanye kazi kwa utulivu na kula chakula chenye wao wenyewe walitumikia.+

13 Kwa upande wenu, ndugu, musiache kutenda mema. 14 Lakini kama mutu yeyote hatii neno letu kupitia barua hii, mumutie mutu huyo alama na muache kushirikiana naye,+ ili apate haya. 15 Hata hivyo, musimuone mutu huyo kama adui, lakini muendelee kumuonya+ kama ndugu.

16 Sasa Bwana wa amani mwenyewe awapatie amani sikuzote katika kila njia.+ Bwana akuwe pamoja na ninyi wote.

17 Hii ni salamu yangu, mimi Paulo, yenye niliandika kwa mukono wangu mwenyewe.+ Na ni alama katika kila barua; hii ndiyo namna yangu ya kuandika.

18 Fazili zenye hazistahiliwe za Bwana wetu Yesu Kristo zikuwe pamoja na ninyi wote.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine