Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorinto 9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Wakorinto

      • Mufano wa Paulo akiwa mutume (1-27)

        • “Haupaswe kufunga kinywa cha ngombe-dume” (9)

        • ‘Ole wangu kama sihubiri!’ (16)

        • Kuwa vitu vyote kwa watu wote (19-23)

        • Kujizuia katika mbio ya uzima (24-27)

1 Wakorinto 9:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:3-5; 1 Kor. 15:7, 8

1 Wakorinto 9:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mamlaka.”

1 Wakorinto 9:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “dada mwenye ni bibi.”

  • *

    Anaitwa pia Petro.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 19:11
  • +Mt 13:55; Gal 1:19
  • +Yoh 1:42

1 Wakorinto 9:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 13:2

1 Wakorinto 9:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 20:6; Mez. 27:18

1 Wakorinto 9:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 25:4; 1 Tim. 5:18

1 Wakorinto 9:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 15:26, 27; Gal 6:6; Flp 4:15-17

1 Wakorinto 9:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mamlaka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 18:3; 20:34; 2 Tes. 3:7, 8
  • +2 Kor. 6:3; 11:7

1 Wakorinto 9:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 6:14, 16; Hes 18:30, 31; Kum 18:1

1 Wakorinto 9:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 10:9, 10; Lu 10:7, 8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 213

1 Wakorinto 9:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 18:3; 20:34; 1 Kor. 4:11, 12; 2 Tes. 3:8
  • +2 Kor. 11:8-10

1 Wakorinto 9:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 3:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    22/7/2001, uku. 10

    “Kila Andiko,” uku. 212

1 Wakorinto 9:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 2:7; Efe 3:1, 2; Kol 1:25

1 Wakorinto 9:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “haki zangu.”

1 Wakorinto 9:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 16:3; 18:18
  • +Mdo 21:24, 26

1 Wakorinto 9:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 13:34; Gal 6:2

1 Wakorinto 9:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 14:1; 15:1; 2 Kor. 11:29

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2005, uku. 27-31

1 Wakorinto 9:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 19:26; 1 Tes. 2:8

1 Wakorinto 9:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 10:22; Flp 3:14; 2 Tim. 4:7, 8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2011, uku. 16, 24

    1/5/2004, uku. 29

    Kutoa Ushahidi, uku. 149

1 Wakorinto 9:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kila mukimbiaji.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tim. 2:5
  • +Yak 1:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 149

    Munara wa Mulinzi,

    1/5/2004, uku. 29-30

    15/10/2003, uku. 18-21

    1/10/2002, uku. 30

    1/1/2001, uku. 30-31

1 Wakorinto 9:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 2:2; Flp 2:16; Ebr 12:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    9/2016, uku. 10

    Huduma ya Ufalme,

    1/2012, uku. 1

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2002, uku. 31

1 Wakorinto 9:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ninapatia mwili wangu azabu; ninatia mwili wangu nizamu kali.”

  • *

    Ao “nikose kustahili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:13; Kol 3:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2013, uku. 14

Maandiko ingine

1 Wakorintho 9:1Mdo 9:3-5; 1 Kor. 15:7, 8
1 Wakorintho 9:5Mt 19:11
1 Wakorintho 9:5Mt 13:55; Gal 1:19
1 Wakorintho 9:5Yoh 1:42
1 Wakorintho 9:6Mdo 13:2
1 Wakorintho 9:7Kum 20:6; Mez. 27:18
1 Wakorintho 9:9Kum 25:4; 1 Tim. 5:18
1 Wakorintho 9:11Rom. 15:26, 27; Gal 6:6; Flp 4:15-17
1 Wakorintho 9:12Mdo 18:3; 20:34; 2 Tes. 3:7, 8
1 Wakorintho 9:122 Kor. 6:3; 11:7
1 Wakorintho 9:13Law. 6:14, 16; Hes 18:30, 31; Kum 18:1
1 Wakorintho 9:14Mt 10:9, 10; Lu 10:7, 8
1 Wakorintho 9:15Mdo 18:3; 20:34; 1 Kor. 4:11, 12; 2 Tes. 3:8
1 Wakorintho 9:152 Kor. 11:8-10
1 Wakorintho 9:16Eze 3:18
1 Wakorintho 9:17Gal 2:7; Efe 3:1, 2; Kol 1:25
1 Wakorintho 9:20Mdo 16:3; 18:18
1 Wakorintho 9:20Mdo 21:24, 26
1 Wakorintho 9:21Yoh 13:34; Gal 6:2
1 Wakorintho 9:22Rom. 14:1; 15:1; 2 Kor. 11:29
1 Wakorintho 9:23Mdo 19:26; 1 Tes. 2:8
1 Wakorintho 9:24Mt 10:22; Flp 3:14; 2 Tim. 4:7, 8
1 Wakorintho 9:252 Tim. 2:5
1 Wakorintho 9:25Yak 1:12
1 Wakorintho 9:26Gal 2:2; Flp 2:16; Ebr 12:1
1 Wakorintho 9:27Rom. 8:13; Kol 3:5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Wakorinto 9:1-27

Ya Kwanza kwa Wakorinto

9 Je, mimi siko huru? Je, mimi siko mutume? Je, mimi sijamuona Yesu Bwana wetu?+ Je, ninyi hamuko kazi yangu katika Bwana? 2 Hata kama mimi siko mutume kwa wengine, hakika mimi ni mutume kwenu! Kwa maana ninyi ndio muhuri wenye unahakikisha utume wangu katika Bwana.

3 Kwa wale wenye wananichunguza, ninajitetea hivi: 4 Sisi tuko na haki* ya kula na kunywa, haiko vile? 5 Sisi tuko na haki ya kusindikizwa na bibi mwenye kuwa muamini,*+ kama wale mitume wengine na ndugu za Bwana,+ na Kefa,*+ haiko vile? 6 Ao je, ni Barnaba+ na mimi pekee ndio hatuna haki ya kuacha kufanya kazi ili kuishi? 7 Ni askari gani mwenye anatumika ili kupata mahitaji yake mwenyewe? Ni nani mwenye anapanda shamba la mizabibu na hakule matunda yake?+ Ao ni nani mwenye anachunga kundi na hakunywe sehemu ya maziwa ya kundi?

8 Je, ninasema mambo haya kwa mawazo ya kibinadamu? Ao je, Sheria pia haiseme mambo hayo? 9 Kwa maana imeandikwa katika Sheria ya Musa: “Haupaswe kufunga kinywa cha ngombe-dume wakati anakanyanga-kanyanga nafaka.”+ Je, ngombe-dume ndio wenye Mungu anahangaikia? 10 Ao, je, kweli anasema vile kwa ajili yetu? Kwa hakika hilo liliandikwa kwa ajili yetu, kwa sababu mutu mwenye analima na mutu mwenye anapiga-piga nafaka wanapaswa kufanya vile wakiwa na tumaini la kupata fungu.

11 Kama tumepanda vitu vya kiroho katikati yenu, je, ni jambo kubwa sana kama tunavuna vitu vya kimwili kutoka kwenu?+ 12 Kama watu wengine wako na haki hii ya kupata kitu fulani kutoka kwenu, je, sisi hatuna haki hiyo hata zaidi? Hata hivyo, hatukutumia haki* hii,+ lakini tunavumilia mambo yote, ili kwa njia yoyote tusizuie habari njema juu ya Kristo.+ 13 Je, hamujue kwamba watu wenye wanafanya kazi takatifu wanakula vitu vya hekalu, na kwamba wale wenye wanafanya kazi kwa ukawaida kwenye mazabahu wanapata fungu lao kutoka kwenye mazabahu?+ 14 Vilevile, pia, Bwana aliamuru kwamba wale wenye wanatangaza habari njema waishi kupitia habari njema.+

15 Lakini kati ya mipango hiyo sikutumia hata mumoja.+ Kwa kweli, sikuandika mambo haya ili nifanyiwe jambo hilo, kwa maana ingekuwa muzuri zaidi kufa kuliko⁠—⁠hakuna mutu mwenye ataondoa sababu zangu za kujisifu!+ 16 Sasa kama ninatangaza habari njema, hiyo haiko sababu ya mimi kujisifu, kwa maana nimelazimishwa kufanya vile. Kwa kweli, ole wangu kama sitangaze habari njema!+ 17 Kama ninafanya vile kwa kupenda, niko na zawabu; lakini hata kama ninafanya vile bila kupenda, bado nimepewa usimamizi-nyumba.+ 18 Basi, zawabu yangu ni nini? Kwamba wakati ninatangaza habari njema, nitoe habari njema kwa bure, ili nisitumie mubaya mamlaka yangu* katika habari njema.

19 Kwa maana, hata kama niko huru kuelekea watu wote, nimejifanya kuwa mutumwa kwa wote, ili nipate watu wengi zaidi. 20 Kwa Wayahudi nilikuwa kama Muyahudi, ili nipate Wayahudi;+ kwa wale wenye kuwa chini ya sheria nilikuwa kama mwenye kuwa chini ya sheria, hata kama mimi mwenyewe siko chini ya sheria, ili nipate wale wenye kuwa chini ya sheria.+ 21 Kwa wale wenye hawana sheria nilikuwa kama mwenye hana sheria, hata kama mimi siko bila sheria kwa Mungu lakini niko chini ya sheria kwa Kristo,+ ili nipate wale wenye hawana sheria. 22 Kwa wazaifu nilikuwa muzaifu, ili nipate wazaifu.+ Nimekuwa mambo yote kwa watu wa namna zote, ili kwa njia yoyote niokoe wengine. 23 Lakini ninafanya mambo yote kwa ajili ya habari njema, ili niishiriki pamoja na wengine.+

24 Je, hamujue kwamba wakimbiaji wote katika mbio wanakimbia, lakini ni mumoja tu ndiye anapokea zawadi? Mukimbie kwa namna ya kwamba muweze kuipata.+ 25 Sasa kila mutu mwenye anashiriki katika shindano* anajizuia katika mambo yote. Bila shaka, wao wanajizuia hivyo ili wapate taji lenye linaweza kuharibika,+ lakini sisi, taji lenye haliwezi kuharibika.+ 26 Kwa hiyo, namna ninakimbia haiko bila kusudi;+ namna ninaelekeza ngumi zangu ni ili nisikuwe ninapiga hewa; 27 lakini ninapiga-piga mwili wangu*+ na kuuongoza kama mutumwa, ili kisha kuhubiria wengine, mimi mwenyewe nisikataliwe* kwa njia fulani.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine