Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Muhubiri 7
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Muhubiri

      • Jina la muzuri na siku ya kufa (1-4)

      • Kemeo la mutu mwenye hekima (5-7)

      • Mwisho ni muzuri zaidi kuliko mwanzo (8-10)

      • Faida ya hekima (11, 12)

      • Siku za muzuri na siku za mubaya (13-15)

      • Epuka kuvuka mipaka (16-22)

      • Mambo yenye mukutanishaji alijionea (23-29)

Muhubiri 7:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Sifa ya muzuri.” Tnn., “Jina.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 10:7; 22:1; Isa 56:5; Lu 10:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2008, uku. 24-25

    15/8/2003, uku. 3

Muhubiri 7:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 5:11, 12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    22/3/2003, uku. 21

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2002, uku. 4

Muhubiri 7:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:71; Lu 6:21
  • +2 Kor. 7:10; Ebr 12:11

Muhubiri 7:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “raha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 25:36; Mez. 21:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2008, uku. 22

Muhubiri 7:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 141:5; Mez. 15:31

Muhubiri 7:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ubatili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 2:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 15

Muhubiri 7:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kata-midomo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:8; Kum 16:19; 1 Sa. 8:1-3; Mez. 17:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2010, uku. 4

Muhubiri 7:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 13:10; Yak 5:10; 1 Pe. 5:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2000, uku. 4

Muhubiri 7:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Usikuwe haraka kukasirika katika roho yako.”

  • *

    Ao pengine, “ni tabia ya mupumbavu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 16:32; Yak 1:19
  • +Mwa 4:5; Est 5:9; Mez. 14:17, 29; 29:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2005, uku. 13-15

Muhubiri 7:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 9:62

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2012, uku. 26-27

    1/12/2002, uku. 32

Muhubiri 7:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, wenye wako wazima.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2004, uku. 28

Muhubiri 7:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 4:5, 6
  • +Mez. 10:15
  • +Mez. 3:13, 18; 8:35; 9:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    6/2007, uku. 20-21

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2004, uku. 28

    1/8/2003, uku. 5

Muhubiri 7:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 9:12; Isa 14:27

Muhubiri 7:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “musiba.”

  • *

    Ao “wasivumbue.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yak 5:13
  • +Yob 2:10; Isa 45:7
  • +Mez. 27:1; Mhu. 9:11; Yak 4:13, 14

Muhubiri 7:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ubatili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 39:5
  • +Mwa 4:8; 1 Sa. 22:18
  • +Yob 21:7; Zab 73:12

Muhubiri 7:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 65:5; Mt 6:1; Rom. 10:3; 14:10
  • +Mez. 3:7; Rom. 12:3
  • +Mez. 16:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2010, uku. 9

    Vijana Huuliza 2, uku. 228

Muhubiri 7:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 14:1; Mez. 14:9
  • +Zab 55:23; Mez. 10:27

Muhubiri 7:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flp 4:5

Muhubiri 7:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 21:22; 24:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 15

Muhubiri 7:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 6:36; Zab 51:5; Rom. 3:23; 1 Yo. 1:8

Muhubiri 7:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akikulaani.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 24:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    22/10/2001, uku. 14

Muhubiri 7:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yak 3:2, 8, 9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    22/10/2001, uku. 14

Muhubiri 7:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 36:6; 139:6; Isa 55:9; Rom. 11:33

Muhubiri 7:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 1:17; 2:12

Muhubiri 7:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “makila ya.”

  • *

    Ao “makila ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 39:7-9
  • +Mez. 5:3, 14; 7:22, 23; 22:14

Muhubiri 7:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mhu. 1:1

Muhubiri 7:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yangu iliendelea.”

  • *

    Ao “mwanaume munyoofu.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2015, uku. 28-29

    15/1/2007, uku. 31

Muhubiri 7:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 1:26, 31
  • +Mwa 3:6; 6:12; Kum 32:5

Maandiko ingine

Muh. 7:1Mez. 10:7; 22:1; Isa 56:5; Lu 10:20
Muh. 7:2Isa 5:11, 12
Muh. 7:3Zab 119:71; Lu 6:21
Muh. 7:32 Kor. 7:10; Ebr 12:11
Muh. 7:41 Sa. 25:36; Mez. 21:17
Muh. 7:5Zab 141:5; Mez. 15:31
Muh. 7:6Mhu. 2:2
Muh. 7:7Kut 23:8; Kum 16:19; 1 Sa. 8:1-3; Mez. 17:23
Muh. 7:8Mez. 13:10; Yak 5:10; 1 Pe. 5:5
Muh. 7:9Mez. 16:32; Yak 1:19
Muh. 7:9Mwa 4:5; Est 5:9; Mez. 14:17, 29; 29:11
Muh. 7:10Lu 9:62
Muh. 7:12Mez. 4:5, 6
Muh. 7:12Mez. 10:15
Muh. 7:12Mez. 3:13, 18; 8:35; 9:11
Muh. 7:13Yob 9:12; Isa 14:27
Muh. 7:14Yak 5:13
Muh. 7:14Yob 2:10; Isa 45:7
Muh. 7:14Mez. 27:1; Mhu. 9:11; Yak 4:13, 14
Muh. 7:15Zab 39:5
Muh. 7:15Mwa 4:8; 1 Sa. 22:18
Muh. 7:15Yob 21:7; Zab 73:12
Muh. 7:16Isa 65:5; Mt 6:1; Rom. 10:3; 14:10
Muh. 7:16Mez. 3:7; Rom. 12:3
Muh. 7:16Mez. 16:18
Muh. 7:17Zab 14:1; Mez. 14:9
Muh. 7:17Zab 55:23; Mez. 10:27
Muh. 7:18Flp 4:5
Muh. 7:19Mez. 21:22; 24:5
Muh. 7:202Nya 6:36; Zab 51:5; Rom. 3:23; 1 Yo. 1:8
Muh. 7:211 Sa. 24:9
Muh. 7:22Yak 3:2, 8, 9
Muh. 7:24Zab 36:6; 139:6; Isa 55:9; Rom. 11:33
Muh. 7:25Mhu. 1:17; 2:12
Muh. 7:26Mwa 39:7-9
Muh. 7:26Mez. 5:3, 14; 7:22, 23; 22:14
Muh. 7:27Mhu. 1:1
Muh. 7:29Mwa 1:26, 31
Muh. 7:29Mwa 3:6; 6:12; Kum 32:5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Muhubiri 7:1-29

Muhubiri

7 Jina la muzuri* linashindia mafuta ya muzuri,+ na siku ya kufa inashindia siku ya kuzaliwa. 2 Ni muzuri zaidi kuenda katika nyumba ya maombolezo kuliko kuenda katika nyumba ya karamu,+ kwa sababu huo ndio mwisho wa kila mwanadamu, na wenye kuwa wazima wanapaswa kuweka jambo hilo katika moyo. 3 Taabu inashindia kicheko,+ kwa maana huzuni ya uso inafanya moyo ukuwe muzuri zaidi.+ 4 Moyo wa mwenye hekima uko katika nyumba ya maombolezo, lakini moyo wa mujinga uko katika nyumba ya shangwe.*+

5 Ni muzuri zaidi kusikiliza karipio la mutu mwenye hekima+ kuliko kusikiliza wimbo wa wapumbavu. 6 Kwa maana kicheko cha mupumbavu ni kama mulio wa miiba yenye kuteketea kwa moto chini ya chungu;+ na jambo hili pia ni bure.* 7 Lakini kukandamizwa kunaweza kumufanya mutu mwenye hekima akuwe wazimu, na rushwa* inapotosha moyo.+

8 Mwisho wa jambo ni muzuri zaidi kuliko mwanzo wake. Ni muzuri zaidi kuwa muvumilivu kuliko kuwa na roho yenye majivuno.+ 9 Usikuwe haraka kukasirika,*+ kwa maana kukasirika kunakaa katika kifua cha wapumbavu.*+

10 Usiseme: “Sababu gani siku za zamani zilikuwa muzuri zaidi kuliko siku hizi?” kwa maana haiko hekima ndiyo inakufanya uulize vile.+

11 Hekima pamoja na uriti ni kitu kizuri na ni faida kwa wale wenye wanaona mwangaza wa siku.* 12 Kwa maana hekima ni ulinzi+ kama vile feza ni ulinzi,+ lakini faida ya ujuzi ni hii: Hekima inalinda uzima wa mwenye kuwa nayo.+

13 Fikiria kazi ya Mungu wa kweli, kwa maana ni nani anaweza kunyoosha kile chenye amekunja?+ 14 Katika siku ya muzuri, fikiria wema wake,+ lakini katika siku ya taabu,* kumbuka kwamba Mungu ameifanya hii sawa na ile ingine,+ ili wanadamu wasijue kwa hakika* kile kitawapata wakati wenye kuja.+

15 Katika maisha yangu ya bure*+ nimeona kila jambo⁠—​kuanzia mwenye haki+ mwenye anaangamia katika haki yake mupaka mutu muovu mwenye anaishi maisha ya murefu ijapokuwa ubaya wake.+

16 Usikuwe mwenye haki kupita kiasi,+ wala kujifanya mwenye hekima kupita kiasi.+ Sababu gani ulete uharibifu juu yako mwenyewe?+ 17 Usikuwe muovu kupita kiasi, wala usikuwe mupumbavu.+ Sababu gani ukufe mbele ya wakati wako?+ 18 Inafaa kutii onyo moja bila kuacha lingine;+ kwa maana mwenye anamuogopa Mungu atatii maonyo yote mbili.

19 Hekima inamufanya mutu mwenye hekima akuwe na nguvu zaidi kuliko watu kumi (10) wenye nguvu katika muji.+ 20 Kwa maana hakuna mwenye haki katika dunia mwenye anafanya mema sikuzote na hafanyake zambi.+

21 Tena, usiweke katika moyo kila neno lenye watu wanasema;+ ukifanya vile, unaweza kumusikia mutumishi wako akikusema mubaya;* 22 kwa maana unajua muzuri katika moyo wako kwamba wewe mwenyewe umesema wengine mubaya mara nyingi.+

23 Nilipima mambo hayo yote kwa hekima, na nilisema: “Nitakuwa na hekima.” Lakini sikuweza. 24 Mambo yenye yamekuja kuwa yako mbali sana na ni mazito sana. Ni nani anaweza kuelewa jambo hilo?+ 25 Nilielekeza moyo wangu ili kujua na kuchunguza na kutafuta hekima na sababu yenye kufanya mambo yatokee, na kuelewa uovu wa upumbavu na ujinga wa wazimu.+ 26 Kisha nikavumbua hili: Mwanamuke mwenye kuwa kama wavu wa* muwindaji ni muchungu zaidi kuliko kifo, moyo wake ni kama nyavu za* kukokotwa, na mikono yake ni kama minyororo ya gereza. Mutu mwenye anamupendeza Mungu wa kweli anamuponyoka mwanamuke huyo,+ lakini mutenda-zambi ananaswa naye.+

27 “Angalia, hili ndilo jambo lenye nilivumbua,” ni vile mukutanishaji anasema.+ “Nilichunguza jambo moja kisha lingine ili kufikia uamuzi wangu, 28 lakini jambo lenye niliendelea* kutafuta, sikupata. Nilipata mwanaume mumoja* kati ya elfu moja (1 000), lakini sijapata mwanamuke kati yao. 29 Ni hili tu ndilo nimevumbua: Mungu wa kweli aliumba wanadamu wakiwa wanyoofu,+ lakini wao wenyewe wametafuta mipango mingi.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine