Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Mambo ya Walawi

      • Ngono zenye haziruhusiwe (1-30)

        • Musiige Wakanaani (3)

        • Kufanya ngono na watu wa jamaa (6-18)

        • Katika siku za kuona mwezi (19)

        • Mwanaume kufanya ngono na mwanaume (22)

        • Kufanya ngono na wanyama (23)

        • ‘Musijichafue, kama munafanya vile, inchi itawatapika’ (24-30)

Mambo ya Walawi 18:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 17:7; Kut 6:7

Mambo ya Walawi 18:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:24; Law. 20:23

Mambo ya Walawi 18:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 20:22; Kum 4:1

Mambo ya Walawi 18:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 10:27, 28; Rom. 10:5; Gal 3:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2009, uku. 6

Mambo ya Walawi 18:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kufunua uchi,” katika mustari huu na katika mistari yenye kufuata.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 20:17

Mambo ya Walawi 18:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Ni uchi wa baba yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 35:22; 49:4; Law. 20:11; Kum 27:20; 2 Sa. 16:21; 1 Kor. 5:1

Mambo ya Walawi 18:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 20:17; Kum 27:22; 2 Sa. 13:10-12

Mambo ya Walawi 18:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 20:19

Mambo ya Walawi 18:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Mambo ya Walawi 18:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Usifunue uchi wa ndugu ya baba yako.”

  • *

    Katika desturi ya Waebrania shangazi ni dada ya mama ao dada ya baba, ao bibi ya ndugu ya baba.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 20:20

Mambo ya Walawi 18:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 20:12

Mambo ya Walawi 18:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ni uchi wa ndugu yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 20:21; Kum 25:5; Mk 6:17, 18

Mambo ya Walawi 18:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwenendo wa haya; mwenendo muchafu sana. ”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 20:14; Kum 27:23

Mambo ya Walawi 18:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 30:15

Mambo ya Walawi 18:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 15:19, 24; 20:18

Mambo ya Walawi 18:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “jirani yako, rafiki yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:14; Law. 20:10; Kum 22:22; Mez. 6:29; Mt 5:27, 28; 1 Kor. 6:9, 10; Ebr 13:4

Mambo ya Walawi 18:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 20:2; Kum 18:10; 1 Fal. 11:7; 2 Fal. 23:10
  • +Law. 20:3

Mambo ya Walawi 18:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 19:5; Law. 20:13; Amu 19:22; Rom. 1:26, 27; 1 Kor. 6:9, 10; Yud 7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    1/2012, uku. 28

Mambo ya Walawi 18:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 22:19; Law. 20:15, 16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2003, uku. 27

Mambo ya Walawi 18:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 20:23; Kum 18:12

Mambo ya Walawi 18:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 15:16

Mambo ya Walawi 18:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 20:22; Kum 4:1, 40
  • +Kut 12:49

Mambo ya Walawi 18:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 20:17, 18; 2 Fal. 16:2, 3; 21:1, 2

Mambo ya Walawi 18:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi zote zenye kufanya mambo hayo zinapaswa.”

  • *

    Ao “kuuawa kutoka.”

Mambo ya Walawi 18:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:3; 20:23; Kum 18:9

Maandiko ingine

Mambo ya walawi 18:2Mwa 17:7; Kut 6:7
Mambo ya walawi 18:3Kut 23:24; Law. 20:23
Mambo ya walawi 18:4Law. 20:22; Kum 4:1
Mambo ya walawi 18:5Lu 10:27, 28; Rom. 10:5; Gal 3:12
Mambo ya walawi 18:6Law. 20:17
Mambo ya walawi 18:8Mwa 35:22; 49:4; Law. 20:11; Kum 27:20; 2 Sa. 16:21; 1 Kor. 5:1
Mambo ya walawi 18:9Law. 20:17; Kum 27:22; 2 Sa. 13:10-12
Mambo ya walawi 18:12Law. 20:19
Mambo ya walawi 18:14Law. 20:20
Mambo ya walawi 18:15Law. 20:12
Mambo ya walawi 18:16Law. 20:21; Kum 25:5; Mk 6:17, 18
Mambo ya walawi 18:17Law. 20:14; Kum 27:23
Mambo ya walawi 18:18Mwa 30:15
Mambo ya walawi 18:19Law. 15:19, 24; 20:18
Mambo ya walawi 18:20Kut 20:14; Law. 20:10; Kum 22:22; Mez. 6:29; Mt 5:27, 28; 1 Kor. 6:9, 10; Ebr 13:4
Mambo ya walawi 18:21Law. 20:2; Kum 18:10; 1 Fal. 11:7; 2 Fal. 23:10
Mambo ya walawi 18:21Law. 20:3
Mambo ya walawi 18:22Mwa 19:5; Law. 20:13; Amu 19:22; Rom. 1:26, 27; 1 Kor. 6:9, 10; Yud 7
Mambo ya walawi 18:23Kut 22:19; Law. 20:15, 16
Mambo ya walawi 18:24Law. 20:23; Kum 18:12
Mambo ya walawi 18:25Mwa 15:16
Mambo ya walawi 18:26Law. 20:22; Kum 4:1, 40
Mambo ya walawi 18:26Kut 12:49
Mambo ya walawi 18:27Kum 20:17, 18; 2 Fal. 16:2, 3; 21:1, 2
Mambo ya walawi 18:30Law. 18:3; 20:23; Kum 18:9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Mambo ya Walawi 18:1-30

Mambo ya Walawi

18 Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumuambia: 2 “Sema na Waisraeli na uwaambie, ‘Mimi ni Yehova Mungu wenu.+ 3 Hamupaswe kujiendesha kama vile wanajiendesha katika inchi ya Misri, kwenye mulikuwa munaishi, na hamupaswe kufanya mambo yenye wanafanya katika inchi ya Kanaani, kwenye ninawapeleka.+ Na hamupaswe kufuata sheria zao. 4 Munapaswa kutimiza maamuzi yangu ya hukumu, na munapaswa kushika amri zangu na kuzifuata.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. 5 Munapaswa kushika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu; kila mutu mwenye anafanya vile ataishi kupitia mambo hayo.+ Mimi ni Yehova.

6 “‘Mutu yeyote kati yenu asimukaribie mutu yeyote wa jamaa yake ya karibu ili kufanya ngono* naye.+ Mimi ni Yehova. 7 Haupaswe kufanya ngono na baba yako, na haupaswe kufanya ngono na mama yako. Yeye ni mama yako, na haupaswe kufanya ngono naye.

8 “‘Haupaswe kufanya ngono na bibi ya baba yako.+ Kufanya vile ni kumuletea baba yako haya.*

9 “‘Haupaswe kufanya ngono na dada yako, ikuwe mutoto mwanamuke wa baba yako ao mutoto mwanamuke wa mama yako, ikuwe amezaliwa katika nyumba ileile ao amezaliwa inje ya nyumba ile.+

10 “‘Haupaswe kufanya ngono na binti ya mwana wako ao binti ya binti yako, kwa sababu wao ni uchi wako mwenyewe.

11 “‘Haupaswe kufanya ngono na mutoto mwanamuke wa bibi ya baba yako, uzao wa baba yako, kwa sababu yeye ni dada yako.

12 “‘Haupaswe kufanya ngono na dada ya baba yako. Iko* na uhusiano wa damu pamoja na baba yako.+

13 “‘Haupaswe kufanya ngono na dada ya mama yako, kwa sababu iko* na uhusiano wa damu pamoja na mama yako.

14 “‘Haupaswe kumuletea ndugu ya baba yako haya* kwa kufanya ngono na bibi yake. Yeye ni shangazi* yako.+

15 “‘Haupaswe kufanya ngono na binti-mukwe wako.+ Yeye ni bibi ya mwana wako, na haupaswe kufanya ngono naye.

16 “‘Haupaswe kufanya ngono na bibi ya ndugu yako,+ kwa sababu kufanya vile ni kumuletea ndugu yako haya.*

17 “‘Haupaswe kufanya ngono na mwanamuke pamoja na binti yake.+ Haupaswe kukamata binti ya mwana wake na binti ya binti yake ili kulala naye. Wao ni watu wa jamaa yake ya karibu; ni tendo chafu.*

18 “‘Haupaswe kuchukua mwanamuke pamoja na dada yake ili akuwe bibi-mushindani wake+ na kufanya ngono naye wakati dada yake angali muzima.

19 “‘Haupaswe kumukaribia mwanamuke wakati wa uchafu wake wa kuona mwezi ili kufanya ngono naye.+

20 “‘Haupaswe kufanya ngono na bibi ya mwanaume mwenzako,* kufanya vile ni kujichafua.+

21 “‘Haupaswe kuruhusu muzao wako yeyote atolewe zabihu kwa Moleki.+ Haupaswe kuchafua jina la Mungu wako kwa njia hiyo.+ Mimi ni Yehova.

22 “‘Haupaswe kulala na mwanaume kama vile unalala na mwanamuke.+ Hilo ni tendo lenye kuchukiza.

23 “‘Mwanaume hapaswe kufanya ngono na munyama ili kujichafua kwa tendo hilo; wala mwanamuke hapaswe kujitoa kwa munyama ili kufanya ngono naye.+ Kufanya vile ni kuvunja sheria ya asili.

24 “‘Musijichafue kwa jambo lolote kati ya mambo hayo, kwa maana mataifa yenye ninafukuza kutoka mbele yenu yamejichafua kupitia mambo hayo yote.+ 25 Ndiyo maana inchi hiyo haiko safi, na nitaleta azabu juu ya inchi hiyo kwa sababu ya kosa lake, na inchi hiyo itatapika wakaaji wake.+ 26 Lakini ninyi munapaswa kushika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu,+ na hamupaswe kufanya jambo lolote kati ya mambo hayo yenye kuchukiza, ikuwe mwenyeji ao mugeni mwenye kuishi kati yenu.+ 27 Kwa maana watu wenye waliishi katika inchi hiyo mbele yenu walifanya mambo hayo yote yenye kuchukiza,+ na sasa inchi hiyo haiko safi. 28 Basi inchi hiyo haitawatapika kwa sababu ya kuichafua kama vile itatapika mataifa yenye yaliwatangulia. 29 Kama mutu anafanya jambo lolote kati ya mambo hayo yenye kuchukiza, wote wenye kufanya mambo hayo wanapaswa* kuondolewa* katikati ya watu wao. 30 Munapaswa kushika mambo yenye nimewaomba kwa kukataa kufuata desturi zozote zenye kuchukiza ambazo zilifuatwa mbele yenu,+ ili musijichafue kupitia desturi hizo. Mimi ni Yehova Mungu wenu.’”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine