Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorinto 5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Wakorinto

      • Kisa cha uasherati (1-5)

      • Chachu kidogo inachachisha donge lote (6-8)

      • Mutu muovu aondolewe (9-13)

1 Wakorinto 5:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno la Kigiriki por·neiʹa. Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Neno la Kigiriki por·neiʹa. Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Tnn., “kuwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 5:3
  • +Law. 18:8

1 Wakorinto 5:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 7:9
  • +1 Kor. 5:13; 2 Yo. 10

1 Wakorinto 5:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 1:20
  • +1 Kor. 1:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2012, uku. 22

    15/7/2008, uku. 26-27

    15/11/2006, uku. 27

1 Wakorinto 5:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 15:33; Gal 5:9; 2 Tim. 2:16, 17

1 Wakorinto 5:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 1:29
  • +1 Pe. 1:19, 20; Ufu 5:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2013, uku. 19

1 Wakorinto 5:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 13:7

1 Wakorinto 5:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno, “Uasherati.”

1 Wakorinto 5:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno, “Uasherati.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 2:17
  • +Yoh 17:15

1 Wakorinto 5:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno, “Uasherati.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 16:25, 26; Rom. 16:17; 2 Yo. 10
  • +Efe 5:5
  • +Kum 21:20, 21; 1 Pe. 4:3
  • +1 Kor. 6:9, 10; Gal 5:19-21

1 Wakorinto 5:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 12:14
  • +Mwa 3:23, 24; Kum 17:7; Tit 3:10; 2 Yo. 10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2015, uku. 30

Maandiko ingine

1 Wakorintho 5:1Efe 5:3
1 Wakorintho 5:1Law. 18:8
1 Wakorintho 5:21 Kor. 5:13; 2 Yo. 10
1 Wakorintho 5:22 Kor. 7:9
1 Wakorintho 5:51 Tim. 1:20
1 Wakorintho 5:51 Kor. 1:8
1 Wakorintho 5:61 Kor. 15:33; Gal 5:9; 2 Tim. 2:16, 17
1 Wakorintho 5:7Yoh 1:29
1 Wakorintho 5:71 Pe. 1:19, 20; Ufu 5:12
1 Wakorintho 5:8Kut 13:7
1 Wakorintho 5:101 Yo. 2:17
1 Wakorintho 5:10Yoh 17:15
1 Wakorintho 5:11Hes 16:25, 26; Rom. 16:17; 2 Yo. 10
1 Wakorintho 5:11Efe 5:5
1 Wakorintho 5:11Kum 21:20, 21; 1 Pe. 4:3
1 Wakorintho 5:111 Kor. 6:9, 10; Gal 5:19-21
1 Wakorintho 5:13Mhu. 12:14
1 Wakorintho 5:13Mwa 3:23, 24; Kum 17:7; Tit 3:10; 2 Yo. 10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Wakorinto 5:1-13

Ya Kwanza kwa Wakorinto

5 Kwa kweli inasemekana kama kuko uasherati*+ katikati yenu, tena uasherati* wenye haujatokea hata kati ya watu wa mataifa⁠—⁠wa mwanaume mumoja mwenye anaishi* na bibi ya baba yake.+ 2 Na je, ninyi munajivunia jambo hilo? Tofauti na hilo, je, hamungepaswa kuomboleza+ ili mutu mwenye alifanya kitendo hicho aondolewe katikati yenu?+ 3 Hata kama siko kule katika mwili, niko katika roho, na tayari nimemuhukumu mutu huyo mwenye amefanya tendo hilo, kama vile ningekuwa pamoja na ninyi. 4 Wakati munakusanyika pamoja katika jina la Bwana wetu Yesu, na kujua kama niko pamoja na ninyi katika roho pamoja na nguvu za Bwana wetu Yesu, 5 munapaswa kumutoa mutu wa namna hiyo kwa Shetani+ kwa ajili ya kuharibiwa kwa mwili, ili roho iokolewe katika siku ya Bwana.+

6 Kujisifu kwenu hakuko kwa muzuri. Je, hamujue kama chachu kidogo inachachisha donge lote?+ 7 Mutoshe chachu ya zamani ili mukuwe donge mupya, kwa kuwa ninyi hamuna chachu. Kwa maana, kwa kweli, Kristo kondoo wetu wa Pasaka+ ametolewa kuwa zabihu.+ 8 Kwa hiyo, tufanye basi sikukuu,+ hapana na chachu ya zamani, ao na chachu ya ubaya na uovu, lakini na mikate yenye haina chachu, ya unyoofu na kweli.

9 Katika barua yangu niliwaandikia ninyi muache kushirikiana na waasherati,* 10 sikumaanisha kabisa waasherati* wa ulimwengu huu+ ao watu wenye pupa na wanyanganyi ao waabudu-sanamu. Kama ingekuwa vile, kwa kweli ingewaomba ninyi mutoke katika ulimwengu.+ 11 Lakini sasa ninawaandikia ninyi muache kushirikiana+ na mutu yeyote mwenye kuitwa ndugu mwenye kuwa mwasherati* ao mutu mwenye kuwa na pupa+ ao muabudu-sanamu ao mutukanaji ao mulevi+ ao munyanganyi,+ hata musikule chakula pamoja na mutu wa namna hiyo. 12 Kwa maana sababu gani nihukumu wale wenye kuwa inje? Je, ninyi hamuhukumu wale wenye kuwa ndani, 13 wakati Mungu anahukumu wale wenye kuwa inje?+ “Muondoe mutu muovu katikati yenu.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine