Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 33
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Kumbukumbu la Torati

      • Musa anabariki makabila (1-29)

        • ‘Mikono ya milele’ ya Yehova (27)

Kumbukumbu la Torati 33:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 49:28

Kumbukumbu la Torati 33:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:18
  • +Hab 3:3
  • +Da. 7:10; Yud 14
  • +Zab 68:17

Kumbukumbu la Torati 33:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 7:8; Ho 11:1
  • +Kut 19:6
  • +Kut 19:23
  • +Kut 20:19

Kumbukumbu la Torati 33:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 24:8
  • +Kum 4:8; Mdo 7:53

Kumbukumbu la Torati 33:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Mutu Munyoofu,” jina la heshima la Israeli.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 44:2
  • +Kut 18:25; 19:7
  • +Hes 1:44, 46

Kumbukumbu la Torati 33:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 49:3
  • +Hes 26:7; Yosh. 13:15

Kumbukumbu la Torati 33:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “imepambana kwa ajili ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 49:8; 1Nya 5:2
  • +Zab 78:68
  • +Amu 1:2; 2 Sa. 7:8, 9

Kumbukumbu la Torati 33:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno “yako” katika mustari huu linahusiana na Mungu.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 49:5; Hes 3:12
  • +Kut 28:30; Law. 8:6, 8
  • +Kut 32:26
  • +Kut 17:7
  • +Hes 20:13

Kumbukumbu la Torati 33:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 32:27; Law. 10:6, 7
  • +Mal 2:4, 5

Kumbukumbu la Torati 33:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “katika pua yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 17:9
  • +2Nya 17:8, 9; Mal 2:7
  • +Kut 30:7; Hes 16:40
  • +Law. 1:9

Kumbukumbu la Torati 33:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “viuno vya.”

Kumbukumbu la Torati 33:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 49:27

Kumbukumbu la Torati 33:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 49:22
  • +Yosh. 16:1
  • +Mwa 49:25

Kumbukumbu la Torati 33:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:5; Zab 65:9

Kumbukumbu la Torati 33:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “milima ya mashariki.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 17:17, 18

Kumbukumbu la Torati 33:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 8:7, 8
  • +Kut 3:4; Mdo 7:30
  • +Mwa 37:7; 49:26; 1Nya 5:1, 2

Kumbukumbu la Torati 33:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kupiga.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 48:19, 20

Kumbukumbu la Torati 33:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 49:13
  • +Mwa 49:14

Kumbukumbu la Torati 33:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “watanyonya wingi wa.”

  • *

    Ao “hazina zenye kufichwa za.”

Kumbukumbu la Torati 33:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 49:19
  • +Yosh. 13:24-28

Kumbukumbu la Torati 33:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 32:1-5
  • +Yosh. 22:1, 4

Kumbukumbu la Torati 33:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 49:16
  • +Amu 13:2, 24; 15:8, 20; 16:30
  • +Yosh. 19:47

Kumbukumbu la Torati 33:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 49:21

Kumbukumbu la Torati 33:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “anawe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 49:20

Kumbukumbu la Torati 33:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Na kama vile siku zako ziko ni vile nguvu zako zitakuwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 8:7, 9

Kumbukumbu la Torati 33:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:11
  • +Isa 44:2
  • +Zab 68:32-34

Kumbukumbu la Torati 33:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 46:11; 91:2
  • +Isa 40:11
  • +Kum 9:3
  • +Kum 31:3, 4

Kumbukumbu la Torati 33:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 8:7, 8
  • +Kum 11:11

Kumbukumbu la Torati 33:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “mahali pao pa juu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 33:12; 144:15; 146:5
  • +Kum 4:7; 2 Sa. 7:23; Zab 147:20
  • +Zab 27:1; Isa 12:2
  • +Zab 115:9
  • +Zab 66:3

Maandiko ingine

Kum. 33:1Mwa 49:28
Kum. 33:2Kut 19:18
Kum. 33:2Hab 3:3
Kum. 33:2Da. 7:10; Yud 14
Kum. 33:2Zab 68:17
Kum. 33:3Kum 7:8; Ho 11:1
Kum. 33:3Kut 19:6
Kum. 33:3Kut 19:23
Kum. 33:3Kut 20:19
Kum. 33:4Kut 24:8
Kum. 33:4Kum 4:8; Mdo 7:53
Kum. 33:5Isa 44:2
Kum. 33:5Kut 18:25; 19:7
Kum. 33:5Hes 1:44, 46
Kum. 33:6Mwa 49:3
Kum. 33:6Hes 26:7; Yosh. 13:15
Kum. 33:7Mwa 49:8; 1Nya 5:2
Kum. 33:7Zab 78:68
Kum. 33:7Amu 1:2; 2 Sa. 7:8, 9
Kum. 33:8Mwa 49:5; Hes 3:12
Kum. 33:8Kut 28:30; Law. 8:6, 8
Kum. 33:8Kut 32:26
Kum. 33:8Kut 17:7
Kum. 33:8Hes 20:13
Kum. 33:9Kut 32:27; Law. 10:6, 7
Kum. 33:9Mal 2:4, 5
Kum. 33:10Kum 17:9
Kum. 33:102Nya 17:8, 9; Mal 2:7
Kum. 33:10Kut 30:7; Hes 16:40
Kum. 33:10Law. 1:9
Kum. 33:12Mwa 49:27
Kum. 33:13Mwa 49:22
Kum. 33:13Yosh. 16:1
Kum. 33:13Mwa 49:25
Kum. 33:14Law. 26:5; Zab 65:9
Kum. 33:15Yosh. 17:17, 18
Kum. 33:16Kum 8:7, 8
Kum. 33:16Kut 3:4; Mdo 7:30
Kum. 33:16Mwa 37:7; 49:26; 1Nya 5:1, 2
Kum. 33:17Mwa 48:19, 20
Kum. 33:18Mwa 49:13
Kum. 33:18Mwa 49:14
Kum. 33:20Mwa 49:19
Kum. 33:20Yosh. 13:24-28
Kum. 33:21Hes 32:1-5
Kum. 33:21Yosh. 22:1, 4
Kum. 33:22Mwa 49:16
Kum. 33:22Amu 13:2, 24; 15:8, 20; 16:30
Kum. 33:22Yosh. 19:47
Kum. 33:23Mwa 49:21
Kum. 33:24Mwa 49:20
Kum. 33:25Kum 8:7, 9
Kum. 33:26Kut 15:11
Kum. 33:26Isa 44:2
Kum. 33:26Zab 68:32-34
Kum. 33:27Zab 46:11; 91:2
Kum. 33:27Isa 40:11
Kum. 33:27Kum 9:3
Kum. 33:27Kum 31:3, 4
Kum. 33:28Kum 8:7, 8
Kum. 33:28Kum 11:11
Kum. 33:29Zab 33:12; 144:15; 146:5
Kum. 33:29Kum 4:7; 2 Sa. 7:23; Zab 147:20
Kum. 33:29Zab 27:1; Isa 12:2
Kum. 33:29Zab 115:9
Kum. 33:29Zab 66:3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Kumbukumbu la Torati 33:1-29

Kumbukumbu la Torati

33 Sasa hii ndiyo baraka yenye Musa mutu wa Mungu wa kweli alitangazia Waisraeli mbele ya kifo chake.+ 2 Alisema:

“Yehova⁠—​alikuja kutoka Sinai,+

Na akawaangazia kutoka Seiri.

Aliangaza kwa utukufu kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+

Na alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+

Na wapiganaji-vita wake kwenye mukono wake wa kuume.+

 3 Aliwapenda watu wake;+

Watakatifu wao wote wako katika mukono wako.+

Walikuwa wanakaa kwenye miguu yako;+

Walianza kusikiliza maneno yako.+

 4 (Musa alitupatia amri, sheria,+

Kuwa mali ya kutaniko la Yakobo.)+

 5 Na akakuwa mufalme kule Yeshuruni,*+

Wakati vichwa vya watu walikusanyika pamoja,+

Pamoja na makabila yote ya Israeli.+

 6 Acha Rubeni aishi na asikufe,+

Na watu wake wasikuwe kidogo.”+

 7 Na akamutangazia Yuda baraka hii:+

“Ee Yehova, sikia sauti ya Yuda,+

Na umurudishe kwa watu wake.

Mikono yake imetetea* kitu chake,

Na umusaidie kupigana na maadui wake.”+

 8 Kuhusu Lawi akasema:+

“Tumimu yako* na Urimu yako+ ni vya mutu mwenye kuwa mushikamanifu kwako,+

Mwenye ulijaribu kule Masa.+

Ulianza kushindana naye karibu na maji ya Meriba,+

 9 Mutu mwenye aliambia baba yake na mama yake, ‘Sijawaheshimia.’

Hata ndugu zake hakuwatambua,+

Na alipuuza wana wake mwenyewe.

Kwa maana walitii neno lako,

Na walishika agano lako.+

10 Wamufundishe Yakobo maamuzi yako ya hukumu+

Na Israeli Sheria yako.+

Wakutolee uvumba wenye harufu ya kukupendeza*+

Na toleo nzima kwenye mazabahu yako.+

11 Ee Yehova, bariki nguvu zake,

Na ufurahie kazi ya mikono yake.

Vunja miguu ya* wale wenye wanainuka ili kumupinga,

Ili wale wenye kumuchukia wasiinuke tena.”

12 Kuhusu Benyamini alisema:+

“Muache mupendwa wa Yehova akae kwa usalama pembeni yake;

Wakati anamulinda siku nzima,

Atakaa katikati ya mabega yake.”

13 Kuhusu Yosefu alisema:+

“Inchi yake ibarikiwe na Yehova+

Kwa vitu vya muzuri vya mbinguni,

Kwa umande na maji kutoka katika chemchemi zenye kuwa chini,+

14 Kwa vitu vya muzuri vyenye kuletwa na jua

Na mazao ya muzuri kila mwezi,+

15 Kwa vitu vya muzuri sana kutoka katika milima ya zamani*+

Na vitu vya muzuri kutoka katika vilima vyenye kudumu,

16 Kwa vitu vya muzuri vya dunia na vitu vyenye kuijaza,+

Na kwa kukubaliwa na Ule mwenye kukaa katika muti mudogo wa miiba.+

Na vikuje juu ya kichwa cha Yosefu,

Kwenye sehemu ya juu ya katikati ya kichwa cha ule mwenye alichaguliwa kutoka kati ya ndugu zake.+

17 Utukufu wake ni kama wa muzaliwa wa kwanza wa ngombe-dume,

Na pembe zake ni pembe za ngombe-dume wa pori.

Atayatumia ili kusukuma* vikundi vya watu

Mataifa yote mupaka kwenye miisho ya dunia.

Wao ni makumi ya maelfu ya Efraimu,+

Nao ni maelfu ya Manase.”

18 Kuhusu Zabuloni alisema:+

“Shangilia, Ee Zabuloni, wakati unatoka inje,

Na wewe, Isakari, katika mahema yako.+

19 Wataita vikundi vya watu viende kwenye mulima.

Kule watatoa zabihu za haki.

Kwa maana watashota katika utajiri mwingi wa* bahari

Na marundo yenye kufichwa ya* muchanga.”

20 Kuhusu Gadi alisema:+

“Amebarikiwa ule mwenye anapanua mipaka ya Gadi.+

Analala kule kama simba,

Akiwa tayari kupasua mukono, ndiyo, sehemu ya juu ya katikati ya kichwa.

21 Atajichagulia sehemu ya kwanza,+

Kwa maana kule fungu la mupaji-sheria limelindwa.+

Vichwa vya watu watakusanyika pamoja.

Haki ya Yehova ataitimiza,

Na maamuzi yake ya hukumu pamoja na Israeli.”

22 Kuhusu Dani alisema:+

“Dani ni mwana-simba.+

Ataruka kutoka Bashani.”+

23 Kuhusu Naftali alisema:+

“Naftali ametosheka kwa sababu ya kukubaliwa

Na amejaa baraka ya Yehova.

Kamata mangaribi na kusini.”

24 Kuhusu Asheri alisema:+

“Asheri amebarikiwa kuwa na wana.

Apendwe na ndugu zake,

Na atumbukize* miguu yake katika mafuta.

25 Makufuli ya mulango wako mukubwa ni chuma na shaba,+

Na utakuwa salama siku zako zote.*

26 Hakuna mwenye kuwa kama Mungu wa kweli+ wa Yeshuruni,+

Mwenye anapita katika mbingu ili kukusaidia

Na kupita juu ya mawingu katika utukufu wake.+

27 Mungu ni kimbilio tangu nyakati za zamani,+

Mikono yake ya milele iko chini yako.+

Na atamufukuza adui kutoka mbele yako,+

Na atasema, ‘Uwaharibu!’+

28 Israeli atakaa kwa usalama,

Na chemchemi ya Yakobo itatengwa peke yake

Katika inchi ya nafaka na divai mupya,+

Mwenye anga zake zitaangusha matone-matone ya umande.+

29 Wewe ni mwenye furaha, Ee Israeli!+

Ni nani mwenye kuwa kama wewe,+

Kikundi cha watu wenye kufurahia wokovu wa Yehova,+

Ngao yako yenye kukulinda+

Na upanga wako wenye utukufu?

Maadui wako watajikunja kwa woga mbele yako,+

Na utakanyanga kwenye migongo yao.”*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine