Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Muhubiri 4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Muhubiri

      • Ukandamizaji ni mubaya kuliko kifo (1-3)

      • Maoni yenye kufaa juu ya kazi (4-6)

      • Faida ya kuwa na rafiki (7-12)

        • Wawili ni muzuri kuliko mumoja (9)

      • Maisha ya mutawala yanaweza kuwa ya bure (13-16)

Muhubiri 4:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 69:20; 142:4

Muhubiri 4:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 3:17; Mhu. 2:17

Muhubiri 4:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 20:18
  • +Mhu. 1:14

Muhubiri 4:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “watumike sana.”

  • *

    Ao “ubatili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 5:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 14

    Maisha Yenye Kuridhisha, uku. 8

Muhubiri 4:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “na anakula nyama yake mwenyewe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 6:10, 11; 20:4

Muhubiri 4:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 37:16; Mez. 15:16; 16:8; 17:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    2/2014, uku. 8

Muhubiri 4:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ubatili.”

Muhubiri 4:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ubatili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 27:20; Mhu. 5:10
  • +Zab 39:6; Lu 12:18-20
  • +Mhu. 2:22, 23

Muhubiri 4:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “faida kubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 2:18; Mez. 27:17

Muhubiri 4:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwa vyepesi.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Upendo wa Mungu,” uku. 111-112

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2009, uku. 18

    15/12/2008, uku. 30

Muhubiri 4:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 19:1; 28:6, 16
  • +1 Fal. 22:8; 2Nya 25:15, 16

Muhubiri 4:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Pengine ni ule mutoto mwenye hekima.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 41:14, 40
  • +2 Sa. 7:8; Yob 5:11

Muhubiri 4:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 14

Muhubiri 4:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

  • *

    Ao “ubatili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 20:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2006, uku. 14

Maandiko ingine

Muh. 4:1Zab 69:20; 142:4
Muh. 4:2Yob 3:17; Mhu. 2:17
Muh. 4:3Yer 20:18
Muh. 4:3Mhu. 1:14
Muh. 4:4Gal 5:26
Muh. 4:5Mez. 6:10, 11; 20:4
Muh. 4:6Zab 37:16; Mez. 15:16; 16:8; 17:1
Muh. 4:8Mez. 27:20; Mhu. 5:10
Muh. 4:8Zab 39:6; Lu 12:18-20
Muh. 4:8Mhu. 2:22, 23
Muh. 4:9Mwa 2:18; Mez. 27:17
Muh. 4:13Mez. 19:1; 28:6, 16
Muh. 4:131 Fal. 22:8; 2Nya 25:15, 16
Muh. 4:14Mwa 41:14, 40
Muh. 4:142 Sa. 7:8; Yob 5:11
Muh. 4:162 Sa. 20:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Muhubiri 4:1-16

Muhubiri

4 Nikachunguza tena matendo yote ya ukandamizaji yenye kufanywa chini ya jua. Nikaona machozi ya wenye kukandamizwa, na hapakukuwa mutu wa kuwafariji.+ Na wakandamizaji wao walikuwa na nguvu, na wale wenye kukandamizwa hawakukuwa na mutu wa kuwafariji. 2 Na nilipongeza wafu wenye walikuwa tayari wamekufa kuliko wazima wenye walikuwa wangali wanaishi.+ 3 Na mwenye kuwa katika hali ya muzuri zaidi kuliko wote wawili ni ule mwenye hajazaliwa,+ mwenye hajaona mambo yenye kuhuzunisha yenye yanafanywa chini ya jua.+

4 Na nimeona namna kushindana+ kunafanya watu wajikaze sana* na kufanya kazi kwa ufundi; jambo hili pia ni bure,* ni kufuatilia upepo.

5 Mujinga anakunja mikono yake na wakati huo mwili wake unaendelea kuwa muzaifu.*+

6 Mukono mumoja wa pumuziko ni muzuri zaidi kuliko mikono mbili ya kazi ya nguvu na kufuatilia upepo.+

7 Nilichunguza jambo lingine lenye kuwa bure* chini ya jua: 8 Kuko mutu mwenye kuwa peke yake; hana rafiki; hana mwana wala ndugu, lakini kazi yake yote ya nguvu haina mwisho. Macho yake hayashibake utajiri.+ Lakini hajiulizake, ‘Ninafanya kazi hii yote ya nguvu na kujiima mambo ya muzuri kwa ajili ya nani’?+ Jambo hili pia ni bure* na ni lenye kuhuzunisha.+

9 Wawili ni muzuri zaidi kuliko mumoja+ kwa sababu wako na zawabu ya muzuri* kwa ajili ya kazi yao ya nguvu. 10 Kwa maana kama mumoja wao anaanguka, ule mwingine anaweza kusimamisha mwenzake. Lakini itakuwa namna gani kwa ule mwenye kuwa peke yake kama anaanguka bila mutu wa kumusimamisha?

11 Tena, kama wawili wanalala pamoja, watapata joto, lakini mwenye kuwa peke yake anaweza namna gani kupata joto? 12 Mutu anaweza kumushinda nguvu mwenye kuwa peke yake, lakini wawili wenye kuwa pamoja wanaweza kushindana naye. Na kamba ya nyuzi tatu (3) haiwezi kukatika haraka.*

13 Mutoto maskini lakini mwenye hekima ni muzuri zaidi kuliko mufalme muzee lakini mujinga,+ mwenye haone tena ulazima wa kutii maonyo.+ 14 Kwa maana yeye* alitoka katika gereza na kuwa mufalme,+ hata kama alizaliwa maskini katika ufalme huo.+ 15 Nilichunguza wale wote wenye kuwa wazima wenye wanatembea chini ya jua, na pia hali ya ule mutawala kijana mwenye anakamata nafasi ya ule mwingine. 16 Hata kama iko* na watu wengi sana wenye kumuunga mukono, wale wenye watakuja kisha hawatamufurahia.+ Jambo hili pia ni bure,* ni kufuatilia upepo.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine