Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 138
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Mungu anahangaikia watu, hata kama yeye ni mwenye kuinuliwa

        • ‘Ulijibu sala yangu’ (3)

        • ‘Hata katikati ya hatari, unaniokoa’ (7)

Zaburi 138:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “Nitapinga miungu mingine kwa kukupigia muziki.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 9:1

Zaburi 138:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “patakatifu pako.”

  • *

    Ao pengine, “umetukuza neno lako juu ya jina lako lote.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 3:3; 1Nya 16:1; Zab 28:2
  • +Yoh 17:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2006, uku. 19

    1/9/2006, uku. 16

Zaburi 138:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nisikuwe na woga katika nafsi yangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 18:6
  • +Zab 29:11; Isa 12:2; 41:10

Zaburi 138:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 102:15; Isa 60:3

Zaburi 138:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:10, 11

Zaburi 138:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 2:8; Zab 113:6-8; Isa 57:15
  • +Yak 4:6; 1 Pe. 5:5

Zaburi 138:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 71:20

Zaburi 138:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 103:17
  • +Yob 14:15; Zab 71:18

Maandiko ingine

Zb. 138:1Zab 9:1
Zb. 138:21 Sa. 3:3; 1Nya 16:1; Zab 28:2
Zb. 138:2Yoh 17:6
Zb. 138:3Zab 18:6
Zb. 138:3Zab 29:11; Isa 12:2; 41:10
Zb. 138:4Zab 102:15; Isa 60:3
Zb. 138:51 Fal. 8:10, 11
Zb. 138:61 Sa. 2:8; Zab 113:6-8; Isa 57:15
Zb. 138:6Yak 4:6; 1 Pe. 5:5
Zb. 138:7Zab 71:20
Zb. 138:8Zab 103:17
Zb. 138:8Yob 14:15; Zab 71:18
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 138:1-8

Zaburi

Ya Daudi.

138 Nitakusifu kwa moyo wangu wote.+

Mbele ya miungu mingine,

Nitaimba sifa.*

 2 Nitainama kuelekea hekalu lako takatifu,*+

Na nitasifu jina lako+

Kwa sababu ya upendo wako mushikamanifu na uaminifu wako.

Kwa maana umetukuza neno lako na jina lako juu ya vitu vingine vyote.*

 3 Siku yenye nilikuita, ulinijibu;+

Ulinifanya nisikuwe na woga* na nikuwe mwenye nguvu.+

 4 Wafalme wote wa dunia watakusifu, Ee Yehova,+

Kwa maana watakuwa wamesikia ahadi zenye ulitoa.

 5 Wataimba kuhusu njia za Yehova,

Kwa maana utukufu wa Yehova ni mukubwa.+

 6 Ijapokuwa Yehova iko* juu, yeye anaona wanyenyekevu,+

Lakini wenye majivuno anawajua tu kwa mbali.+

 7 Hata kama ninatembea katikati ya hatari, utalinda uzima wangu.+

Unanyoosha mukono wako juu ya kasirani ya maadui wangu;

Mukono wako wa kuume utaniokoa.

 8 Yehova atatimiza mambo yote kwa ajili yangu.

Ee Yehova, upendo wako mushikamanifu unadumu milele;+

Usiache kazi za mikono yako.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine