Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 104
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Kumusifu Mungu kwa sababu ya maajabu ya uumbaji

        • Dunia itadumu milele (5)

        • Divai na mukate kwa ajili ya mwanadamu mwenye anaweza kufa (15)

        • “Kazi zako ni nyingi sana!” (24)

        • ‘Wakati roho inaondolewa, wanakufa’ (29)

Zaburi 104:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yangu imusifu.”

  • *

    Ao “heshima.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 103:1
  • +Zab 86:10
  • +1Nya 16:27; Eze 1:27, 28; Da. 7:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2008, uku. 13

Zaburi 104:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yak 1:17; 1 Yo. 1:5
  • +Isa 40:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2008, uku. 13

Zaburi 104:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “katika maji.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 18:11; Amo 9:6
  • +Kum 33:26; Isa 19:1
  • +2 Sa. 22:11; Yob 38:1

Zaburi 104:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 1:13; Ebr 1:7, 14

Zaburi 104:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Haitatikisika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 38:4, 6; Zab 24:1, 2
  • +Mhu. 1:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    Na. 5 2016 uku. 15

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2008, uku. 31

Zaburi 104:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 1:2

Zaburi 104:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 1:9

Zaburi 104:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 8:25

Zaburi 104:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 38:8-10; Zab 33:7; Mez. 8:29; Yer 5:22

Zaburi 104:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 38:37; Zab 147:8; Yer 10:13; Amo 9:6; Mt 5:45
  • +Zab 65:9; Mdo 14:17

Zaburi 104:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 1:29, 30; 9:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2011, uku. 8

Zaburi 104:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 9:7
  • +Mhu. 10:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2011, uku. 8

Zaburi 104:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nyumba; viota.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 8:7

Zaburi 104:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 39:1
  • +Mez. 30:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2004, uku. 9

Zaburi 104:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 1:16; Zab 19:6; Yer 31:35

Zaburi 104:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 1:5; Zab 74:16; Isa 45:7

Zaburi 104:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Wana-simba wenye manyoya ya murefu kwenye shingo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amo 3:4
  • +Zab 147:9

Zaburi 104:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 9:6
  • +Mez. 3:19; Yer 10:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 55, 173-175

Zaburi 104:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 1:21

Zaburi 104:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua za maji; bateaux.”

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 41:1

Zaburi 104:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 136:25; 145:15; 147:9; Mt 6:26

Zaburi 104:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 12:24
  • +Zab 107:9; 145:16

Zaburi 104:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 3:19; Yob 34:14, 15; Zab 146:3, 4; Mhu. 3:19, 20; 12:7

Zaburi 104:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 33:4; Mdo 17:28

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2002, uku. 5

Zaburi 104:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 1:31

Zaburi 104:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:18

Zaburi 104:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nitamupigia Mungu wangu muziki.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 13:6
  • +Zab 146:2

Zaburi 104:34

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “Acha kufikiri sana kwangu juu yake kupendeze.”

Zaburi 104:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yangu imusifu.”

  • *

    Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 37:10, 38; Mez. 2:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,”

    uku. 103-104

Maandiko ingine

Zb. 104:1Zab 103:1
Zb. 104:1Zab 86:10
Zb. 104:11Nya 16:27; Eze 1:27, 28; Da. 7:9
Zb. 104:2Yak 1:17; 1 Yo. 1:5
Zb. 104:2Isa 40:22
Zb. 104:3Zab 18:11; Amo 9:6
Zb. 104:3Kum 33:26; Isa 19:1
Zb. 104:32 Sa. 22:11; Yob 38:1
Zb. 104:4Eze 1:13; Ebr 1:7, 14
Zb. 104:5Yob 38:4, 6; Zab 24:1, 2
Zb. 104:5Mhu. 1:4
Zb. 104:6Mwa 1:2
Zb. 104:7Mwa 1:9
Zb. 104:8Mez. 8:25
Zb. 104:9Yob 38:8-10; Zab 33:7; Mez. 8:29; Yer 5:22
Zb. 104:13Yob 38:37; Zab 147:8; Yer 10:13; Amo 9:6; Mt 5:45
Zb. 104:13Zab 65:9; Mdo 14:17
Zb. 104:14Mwa 1:29, 30; 9:3
Zb. 104:15Mhu. 9:7
Zb. 104:15Mhu. 10:19
Zb. 104:17Yer 8:7
Zb. 104:18Yob 39:1
Zb. 104:18Mez. 30:26
Zb. 104:19Mwa 1:16; Zab 19:6; Yer 31:35
Zb. 104:20Mwa 1:5; Zab 74:16; Isa 45:7
Zb. 104:21Amo 3:4
Zb. 104:21Zab 147:9
Zb. 104:24Ne 9:6
Zb. 104:24Mez. 3:19; Yer 10:12
Zb. 104:25Mwa 1:21
Zb. 104:26Yob 41:1
Zb. 104:27Zab 136:25; 145:15; 147:9; Mt 6:26
Zb. 104:28Lu 12:24
Zb. 104:28Zab 107:9; 145:16
Zb. 104:29Mwa 3:19; Yob 34:14, 15; Zab 146:3, 4; Mhu. 3:19, 20; 12:7
Zb. 104:30Yob 33:4; Mdo 17:28
Zb. 104:31Mwa 1:31
Zb. 104:32Kut 19:18
Zb. 104:33Zab 13:6
Zb. 104:33Zab 146:2
Zb. 104:35Zab 37:10, 38; Mez. 2:22
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 104:1-35

Zaburi

104 Acha nimusifu* Yehova.+

Ee Yehova Mungu wangu, uko mukubwa sana.+

Umevaa utukufu* na uzuri.+

 2 Umefunikwa mwangaza+ kama nguo;

Unatandika mbingu kama kitambaa cha hema.+

 3 Anajenga nguzo za vyumba vyake vya juu katika maji yenye kuwa juu,*+

Anafanya mawingu kuwa gari lake,+

Akienda juu ya mabawa ya upepo.+

 4 Anafanya malaika wake kuwa roho,

Watumishi wake kuwa moto wenye kuteketeza.+

 5 Ameweka dunia imara juu ya misingi yake;+

Haitahamishwa kutoka mahali pake* milele na milele.+

 6 Uliifunika kwa maji yenye kuenda chini sana kama kwa nguo.+

Maji yalisimama juu ya milima.

 7 Kwa kemeo lako yalikimbia;+

Kwa sauti ya mungurumo wako yalikimbia kwa woga mukubwa

 8 ⁠—​Milima ilipanda+ na mabonde yakashuka⁠—

Mahali kwenye ulifanya kwa ajili yake.

 9 Uliweka mupaka wenye hayapaswe kuvuka,+

Ili yasifunike dunia tena hata siku moja.

10 Anatuma chemchemi katika mabonde;

Kati ya milima zinatiririka.

11 Zinapatia maji wanyama wote wa pori;

Punda wa pori wanakata kiu yao.

12 Juu yake ndege wa anga wanakaa;

Wanaimba katikati ya majani mengi.

13 Anamwangilia milima maji ya vyumba vyake vya juu.+

Dunia inashiba matunda ya kazi zako.+

14 Anaotesha majani kwa ajili ya ngombe

Na mimea ili wanadamu waitumie,+

Ili kukomalisha chakula juu ya udongo

15 Na divai yenye inafanya moyo wa mwanadamu ufurahi,+

Mafuta yenye inafanya uso ungae,

Na mukate wenye unategemeza moyo wa mwanadamu mwenye anaweza kufa.+

16 Miti ya Yehova imeshiba,

Mierezi ya Lebanoni yenye alipanda,

17 Kwenye ndege wanatengeneza chicha.*

Makao ya korongo+ ni miti ya miberoshi.

18 Milima mirefu ni ya mbuzi wa milima;+

Miamba ni kimbilio la wibari.+

19 Amefanya mwezi ili uonyeshe nyakati zenye ziliwekwa;

Jua linajua muzuri wakati wa kushuka.+

20 Unaleta giza, na usiku unaingia,+

Wakati wanyama wote wa pori wanazunguka-zunguka.

21 Wana-simba* wananguruma ili wapate mawindo yao+

Na wanatafuta chakula chao kutoka kwa Mungu.+

22 Wakati jua linatokea,

Wanarudia na kulala katika mapango yao.

23 Mwanadamu anaenda kwenye kazi yake,

Na anafanya kazi kwa jasho mupaka mangaribi.

24 Kazi zako ni nyingi sana, Ee Yehova!+

Umezifanya zote kwa hekima.+

Dunia imejaa vitu vyenye umefanya.

25 Kuko bahari, kubwa sana na pana,

Inajaa viumbe vyenye uzima vyenye havina hesabu, vidogo na vikubwa.+

26 Mashua* zinasafiri kule,

Na Leviatani,*+ mwenye uliumba ili achezee ndani yake.

27 Wote wanakungojea wewe

Ili uwapatie chakula chao kwa wakati wake.+

28 Wanakusanya kile unawapatia.+

Wakati unafungua mukono wako, wanashiba vitu vya muzuri.+

29 Wakati unaficha uso wako, wanavurugika.

Kama unaondoa roho yao, wanakufa na kurudia katika mavumbi.+

30 Kama unatuma roho yako, wanaumbwa,+

Na unafanya upya uso wa inchi.

31 Utukufu wa Yehova utadumu milele.

Yehova atashangilia katika kazi zake.+

32 Anaangalia dunia, na inatetemeka;

Anagusa milima, na inatoa moshi.+

33 Nitamuimbia Yehova+ maisha yangu yote;

Nitamuimbia Mungu wangu sifa* wakati wote wenye nitakuwa muzima.+

34 Mawazo yangu yamupendeze.*

Nitashangilia katika Yehova.

35 Watenda-zambi wataisha katika dunia,

Na waovu hawatakuwa tena.+

Acha nimusifu* Yehova. Mumusifu Yah!*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine